MZEE MWENDA: ANAYESEMA CHAMA KAZEEKA ANA KANSA YA UBONGO/ MO DEWJI ANATUONAJE SISI?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лип 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 102

  • @mwamvuarashid290
    @mwamvuarashid290 Місяць тому +11

    Huyu teacher mwenda huwa namwelewa sana Simba mnafeli wapi watu Kama Hawa walitakiwa ktk kamati ili kuwashauri

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Місяць тому +12

    ❤nimekuelewA mzee mwenda

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 Місяць тому +4

    Mzee mwenda unaujua mpira vizuri

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf Місяць тому +5

    kk mwenda nisameeeee naumia mm natamani kujitoa roho hv chama wapi ubovu wake katusaidia mangapi au siasa ya mpira wetu

  • @hafidhkikocho9161
    @hafidhkikocho9161 Місяць тому +3

    mzee baba nimekuelewa sana

  • @user-sm6mq1du3c
    @user-sm6mq1du3c Місяць тому +4

    Dah mzee wang nakuelewa

  • @edinamwanasenga1584
    @edinamwanasenga1584 17 днів тому

    Mwenda yupo nvizur sanaa wampe usemaji simba❤❤❤❤

  • @nurdinngalo-hj1ow
    @nurdinngalo-hj1ow Місяць тому +3

    Kaongea point sana simba wana tajiri ila tajiri wao ni janja janja

  • @imanishabani37
    @imanishabani37 22 дні тому

    Mzee mwenda Nomaaa sanaaa

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela Місяць тому

    Mzee mwenda nakuelewaga Sana Mzee wangu hongera

  • @user-oz4gz8kq9e
    @user-oz4gz8kq9e Місяць тому +4

    Mwenda uko vizuri sio kama hao mshabiki wengine matako wa Simba wasio na akili Chama kaisadia Simba robo fainali klabu bingwa mara zote.

    • @MussaHajikimwaga
      @MussaHajikimwaga Місяць тому

      we msenge acha kututukana sawa mpuuzi tatizo la mwenda ni mtu flan anayejiona ni Bora kuliko wengine kwanza siyo mchambuzi naona amekuwa maarufu Kwa kuitwa kwenye hizo midia bas anaongea vitu hata havieleweki

  • @imanishabani37
    @imanishabani37 22 дні тому

    Kocha Mwenda Kiukweli Wewe unaongea vzr sanaa kwenye masuala ya mpira kuna watu wanakubeza lakin huo ni ukweli

  • @charlesmkisi8052
    @charlesmkisi8052 Місяць тому

    Mzeee mwenda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf Місяць тому +2

    upo vzr mwenda

  • @yummaskitchen6167
    @yummaskitchen6167 Місяць тому +1

    Mwenda unaongea fact Sana

  • @HenryMnungu-kj2hr
    @HenryMnungu-kj2hr 29 днів тому +1

    Huyu mwenda kumbe ni mwendawazimu Kwa kirefu... Mara zote alikuwa akimponda chama.... Leo amekua mzuri...

  • @elgringo8592
    @elgringo8592 Місяць тому +2

    Kweli mzee mwenda ukoo wa fisi ule😅😅

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 12 днів тому

    Jamaa ana hasira sana huyu! Anaweza kumtafuna mtu akijichanganya.

  • @obedyjohn5350
    @obedyjohn5350 Місяць тому

    Mzee baba wew unajua uongo dhambi

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Місяць тому +1

    Kweli wew mzee choko kweli hata wew ulisema chama mzee kwani chama sio mzee ana miaka 26 au miaka selasini na mbili chama mzee Tena chiba

  • @briantafari9224
    @briantafari9224 28 днів тому

    Mzee Mwenda wapashe...

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e Місяць тому

    Nakuelewa kamanda mwenda

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 26 днів тому

    Njaa mbaya Sana... Unaweza kumpika supu mwanao wa kumzaa

  • @DidasiJuma
    @DidasiJuma Місяць тому

    Huyu mzee Mwenda ni hazina ya Taifa, nchi yetu imejawa na waongowaongo wengi,ila mzee kanyooka

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 Місяць тому +2

    Tz,80% wanasema Uongo

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g Місяць тому +1

    Wewe mwenda mnafiki Sana ulimkataa Chama lkn leo umebadilika kumbe wewe uongo kweli

