Hongeraa.. dada kwa historia fupi ya mwanzo wa ndoto yako, pia ubunifu wa mauzo. Vipi! Kuhusu mkopo kwa utanguliz wa 50% kama wafanyavyo wengineo. Salaam toka Mwanza 🐟
Unaweza kujiuliza huo utajiri ameupata wapi kwa miaka michache Na haingii akilini anavyosema jinsi alivyopata utajiri basi kila mtu angekuwa tajiri, kuna mambo mengi ya kishetani uwa wanafanya na hawasemi mfano ujambazi kuuwa watu ! Kwenye utajiri wengi wana historia zako wakisema siku ukweli unaweza kuzimia au ukawakimbia matajiri, kama utajiri ingekuwa kama like walking in the park watu wengi sana wangekuwa matajiri, matajiri wamefanya mambo mengi ya dhuluma, ukatili Na kuuwa kwa aina tofauti tofauti, kwanza kama kama unayo hofu ya Mungu huwezi kuwa tajiri labda ushinde bahati nasibu ya mabillioni!
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, kwa mawazo yako hata kizazi chako kitakuwa masikini, pia biblia inasema umaskini siyo baraka bali ni laana, kwa hiyo una laana.
Mwenyezi Mungu anijaalie moyo mzuri wa waja wema kama Hawa
Mungu akubariki mtumishi nimepanda jitihada zako Mungu apanue uchumi wako 1NYAKATI:4:9-10; nakuombea hiyo biashara yako ikue.
Iyo gari ya kwanza ameipataje tambueni wanangu hili ni tangazo la magari kama nawewe kama umegundua ilo gonga like hapa 😂😂😂
MashaaAllah Tabaraka Rahman umepedeza umevaa hijjabu.
Dada yupo na akili nyingi sana ya kibiashara hongera dada
Nice dada uondokweri❤
Facebook anatumia jina gani tuwe tunafatilia magari
Naomba mawasiliano yake huyu mama
Huyo mama mpe tenje yangu stev tafadhali
Hongeraa.. dada kwa historia fupi ya mwanzo wa ndoto yako, pia ubunifu wa mauzo. Vipi! Kuhusu mkopo kwa utanguliz wa 50% kama wafanyavyo wengineo. Salaam toka Mwanza 🐟
Unaweza kujiuliza huo utajiri ameupata wapi kwa miaka michache Na haingii akilini anavyosema jinsi alivyopata utajiri basi kila mtu angekuwa tajiri, kuna mambo mengi ya kishetani uwa wanafanya na hawasemi mfano ujambazi kuuwa watu ! Kwenye utajiri wengi wana historia zako wakisema siku ukweli unaweza kuzimia au ukawakimbia matajiri, kama utajiri ingekuwa kama like walking in the park watu wengi sana wangekuwa matajiri, matajiri wamefanya mambo mengi ya dhuluma, ukatili Na kuuwa kwa aina tofauti tofauti, kwanza kama kama unayo hofu ya Mungu huwezi kuwa tajiri labda ushinde bahati nasibu ya mabillioni!
Hata kwenye kitabu cha mafanikio kuna kurasa hazisomwi kwa sauti
Jina kabwela haliruhusu kupata pesa ndo maana unashangaa
Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo,
Hizo ni roho za umaskini, pesa ni ya Mungu, huyo mama amejitafuta na amejipata.
Fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, kwa mawazo yako hata kizazi chako kitakuwa masikini, pia biblia inasema umaskini siyo baraka bali ni laana, kwa hiyo una laana.
Stive niunganishe na huyo dada mm nipo mwanza.
Ni kweli kabisa ukiweka faida kindogo unuza sana
Huyo mama anamtumia steve ku brand magari yake
Noma
Dada nimkupenda bure mpatiepo mwanangu kakazi uko amemariza chuo yupo tu bado ananitegemea
Prando how much
Uko vzr Dada unaonekana roho mbaya huna be bless
Big up dada
Dada up Safi aixee mungu atakubariki sana naomba KAZI dada nipo mbagala aixee
Lishangazi pesa acawivu 😮😮😮😮
Steve ni balozi sio kuwa kahongwa😂😂😂😂vijana wa hovyo nyie
Una ast bei rahis au corona ileven
Contacts please
Nitumie contact za huyo mama
Stiv bwaaana
Shangazi hongera
Office iko mseneo gani?
Nikuelekeze ilipo ofcn
Hongera kwa usubutu wako wa awali
Kweli kabisa 👍👍👍
Steve hayuko sawa?
Mashaallah umetia hijabu
Li shangazi
Nitafute probox DX ya mil 8
Mke wa mtu huyu wewe. Ni mwl alieacha kazi. Wee endelea kushoboka
Hakuna mwnamke wa kimeru mjinga
@@hellendaniel3809Ndo umedanganywa hivi,wapo wajinga kama ww.