Inasikitisha sana hata kama ni utani not to that level Doto akili chache yani waandishi wanaompa trend ndio anawatukana kuwaita wezi nao bado wapo wapo tu ....waandishi hapa nimeamini hawajielewi
Kweli na hii ndio maana ya gari used ilipotoka imetumika na ikifika mikononi kwa watu wa magari used na wao wanaitimba mpka ikufikie wiki moja tu una paki.
Huwa najiuliza watu wa aina hii wanaoitwa Chawa huwa ni wanaume kweli? Yaani kukaa na kumsifu Mwanaume mwenzio Tena kwa kujitapa mbele yake ukijikombakomba kama unayempa kinyeo. Kwani watu wa aina hii huwa hawana kazi nyingine Kule Dsm zaidi ya KUJIPENDEKEZA kwa watu na KUJIFANYA kuwaongelea kwa mazuri tu utadhani ni Malaika. Upumbavu huu upo huko Tz tu. Mtu mzima kukaza mshipa wa shingo KUSIFU Mwanaume mwenzio.
Dida sio mzee saana ila mikorogo ndiyo iliponza
Doto bwana unaweza kusimamisha Tanzania 🇹🇿kwa kila neno lako 😂😂😂😊
Dida si ujiamini tuu uso kama tako la doto
Dida kweli umri umeenda na anavyojifanyaga binti 🤣🤣🤣. Anaona aibu kuonesha sura yake
Jamani kwani ajabu. Tuseme wee warudi nyuma au mbele
Dida anaficha macho yake ya mjusi anajifanya camera nyingi
😎 Leo atoboi
Hana lolote uzee umemjia ndo maana havuwi miwani
Mpitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
Duniani tz ndo nchi ambayo wandishi wahabari bado hawajitambui
Inasikitisha sana hata kama ni utani not to that level Doto akili chache yani waandishi wanaompa trend ndio anawatukana kuwaita wezi nao bado wapo wapo tu ....waandishi hapa nimeamini hawajielewi
Doto nampenda sana😂😂😂
Caméra nyingi gani unaogopa tusione uzee wa usoni unajifanya unaogopa mwanga
😂😂😂😂jmn
Acawivuu😂😂😂inama wey kutazeeka utabi ryisi urivyo😂😂
@@christainc.5217 nilitaka kukujibu ila tu nilivyoona mwandiko wako nikasema eeh Mungu nisamee mimi!
5:00 panki ka mcheza x wa Uturuki 😂😂
dida anaogopa kamera bila miwani hatoboi
Sas dida anajificha nin😅😅😅😅
Muwangaza mkali na Makemikali ya mwilini ni vitu tofauti
Ndo Ana waringia waandishi sio vizur kwa maneno yake
Haringi ana nogesha 😂😂
@@ilynpayne7491 sawa jamn asante
Mmmmh dida pole dada
Hili nalo umaarufu unalifanya linakua limbukeni. Kwani huwezi ongea vizur hadi uwashushue wenzio yaani kaa fara hv
jamaa ana maneno MACHAFU sana kwanini mnampa airtime???
Dotto kimchezomchezo amekua star nakukubali sana broo
Wow 👌 👏
Dida kwani apo Kuna jua sana duu miwani inakusitrigi sana duuuh sura nzito ka uji wa mapande et mbona kamera nyingi nyooooo
Na hapa Tunduma ipo 😂😂Dotto magari wambie
Hajiamini dida kilometa zishasoma
😅
Route ya Dar to Joburg for 15years😂😂
Haya!! Yetu macho
Mtangaji makuuu kwel
Age gooo😂
Dullah amebaki na mkorogo tu
Panki kama mcheza ex wa uturuki😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂kaka anamaneno huyu😂😂
dida mwenyewe bibi uyo hana maajabu akwende zake uko😅😅😅
Jamn Kwan yeye kakataaa kama yeye siyo mzee
Hata ww utazeeka
Kweli na hii ndio maana ya gari used ilipotoka imetumika na ikifika mikononi kwa watu wa magari used na wao wanaitimba mpka ikufikie wiki moja tu una paki.
Huyu dotto😂😂😂😂😂
Aisee dida kazeeka alafu eti anajifanyaga wa 30s😅😅😅😅😅😅
Age goooo😂😂😂😂
Mbona katoto
😁😁uso anauficha na mkono jua lishakuchwa
Dida anajificha macho hana miwani leo anaficha macho kama mchina😂😂😂
Ndio maana hata anajificha sura
Jamani mtu ameumbwa na Mungu, Dida ni mzuri.
😮😮
😂😂😂😂 doto umenishida tabia 😂😂
Uyu doto ni zaidi ya mkojani
Hajiamini maskini na sura yake😂😂😂
Dotooo😅😅😂
Na ww doto wna washushua wenzio
Hizo nywele dotto unaosha kweli
😂😂
Dida bila miwani hatobowi 😂😂😂
😂😂😂
Dida mbona unaficha nini???