  • @Sukuma_Tv
    @Sukuma_Tv Місяць тому +12

    Mzee Mwenda unaongea ukweli mtupu mzee wangu

  • @godsonrwegasira4414
    @godsonrwegasira4414 23 дні тому

    Eti ni kajanja kajanja hakajawahi futurisha😂😂

  • @hafidhkikocho9161
    @hafidhkikocho9161 Місяць тому +3

    mzee unaujua mpira

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m 22 дні тому

    Mwenda chama hana ufalme wowote no power

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Місяць тому +1

    Weeeeengiii makorooo wanaumiaaa rohonii iraaaa wanajikazaaa chamaaa yureeee kwaa wenyee akiriii yaaa sokaaa 😅😅😅😅

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf Місяць тому

    sole kochi mwenda nisamee

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Місяць тому

    😂Yaani pale anapotamka "Kajanja Kajanja" badala ya Kanjanja Kanjanja'mi ndo Huwa enjoy sana😂😂😂

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf Місяць тому

    kwnn hushauri hayo mabwege kocha

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m 29 днів тому

    Unahishi kwa maneno tu ukimaliza ongea sema unatoa sh ngapi usaidie usajili maneno haya acaunt we mzee vp hatutaki32 plas

  • @HalimaIssa-pu4yt
    @HalimaIssa-pu4yt 21 день тому

    Hakika maneno kuntu

  • @NondoRamadhani
    @NondoRamadhani Місяць тому

    Mwenda nakukubali xana kea kuongea ukweli na kulichambua soka

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 29 днів тому +2

    wewe hawa jamaa OKWI aliposajili YANGA,walisema ana ukimwi ndiyo maana alikuwa hataki kwenda Ulaya na hii taarifa mimi aliongea kocha wao mwenye mdomo tulikuwa ofosi ya friends of simba ,so simba mapoyoyo tu halafu wana chuki na umbea.

  • @user-yf3tw7cq1s
    @user-yf3tw7cq1s Місяць тому

    huyu jamaaa mwenye madevu mnafiki Sana alishawahi kusema chama mungu wake ni mfupi Leo hii anaongea pumba

  • @allyrashid9191
    @allyrashid9191 Місяць тому

    We chizi sana

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Місяць тому

    Watu vigeugeu sana.

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Місяць тому

    Huu ni mpira sasa mlitaka MO afanyeje wakati chama anahogwa na injinia ili afanyevibaya ktk timu kwani mo alokuwapo, mambo hayo anayajua try ageni na mangungu, wakati wakina firi na baleke wanambiwa kuwachwa mo alikuwepo,? Leo hao wabovu wanarudi ktk timu zingine kwa mlango wa nyuma leo tunawaona kwani mo kafanya yeye?, walaumu miroho ya pesa wapewa madaraka

  • @simbamaduhu1600
    @simbamaduhu1600 29 днів тому

    Nyie ndo mna kansa ya ubongo

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd Місяць тому +1

    Ww mzee itakuwa unavinasaba vya kiutopolo.
    ww ndo ulikuwa unalala sana kuwa chama ni mzee aondoke sasa ameondoka unalala tena na kumuita alikuwa mfalme wa simba

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Місяць тому

    Unakuwa kama kila kitu unalalamika eleza vitu vizuri

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Місяць тому

    Huyu jamaa kuna vitu anaongea sawa ila huwezi kila wakati unaponda tu kila kitu

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Місяць тому

    Mashabi bora mnaongea😂

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Місяць тому

    Tumepigwa sana yanga wataleta kombe.

  • @KhalfanSeleman
    @KhalfanSeleman Місяць тому +1

    Tatizo huyu nae mnafki alikua anamsema vibaya chama kwamba chengayake moja sasaleo kageuka nenda na midevu yako muongo mkubwa

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Місяць тому

    Mzee Mwenda sisi sio wapumbavu mpumbavu mwenyewe

  • @H3s4d
    @H3s4d Місяць тому

    Wewe ni Simba. Au ni Nani?mwache aseme ukitaka mtu afanye. Vizuri usimsifie

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Місяць тому

    sauti za mamlaka izo..😊

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy Місяць тому

    Levo posho alikuwa hapat subilia utampenda

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Місяць тому

    Acha uchizi we mzee unachangia nn kwenye simba? Hata jezi huvai,kaa kimya

  • @leusissa3855
    @leusissa3855 29 днів тому

    Mwenda acha kuishi kwa kukariri klabu haiwezi kuishi kwa kumtegemea mchezaji mmoja na hasa km ni kirusi. Simba ipo miaka 88 iliyopita chama hakuwepo. Katulie acha viongozi wafanye kazi yao. Simba imepoteza ubingwa misimu mitatu mfululizo kwani chama alikuwa anacheza timu gan km co simba? Ww ni chawa tu hujui mpira unahitaji nn zaidi ya mizengwe MWENDA

