EXCLUSIVE NA MAMA TAJIRI ALIYE MPATIA GARI STEVE MWEUSI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 46

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 місяці тому +6

    Mwenyezi Mungu anijaalie moyo mzuri wa waja wema kama Hawa

  • @charlesibiga4429
    @charlesibiga4429 2 місяці тому +1

    Mungu akubariki mtumishi nimepanda jitihada zako Mungu apanue uchumi wako 1NYAKATI:4:9-10; nakuombea hiyo biashara yako ikue.

  • @manp9091
    @manp9091 2 місяці тому +5

    Iyo gari ya kwanza ameipataje tambueni wanangu hili ni tangazo la magari kama nawewe kama umegundua ilo gonga like hapa 😂😂😂

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 3 місяці тому

    MashaaAllah Tabaraka Rahman umepedeza umevaa hijjabu.

  • @salummindu682
    @salummindu682 3 місяці тому +2

    Dada yupo na akili nyingi sana ya kibiashara hongera dada

  • @MartinSilungwe-ws2se
    @MartinSilungwe-ws2se 2 місяці тому

    Nice dada uondokweri❤

  • @MarySimoni
    @MarySimoni 3 місяці тому

    Facebook anatumia jina gani tuwe tunafatilia magari

  • @barakamwasenga2143
    @barakamwasenga2143 2 місяці тому

    Naomba mawasiliano yake huyu mama

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 Місяць тому +1

    Huyo mama mpe tenje yangu stev tafadhali

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 місяці тому +3

    Hongeraa.. dada kwa historia fupi ya mwanzo wa ndoto yako, pia ubunifu wa mauzo. Vipi! Kuhusu mkopo kwa utanguliz wa 50% kama wafanyavyo wengineo. Salaam toka Mwanza 🐟

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 місяці тому +4

    Unaweza kujiuliza huo utajiri ameupata wapi kwa miaka michache Na haingii akilini anavyosema jinsi alivyopata utajiri basi kila mtu angekuwa tajiri, kuna mambo mengi ya kishetani uwa wanafanya na hawasemi mfano ujambazi kuuwa watu ! Kwenye utajiri wengi wana historia zako wakisema siku ukweli unaweza kuzimia au ukawakimbia matajiri, kama utajiri ingekuwa kama like walking in the park watu wengi sana wangekuwa matajiri, matajiri wamefanya mambo mengi ya dhuluma, ukatili Na kuuwa kwa aina tofauti tofauti, kwanza kama kama unayo hofu ya Mungu huwezi kuwa tajiri labda ushinde bahati nasibu ya mabillioni!

    • @lailatbakar5829
      @lailatbakar5829 3 місяці тому +1

      Hata kwenye kitabu cha mafanikio kuna kurasa hazisomwi kwa sauti

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 2 місяці тому

      Jina kabwela haliruhusu kupata pesa ndo maana unashangaa

    • @Nick16697
      @Nick16697 2 місяці тому

      Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo,

    • @YoshuaSeverino
      @YoshuaSeverino 2 місяці тому

      Hizo ni roho za umaskini, pesa ni ya Mungu, huyo mama amejitafuta na amejipata.

    • @YoshuaSeverino
      @YoshuaSeverino 2 місяці тому

      Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, kwa mawazo yako hata kizazi chako kitakuwa masikini, pia biblia inasema umaskini siyo baraka bali ni laana, kwa hiyo una laana.

  • @GillybartSolomon
    @GillybartSolomon 16 днів тому

    Stive niunganishe na huyo dada mm nipo mwanza.

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 3 місяці тому +2

    Ni kweli kabisa ukiweka faida kindogo unuza sana

  • @AvityNjau-tz8gq
    @AvityNjau-tz8gq 3 місяці тому +2

    Huyo mama anamtumia steve ku brand magari yake

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 2 місяці тому

    Noma

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu2900 2 місяці тому

    Dada nimkupenda bure mpatiepo mwanangu kakazi uko amemariza chuo yupo tu bado ananitegemea

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 Місяць тому

    Prando how much

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 3 місяці тому +4

    Uko vzr Dada unaonekana roho mbaya huna be bless

  • @mupendwajagarasteve341
    @mupendwajagarasteve341 2 місяці тому +1

    Big up dada

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye 2 місяці тому

    Dada up Safi aixee mungu atakubariki sana naomba KAZI dada nipo mbagala aixee

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 3 місяці тому +1

    Lishangazi pesa acawivu 😮😮😮😮

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 3 місяці тому +1

      Steve ni balozi sio kuwa kahongwa😂😂😂😂vijana wa hovyo nyie

  • @EzekielMateru
    @EzekielMateru 3 місяці тому

    Una ast bei rahis au corona ileven

  • @andreamwangu2647
    @andreamwangu2647 3 місяці тому +1

    Contacts please

  • @EMMANUELNGWENDESHA
    @EMMANUELNGWENDESHA 2 місяці тому

    Nitumie contact za huyo mama

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 3 місяці тому +1

    Stiv bwaaana

  • @kastorkidumu6579
    @kastorkidumu6579 2 місяці тому

    Shangazi hongera

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 3 місяці тому +1

    Office iko mseneo gani?

  • @mkatakonapeleka1476
    @mkatakonapeleka1476 3 місяці тому

    Hongera kwa usubutu wako wa awali

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 3 місяці тому

    Kweli kabisa 👍👍👍

  • @reubenjoas6029
    @reubenjoas6029 3 місяці тому

    Steve hayuko sawa?

  • @YousraSalimMohamad
    @YousraSalimMohamad 3 місяці тому

    Mashaallah umetia hijabu

  • @haimanlivingstoned1278
    @haimanlivingstoned1278 3 місяці тому

    Li shangazi

    • @MartinSiame-zi9nz
      @MartinSiame-zi9nz 3 місяці тому

      Nitafute probox DX ya mil 8

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 3 місяці тому

      Mke wa mtu huyu wewe. Ni mwl alieacha kazi. Wee endelea kushoboka

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 3 місяці тому +1

      Hakuna mwnamke wa kimeru mjinga

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 місяці тому

      ​@@hellendaniel3809Ndo umedanganywa hivi,wapo wajinga kama ww.