🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ZUBEDA SEHEMU YA 5 - MARCH 1
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- 🔴# LIVE: RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ZUBEDA SEHEMU YA 5 - MARCH 1
#jioniyaleo #Live #Efmtanzania #Highlights
/ @efmtanzania
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9 Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
efmtanzania
TWITTER:
efmtanzania
FACEBOOK:
efmtanzania
Vero simulizi zako tamu,huku KENYA nakupata vizuri
Yaan nakupenda sana aunt napata mafunzo kupitia simulizi
Pamoja sana dada
Da vero mbna arusha hampatikani
Leo kulikoni hapo studio, ila polen najua mambo yatakaa vizur soon, Be Blessed
Wanaume wanavituko sana nn hiki sasa 😢😢😢 inakera mpaka dada wa kaz
Tupo pamoja sister
Yan leo inakatakata kweli hatusikii vzur kabisa da vero
Nimempenda rafikiake zuu
Habari za majukumu dada Veronica,.:! Sasa mbona mmebadili mfumo wa simulizi? Wengine kwenda *live* ni changamoto so tukitaka kupata episodes za nyuma hatuzioni.. au ndo kila kitu mmebadili?
Da vero arusha hupatikani
Aunt Vero naendelea kukusillkiliza
Leo. Hatukusikia vizuri inakata kata sana vero
Wifi mtu na mke mwenza awa wafanyakazi wakike mungu ana waona
HASANTEE
Mmmmh pole zubeda
Leo mmeboa studio, sauti haipo Sawa.
nakupend san sister ang
Habari dada veronika ivi mkoa wa mtwara wilaya ya masasi munapatikana namba gani maana nimeama mkoa
Vero kuna shida na internet
Si tunakupendasana da Vero jamani ila Leo ina kata kata sana
Pole San dada zubeda hao ndiyo ma wifi Kama chawa vile Wana roho mbaya sn🤔
Ila nae zubeda alikuwa mbeya sio kila K2 lazima ufatiliy hapo utaishi Kwa Amani ila. Ukiwa unafatiliya kila K2 utaishi Kwa wasiwasi haswa ukiwa na wafanyakazi
Plz rekebisha mitambo
😢😢
Subra kutoka kurdistan lraq da veronica mbona ivyo Leo yaaani sijui kwangutuu mtandao haupo sawa kbs kutetemeka nakuganda gandatuu ila da zuu ndowa yake ishaingia jini kisilani apo mmmmh adi uluma😢 na meanza kujifunza apo kwa wifi na uyo mdd wakz aisee mm nikipata ndowa sitokuwa nadd wakz😂😂sitaki kuibiwa mume 😅
Yaani wanakuwa hawawezi kujificha wakianza kuchepuka lazima utamjua tuu na wao ndo chanzo cha matatizo kwenye ndoa.
Jamn arusha atuwapati
Huo ugonjwa hautaki ukae nyumbani kwako, pia hausikiki vizuri da vero
Wifi sio shogaako,chunga sana
Eeh!Sinaga uvumilivu wa kujinga kama huo
Pole zuu wifi ameletashinda kwenye ndoayako
☎️☎️
Leo haisiki kabisa
Hapo ndio wanaume tunapofel kabisa kubadilika mpka mke awe na hofu
Mwanaume akichepuka lazma akamatwe yani tabia lazma abadilike, mwanamke huwezi kumjua hata
Umeon eeh😅😅😅
Nyinyi ndo mapema kuwahisi kabisaah
Jamani dada Vero umedamshi na Mungu amekubariki sauti
Chezea mawifi ww na hao watakuwa niwasukuma😅
Pumbavu wasukuma wa mamayo
Sio kwanini uliuliza hivyooo
Yani wemwanamke nimpekepekeee sanaaaa yani utasema nesi wa wamahabala wacha uwendelee kupigwa namatukio mpaka presha ije ukuondowe uhai wako uwache wanao wakiteseka😮😮😮😮😮😮😮😮
Mbn kama umepanic ndugu
@@annakbunga8377 😂😂😂😂😂😂Mwanamke mpekepeke sanaaa
😂😂