DIDA SHAIBU NA DOTTO MAGARI WALIVYOMCHEKA DULLA MAKABILA ,MANENO YA SHOMBO KAMA YOTE.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 січ 2024
  • #bongo24 #dottomagari #didaskalia
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 151

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 місяців тому +11

    Dida sio mzee saana ila mikorogo ndiyo iliponza

  • @palukukaskile420
    @palukukaskile420 6 місяців тому +11

    Doto bwana unaweza kusimamisha Tanzania 🇹🇿kwa kila neno lako 😂😂😂😊

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 6 місяців тому +12

    Dida si ujiamini tuu uso kama tako la doto

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 6 місяців тому +8

    Dida kweli umri umeenda na anavyojifanyaga binti 🤣🤣🤣. Anaona aibu kuonesha sura yake

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i 6 місяців тому

      Jamani kwani ajabu. Tuseme wee warudi nyuma au mbele

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 6 місяців тому +7

    Dida anaficha macho yake ya mjusi anajifanya camera nyingi
    😎 Leo atoboi

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 6 місяців тому +1

      Hana lolote uzee umemjia ndo maana havuwi miwani

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 6 місяців тому +2

    Mpitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @jamalisebarua9594
    @jamalisebarua9594 6 місяців тому +9

    Duniani tz ndo nchi ambayo wandishi wahabari bado hawajitambui

    • @albertmshiu6578
      @albertmshiu6578 6 місяців тому

      Inasikitisha sana hata kama ni utani not to that level Doto akili chache yani waandishi wanaompa trend ndio anawatukana kuwaita wezi nao bado wapo wapo tu ....waandishi hapa nimeamini hawajielewi

  • @user-zj9ip8kl1n
    @user-zj9ip8kl1n 6 місяців тому +4

    Doto nampenda sana😂😂😂

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 6 місяців тому +7

    Caméra nyingi gani unaogopa tusione uzee wa usoni unajifanya unaogopa mwanga

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 6 місяців тому

      😂😂😂😂jmn

    • @christainc.5217
      @christainc.5217 6 місяців тому

      Acawivuu😂😂😂inama wey kutazeeka utabi ryisi urivyo😂😂

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 6 місяців тому

      @@christainc.5217 nilitaka kukujibu ila tu nilivyoona mwandiko wako nikasema eeh Mungu nisamee mimi!

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 6 місяців тому +2

    5:00 panki ka mcheza x wa Uturuki 😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 місяців тому +6

    dida anaogopa kamera bila miwani hatoboi

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 6 місяців тому +10

    Sas dida anajificha nin😅😅😅😅

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 6 місяців тому

      Muwangaza mkali na Makemikali ya mwilini ni vitu tofauti

  • @NeysamElias-dp7nl
    @NeysamElias-dp7nl 6 місяців тому +9

    Ndo Ana waringia waandishi sio vizur kwa maneno yake

  • @user-jm9mz7yq6r
    @user-jm9mz7yq6r 6 місяців тому

    Mmmmh dida pole dada

  • @damianwambura8314
    @damianwambura8314 6 місяців тому +2

    Hili nalo umaarufu unalifanya linakua limbukeni. Kwani huwezi ongea vizur hadi uwashushue wenzio yaani kaa fara hv

  • @eenockmaroo36
    @eenockmaroo36 6 місяців тому +6

    jamaa ana maneno MACHAFU sana kwanini mnampa airtime???

  • @mwakiosalim2914
    @mwakiosalim2914 6 місяців тому

    Dotto kimchezomchezo amekua star nakukubali sana broo

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 6 місяців тому

    Wow 👌 👏

  • @salmamsangi9976
    @salmamsangi9976 6 місяців тому +2

    Dida kwani apo Kuna jua sana duu miwani inakusitrigi sana duuuh sura nzito ka uji wa mapande et mbona kamera nyingi nyooooo

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 6 місяців тому +2

    Na hapa Tunduma ipo 😂😂Dotto magari wambie

  • @nareensaleh4957
    @nareensaleh4957 6 місяців тому +9

    Hajiamini dida kilometa zishasoma

  • @NicoOwaga
    @NicoOwaga 6 місяців тому

    Haya!! Yetu macho

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 6 місяців тому +2

    Mtangaji makuuu kwel

  • @Zuu673
    @Zuu673 6 місяців тому +1

    Age gooo😂

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 6 місяців тому +1

    Dullah amebaki na mkorogo tu

  • @jamesmanala3394
    @jamesmanala3394 6 місяців тому +2

    Panki kama mcheza ex wa uturuki😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @stellajoseph6212
      @stellajoseph6212 6 місяців тому