Jamani anamimba wakati haji kasema ajazini yy muislam mpaka aowe
Da Dida miwani vp
Dotto😂😂😂 noma
Huyu dida ni dd ake jei mo, nauliza jamani
3:10
Mcheza X wa uturuk 😂😂😂😂
Dotto kama Dotto hakuna mwingine wale Ngedere wa Kigoma hamuwezi Dotto hata waroge 😂😂
Dida kazeeka ataki ata picha😅😅😅
Mbona dida anajificha uso😅
Wanaume wa siku hizi shikamooo
Waandishi wa habari mnaonekana kama wajinga
Wengine mpaka wanaogopa kuuliza maswali duu hao wanaohojiwa kama wanalazimishwa kumbe ndio wanapenda.
Izo nywele afadhali ukate tuuu unaonekana kama vipi sijui 😂😂
Ndo utambulisho wake
Chokoraa
Lah mtu mzima
Ujue zamani tulikua atuuingizi pesa saizi ndio watu wanaingiza pesa
Dida anaona aibu sura yake mwenyewe
Dida anasura nzito mbaya loooh😂😂
Ulimuumba ww umba wako msitie kufuru kwa maumbaji ya M.Mungu chunga mdomo wako😏😏😏
Hila Dotto Magari ni Kiboko, ha hapa ipo
Dotto magari nakkubali snaa nikija dar nitakuja tambuu motors nikuone
Mi naenda Bayport kukopa nimpate Dida
Visimame kwan ndoa huo ni ujinga wenu mlio jipangia wenyewe eti mbingu isimame kwa lipi
doto acha kuachamba watu😅😅😅
Yupo kazini
Kwani anaumwa macho jamani😊
Anaogopa kuonesha sura yake ya uzee
😂😂😂
Huwezi kusema mbingu na ardhi vimesimama sababu ya kuvishana Pete wewe mwehu vikisimama Basi mwisho wa dunia
Pumzi zinamhadaa huyu anaropokwa tu hajitambui,njaa kali
Hivi uso huwa na nini? Kama sio miwani ni kofia
😂😂😂😂😂ila jmn waja
Du huyo dada kama angekuwa mwanakwaya anaimba sauti ya ngapi?
ex wangu mbwa yule alivyokonda 😂😂😂😂
Leo nimeamini kama ili doto lilikua teja
Minywele kama kichaa
😂
Simpendi huyu mbwa anavyowadhalilisha waandishi wa habari,na Hawa wanaomfata huyu mjinga akili zao sio
Ni ujinga halafu anajifananisha na wakina mwijaku wakati hawapi heshima waandishi
You sound stupid and jealous.😂@@raymondclaud6026
You sound stupid 😂 jealous 😏
Wacheni hzo wandishi gn hawajui kuhoji wala kuuliza wananaswali hvyo hvyo hvyo kabisa sidhani km wanaisomea hii fani
Hafanyi vyema. Bila Hao waandishi huwez kuonekana popote.heshimu taaluma za watu
Msimalize maneno muweke na akiba uyo mwanamke kafuata pesa tu
😂😂😂😂😂😂😂
Dida anajificha nn
Hajavaa miwani maana camera zikimnyaka hatoboi
Uzee
Dida siyo mzee sema sula yake nizito
Hahahhah
Mtngazaji wa uwongo huyu
😅😅😅😅
Hiyo minywele ukakate upo kama ndondocha
Sio ugonjwa wa macho umemfikia
Dotto 😂❤
Diba anficha uso kwann jmn😂
Anamaneno machafu simpendi dotto 😏
Umaharufu ukishanuka🕵️
Doto bwana eti mafulana yenu yanavufungo 😂😂
shida waandishi wa habari pia wanakuwaga na maswali ya kiwaki yan hayana maana kabisa😂
Huyo manara kiboko yake konde boy 2😂😂😂😂😂😂😂😂😂 alililiwa rushayna huku anaonaaaa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 ila dida
dotto 🤣🤣
Dotto acha sifa
Kijuso kibovu
Doto😂
Doto mpumbv
Video musizifute hizo tusubiri
Unprofessional waandishi
Huwa najiuliza watu wa aina hii wanaoitwa Chawa huwa ni wanaume kweli? Yaani kukaa na kumsifu Mwanaume mwenzio Tena kwa kujitapa mbele yake ukijikombakomba kama unayempa kinyeo. Kwani watu wa aina hii huwa hawana kazi nyingine Kule Dsm zaidi ya KUJIPENDEKEZA kwa watu na KUJIFANYA kuwaongelea kwa mazuri tu utadhani ni Malaika. Upumbavu huu upo huko Tz tu. Mtu mzima kukaza mshipa wa shingo KUSIFU Mwanaume mwenzio.
We ukilipwa pesa za kutosha kwa ajili ya kumsifu tu mtu hufanyi hiyo kazi??
😂😂😂
Hao wapo kwaajili ya wanaopenda kusifiwa, hata kwenye MAFANIKIO yako wapo😂😂😂😂
Nenda ukafanye kazi za mijengo uumize na za kubeba magunia sokoni uumize mwiili wako in the name ya kuitwa mwanaume basi
ua-cam.com/video/1zkl7aaVi3k/v-deo.htmlsi=-eurPS-n2395rPPM
Babalevo adandia kesi
Jamani toka nimsikie dida. Nilikuwa shule
Yani tokea nipo shule ya msingi anaitwa dina wa mchopanga