Magufuli akemea vikali kilichofanyika Dar | Aagiza uchunguzi | Atoa onyo mitandaoni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

КОМЕНТАРІ • 93

  • @juliusmangombela4396
    @juliusmangombela4396 4 роки тому +2

    Powerful speech

  • @seifmohammedy8791
    @seifmohammedy8791 4 роки тому +3

    Kikubwa ni Ibada na maombi hakika kila jambo linakua na mwisho wake, Mwenyez Mungu atuepushie na hili janga, Rais wangu piga kaz mzee baba. Mungu akutangulie kwa kila jambo.

  • @benedictohoyanga3526
    @benedictohoyanga3526 4 роки тому +2

    Vizur sana, mh. Jpm uhakika kwa nchi yetu

  • @chumamihambo8060
    @chumamihambo8060 4 роки тому

    Hongera mkuu

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 4 роки тому +16

    Tunaye Rais asiyefanya maamuzi kwa mkumbo!! Sbb kama angesikiliza kelele za watu oooooh tungeharibu nchi yetu. Hongera Rais wetu

  • @mariammtalli1683
    @mariammtalli1683 4 роки тому +1

    Mungu akiwa ndani ya kiongozi kama alivyo Rais Magufuli.Tutashinda

  • @einotsolomon9945
    @einotsolomon9945 4 роки тому +7

    Magufuli hakika wewe ni jembe Raisi wangu.nakupenda haswaaaa.kura yangu lazima.piga kazi baba wasikuletee upumbavu na nchi yako.Fanya kilicho bora kwa watu wako na sio kufuata mkombo.

  • @justinesylivester2833
    @justinesylivester2833 4 роки тому +2

    mungu nakshkru kwa k2pa jpm maana kama kungefanyika lock down tungekfa na v2 vingne sio corona tna

  • @starvennja2480
    @starvennja2480 4 роки тому +3

    very nice our president

  • @latifalatifa4298
    @latifalatifa4298 4 роки тому

    Nakupenda saana rais wangu unatumia akili yako sio mawazo ya watu mapimbi wasio ipenda Tanzania mungu akulinde kwa nguvu zake kwani yeye ndio tegemeo letu

  • @qualitymoran6660
    @qualitymoran6660 4 роки тому +5

    Mwanangu magu we kausha hapohapo miaka kama buku labda ufe ila ww ndo The Rock of Tanzania nakubali mwamba unajua ila wanaokubeza shauri yao wakanye mbele huko hapa ni Magufire tu konkiiii

  • @miltonsante4767
    @miltonsante4767 4 роки тому +1

    Uko sawa kiongoz wetu ,tunakivunia JPM

  • @abuuyaasiriibrahimkyone.2911
    @abuuyaasiriibrahimkyone.2911 4 роки тому +1

    Yaani mzee unaongea mambo mazuri kweli mzee, yataeleweka kwa wenye akili tu.

  • @waltergasper9343
    @waltergasper9343 4 роки тому +1

    rais wetu sio rais kukuelewa kwa wasioelewa bali waelewa ndowatakakuelewa mimi nakuelewa sana mungu yuu nawee

  • @aizackanton767
    @aizackanton767 4 роки тому

    Hongeraa Babaa ubarikiwe na Bwana Mungu

  • @mpelienock
    @mpelienock 4 роки тому

    Hongera Magufuli nakupata uzuri sana, kirusi cha corona kimeundwa na vitu vitatu, ( protein, lipids na RNA) unaweza kuki disintegrate kwa alcohol ama joto na sabuni. Big up Sir.

  • @agncdebrown6225
    @agncdebrown6225 4 роки тому +1

    Raisi uko sawa

  • @nousmudyigi7727
    @nousmudyigi7727 4 роки тому

    Yaani jamani Mungu akulinde milele ,Aise sijajuta kuwa timu Magufuli nikiwa chuoni mwaka 2015 , Mungu akuongezee kibari my Mr president. I m with you forever.

  • @mwanshageorge2983
    @mwanshageorge2983 4 роки тому +1

    Amaaa kwelii

  • @marthamallya9155
    @marthamallya9155 4 роки тому +2

    .nikwamba asilimia ya wantanzania wengi niwakipato chachini tukifungiwa tutakunini?