      😂😂😂😂kaka anamaneno huyu😂😂

  • @user-dx4eb2ss6x
    @user-dx4eb2ss6x 6 місяців тому +5

    dida mwenyewe bibi uyo hana maajabu akwende zake uko😅😅😅

    • @DianaMacha-jf8gw
      @DianaMacha-jf8gw 6 місяців тому

      Jamn Kwan yeye kakataaa kama yeye siyo mzee

    • @annethgod6642
      @annethgod6642 6 місяців тому

      Hata ww utazeeka

    • @katambihamisi4130
      @katambihamisi4130 6 місяців тому

      Kweli na hii ndio maana ya gari used ilipotoka imetumika na ikifika mikononi kwa watu wa magari used na wao wanaitimba mpka ikufikie wiki moja tu una paki.

  • @shuudewizzygal8435
    @shuudewizzygal8435 6 місяців тому

    Huyu dotto😂😂😂😂😂

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 6 місяців тому +21

    Aisee dida kazeeka alafu eti anajifanyaga wa 30s😅😅😅😅😅😅

    • @shery-bf8xh
      @shery-bf8xh 6 місяців тому +3

      Age goooo😂😂😂😂

    • @mamafaiza1720
      @mamafaiza1720 6 місяців тому

      Mbona katoto

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 6 місяців тому +3

      😁😁uso anauficha na mkono jua lishakuchwa

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 6 місяців тому

      Dida anajificha macho hana miwani leo anaficha macho kama mchina😂😂😂

    • @lelaiddy6856
      @lelaiddy6856 6 місяців тому +1

      Ndio maana hata anajificha sura

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 6 місяців тому +1

    Jamani mtu ameumbwa na Mungu, Dida ni mzuri.

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr1669 6 місяців тому

    😂😂😂😂 doto umenishida tabia 😂😂

  • @reganclarence4657
    @reganclarence4657 6 місяців тому

    Uyu doto ni zaidi ya mkojani

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 6 місяців тому +1

    Hajiamini maskini na sura yake😂😂😂

  • @mwakiboy968
    @mwakiboy968 6 місяців тому +3

    Dotooo😅😅😂

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 6 місяців тому +2

    Na ww doto wna washushua wenzio

  • @user-ft3fr1nu3w
    @user-ft3fr1nu3w 6 місяців тому +3

    Hizo nywele dotto unaosha kweli

    • @Hasnspop
      @Hasnspop 6 місяців тому

      😂😂

  • @mdmohammed9411
    @mdmohammed9411 6 місяців тому +4

    Dida bila miwani hatobowi 😂😂😂

  • @vero57
    @vero57 6 місяців тому +2

    Dida mbona unaficha nini???

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 6 місяців тому +4

    Jamani anamimba wakati haji kasema ajazini yy muislam mpaka aowe

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 6 місяців тому

    Da Dida miwani vp

  • @joewasike6875
    @joewasike6875 6 місяців тому

    Dotto😂😂😂 noma

  • @user-rf4vw1in5g
    @user-rf4vw1in5g 6 місяців тому

    Huyu dida ni dd ake jei mo, nauliza jamani
    ‏‪3:10‬‏

  • @chinolanez838
    @chinolanez838 6 місяців тому +1

    Mcheza X wa uturuk 😂😂😂😂

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 6 місяців тому

    Dotto kama Dotto hakuna mwingine wale Ngedere wa Kigoma hamuwezi Dotto hata waroge 😂😂

  • @dianazambi2447
    @dianazambi2447 6 місяців тому

    Dida kazeeka ataki ata picha😅😅😅

  • @husnaally867
    @husnaally867 6 місяців тому +1

    Mbona dida anajificha uso😅

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 6 місяців тому

    Wanaume wa siku hizi shikamooo

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 6 місяців тому +1

    Waandishi wa habari mnaonekana kama wajinga
    Wengine mpaka wanaogopa kuuliza maswali duu hao wanaohojiwa kama wanalazimishwa kumbe ndio wanapenda.

