Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mm ni mkenya lkn nimewakubali watu wa Arusha good job sana 🎉🎉🎉❤
Hapo sawa.Je serikari yajuu haitowi hera yamaendeleo?hakuna bajeti yaserikali Arusha?wadumbukize akili ikaye sawa
@@MahamuduAbasi-o1nila wanayo ya matamasha na kuchinja manyama. Kama sio kurubuniwa kwa watu ni nini ?
Apo uyo diwani anawajibika sababu ilo jambo lipo chini ya halmashauri sababu ni bArabar ya mtaa@@MahamuduAbasi-o1n
Watu waarush big up sana wa mama wenye msimamo
Arushaaaaaaaa
Mwanamke mmoja wa Arusha ni sawa na wanaume 10 wa dar😢
😂😅😅😅
😂😂😂😂😂
Mh
😂😂😂😂
Kabisa
Arusha akili kubwa sana... Nawakubali sana watu wenye msimamo mkali kama hawa! VIVA ARUSHA!
VIVAAAAAA
Safi Sana. Viongozi kula hela tu, bila kuwasaidia wanainchi.
Watakao komboa hii nchi ni wananchi wenyewe sio chama cha upinzani
Chama cha upinzani bila nguvu ya wananchi wao unawaonea tu
Nyerere alisema CCM kama haitawakumbuka wananchi, wananchi ndiyo wataamua iwe watakavyo, kama kenya wananchi walivyoamua iongozwe vipi.
Kwani wanachama wa Upinzani ni Wakimbizi?? Acha ujinga😮
ARUSHA wana Asili ya Kenya kama mlikuwa hamjui
😂😂😂😂umeona eee
Uckute ata wakenya wapo maana arusha na kenya pua na mdomo
Arusha Gen Z 😂😂😂
Kuñaanza kuchamka
Arusha kwa kujiamini mpo vizuri
Na ukatiri juu
Hii imekaa vizuri sana, hongereni wananchi wa Chuga
Magufuli tuu ndie alikua ana wajibika walahi . From. Kenya
Magufili wa Nini kwani alipokuwepo mbona hapo hakutengeneza
Haya ya tz ww tuachie wenyewe pipili hujaila ulijua kuwa yawasha au haiwashi tulia Kama moja Magufuli?
Umesema kweli brother
@@mosule9262sasa samia wako anafanya kazi gani zaidi yakuuza bandari na maliasili zetu
Iyo n kweli , JPM ndo alikuwa anapambania wananchi wa maisha ya chini..😢 RIP JPM
Tukubaliane Arusha Wana akili za uelewa walau za kupigania mambo Yao ya msingi
Ingalikua nchi mzima tuko km hivi bac tungalikua na nchi ya kweli
@@B.M-ix4rz hao wapo karibu na Kenya Wana akili za kikenya
@@wadhhasuleiman2621 🤣🤣🤣
AKILI matope wanazo, ingekua wana AKILI nyingi, wasingeenda jenga maeneo yasio na miundombinu bora.
Ila Arusha ni fire🎉🎉🎉🎉
Nice Moves
Safi sana waogesheni wazembe na serikali imewachagua Tena hawafanyi chochote Bora muwafunike na maji
Naunga 🤝💯% mko sawa
Tanzania ni nchi ya kipuuzi sana yaani biashara yote ya utalii huko Arusha ila barabara zao ni mbovu hivyo
Hakika Arusha nimewapenda bure hongereni sana viongozi wengi wakishachaguliwa huwaoni hadiuchaguzi mwingine inasikitisha majuzi nimemsikia mkuu wamkoa Arusha akiwalalamikia watendaji kuwamajugu nimengi wanaombahela wanashindwakuzitumia halafu wanazirudisha kwakweli nishidaaaaa.
