MABINGWA WA ULINGO | HASSAN MWAKINYO VS JULIUS INDONGO - 03/08/2021
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- HASSAN MWAKINYO Vs JULIUS INDONGO: Mwakinyo alivyotetea ubingwa wake wa Afrika (ABU) uzito wa Super Welter kwa kumchapa Mnamibia, Julius Indongo kwa KO.
#MwakinyoVsIndongo #TonyRashidVsBonganiMahlangu #MwakinyoIndongo #TonyMahlangu #VitasaNight #Vitasa #Septemba03 #MabingwaWaUlingo
@hassan_mwakinyo_jr
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Haya in maoni yangu lakini yanatokana na uhalisia unaojidhihirisha. Ni kwamba, Hassan Mwakinyo ni bondia bora sana kuwahi kutokea Tanzania. Ukijaribu kuangalia, utagundua kuwa Mwakinyo ni talented fighter. Mwakinyo kwa mfano, anaweza kusimama stances zote na akafight barabara. Tunaona katika pambano lake na Sam Egginton, alisimama Orthodox na alifight effectively and successfully. Lakini Jana tunaona Mwakinyo huyohuyo ambaye huenda Julius Indongo aliamini kuwa anaenda kupigana na bondia ambaye anacheza Orthodox yaani akitanguluza mguu wa kushoto, lakini cha ajabu amecheza southpaw yaani akitanguliza mguu wa kulia na kuuacha mkono wa kushoto ukitupa ngumi nzito na tunaona anapata matokeo chanya. Mija kati ya mabondia wenye uwezo huo wa kucheza stances zote ni Terence Bud Crawford ambaye ameshacheza mapambano almost 37 bila kupoteza hata moja. Kwa hiyo Mimi binafsi na wala simlazimishi MTU kufanya hivyo, ninajivunia kijana huyu ambaye kwa sasa kwa kweli anailetea heshima nchi yake. HERI TUMBO LILILOMZAA HASSAN MWAKINYO
Wewe inatakiwa usitozwe kodi yoyote kwenye miamala yako yote hadi utakapofanyika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025
Mwakinyo noma nibondia nzuli sana tanzania
Dah wee jamaaa mbona unaakil hvo
A c kwer manyng ynauck
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
aaah kwakuwa yule chiz mandoga ndio maana mmemtakaa mbna TWAHA KIDUKU aliposema hamjasema mtaletaa tangaa achen unafikiii
Watangazaji mna feli eti indongo maji ya shingo hupaswi kusifia mtu maana hata wanaoshabikia huyo indongo wamelipia king'amuzi
We ni bondia mzuri kaka ila kwa pambano hili umetudanganya huu ushindi ume fake kaka, Tz bana yan kwenye ngumi napo marefa wanapewa maelekezo kama marefa wa vpl na tff
Huyu bwana anaokota vilaza basi sho sho tunamtaka
Mwakinyo twakusalim kwa jina la jamhuri ya muungano wa 🇹🇿Tanzania SEMA ushindibuendelee💪💪😂😂😂😂
Tanzania freedom among us
Watangazaji mnanifuraisha nyieeèeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂
Ucmfananishe TWAHA KIDUKU na vtu vya ajabu sasa uon kapigana na mZee Amna kitu apo
Nyie ma commentators wa azam mnafanya vizuri kweli, lakini udhaifu wenu ni kwamba mko mnasifia side moja zaidi kuliko nyingine, na side yenyewe ni ya mchezaji ambaye ni Mtanzania. Hiyo siyo sifa ya commentator yeyote. Swala la kupendelea upande moja tuachieni sisi watazamaji na mashabiki. Mimi ni fan wa Mwakinyo, na tena Mtanzania. Hongera kwa kazi nzuri Azam. Epukeni ubaguzi!
😂😂😂😂😂😂😂
Like if mwakinyo is a real beast (Mnyama mkali)
he is rubbish tbh
Mwakinyo yuko fit kinoma Tanga oyeeee Tanzania oyeee Mwakinyo oyeeeeeeeeeeeeee
kwa ngumi hizi hakuna wa kupigana na Twaha kiduku hapo, hao hawamalizi round mbili
Mbeba matofal
wabongo maneno mengi na unazi unatusumbua unapo mzungumzia mwakinyo ni bondia wakimataifa sio wakupigana na kiduku
Adam unaonekana humtakii mema Kiduku wewe!Unataka akutane na Mwakinyo bondia namba moja TZ na Afrika tena mwenye ngumi za moto!!!!
@@wazirisaid8326ngumi gani za moto sasa apo?