  • @khabibumussa5663
    @khabibumussa5663 4 роки тому +1

    Aseeeee

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 4 роки тому +10

    Magufuri sio POMBE NI JEMBE BABA ISHI MIAKA MIA

  • @mwanzasamuel8382
    @mwanzasamuel8382 4 роки тому +3

    Sasa huyu ni raisi mjuaji hata kuliko madaktari wenyewe. Msisahau ni mwalimu wa kemia tu na huo ujuaji wote. Ughaibuni wanafumigate kupunguza makali ya covid sasa na ukaidi wake ashajifanya mwerevu kuliko madkt. Basi wao walisoma ya nini kama unawasuta kwa taaluma zao. Halfu nyinyi mnamsifu tu. Mashallah!

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 4 роки тому

      Wewe fala. Yeye anafanya reasoning ndio anaongea anapenda kuumiza kichwa. Kawaza huko walio fanya ndio idadi na vifo vimezidi Sasa Ni yanini?huko wamefanya Kama kujaribu tu kuona kama itasaidia sio lazima tugeze. Nasisi tujaribu na kuamini mawazo na fikra zetu. Acha kua zwazwa. Kama hujui mbagara baada ya kupuliza watu mapafu yameanza kuwabana,kukohoa na kuhisi kuishiwa pumzi. Mimi shemeji yangu leo katoka hospitali na kasema Kuna watu watano hawako vizuri Ni baada ya hiyo dawa.

    • @alisenipeter4307
      @alisenipeter4307 4 роки тому

      Mwwnza wewe pimbi tu acha uboya utakua nawe ni mmoja wapo wa wapigaji mbwa wewe

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 4 роки тому +2

    mmmmmh wazir umi sijui

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 роки тому

      Yani kabla ya corona kuisha washatumbuliwa wengi wetusubiri

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 4 роки тому +3

    Mungu akuweke uzidi kuisaidia nchi yetu na bara la Africa na wanyonge wote duniani.

  • @yahyaally364ally2
    @yahyaally364ally2 4 роки тому +1

    Never and will never

  • @officiallydommy7055
    @officiallydommy7055 4 роки тому +2

    Hongera Sana mh. Rais wa jamuhuri ya muhungano wa Tanzania kwa kukemea ujinga na upumbavu wa mitando ya kijamii maana baadhi ya watumiaji wanatumia vibaya mitandao yao Eeeeh. Mwenyezi Mungu ibariki nchi yetu na janga hili la covid_19

    • @phortunatusngassa5195
      @phortunatusngassa5195 4 роки тому

      Tena mh.rais amesisitiza sana kuhusu njia asilia za kujikinga na kutibu viroba. Pongezi kwake tuyatende yote tuliyoaswa na mkuu wetu. Huu sio wakati wa kupiga siasa tuungane wote kupambana na COVID 19.

    • @melaniakilima180
      @melaniakilima180 4 роки тому

      Hongera baba, nimeipenda hiyo ya kuchunguza barakoa za kutoka ughaibuni maana hao wenzetu wanaweza kutuletea zenye Corona ili tuumwe wao wachimbe madini yetu.

  • @ngomagipaul7011
    @ngomagipaul7011 4 роки тому

    Rais tunakushukuru nenda zaidi..

  • @aminibachchan8667
    @aminibachchan8667 4 роки тому +4

    Sasa kama kirusi huuliwa kwa kuyeyushwa kwanini viongozi wasifikirie jinsi ya kuchakata dawa hiyo kuyeyusha kirusi hicho?

    • @aloyceiluminata3650
      @aloyceiluminata3650 4 роки тому +1

      Dawa gani inaweza kuyeyusha kirusi mzee....usi comment tu.umeambiwa kirusi Ni kma mafuta kinakuwa broked tu cyo kuyeyushwa

    • @maxsonkavishe4847
      @maxsonkavishe4847 4 роки тому

      Kirusi hakifi rafiki

  • @denolofty3481
    @denolofty3481 4 роки тому +2

    Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa. Hekima ni bora kuliko fedha na dhahabu

  • @williamjacob7746
    @williamjacob7746 4 роки тому +1

    Ubarikiwe mheshimiwa

  • @alikarisa
    @alikarisa 4 роки тому

    Kama Marais wote Africa wangelikuwa na mawazo sawa na Magufuri. Africa wote tusingeli kuwa maskini. World Bank badala ya kutukopesha hela ni watusamehe madeni. Lakini world Bank watamani kukaa wakitudai ndoo waendelee Kula lasilimali zetu kilahisi.