Miaka 63 mpaka wananchi wanachukua hatua mkononi ujue Serekali imeshindwa kutimiza wajibu waosafi sana wananchi
Arusha🙌🙌🙌Yale maombi ya juzi hayajatenda miujiza tuu😂😂😂😂😂
😂😂😂 ayaja tenda Kwakweli
Bd maana waliambiwa wafanye kikao tr 24/12 kwahy bd..... Isitoshe wananchi wa Arusha hawapendi kudanganywa na wakiamua jambo lao wameamua viva Arusha
Bado posta hawajayatuma kwa mnyazi
😂😂
Kazi uchawa tuuu... kuwajibika a aaaaa😊😊😊😊
Hatuna Msimamizi Wa Tz mzuri. Kazi porojo tuu. RIP magufuli
Tozo zinakatwa TRA wanachukua harafu haya ndio maisha ya watanzania duh!! Hakuna serikari hapa.
Nyie ndo mnaongoza kwa kupewa kanga hafikilii mbele itakuwaje madhara yake ndo hayo sawa
Ahadi hewaaa!!!.Siyo kwenu tu.Hata huku kwetu Njiro ni ahadi tu lakini barabara ni mashimo tu.
Tengenezeni mitaro kwanza mnajaza kifusi hayo maji yaende wapi
Watengeneze wao ni Serekali
Walishinda kwa kishindo serikali za mitaa hao mnao walalamikiwa ccm hoyeee kazi iendelee
Barabara ya BOMA Ng'ombe Rudungai adi chekeren iangliwe upya watu wanaumia sana nimadibwi balaa kule Moshi.
Arusha kwenye raman inasomeka ipo kenya😅😅
Pumbafu sana
Arusha na Mara hii ndo mikoa
Arusha na Mara ,tungepata mikoa 5 ya hivi
CCM mbele kwa mbele Bado hamjaogelea mtalala nayo ndani😂😂
Damu ya Yesu Kristo itakase fahamu zetu ili tuenende ktk mfano wake. Halleluja.
Acha uchawi damu ya Yesu ya nini hapa
Mngemshika Samia mdumbukize humo😂😂
😂😂😂😂 wangekipata cha mtema kuni
Maji Wangeita mma😂😂😂😂😂
Nimecheka kidwanzi 🤣🤣🤣🤣
Aibu kwa Serekali sehemu yenye mbunge diwani Mwenyekiti viongozi kama wote Vipi bara bara hadi leo iko hivyo ni aibu kubwa sana
Viongozi wa Tanzania wanachosha jamani Daah yani natoka na machozi
Mmeichagua wenyewe ,mtaisoma nambaaa eeeee ,sisi mbele kwa mbeleee.kibwakizo kimenitoka kichwani
Hao ni mashabiki WA Simba
Arusha ongereni sanaa kwa msimamo wenu
Wamama wa arusha wanajasiri kweli hongereni
Kazi kubandika mabango tuu
Asante Arusha ...💪💪💪💪💪
Hiiii niii Aruushaaa, hatutaki mchezo bablai😏
Hiv arusha ni mkoa ama ni nchi mbona wako tofaut sna na wengne😂😂
Bado wananchi wa Jimbo la bumburi. Januari makamba atiwe vumbi usoni Barbara mbovu
Arusha mnapenda haki mama zangu mpo vizuri mungu awape akili njema
Miokozi wa hii nchi sio ccm
Maji taka ndani ya mwili!!
Arusha nawapendaa sanaa ndugu zangu kwa uelewa wenu
Safi sana bado msakuzi tumewachokaaaaa
Nwaminini Yesu, anaokoa kweli kwel
Mwambie yesu apeleke matipa ya molamu.
@hamadsheni8997 acha kufuru ww Yesu ni Mungu
@Bilioneabichwa331 toa andiko kam yesu ni mungu. Kenge wewe.
