Makonda ni mtu na hathi yake ana uwezo wa kijasusi,mbona asingewakamata mara Moja na kuwashtaki hao watu nane?huko ni uwongo na kujitafutia umaarufutu,I repiet to say nothing else, it's just properganda and looking for comments.
Arusha tuwe makini kumwaga damu za watenda haki hizo damu huwa haziendi bure na tusiwe tayari kushirikiana na wauaji, kama una shamba la mtu lirudishe kwani muda wote unalimaga hujanunua lakwako?
Makonda kuwa makini na wanadamu, hata lisu alikuwa akijiamini hivo ila yalitokea ya kutokea, muamini mungu kwa kila jambo na atatenda, lakini pale panapo hitaji tahadhari, chukua tahadhari, usipuuze Dunia hii ni nzuri sana ila wanadunia hii si waziri hata kidogo Mtu yupo tayari kuondoa uhai wa mwenzake sababu ya pesa
Aondoke aende wapi? Hakuna mtu atakaye weza kumuua. Maadui za mtu mwenye haki ni maadui wa Mungu wakutane na upanga wa Mungu kwa Jina kuu la Yesu Kristo Àmina
Ndugu umeshapendeka kwa kazi nzuri unayoifanya . Habari hizi huwa hazitangazwi haraka kiusalama . Huu ni uwongo wa kutunga na kujihami ili isipotokea atambe kuwa nilisema haitatokea si mmeona ? Na huu unaweza kuwa wasiwasi . Habari kama hii inaweza kuwatia TAHARUKI wananchi waliopendezwa na UWAJIBIKAJI wako !!!
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kinga yake,na moyoni .mwake amemwacha bwana. Bwana.atakulinda utokako uingiapo tangu sasa milele hata milele.
Mh makonda baba piga kazi kazi Mh makonda cku zote kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji kwahiyo sisi Tunakuombea dua kwa mwenyezi mungu muumba wa mbingu na aridhi akulinde na akujalie afya njema Inshaallah amin
Mtu akiwa mtetezi kwako bado una maneno ya kale watu. Wasiojulikana,hivi hujifunzi kutoka kwa hao kina lema,na wenzake umesikia wanatia neno,maana tunataka tutapochukua nchi toka ccm,,tunatarajia wawe hivyo
Mkuu huyo alietoa hizo taarifa ahojiwe kazipata wapi ili hao watu 8 wakamatwe haraka sana iwezekanavyo
Makonda ni mtu na hathi yake ana uwezo wa kijasusi,mbona asingewakamata mara Moja na kuwashtaki hao watu nane?huko ni uwongo na kujitafutia umaarufutu,I repiet to say nothing else, it's just properganda and looking for comments.
Baba Mungu yupo anaechimba kaburi kwa ajili yako atadumbukia mwenyew
Aminaaaa
😭😭😭😭
Muamini mungu Ufi Kwa uwezo wa Allah mpaka yeye apende Allah ana kurinda Kila mtu utakayo piga kazi iendelee 🇹🇿
Sasa mnamtukania nini?kama hutaki kutoa Coment si basi,.kweli ubinadam kazi hataufanye nini ni bure
Piga kazi makonda usiogope MUNGU yupo na wewe malaika wa mbingu wakufunike makonda
Arusha tuwe makini kumwaga damu za watenda haki hizo damu huwa haziendi bure na tusiwe tayari kushirikiana na wauaji, kama una shamba la mtu lirudishe kwani muda wote unalimaga hujanunua lakwako?
