GIGY MONEY KAKIRI KUWA ALIZALIWA CHOONI | JACQUELINE WOLPER ATUBU KANISANI MBELE YA MCHUNGAJI
Вставка
- Опубліковано 19 сер 2023
- GIGY MONEY KAKIRI KUWA ALIZALIWA CHOONI | JACQUELINE WOLPER ATUBU KANISANI MBELE YA MCHUNGAJI
Fuatilia matukio yote ya Burudani hapa kwenye channel hii; AVmediatz kisha Subscribe, Like, Comment na Share video hii popote.
Habari za Burudani, Interviews za moto na matukio yote makubwa ya kila siku unayapata hapa! Subscribe sasa.
Instagram: avmediatz
Facebook: web. AVmediaTZ
Twitter: AVmediaTZ
TikTok: www.tiktok.com/@avmediatz
Website: www.avmediatz.com/ - Розваги
Nimelia mimi jamani . Mungu wetu ni wetu sote..❤❤
God Anatupokea Tulivyo,na kwa hali yoyote, Grace of God❤
Mungu alisema njooni wote mliolemewa na mizigo atatutua Yesu awaonekanie gigy n jackline
Nakupenda Bure dada
Basi mama usilie❤❤❤❤❤
My Gigy ❤, l'm praying that God to give u ease, new possibilities in every sphere of life😊
Gigy money nakupenda sana ❤️ huwaujifichi unasema kweli
Alafu wakina Zawadi sijui tuna matatizo gali kila Zawadi kuna kitu kapitia jamani pole sana
Mungu akutunze ❤❤
Amen
Gigy umekuja kwa Mungu sio na ulivovaa mungu wako atakuona mara moja wachungaji muna rahaaa
Kw kweli Mungu Mkubwa
Huyu nabii kanyoa denge yupo sawa na mtu wa kidunia hana tofauti na wakina jux
Haya mmeshaanza ulitaka anyoe upara?
Jesus..
Uyu jamaa malisa si mtoto wa Mama lusy uyu 😢 haki tena uyu jamaa wa Ilandutwa uyu namfaham mpaka bibiake kama kweli Mungu anamtumia Amsaidie kukemea dhambi izi vituko zisiwe kwaajili ya kutrend iwe ni ya utukufu wa Mungu
😂😂😂😂😂Gigi nikiki ahahahhaahah
MUNGU AWAPE maixha marefuu gigy money and wolpe
Ubungo riverside barabara yakwenda jeshini
Makan8sa ya siku hizi
tumejiuliza pamoja😢😢
starehe tupu wachungaji wanafaidi
Kanifanya nitoe machozi tu
Nakupenda gigy pole nahongera
Ilo kanisa lipo maeneo gani
MUNGU ni mwema jamani
Nimepemda imani yako dagg
Mnamchezea mungu Huna heshima gigiy
hahahaaaaa sio peke yake hata yule mtumishi sijui dada nguo yake kiufupi dini hii inamaajabu ya kweli kuliko ya kibaniani
nguo sio matendo ataukivaanguo ndefu alafu ukawa unatenda dhambi je tofauti niipi apo ulisikia nan kasema mbinguni wataenda wenye nguo ndefu wevipi moyo safi ndio unao takiwa
@@janethmgimba3084 hahahaaaa kwenda uchi ni laana musifanye kila kitu kukirahisisha
@@janethmgimba3084Kama mtu hasomi biblia ndiyo shida inapoanza wakati mungu mwenyewe alisema watu wavae mavazi ya kujisitiri
unacho sema sahihi tume ambiwa tujisitiri mwili lakin wakati huo moyo wako uwe umestirika kabla kwakutenda matendo mema na gigy ye nmtu wamitandao hvo kama akiamua kuokoka taratibu mungu atamubadilisha so kanisan wanaitwa wenye zambi iliwatubu sio wasafi kwakua hao tayari walisha mjua mungu
Nimeumia sana ujue binadam atakama angekuwa chizi sikana kwamba ana mungu ndani yake mungu akubaliki apo ulipo yeye yupo nawatesi wako kalibu kulikounavyo omba
Hamna lolote hapo ni ujanja tu. Hawa washavuta mtonyo wao kuwapumbaza wajinga ili kanisa lijipatie wingi wa watu kuja kutoa sadaka na fungu la kumi.
Acha kuukumu watu ata kama unafanya thambi kiasi gani lakini ukijua kua mungu Yuko nawew unafunguliwa unajikuta umeshaacha
Ndo maana unaakili Fyatu kumbe ulizaliwa chooni
Hayo siyo maneno ya kumtamkia mwanadamu mwenzio,kama mkristo safi unatakiwa kumuombea kwa Mungu ambadilishe,hakuna anayetamani azaliwe maeneo yenye sifa mbaya,hata sasa ukiambiwa eneo ulilozaliwa kina sifa mbaya huwezi thubutu kukiri kuwa na wewe ulizaliwa hapo,so anastahili pongezi kwa kukiri kwake though its very painful
Msimhukumu hakupenda kuzaliwa hivyo
Duh
Nakuombea roho wa Mungu akupe hekima na busara
Yan unajina la malaika na unaongea upuuzi kwel
Nakupenda Bure dada