  • @awalutibiita9650
    @awalutibiita9650 Місяць тому +1

    Wew so shabiki wa Simba wew ni mnafki akuna shabiki wa timu anaisema kwa maneno km hy ❌❌❌❌❌

    • @user-hn3oz7xu1z
      @user-hn3oz7xu1z Місяць тому +1

      Penda kusikia ukweli

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 Місяць тому +1

      @awalutibiita usiwe kama kina
      Kisugu
      Mzaramo
      Pass millions
      Kuisemea Simba vzr kwa kupewa posho na jez za bure atakama timu ni mbovu kosoa

  • @allyrashid9191
    @allyrashid9191 Місяць тому

    Huyu bwanake azizi kii kumbe mimba hiyo inakusumbua

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 Місяць тому

    Tatizo lako chuk yako na viongozi wa Simba ume ifanya iwe season mbona wenzio sasa ivi Wana maelewano acha shiriki bhana

  • @MashakaAthumaniAthumanimashaka
    @MashakaAthumaniAthumanimashaka 29 днів тому

    Unamwelewa
    Ww
    Huyu
    Alikuakiongozi
    Simba
    Alishindwa
    Mwanamichezo
    Nasimba
    Ililiwatimua
    Ndomaana
    Munagub
    Kambali
    N
    Ww
    Kulamilalamika
    Uwezo
    Wakuwashauri
    Unao
    Ww
    Namchome
    Wanabif
    Nanatajiri
    Asogezwe
    Karib
    Taftapesa
    Achannampira
    Maana
    Unahasira
    Simba
    Wala
    Siyako

  • @isayaluvanda8470
    @isayaluvanda8470 22 дні тому

    Nyie mnao msifia mwenda mbona hamjamliza kuwa wakati yupo simba alikuwa anamkata chama kuwa nimzee
    Reo yupo utoporo unamuona kama haja zeeka mtuana miaka
    35 unasema sio mzee kumbe
    Wewe nimamuluki nichawa

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o Місяць тому

    HUYU NI MSENGE YYE NDIO ALIKUWA WA KWANZA KUSEMA CHAMA AMESHA ZEEKA ADOKE LEO ANASEMA VINGINE ZEE HOVYOO

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Місяць тому

    Wewe umefanyia nini simbaaaaa?

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Місяць тому

    Ufalume wake ulikwisha kiyambo ndiyo maanaisimu mtatu hajasaidia timu.Kwanza wewe hujui mpira au hufatilii uwezo wake unakurupuka tu

  • @ibrahimjames1464
    @ibrahimjames1464 Місяць тому

    Mwenda huyu huyu kwa masikio yangu nilimsikia akidai simba wachezaji wote wafukuzwe wamechoka akiwemo na Chama. Leo amegeuka tena. Acheni timu itengenezwe. Kuondoka kwa mchezaji mmona haina maana timu imeharibika. Unachanganya wasioelewa mambo wewe mzee

  • @allyrashid9191
    @allyrashid9191 Місяць тому

    Chizi

  • @hajiseleman-un8so
    @hajiseleman-un8so 29 днів тому

    Sasa ww broo unaisaidia nini simba kama ww unauchungu kwanini usigombee uongozi alafu ufanye hayo unayo ya sema yani hawa hawana ponti

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Місяць тому

    Hili halijielewi ni njaa na wivi ajiulize SIMBA YA NGAPI RANK YA AFRIKA?

    • @musamagulu2023
      @musamagulu2023 Місяць тому +1

      Matako kweli wewe.
      Hivi wydad ni ya ngapi Africa?
      Je imefanya vizuri?

  • @user-bi9xu6ix2o
    @user-bi9xu6ix2o Місяць тому

    Hana hoja huyu atuache kidogo

  • @DaudLucas-qj3mp
    @DaudLucas-qj3mp Місяць тому

    Hata wewe unasema chama Kwa sasa nibola tunakuona hauna hakili.