  • @ghalibmdada3
    @ghalibmdada3 4 роки тому +2

    Mweheshimawa naomba jibu ndizi inasaidia Nini taifa tusifanye mchezo kwa hiyo jirani Kenya wameweka look down ndiyo inawasaidia hapa hatuma msaada kabisa hali ni mbaya sana

    • @samkekulema3493
      @samkekulema3493 4 роки тому

      Ghalib Mdada Nadhan lockdown ingefanyika Dar mapema kabla ugonjwa aujaingia mikoani, na lockdowns sio kwenye mizigo, zaidi ni kwenye biashara ya abiria, mabus ya abiria yangezuiliwa kuingia na kutoka Dar.

    • @sarhatabdala7861
      @sarhatabdala7861 4 роки тому

      siowakati walawama.saiz tujiombee tatizo liishe watanzania tunakwama.WAP unazani kwa hali tulionayo nchni kwetyu mipaka
      Ifungwe utakufanjaa kabla yakolona.baba
      Anajielewa wew
      Acha masiala walofunga wanajiweza usijifananishe.we
      Aliako.na ali.ya wenzio tupunguze kauli chafu

  • @vicentflavour9992
    @vicentflavour9992 4 роки тому +1

    Magufuli Baba Lao heeeeee , Kura yangu nakupa Mzee wangu

  • @nyamkazihealingvalleychurc9559
    @nyamkazihealingvalleychurc9559 4 роки тому +1

    Uko sawa

  • @petronchalangi1033
    @petronchalangi1033 4 роки тому +2

    Umenena mkuu

  • @matogoelias1046
    @matogoelias1046 4 роки тому +2

    Ni kweli mkuu,

  • @jumannemikinwa3599
    @jumannemikinwa3599 4 роки тому

    Dar ingefungwa Mh.Rais kuhusu kusafirisha bidhaa hilo halina tatzo litaendelea tu

  • @kiboshokibosho4545
    @kiboshokibosho4545 4 роки тому

    Tenganisha idadi ya waliopona na waliolazwa semeni wamekufa kadhaa wamepona kathaa walio na ugonjwa ni kadhaa

  • @majaliwayusuph6083
    @majaliwayusuph6083 4 роки тому

    Jesus help us

  • @humphreyndale9430
    @humphreyndale9430 4 роки тому +1

    Ni kweli Rais Magufuli anastahili pongezi. Haongozi nchi kwa kufuata mkumbo. Tupige kazi

  • @jumamisayo3056
    @jumamisayo3056 4 роки тому

    Rais wetu nampa ongela kwamsimamo naweza kumfananisha kama nyelele namuombea Rais wetu aendelee namoyo waivy

  • @ghalibmdada3
    @ghalibmdada3 4 роки тому

    Barakowa yenyewe shida za kusafisha Kama kweli TAIFA ingetowa masks bure ni ombi Kama tumeamua kuomba TAIFA

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 роки тому +4

    Ni ujimga wa Bashite kutunyumyizia maambukizi ya corona Jijini Dar es Salaam. Tunakufa kama kumbi.

    • @hassanmainya8768
      @hassanmainya8768 4 роки тому

      ongera rais wetu makufuli wew ni jembe walikebishe hao wanaongea tarifa za uongo

  • @SKILLS360TV
    @SKILLS360TV 4 роки тому +1

    Rais namkubali sana Mimi huyu anaangalia wanyonge tutaishije

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 4 роки тому

    Mwekwambieni mr magufuli nitafutee. Nitafuteni nikusaidieni chakufanyaa nipe nambari zenu za watsup.

    • @mohamedbakari
      @mohamedbakari 4 роки тому

      Msaada gani mzee baba unaotaka kuutoa...?

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 4 роки тому

      @@mohamedbakari hata mawazo yazidi dhahabu na fedha. Na elimu isambazwe kwa wingi watumie wazima na wagojwa. Nidawa asili. Na kuhusisha njia mbadala ya kuondoka maradhi ingawa nimetuma baadhi ya watsup naamini imesaidia maana hata magazeti na watibabu asili niliwatumia wengi na naona u-tube wanazielekeza kwawingi sasa. Sihaba hatua imepigwa ila bado sijaridhika kidogo tu hilo ni la serikali. Yaani uwamuzi wakusaidia na serikali isiwe inalawama lolote. Tz mkuu ni Mr Magufuli. Hata mtumishi wake iwe atafikisha ujumbe atanifaa. Maana hakuna anoamrikubwa kwasasa ni yeye tu kwa tz. Nia yangu tz yasisambae tu na hata kama hatamfungia mtu ndani.