  • @vero57
    @vero57 6 місяців тому +3

    Izo nywele afadhali ukate tuuu unaonekana kama vipi sijui 😂😂

  • @user-cr7vi4qp9c
    @user-cr7vi4qp9c 6 місяців тому

    Lah mtu mzima

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx 6 місяців тому

    Ujue zamani tulikua atuuingizi pesa saizi ndio watu wanaingiza pesa

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 6 місяців тому

    Dida anaona aibu sura yake mwenyewe

  • @nyamandecharles3795
    @nyamandecharles3795 6 місяців тому +1

    Dida anasura nzito mbaya loooh😂😂

    • @rukkysayid6613
      @rukkysayid6613 6 місяців тому

      Ulimuumba ww umba wako msitie kufuru kwa maumbaji ya M.Mungu chunga mdomo wako😏😏😏

  • @munyaoemmanuel9616
    @munyaoemmanuel9616 6 місяців тому

    Hila Dotto Magari ni Kiboko, ha hapa ipo

  • @KarimOmar-fp5kq
    @KarimOmar-fp5kq 6 місяців тому

    Dotto magari nakkubali snaa nikija dar nitakuja tambuu motors nikuone

  • @augustinemainde2730
    @augustinemainde2730 6 місяців тому

    Mi naenda Bayport kukopa nimpate Dida

  • @user-oy8sb7jg3s
    @user-oy8sb7jg3s 6 місяців тому

    Visimame kwan ndoa huo ni ujinga wenu mlio jipangia wenyewe eti mbingu isimame kwa lipi

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l 6 місяців тому +3

    doto acha kuachamba watu😅😅😅

  • @user-mi9bu2yf1z
    @user-mi9bu2yf1z 6 місяців тому +1

    Kwani anaumwa macho jamani😊

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 6 місяців тому

    😂😂😂

  • @user-kg7of9fr5x
    @user-kg7of9fr5x 6 місяців тому +3

    Huwezi kusema mbingu na ardhi vimesimama sababu ya kuvishana Pete wewe mwehu vikisimama Basi mwisho wa dunia

    • @faridanurdin9635
      @faridanurdin9635 6 місяців тому

      Pumzi zinamhadaa huyu anaropokwa tu hajitambui,njaa kali

  • @lihavileah3054
    @lihavileah3054 6 місяців тому +2

    Hivi uso huwa na nini? Kama sio miwani ni kofia

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 6 місяців тому

    Du huyo dada kama angekuwa mwanakwaya anaimba sauti ya ngapi?

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 6 місяців тому

    ex wangu mbwa yule alivyokonda 😂😂😂😂

  • @ForodhaniZanzibar
    @ForodhaniZanzibar 6 місяців тому

    Leo nimeamini kama ili doto lilikua teja

  • @user-vb7tu5zs9d
    @user-vb7tu5zs9d 6 місяців тому

    Minywele kama kichaa

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 6 місяців тому

    😂

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 6 місяців тому +5

    Simpendi huyu mbwa anavyowadhalilisha waandishi wa habari,na Hawa wanaomfata huyu mjinga akili zao sio

    • @raymondclaud6026
      @raymondclaud6026 6 місяців тому

      Ni ujinga halafu anajifananisha na wakina mwijaku wakati hawapi heshima waandishi

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi 6 місяців тому

      You sound stupid and jealous.😂​@@raymondclaud6026

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi 6 місяців тому

      You sound stupid 😂 jealous 😏

    • @ameirameir4930
      @ameirameir4930 6 місяців тому +1

      Wacheni hzo wandishi gn hawajui kuhoji wala kuuliza wananaswali hvyo hvyo hvyo kabisa sidhani km wanaisomea hii fani

    • @stellasheba842
      @stellasheba842 6 місяців тому

      Hafanyi vyema. Bila Hao waandishi huwez kuonekana popote.heshimu taaluma za watu

  • @YasiniMahomba-mx6ux
    @YasiniMahomba-mx6ux 6 місяців тому

    Msimalize maneno muweke na akiba uyo mwanamke kafuata pesa tu

  • @RahmaFadhili
    @RahmaFadhili 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @Naju645
    @Naju645 6 місяців тому +4