@@hamadsheni8997 maandiko yote toka mwanzo wa biblia hadi mwisho yanasema Yesu ni Mungu, we vipi utachomwa moto shaur yako
Arusha ni nchi ya kujitegemea aki
Serikali chukueni hatua IPO siku wananchi watatambua haki zao na kutafuta viongozi wengine
Hii ndo nchi yangu arusha tanzania iko kenya
inafaaa Africa wafanye hivi
Hapo bado wadudu hawajajitokeza
Ccm hoyeeeeeee naipenda nchi yangu Arusha😂
endeleeni kuchagua ccm
Msisahau tupo mpaka na wakenya tutawanyoosha😊😊
Very good hata Kenya wanafanywa hivi
Arusha nguvu moja haki haiji kiwepesi
Arusha talime nyamongo mkoani mara nawakubali sana mwanamke 1 wa Arusha ni sawa na wanaume 20 wa dareslam😂😂😂
Watu wa arusha ni kama wa kenya
Arusha ni kenya basi mzee nyerere alifanya manuva akaimega Arusha na mlimani wke
Nimeipenda hii
Sasa hivi viongozi wa sasa wanakuwa na ahadi za uongo Ni viongozi jina tu
Hii ndio tutamfanyia mmbunge wetu wa mbeya vijijin
Arusha oyeeeeee
Arusha is like Kenyan I swear 🤣🤣
Tuko mpkan karibu😅😅😅😅
Wakenya wapo arusha wengi ndio maana wanarith vyengne😂😊
Kiasili Arusha iko Kenya.
Hi Kali ya mwaka 2024
CCM mbele kwa mbele mkome
Kati ya mkoa ambao barabara zake mbovu kupita kiasi naamini Moro goro inaongoza lakini wananchi tuko kimya viongozi kimya daaah morogoro yangu naumia mno kiukweri nikiludi kusalimia nyumbani barabara mbovu sana
Mashabiki wa mikia nao wamo kwenye fujo..
Kazi iendeleee
Kuna Kenya alaf kuna arusha😂😂
Tengenezeni na ninyi acha uchochezi mitano tena
Vidimbwi vidigo tu kelele nyingi muache tz tuishi kwa amani bana
Mapinduzi ya hii nchi yataanzia Arusha.
Bora kabisa hii ndio hali inayotakiwa😅
Nawakubali Arusha mko vizuri sana teteeni haki zenu
Hakuna shida, waendelee kuogelea
KWANI WALIKUA CHAMA GANI
Good start
SI MNASEMA CCM INA WENYEWE AMBAO NDIYO NYIE. KWAMBA ANAUPIGA MWINGI.
Watu wasio ijua Arusha wanajua. Wajaja sana kumbe bangi tu na kerere kunamikoa wajanja kulikoiyo Arusha
Ndo mjue kuchagua kiongozi bora na siyo chama kipi kipo juu😂😂😂
Hapa tulikofika ni pazuri sana, naona panachangamka kila kukicha
Bado mjasemaa na mtasemaa poleni zenuu
Mkoa ambaoo unasimamia haki sana... Nipo mwanza kwetu hamnaga Kashi Kashi kama mikoa mingine
Safiu sana 👍👍👍👍
Wachaga oyeee...wamerudi nyumbani barabara haziko poa
Mama yupo kazini
Ndio mvae na buti za CCM 😂
Kusema kweli viongozi hawana utu
Na sisi wakazi wa majohe tumtumbukize mbunge wetu Jerry na Pasco diwani
Watu wa Arusha ni wakenya si Watanzania
Chunga ni nchi inayo jitegemea
Mbunge Hai hongera sana kukumbusha umuhimu wa SGR ukanda wetu wa mlima mrefu Afrika❤❤❤❤
PUMBAVU ZENU, MPAKA WANANCHI WAANDAMANE NDIYO MUANZE KUJISEMESHA, NDIYO MAANA WANANCHI WAMEWACHOKA HADI MNAIBA UCHAGUZI
Nimefurahi umesema ukweli taarifa ya m. 400 hauna ifike mahali tuache siasa
Hiyo ni nzuri sana,kuna balozi wetu anastahili hii sana
mungu isaidie arusha
Milady ayo mmekuwa waongo sana viongozi waliosukumwa kwenye maji machafu hao wanawake wanajiangusha wenye ndio viongozi?
NDUGU Wala huyu mwandishi sio muongo n ukweli mtupu
@annabendera-il5xc ndugu yangu umemuona nani hapo kiingozi aliye tupwa kwenye maji?
@@DeogratiusAndrew-zi7zv ww ulikwepo eneo la tukio?