Muongo wewe Acha kuweweseka kwa matendo yako mchafu sio muda utaanza kuongea peke yako Damu za watu sio mchezo mzee baba jasho lazima likutoke ni muda
na usiogope wala hufi we pambania haki mungu anakuona
Makoda Kwa uwezo wamungu chapakazi naipo siku utakuwa raisi wahili taifa na utakuwa mkombozi watanzania
usiache mlango wazi kwakua mungu anakulimda ndugu sawa kwakua mungu anakulinda amekupa na akili yakujilinda
Mwenyenzi mungu yupo kwaajili yako
Makonda kuwa makini na wanadamu, hata lisu alikuwa akijiamini hivo ila yalitokea ya kutokea, muamini mungu kwa kila jambo na atatenda, lakini pale panapo hitaji tahadhari, chukua tahadhari, usipuuze
Dunia hii ni nzuri sana ila wanadunia hii si waziri hata kidogo
Mtu yupo tayari kuondoa uhai wa mwenzake sababu ya pesa
Huna haya.
Yaani unamtaja Lisu kwenye hii story
Hutakufa bali utaishi kwa jina la yesu kristo
Kama hujawahi kuua hutauawa kamwe,Mungu tu ndiye alipaye kisasi wala haachi.
MAKONDA, KWELI WATAKUA HAO UMEWAZUIYA KULA NA KUIBA PESA ZA UMAA FANYA UNDOKE UNA MADUI WENGI SANA
Aondoke aende wapi?
Hakuna mtu atakaye weza kumuua. Maadui za mtu mwenye haki ni maadui wa Mungu wakutane na upanga wa Mungu kwa Jina kuu la Yesu Kristo Àmina
Ndugu umeshapendeka kwa kazi nzuri unayoifanya . Habari hizi huwa hazitangazwi haraka kiusalama . Huu ni uwongo wa kutunga na kujihami ili isipotokea atambe kuwa nilisema haitatokea si mmeona ? Na huu unaweza kuwa wasiwasi . Habari kama hii inaweza kuwatia TAHARUKI wananchi waliopendezwa na UWAJIBIKAJI wako !!!
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kinga yake,na moyoni .mwake amemwacha bwana. Bwana.atakulinda utokako uingiapo tangu sasa milele hata milele.
Uyu jamaa n muongo San
Piga kazi mzee wakijaribu kukuua ongezea speed iliwachanganyikiwe kabsa.
Jamani hamani alimuweka modekae atundikwe badala yake akatundikwa yeye mwenyewe hatari sana
Makoda piga kazi mungu anakilida
Mbane raia mwema awataje hao watu nane wakamatwe
Pambana makonda,Viva mkuu wa mikoa yote Tanzania
Mikoa yote ipi mbona kila mmoja amepewa hadidu zake za rejea kwani kuna kuingiliana?
Tunaimani na Makonda, Makonda okoa Watanzania zuluma imezidi,
Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga.
Hufi bw wewe ni kibosile, mbona we ndoo walewale!
Jiangalie ndugu utajikuta kwenye ushahidi unahusika nawaza tu
@@Mtabirwatv9327ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga
Acha misifa ya kihuni wakuuwe kwa wema wako upe Jaladio weeee
Acha uongo
anatafuta kiki huyo Hana lolote.
Kama hujau sawa ila kama aliuwa damu zinamnukia, ukiuwa kwa upanga utauwawa kwa upanga
Mh makonda baba piga kazi kazi Mh makonda cku zote kelele za chura hazimnyimi tembo kunywa maji kwahiyo sisi Tunakuombea dua kwa mwenyezi mungu muumba wa mbingu na aridhi akulinde na akujalie afya njema Inshaallah amin
Nothing else,huko ni uwongo,unatafuta kiki wewe uuliwe una Nini?na wewe ni Mmoja wa watu wasiojulikana Tanzania?
Chuki haifichiki kaka pole sana 😂😂
Wewe ni mtu mwenye akili nzuri
Unajulikana wewe baba yoyoo
Mtu akiwa mtetezi kwako bado una maneno ya kale watu. Wasiojulikana,hivi hujifunzi kutoka kwa hao kina lema,na wenzake umesikia wanatia neno,maana tunataka tutapochukua nchi toka ccm,,tunatarajia wawe hivyo
Chunga sana ulimi wako ndugu
Mjinga huyo nani amuwinde, acha kutafuta kiki!
Mshamba anajificha kuficha uovu wake