Amen.Kanisa la Bwana libarikiwe.Ewe MUNGU liinuwe viwango vingine.Limedharauliwa sana.Mungu ajidhihirishe mwenyewe duniani kwamba yuko,hajaacha watumishi wake.Amen.
Mtumishi wa Mungu hongera sana popote ulipo. Nimekusikiliza nika furahi sana mafundisho yako yamenijenga umenifundisha kuhusu hizi nyakati za hatari nimesikia kububujika sana Mungu akubariki. Naitwa Marietha naishi Arusha Ni mzaliwa wa kilimamjaro Mungu akubariki uje na huku kwetu
Huyu ndie mtumishi wa mungu mm ni msabato ila huyu nizaid anamafundisho ya mungu huyu nizaid ya mulokole huyu nimhubili wa wahubili mungu amlinde tunamuombiea nasa
Mimi mwenyewe nilisoma kwa bidii,nikapita mitihani za Walimu.Lakini ya MUNGU nilianguka sana.Uvimbe kwa akili,nilisahau masomo yote.Kwenye chumba cha wangonjwa maututi,nilipofungua macho,sauti ilinijia kwamba mgomee shetani.Kuanzia siko hiyo namkemea asinitawale.Sasa nakaza Yesu anitawale,sio ya dunia hii inayo pita.Halleluyaaaa!
Baba iseme kweli kwan watu kwa sasa hawaitaki kweli wanapenda kundaganywa pokea magari pokea majumba, sema kweli tupone watakao kataa waende vizur jehanam bila lawama et hatukusikia
Ni mafundisho nadra na muhimu sana kwa sasa kwani hakika YESU yupo karibu sana sana kurudi. Nachelea kusema madhehebu mengi hawafundishi vyema au hawafundishi kabisa.
Uongo Israeli ya kimwili ilishapita. Agano lao limepita Sasa hivi ni Agano la kuja kwake Yesu mara ya pili. Israeli ya Kiroho. Wagalatia 3:7 " Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.
OK kwani we unasoma biblia ambayo imetimiza agano la Israel limepita, walumi tunaiweka wapi Paulo anaposema kama kwa kosa Lao tulipata wokovu je wao si zaidi?
Asante mtumishi kwa kuhubiri kuhusu siku ya mwisho.
Asante sana mtumishi wa Mungu, kweli Sisi ni washindi katika Bwana wetu Yesu.
Mungu apewe sifa kwa neno lake na kwa mtumishi wake mimi ni Titus nipo Burundi
Amen.Kanisa la Bwana libarikiwe.Ewe MUNGU liinuwe viwango vingine.Limedharauliwa sana.Mungu ajidhihirishe mwenyewe duniani kwamba yuko,hajaacha watumishi wake.Amen.
Toka nianze kusali sijawai sikia mafundisho kama haya mazuri mtumishi BWANA YESU ubarikiwe sana
Jeremia Neno la Mungu hilo
Ahsante yesu kwa kuifunua siri hii kwa mtumishi huyu hakika nimejifunza kitu ❤
Mtumishi wa Mungu hongera sana popote ulipo. Nimekusikiliza nika furahi sana mafundisho yako yamenijenga umenifundisha kuhusu hizi nyakati za hatari nimesikia kububujika sana Mungu akubariki. Naitwa Marietha naishi Arusha Ni mzaliwa wa kilimamjaro Mungu akubariki uje na huku kwetu
Kutoka morogoro wilaya mpya ya mlimba sehem moja inaitwa Mbingu kiukweli unaeleweka vizir Sana uishi upendevyo ukimpendeza MUNGU na sis barikiwa Sana
Mungu akubariki mtumishi ni wakati wa kumkaribia Mungu sana
Hongera sana ntumishi ubarikiwe sana tukuombeya kabisa
Absalom Longani nakukumbuka sana
Mara ya kwanza tulikutana mji wa Nzega Tanzania. Nilijifunza Neno la Mungu vizuri
Utukufu kwa Mungu
Barikiwa
Huyu ndie mtumishi wa mungu mm ni msabato ila huyu nizaid anamafundisho ya mungu huyu nizaid ya mulokole huyu nimhubili wa wahubili mungu amlinde tunamuombiea nasa
Nilijihuliza hilo swzli la nani mke wa kaini tangu zamani leo ni mepata jibu ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina liko Arusha _Kisongo Ukiulizia TU kwake anajulikana
My role model natamani Sana Mungu anipe karama Kama ya baba yetu longani MWENYEZI MUNGU akubarik Sana
Sikiliza Wewe umeletwa duniani kutimiza kusudi la Mungu
Sasa kipawa ulicho pewa na huduma uliyo pewa tumikia hiyo mtumishi utamuona Bwana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa unatufundisha vyema
Mimi mwenyewe nilisoma kwa bidii,nikapita mitihani za Walimu.Lakini ya MUNGU nilianguka sana.Uvimbe kwa akili,nilisahau masomo yote.Kwenye chumba cha wangonjwa maututi,nilipofungua macho,sauti ilinijia kwamba mgomee shetani.Kuanzia siko hiyo namkemea asinitawale.Sasa nakaza Yesu anitawale,sio ya dunia hii inayo pita.Halleluyaaaa!