Pongezi kubwa kwake CHAMPEZ
Zidisha jitihada upate mafanikio mengi zaidi
👊🇹🇿
𝐌𝐖𝐀𝐊𝐔𝐍𝐘𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐏𝐈𝐆𝐀𝐍𝐀
𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐊𝐔𝐍𝐘𝐀 🥴
leo ndio nimegundua kwanini 𝐌𝐖𝐀𝐊U𝐍𝐘A ataki kupigana na Twaha kiduku sab sio vizur kufia ulingoni 😲
Maoni yangu refa kamaliza kihuni japo huyo indingo angepigwa
Ungempandisha babaako ajinyee ulingoni
Angemyacha angekufia uliongoni, ndio maana kamaliza pambano refa
Kiduku ana kilo 90,Mwakinyo anabkilo 68,uzito sio sawa hawapigani uzito sawa,sasa wewe unataka Mwakinyo aongezevkilo 22 au Kiduku apunguze kilo 22 acha kulinganisha visivyolinganishwa,Watu wawili tofauti
@@shabandaffa3282 Nimpandishe ulingoni baba angu ulingoni acheze mama ako sio
Watangazaji hamna kitu Azam TV wekeni watangazaji wanaojua ngumi
Ipo siku watakutana ndo mtajua balaaa la KIDUGU KUMNYAMAZISHA DULLA MITANDAONI
twaa huu mziki syo achana nao
Kwa style hii ya mwakinyo Twa Kiduku anaweza Mpiga mwakinyo... mchezo wake hauna mvuto.. sijui ni kocha wake au ni style yake..
Unazani ngumi ni kula ugali muulize Twaha ile ngumi ya Dullah aliona nini pale chini mpaka akaanza kuisimulia kwa watu
Wivu mbaya mwenzako anapigana inaanza kuimbwa wimbo wa Taifaaaa utakufa kwa wivu
hhji
Viwatu vina Wivu sana
Mchezo wa ngumi hauanzi mikononi tafuta mwalim kwanza kaangalie pambo la Mike Tyson na Lewis ujifunze kitu pale
Amna kitu apo akapambane na twaha kiduku Kwanzaa ndo tujue kuwa yeye ni talented 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 Ana bebwa bebwa tu uyo amnabondia apo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Uyu mwamuz angechezesha ule mpambno wa dula na twaha ilelaundi yakwanza angemalza yupo chap soyule dem
Twaha alitakiwa kupoteza lile pambano kwa KO
Tutajuana tuuu hapa 👊👊👊👊🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🤝🤝
Bondia gani huyu ni veterani huyu wamemchukua ili ajimwambafayi
Haya ni mapambano ya kimataifa sio ya mtaani kuna standard zake apo kaka
Tanga hoyeeeeeeeeeee
Mwakinyo hutumia orthodox ila kwa hili imembidi kuhamia southpaw ili kumpiga mpinzani kwa stance yake. Hongera
Orthodox ndo nn na hyo southpaw pia maan umenichanganya🤣🤣🤣
@@robsondalink6206 ni stance kumaanisha jinsi unavyosimama unapotarget kurusha makonde. Orthodox unaeka mguu wa kushoto mbele na southpaw unaeka kwa kulia mbele
Maana yake ni kuchimba dawa
@@saheelameir4313 🤣🤣🤣
Kuna kitu hakiko sawa kwa marefa. Kuna uswahili fulani umetumika. Ingawa mwakinyo kaonesha ubora wake
Uko sawa
@@larickmtui2852 MNAJUWA SANDUKU LA MAITI KUSAFIRISHA NGAPI????
Azam TV inabidi itafute commentators ambao ni professionals wa boxing hao watangazaji hawajui wanachokifanya. Very unprofessional aisee. Wako bias sana na hawana technical analysis. Ni sawa na kuangalia movie vibandani. For a TV and brand as Azam, this is so disappointing. Mnatuangusha sisi wafuatiliaji wazuri na wana michezo.
Unaandikaje mwezi wa 8 hauko makini muweka post
Refa kapunguza radha ya ushindi
Ok u r rt.
I thnk refa amemprotect indongo asiwe damaged..because obviously alionekana kulemewa
Angemwacha isidingo adondoke pale yani refa kazingua lol
binafsi nimeona game ya mwakinyo imechange sana.. amezidi kuwa bora zaidi kwenye defence na pia amekuwa mtu wa kuhimili masumbwi na amekuwa haogopi ngumi.. ni anaisogelea ngumi na anapishana nayo kwa karibu kabisa.. big up bro... safari yako bado ndefu na bado unanafasi ya kuishangaza dunia.