Sasa wananchi wanawawajibusha viongozi wao alafu police mko apo. Na mabom ya machozi ivi police amnaga kazi za kufanya eti
Alafu kodi namapato wanacchuka au wadumbukizeni
Mm ni mkenya lkn nimewakubali watu wa Arusha good job sana 🎉🎉🎉❤
Hapo sawa.Je serikari yajuu haitowi hera yamaendeleo?hakuna bajeti yaserikali Arusha?wadumbukize akili ikaye sawa
@@MahamuduAbasi-o1nila wanayo ya matamasha na kuchinja manyama. Kama sio kurubuniwa kwa watu ni nini ?
Apo uyo diwani anawajibika sababu ilo jambo lipo chini ya halmashauri sababu ni bArabar ya mtaa@@MahamuduAbasi-o1n
Watu waarush big up sana wa mama wenye msimamo
Arushaaaaaaaa
Mwanamke mmoja wa Arusha ni sawa na wanaume 10 wa dar😢
😂😅😅😅
😂😂😂😂😂
Mh
😂😂😂😂
Kabisa
Arusha akili kubwa sana... Nawakubali sana watu wenye msimamo mkali kama hawa! VIVA ARUSHA!
VIVAAAAAA
Safi Sana. Viongozi kula hela tu, bila kuwasaidia wanainchi.
Watakao komboa hii nchi ni wananchi wenyewe sio chama cha upinzani
Chama cha upinzani bila nguvu ya wananchi wao unawaonea tu
Nyerere alisema CCM kama haitawakumbuka wananchi, wananchi ndiyo wataamua iwe watakavyo, kama kenya wananchi walivyoamua iongozwe vipi.
Kwani wanachama wa Upinzani ni Wakimbizi?? Acha ujinga😮
ARUSHA wana Asili ya Kenya kama mlikuwa hamjui
😂😂😂😂umeona eee
Uckute ata wakenya wapo maana arusha na kenya pua na mdomo
Arusha Gen Z 😂😂😂
Kuñaanza kuchamka
😂😂😂😂😂
Arusha kwa kujiamini mpo vizuri
Na ukatiri juu
Hii imekaa vizuri sana, hongereni wananchi wa Chuga
Magufuli tuu ndie alikua ana wajibika walahi . From. Kenya
Magufili wa Nini kwani alipokuwepo mbona hapo hakutengeneza
Haya ya tz ww tuachie wenyewe pipili hujaila ulijua kuwa yawasha au haiwashi tulia Kama moja Magufuli?
Umesema kweli brother
@@mosule9262sasa samia wako anafanya kazi gani zaidi yakuuza bandari na maliasili zetu
Iyo n kweli , JPM ndo alikuwa anapambania wananchi wa maisha ya chini..😢 RIP JPM
Tukubaliane Arusha Wana akili za uelewa walau za kupigania mambo Yao ya msingi
Kabisa
Ingalikua nchi mzima tuko km hivi bac tungalikua na nchi ya kweli
@@B.M-ix4rz hao wapo karibu na Kenya Wana akili za kikenya
@@wadhhasuleiman2621 🤣🤣🤣
AKILI matope wanazo, ingekua wana AKILI nyingi, wasingeenda jenga maeneo yasio na miundombinu bora.
Ila Arusha ni fire🎉🎉🎉🎉
Nice Moves
Safi sana waogesheni wazembe na serikali imewachagua Tena hawafanyi chochote Bora muwafunike na maji
Naunga 🤝💯% mko sawa
Tanzania ni nchi ya kipuuzi sana yaani biashara yote ya utalii huko Arusha ila barabara zao ni mbovu hivyo
Hakika Arusha nimewapenda bure hongereni sana viongozi wengi wakishachaguliwa huwaoni hadiuchaguzi mwingine inasikitisha majuzi nimemsikia mkuu wamkoa Arusha akiwalalamikia watendaji kuwamajugu nimengi wanaombahela wanashindwakuzitumia halafu wanazirudisha kwakweli nishidaaaaa.