  • @MussaHajikimwaga
    @MussaHajikimwaga Місяць тому +1

    we utopolo usituchanganye toka huko wewe siku zote unaizungumzia simba kwa hasi unatumia nguvu zako bure we mzee choko sana sijui unataka madaraka au ulinyimwa hizo siasa mpira pesa wewe unanini

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Місяць тому

    Ukiangalia usajili wetu simba wanasajili wachezaji ambao Hata timu zao ni ndogo tu

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 Місяць тому

    Kama weweninmshabiki wa chama neeeeenda kahamie utopolo mzee unagojaa nini

  • @user-mw6ym2vr9f
    @user-mw6ym2vr9f Місяць тому

    Kwahiyo yeye mwenda alitaka chama afie simba😢😢,au azekee simba😢😢 ,aache ujuaji sana

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 26 днів тому

    🚮🚮🚮.. Mashabiki maandazi

  • @LucyMdoe
    @LucyMdoe 21 день тому

    Kaka mwenda mtu na nusu

  • @ibrahimjames1464
    @ibrahimjames1464 Місяць тому

    Mwenda naye ni wale wale. Alikuwa anapiga kelele simba imejaza wazee leo tena kabadilika. Kwani yeye ni coach wa timu gani hapa Tanzania? Hata huko champions league sidhani kama ana timu. Acheni simba itengenezwe upya. Manachanganya watu tu hapa. Siasa tu huna lolote!

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 Місяць тому

    Mchaga huyu hajui boli kabisa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Місяць тому

    LAU SIMBA MUNGEJUA MO ANAVYOKERWA NA HIZO KERERE ZENU KWA MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MUNGENYAMAZA..HAO WAZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN MO KAWAWEKA YEYE...ALAFU ETI MANGUNGU KAGOMA KUJIUDHULU KAKWAMBIA NANI ? UJUE HUYO MZEE MANGUNGU NA TRY AGAIN NA MO LAO MOJA.. SIMBA AMNA JICHO LA TATU ?

  • @nurdiniabdillahi3558
    @nurdiniabdillahi3558 Місяць тому

    Wewe na kansa ya hakili

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Місяць тому

    Ronaldo aliondoka madrid akiwa anahitajika , mayele ameondoka yanga akiwa anahitajika, acha tuandae timu yetu bwege wewe ,si ungekuwa hata na timu hata ya daraja dogo tu wewe ,kila wakati hukubaliani na moo wakati wachezaji walikuwa hawajitumi akiwemo chama leo anamuacha unashangaa au unataka turudi nyuma .kaa pembeni muache moo afanye kazi wewe mwanakaizaya mpumbavu ni wewe

    • @yassinchuwa8824
      @yassinchuwa8824 Місяць тому

      Mbumbumbu

    • @user-bi9xu6ix2o
      @user-bi9xu6ix2o Місяць тому

      Chukua hii jiulize wachezaji wote duniani wakiona umri umekata huwa wanatafuta timu ndogo kwenda kupumzika Simba ni kubwa sana acha akapumzike huko,

  • @drankskhally7019
    @drankskhally7019 21 день тому

    Huna lolote ww

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy Місяць тому

    Haji nyie wajinga hampendi kuambiwa ukwel

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Місяць тому +1

    We mzee huna akili waache viongozi wa boleshe kikosi kama unataka nawewe nenda kujiunge na hao utopolo

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Місяць тому

    Hili jinga kweli kwaiyo misimu hii wewe umetoa nini?

  • @user-it7jz4fc6q
    @user-it7jz4fc6q Місяць тому

    Mwenda nakumbuka ulishawai kusema chama ameisha afukuzwe simba leo unalalamika

  • @sevelintino6181
    @sevelintino6181 Місяць тому

    Weee s ulisema chama kazeeka acha hizo mzee

    • @audaxkasindo9016
      @audaxkasindo9016 Місяць тому

      Mwenda ubongo wako aupo sawa unakumbuka wewe ulisha sema chama kazeeka kama umelipwa kuchafua Simba

  • @MotibaMashana-hv3tf
    @MotibaMashana-hv3tf Місяць тому +2

    mwenda ww zuzu mlikuwa mnaixhi na mgonjwa kwa taaluma yako ndo maana huna timu juzi tu ulituaminisha ujinga wako chama hawezienda yanga leo unajichoma dole gumba km juha kweli sisi mbumbu

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 Місяць тому +3

      Huwezi kumuelewa kama ulianza kupenda TIMU baadaye MPIRA kama wewe! Jifunzeni kukubali ukweli sio kupiga kelele tu wakati timu inazidi kupotea baadaye muanze kulalamika mkishika nafasi ya 5.

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 Місяць тому +1

      We mbwa tulia huna akili, mwache mwenda anajitambua

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w Місяць тому

      Sure​@@reinfridlipili5666

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w Місяць тому

      ​@avh😮itusmichael5 Hakika

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 Місяць тому

      Mwende hajawahi kusema kwamba Chama hataenda Yanga.

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 Місяць тому

    Mchaga huyu hajui boli kabisa