Msege mwakinyo anabebwa 2
Mmm
¹
@@magesachalessmagesa4095 ukiona hivyo ujue kajikaza coz abebwae hujikaza
Sema baado mwakinyo hayupo flexible, japo kweli mwamba anagadi kibanda ila hayupo flexible Kama ibra classic
Big up hassan mwakinyo....Tanzania one.. 🇹🇿
Babutale anatakiwa amuomberadh champion mwakinyo
Ila kisema kweli mwakinyo asisubuthu kupigina na Twaaa Kiduku yaniataumbuka vibaya mno,,
@@nationalbeautiful pole ndugu kamaumeumia ilaukweli ndohuo
@@barakakidugutu944 Ukweli watu wanaujua kama jamaa bado hana kiwango bora cha kupigana na Twaha Kiduku lakini siku zote mapenzi na ushabiki humfanya mtu asione kasoro ya Mwakinyo. Lakini kwahakika bado ana kazi kubwa ya kufanya ili awe Bora zaidi ya hapo Inshaallah.
Sijui mnakwama wapi?.. ilikua tarehe 03/08/2021?..
Dah, sijaelewa refa kamaliza pambano kivipi, coz ukihesabu ngumi alizorusha mwakinyo bila jamaa kurejesha ni kama 8 hivi, na katika hizo 8 si zote zilizomfikia jamaa, nyingine kazikwepa. Mnaojua sheria za ngumi naombeni ufafanuzi. Sitaki ushabiki
Hapo refa anahaki kabisa ya kumaliza pambano
JAMAA HOI KASARENDA HUONI HAJA LALAMIKA???
Amecheza vizuri lakini refa akutakiwa kumaliza nadhani indogo alikuwa bado na uwezo kuendelea
Apigage haohao wabovu lakini kiduku hamuwezi akijichanganya atakuja apigwe sana
Commentators wa ngumi wanachagua upande Kama mashabiki 😅 afu wanasema Huyoo! Huyooo! Mambo ya aibu
hongera hassan mwakinyo
wewe ndio bondia unaejua nn unafanya pambana saana kaka
Tanga moja
Kwenye tv hii ndiyo nimeliona pambono vzur,camera ni nzur na mchukuaji video alikuwa poa sana ngumi zimeonekana saaaafi kbs
Hongera Mwakinyo kwa ushindi...japo uamuz wa refa kusimamisha pambano ulikuwa na walakin kidogo....
Angeuliwa
JAMAA HOI KASARENDA AU HUMWONI???
Watangazaji wa bongo huwa hawana uzoefu au detailes muhimu za michezo flan baadhi... mwisho wanajikuta wamekuwa mashabiki badala ya kuwa watangazaji. Kwenye uchambuzi ndo hadi huruma.
Usiku kashindia video za Diamond ila anataka akachambue masumbwi
Tanzania number ONE
Africa number ONE
World number 24 si mchezo
ua-cam.com/video/cTi4vOt4Wys/v-deo.html
FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🔥🐉
Nikajuaga tanga wanajua mapenzi2 kumbe adingumi wanajua ongera mwakinyo
Mwakinyo kiwango kimeshuka atatuferisha kwa pambano
Na mwakinyo ana uwezi wa kupigana na dula mbabe Wala twaha kiduku hawo jamaah wanajua kupigana
Ndio akili yako ilipoishia kufikir
hao unaowataja hawana sifa ya kupigana na Mwakinyo... kama unaangalia Nguni mwakinyo
Anaongea utumbo ww
Alhamdulillaah ....hongera sana kak hongera home boy ....Allah akufikishe mbali zaidi wewe ni bingwa wa dunia ....Tucheze kibingwa sio kishabiki .....
Fact
Uyo jamaa ht me hawez kunipga
Hassan should ve got a big fight immediately after he took out Eggington as an (considered) absolute underdog in 2018.
Hope he will come ready vs. Smith. Hes definietly an entertaining boxer to watch.