Hakika huyu mtumishi atukumbusha yaliyonewa na manabii, mwenye sikio asikie roho anena na kanisa,,,,Ameen
Wakati umeeiisha wapendwa kufumba na kufumbia Yesu anakuja hakika.
Mungu akubaliki kwa kutuweka tayari kwa ajili ya unyakuo
Kushinda ni lazima. Ninalo jina lake Kristo YESU ndani yangu
Amen Amen
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU .
Nakufuatilia Sana kutoka kakola kahama Mungu akubariki sana
Amen
Ubarikiwe sana baba kwa ujumbe mzuri...
Thank you so much for beautiful message me from Zambia Amen in Jesus name
Mungu atukumbuke
Amina
Mtumishi mungu alutie nguvu
Amen amen❤❤
Mungu akubariki mtumishi wa mungu
Nakupenda sana myumishi wa Mungu
BWANA YESU akubariki sana
Aksante sana mwalimu wangu
Arusha sehem Gani mtumishi wa Mungu
Kisongo
Shalom mimi sijaelewa kuusu Christmas tafathali nipe maandiko na ufafanuzi
Barikiwa sana
Sifa kwa Mungu ❤
God bless you
Nakupata vizuri papaa
Amen, Amen, ubarikiwe sana baba
Amina baba
Amen in Jesus name
Nashukuru Mungu kuweza kukupata. Ni mara yangu ya kwanza.
Amen 🙏🙏
I love Israel
Hapo kwenye kaanani umedanganya, tena umedanganya kabisa kweli kweli.
Baba iseme kweli kwan watu kwa sasa hawaitaki kweli wanapenda kundaganywa pokea magari pokea majumba, sema kweli tupone watakao kataa waende vizur jehanam bila lawama et hatukusikia
Kanisa liko wapi hili?
Hii ndio Siri ilifichwa .lakini mungu wetu si wa siri. Kila kitu Sasa kipo wazi.ashukuriwe mungu WA mbinguni
Ni mafundisho nadra na muhimu sana kwa sasa kwani hakika YESU yupo karibu sana sana kurudi. Nachelea kusema madhehebu mengi hawafundishi vyema au hawafundishi kabisa.
Jamani msiwe mnakatiza mahubiri
Nataman mno kuupata wokovu
Kanisa la uyu mchungaji liko wapi jaman
Makumi..natisa...he mean..19..or
apo umesema wongo crismas ni sikuku za upagani nafsiri ya wongo na baba wawongo ni shetani atali nipo moçambiqwe
Ufahamu wako ni mdogo sana
Mafundisho yako yanatujengea ujasiri na kuondoa hofu
Uongo Israeli ya kimwili ilishapita. Agano lao limepita Sasa hivi ni Agano la kuja kwake Yesu mara ya pili. Israeli ya Kiroho. Wagalatia 3:7 " Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.
OK kwani we unasoma biblia ambayo imetimiza agano la Israel limepita, walumi tunaiweka wapi Paulo anaposema kama kwa kosa Lao tulipata wokovu je wao si zaidi?
Mchungaji unatumia kiswahili gan makumbili na Tisa ndo nn
Unabi wako umetimia. Mwezi wa nne Irane imeshambulia Israel 🇮🇷
Amen amen
Amen