Miaka 63 mpaka wananchi wanachukua hatua mkononi ujue Serekali imeshindwa kutimiza wajibu wao
safi sana wananchi
Arusha🙌🙌🙌Yale maombi ya juzi hayajatenda miujiza tuu😂😂😂😂😂
😂😂😂 ayaja tenda Kwakweli
Bd maana waliambiwa wafanye kikao tr 24/12 kwahy bd..... Isitoshe wananchi wa Arusha hawapendi kudanganywa na wakiamua jambo lao wameamua viva Arusha
Bado posta hawajayatuma kwa mnyazi
😂😂
Kazi uchawa tuuu... kuwajibika a aaaaa😊😊😊😊
Hatuna Msimamizi Wa Tz mzuri. Kazi porojo tuu. RIP magufuli
Tozo zinakatwa TRA wanachukua harafu haya ndio maisha ya watanzania duh!! Hakuna serikari hapa.
Nyie ndo mnaongoza kwa kupewa kanga hafikilii mbele itakuwaje madhara yake ndo hayo sawa
Ahadi hewaaa!!!.
Siyo kwenu tu.
Hata huku kwetu Njiro ni ahadi tu lakini barabara ni mashimo tu.
Tengenezeni mitaro kwanza mnajaza kifusi hayo maji yaende wapi
Watengeneze wao ni Serekali
Walishinda kwa kishindo serikali za mitaa hao mnao walalamikiwa ccm hoyeee kazi iendelee
Barabara ya BOMA Ng'ombe Rudungai adi chekeren iangliwe upya watu wanaumia sana nimadibwi balaa kule Moshi.
Arusha kwenye raman inasomeka ipo kenya😅😅
Pumbafu sana
Arusha na Mara hii ndo mikoa
Arusha na Mara ,tungepata mikoa 5 ya hivi
CCM mbele kwa mbele Bado hamjaogelea mtalala nayo ndani😂😂
Damu ya Yesu Kristo itakase fahamu zetu ili tuenende ktk mfano wake. Halleluja.
Acha uchawi damu ya Yesu ya nini hapa
Mngemshika Samia mdumbukize humo😂😂
😂😂😂😂 wangekipata cha mtema kuni
😂😂😂😂
😂😂
Maji Wangeita mma😂😂😂😂😂
Nimecheka kidwanzi 🤣🤣🤣🤣
Aibu kwa Serekali
sehemu yenye mbunge diwani Mwenyekiti viongozi kama wote Vipi bara bara hadi leo iko hivyo ni aibu kubwa sana
Viongozi wa Tanzania wanachosha jamani Daah yani natoka na machozi
Mmeichagua wenyewe ,mtaisoma nambaaa eeeee ,sisi mbele kwa mbeleee.kibwakizo kimenitoka kichwani
Hao ni mashabiki WA Simba
Arusha ongereni sanaa kwa msimamo wenu
Wamama wa arusha wanajasiri kweli hongereni
Kazi kubandika mabango tuu
Asante Arusha ...💪💪💪💪💪
Hiiii niii Aruushaaa, hatutaki mchezo bablai😏
Hiv arusha ni mkoa ama ni nchi mbona wako tofaut sna na wengne😂😂
Bado wananchi wa Jimbo la bumburi. Januari makamba atiwe vumbi usoni Barbara mbovu
Arusha mnapenda haki mama zangu mpo vizuri mungu awape akili njema
Miokozi wa hii nchi sio ccm
Maji taka ndani ya mwili!!
Arusha nawapendaa sanaa ndugu zangu kwa uelewa wenu
Safi sana bado msakuzi tumewachokaaaaa
Nwaminini Yesu, anaokoa kweli kwel
Mwambie yesu apeleke matipa ya molamu.
@hamadsheni8997 acha kufuru ww Yesu ni Mungu
@Bilioneabichwa331 toa andiko kam yesu ni mungu. Kenge wewe.