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 4 роки тому

    Ndio maana kunafaida ya kwenda darasani.

  • @alibomba3304
    @alibomba3304 4 роки тому

    MUNGU AKUSIMAME RAIS. MAANA UPO KATIKA KUCHANGIA WAZO ZURI SAANA SIO KUONGEZA DENI JUU YA DENI MUNGU AKUONGOZE KATIMA MAISHA YAKO

  • @oleiei434
    @oleiei434 4 роки тому +1

    Magufuli, please cough in your sleeves not in your hands!

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 4 роки тому +1

    Makonda, Ummy Mwalimu, Rostam na watendaji wengine, kwa maneno ya haya itabidi mujitathimini

  • @williamjacob7746
    @williamjacob7746 4 роки тому

    Loba akubariki

  • @maxsonkavishe4847
    @maxsonkavishe4847 4 роки тому +2

    Acha tuone muvi inaishaje

  • @maulevo6250
    @maulevo6250 4 роки тому +3

    Rudi dar umekimbia nn?

    • @vicentflavour9992
      @vicentflavour9992 4 роки тому +2

      Kaenda kusalimia wazazi

    • @williamjacob7746
      @williamjacob7746 4 роки тому

      Tumia akili umesikia wap rais kakimbia au tukuchukulie hatua

    • @albs1448
      @albs1448 4 роки тому +1

      @@williamjacob7746 wewe ndio utumie akili, he is running for sure na anakohoa kwenye mkono, hata hajui jinsi ya kukooa, smh

    • @maulevo6250
      @maulevo6250 4 роки тому

      Ndio maana hujawa

    • @maulevo6250
      @maulevo6250 4 роки тому

      @@williamjacob7746 anzakujichukulia ww maana unashoboka

  • @nasonkefamayombe451
    @nasonkefamayombe451 4 роки тому

    Mimi na mashaka makubwa uamuzi unaotolewa na watendaji wa aina hii,nakupongeza xana kwa kuwa macho na umakini ktk uongozi wako wa Taifa hili lenye watu karibu million 60!! mungu akupe nguvu zaidi!!

    • @zeinabaliali11
      @zeinabaliali11 4 роки тому

      M.mungu akulinde

    • @zeinabaliali11
      @zeinabaliali11 4 роки тому

      Raia makufuli anawatendea mema watanzania ahsante Kwa kazi mzuri unayo ifanya .

    • @zeinabaliali11
      @zeinabaliali11 4 роки тому

      Rais wetu wa tz j.p.m.m.mungu akupe ujasiri WA kuamuwa Jambo linalowafurahisha watanzania.m.mungu akujaalie afya njema na umri mrefu ameen

  • @mahamoudabas8555
    @mahamoudabas8555 4 роки тому

    WHO wametoa riport kwamba Tanzania imechelewa kuchukua tahadhari dhidi ya kupambana na Covid19 na hiyo ndio sababu ya idadi ya maambukizi kupanda nchi Tanzania. Mpaka sasa walio ambukizwa wanakaribia watu 300.

    • @eliarichard9218
      @eliarichard9218 4 роки тому +1

      Sunche Kapeto msemaji wetu waliyo pona wangapi ktk hiyo hesu yako

    • @mahamoudabas8555
      @mahamoudabas8555 4 роки тому +1

      Wangap wamekufa hawajatangazwa? Juzi tumezika mmoja dar, hajatangazwa maana hata hospital mwil haujafika. Mnaleta utani, mimi sina chama. Chama changu ni Mungu baba wa mbinguni YEHOVA! Msilete ushabik wa vyama ama kudandia mambo wakat hamfahamu hii nchi inapelekwa vipi, na watu wanakula vipi ama kuiba vipi. Hakuna atakae kuletea maisha mazur zaid ya ww mwenyewe kupambana, ila viongoz lazima wakosolewe. Rais hakutengenezee maisha yeye amekua Yesu? Kila mtu anatengeneza yake, ccm ndi walewale wa miaka yote chukua chako mapema.

    • @babuufrancis7886
      @babuufrancis7886 4 роки тому

      Tuna kuombea

  • @flametreegroup1795
    @flametreegroup1795 4 роки тому

    Ukaidi wa Magufuli