    Dida anajificha nn

  • @sadajackson3209
    @sadajackson3209 6 місяців тому

    Dida siyo mzee sema sula yake nizito

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 6 місяців тому

    Hahahhah

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 6 місяців тому +1

    Mtngazaji wa uwongo huyu

  • @MejaYaro
    @MejaYaro 6 місяців тому

    😅😅😅😅

  • @ShadyaSeifu
    @ShadyaSeifu 6 місяців тому +2

    Hiyo minywele ukakate upo kama ndondocha

  • @lainamohamed-px6el
    @lainamohamed-px6el 6 місяців тому

    Sio ugonjwa wa macho umemfikia

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 6 місяців тому

    Dotto 😂❤

  • @user-li6hy1rr5c
    @user-li6hy1rr5c 6 місяців тому

    Diba anficha uso kwann jmn😂

  • @user-sq2zk9lu4z
    @user-sq2zk9lu4z 6 місяців тому

    Anamaneno machafu simpendi dotto 😏

  • @elishajailosy4916
    @elishajailosy4916 6 місяців тому

    Umaharufu ukishanuka🕵️

  • @mengifrank8070
    @mengifrank8070 6 місяців тому

    Doto bwana eti mafulana yenu yanavufungo 😂😂

  • @ashaahmad720
    @ashaahmad720 6 місяців тому

    shida waandishi wa habari pia wanakuwaga na maswali ya kiwaki yan hayana maana kabisa😂

  • @henger_msafy_001
    @henger_msafy_001 6 місяців тому +2

    Huyo manara kiboko yake konde boy 2😂😂😂😂😂😂😂😂😂 alililiwa rushayna huku anaonaaaa😂😂😂😂

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂 ila dida

  • @nassjenas2714
    @nassjenas2714 6 місяців тому

    dotto 🤣🤣

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 6 місяців тому

    Dotto acha sifa

  • @halimaamani4095
    @halimaamani4095 6 місяців тому

    Kijuso kibovu

  • @jescasanga2005
    @jescasanga2005 6 місяців тому

    Doto😂

  • @abednego3876
    @abednego3876 6 місяців тому

    Doto mpumbv

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 6 місяців тому

    Video musizifute hizo tusubiri

  • @IsmailRashid-sx4pf
    @IsmailRashid-sx4pf 6 місяців тому

    Unprofessional waandishi

  • @songombingo108
    @songombingo108 6 місяців тому +3

    Huwa najiuliza watu wa aina hii wanaoitwa Chawa huwa ni wanaume kweli? Yaani kukaa na kumsifu Mwanaume mwenzio Tena kwa kujitapa mbele yake ukijikombakomba kama unayempa kinyeo. Kwani watu wa aina hii huwa hawana kazi nyingine Kule Dsm zaidi ya KUJIPENDEKEZA kwa watu na KUJIFANYA kuwaongelea kwa mazuri tu utadhani ni Malaika. Upumbavu huu upo huko Tz tu. Mtu mzima kukaza mshipa wa shingo KUSIFU Mwanaume mwenzio.

    • @msafirifabian2143
      @msafirifabian2143 6 місяців тому +1

      We ukilipwa pesa za kutosha kwa ajili ya kumsifu tu mtu hufanyi hiyo kazi??

    • @user-fi9gm2et5r
      @user-fi9gm2et5r 6 місяців тому

      😂😂😂

    • @stanleymanya438
      @stanleymanya438 6 місяців тому

      Hao wapo kwaajili ya wanaopenda kusifiwa, hata kwenye MAFANIKIO yako wapo😂😂😂😂

    • @rerisamba
      @rerisamba 6 місяців тому

      Nenda ukafanye kazi za mijengo uumize na za kubeba magunia sokoni uumize mwiili wako in the name ya kuitwa mwanaume basi

  • @zmclassictv
    @zmclassictv 6 місяців тому +1

    ua-cam.com/video/1zkl7aaVi3k/v-deo.htmlsi=-eurPS-n2395rPPM
    Babalevo adandia kesi

  • @user-ks3gf7zn4y
    @user-ks3gf7zn4y 6 місяців тому

    Jamani toka nimsikie dida. Nilikuwa shule

    • @giztony2009
      @giztony2009 6 місяців тому

      Yani tokea nipo shule ya msingi anaitwa dina wa mchopanga