😂😂
@@hamadsheni8997 maandiko yote toka mwanzo wa biblia hadi mwisho yanasema Yesu ni Mungu, we vipi utachomwa moto shaur yako
Arusha ni nchi ya kujitegemea aki
Serikali chukueni hatua IPO siku wananchi watatambua haki zao na kutafuta viongozi wengine
Hii ndo nchi yangu arusha tanzania iko kenya
inafaaa Africa wafanye hivi
Hapo bado wadudu hawajajitokeza
Ccm hoyeeeeeee naipenda nchi yangu Arusha😂
endeleeni kuchagua ccm
Msisahau tupo mpaka na wakenya tutawanyoosha😊😊
Very good hata Kenya wanafanywa hivi
Arusha nguvu moja haki haiji kiwepesi
Arusha talime nyamongo mkoani mara nawakubali sana mwanamke 1 wa Arusha ni sawa na wanaume 20 wa dareslam😂😂😂
Watu wa arusha ni kama wa kenya
Arusha ni kenya basi mzee nyerere alifanya manuva akaimega Arusha na mlimani wke
Nimeipenda hii
Sasa hivi viongozi wa sasa wanakuwa na ahadi za uongo Ni viongozi jina tu
Hii ndio tutamfanyia mmbunge wetu wa mbeya vijijin
Arusha oyeeeeee
Arusha is like Kenyan I swear 🤣🤣
Tuko mpkan karibu😅😅😅😅
Wakenya wapo arusha wengi ndio maana wanarith vyengne😂😊
Kiasili Arusha iko Kenya.
Hi Kali ya mwaka 2024
CCM mbele kwa mbele mkome
Kati ya mkoa ambao barabara zake mbovu kupita kiasi naamini Moro goro inaongoza lakini wananchi tuko kimya viongozi kimya daaah morogoro yangu naumia mno kiukweri nikiludi kusalimia nyumbani barabara mbovu sana
Mashabiki wa mikia nao wamo kwenye fujo..
Kazi iendeleee
Kuna Kenya alaf kuna arusha😂😂
Tengenezeni na ninyi acha uchochezi mitano tena
Vidimbwi vidigo tu kelele nyingi muache tz tuishi kwa amani bana
Mapinduzi ya hii nchi yataanzia Arusha.
Bora kabisa hii ndio hali inayotakiwa😅
Nawakubali Arusha mko vizuri sana teteeni haki zenu
Hakuna shida, waendelee kuogelea
KWANI WALIKUA CHAMA GANI
Good start
SI MNASEMA CCM INA WENYEWE AMBAO NDIYO NYIE. KWAMBA ANAUPIGA MWINGI.
Watu wasio ijua Arusha wanajua. Wajaja sana kumbe bangi tu na kerere kunamikoa wajanja kulikoiyo Arusha
Ndo mjue kuchagua kiongozi bora na siyo chama kipi kipo juu😂😂😂
Hapa tulikofika ni pazuri sana, naona panachangamka kila kukicha
Bado mjasemaa na mtasemaa poleni zenuu
Mkoa ambaoo unasimamia haki sana... Nipo mwanza kwetu hamnaga Kashi Kashi kama mikoa mingine
Safiu sana 👍👍👍👍
Wachaga oyeee...wamerudi nyumbani barabara haziko poa
Mama yupo kazini
Ndio mvae na buti za CCM 😂
Kusema kweli viongozi hawana utu
Na sisi wakazi wa majohe tumtumbukize mbunge wetu Jerry na Pasco diwani
Watu wa Arusha ni wakenya si Watanzania
Chunga ni nchi inayo jitegemea
Mbunge Hai hongera sana kukumbusha umuhimu wa SGR ukanda wetu wa mlima mrefu Afrika❤❤❤❤
PUMBAVU ZENU, MPAKA WANANCHI WAANDAMANE NDIYO MUANZE KUJISEMESHA, NDIYO MAANA WANANCHI WAMEWACHOKA HADI MNAIBA UCHAGUZI
Nimefurahi umesema ukweli taarifa ya m. 400 hauna ifike mahali tuache siasa
Hiyo ni nzuri sana,kuna balozi wetu anastahili hii sana
mungu isaidie arusha
Milady ayo mmekuwa waongo sana viongozi waliosukumwa kwenye maji machafu hao wanawake wanajiangusha wenye ndio viongozi?
NDUGU Wala huyu mwandishi sio muongo n ukweli mtupu
@annabendera-il5xc ndugu yangu umemuona nani hapo kiingozi aliye tupwa kwenye maji?
@@DeogratiusAndrew-zi7zv ww ulikwepo eneo la tukio?
Sasa wananchi wanawawajibusha viongozi wao alafu police mko apo. Na mabom ya machozi ivi police amnaga kazi za kufanya eti
Alafu kodi namapato wanacchuka au wadumbukizeni