mhhh mwakinyo ongeza juhudi boy sio ngumi izo vilema ao unao pewa iga ata kwa lomachenko au canelo Davis kibingwa au ibra classic
Hawa marefaree wanazingua. Hyo mzee hayuko kbsa on the game from the beginning
Binafis na mkubali mwakinyo ila watangazaji mme egemea sehem moja san
Ref sucks. Tell me y'all don't be proud of this decision right!!??? Come on man
Kashindwa lakini sijaona mchezo wa kufurajisha zaidi ya kujigadi muda wote...watangazaji nyie siku zote mnakuja na mchezaji wenu ..muda wote mnamsifia mwakinyo wakati muda wote anajizuia...nafikiri angekuwa Naye anarusha angepigwa na m cheO ungekuwa mzuri...mwakinyo ni mzito na raisi Sana kupigika
Mtu kabigwa hadi kafa saiz uwanja wa mbeya tazamaua-cam.com/video/jlXqOhDIPT8/v-deo.html
Mwakinyo bado sanaaa yaani anatafuta bondia mlevi ili ajiongezee CV
kama kuna bondia anamhitaji mwakinyo aombe pambano na indongo akichomoka kwa indongo ndo apate kiburi na moyo wa ujasiri wa kumtafuta mwakinyo vnginevyo usiombe pamabano na mwakinyo utaferi mazima samahan lakin
Mwakinyo anajua
Tuongee tu ukweli Mwakinyo bado anapambana kikawaida sana, nikiangalia aina ya watu anao pigana nao staki kabisa kumpa kumpa nafasi ya kua Tz one, maana bado ajaonyesha utofauti na mabondia wenzake, mim siangalii sana ushindi naangalia anacho fanya ulingoni 😂
Sasa wezie nao watafte tuone
Umecheza vzr lakini hii K O ya kaiwada sana check ile pambo la twaha na dula kwenye laundi ya kwanza ndyo utagundua ko ya mwakinyo nyepesi sana
Pambano lilikua bado muamz2
Hekima kwanza
akija mgeni kwenye inchi yenyu unaanzaga wimbona wataifa wa mgeni halafu ndo unafata wawenyiji
Yaan huyu idongo ndo kapiga na Crawford huyu mbona mchovu
Wapi mabondia wenyew wabovu apigane natwaha ndo tumpe eshima zake
Upo vizuli Sana mwaknyo
Inamaana hv vinavyofanyika Twaha Kiduku haoni au!!!
Tz tunawatu mctuletee watu wenye vidonda vya tumbo kwetu hatuwataki
Tanga mikono juu 💪💪💪💪💪💪
Oyoooooooo
Afu watu ambao hawana akili wanasema kiduku anaweza kumpiga mwakinyo hiyo ni ndoto
Awezi akawa boksa uyo. Tuna mbeba sana kama ilo pambano. Refa kamaliza pambano kabla ata uyo indongo kukubali
Mm sijaona kitu kilicho fanya refa akatishe pambano jamaa alikosa balansi tu Wala Sio kwamba kapigwa ngumi zamaana ilikua ni papatu papatu Kama zamtaani yn
Mwakinyo arusha makonde ataka aanguka mwenyewe 🤣🤣
MWAKINYO HASSANI KWA KI2 ANACHOTUONUESHA WA TANZANIA N WAZ
KWAMB YEY N NEXT LEVEL.
Tumbo bovu ndo nini wachambuzi jifunzeni anaharisha?
Wanatowa Siri mpiganaji uzaifuwake
Kwa nini mwakinyo na kina dula mbabe au dula kiduku atoe sintofahamu iliyopo ni maoni tu .nafikiri akiwapiga hawa waliokuwa na mashaka na ushindi wake watakuwa wameridhika na ubingwa wake.lakini impala akiwashinda hao. Hao Wakina dula
Na hao watangazaji ni kama vile wameokotwa mtaani tu baadala ya kutangaza kwa haki sawa wao wanamsifia mwakinyo tu. yani sio professional kabisa
MNATIA AIBU WATANGAZAJI MNASHINDWA TANGAZ PAMBAN NYIE MNAMTANGAZIA MTU ACHEN. UTOT MNAKUWA KAMA SIO WASOM NCHI NYING ZINAON UTOT
Sawa mwanetu mwakinyo lakini watangazaji wa hilo pambano wasenge kweli yani, yani wanatangaza kwa kumsifia mwakinyo hadi wanamtoa mpinzani wa mwakinyo mchezoni.
We nawe ndo walewale tu
Kina nani hahhahaha
Wamemtoa mchezoni!! Kwani alikuwa anasikiliza matangazo akiwa ulingoni?
Bro ishengoma hahahaha si unajua muda mwingine yanapita masikioni kwa kasi yale matangazo
Pambano mbona lilikuwa bado kabisa, watangazaji mbona mpo bias
Bado tunafeli kwenye utangazaji..
Mwakinyo sio mtu mzuri ata kidogo
Hassani baba lao wanaokuchukia achananao
Team mwakinyo
Camera zenu haziko crea so jitahidi iwe inaonekana vizuri
Dar___sf__san__nnjinia__
Hawa mabondia mnaompa mwakinyo huwa mnawatoa wapi ka wagonjwa by team Kiduku
Hawzi kutokea wala hajawahi kutokea kama mwakinyo huyu jamaaa ni moto
huyu indongo ndo aliepgana na crawn daa pongez kwako mwakinyo
Piga mwakinyooooooo mcheza baikoko mangonga anamjuaa huyo
hawa wanano comment huu mchezo hawajui kabisa kucomment
Indongo Kama mandonga bondia wa mchongo hasani mwakinyo kayakanyaga
REFA HAKUNA HAPO... REFA KAHARIBU MCHEZO HUO..PUMBAVU KABISA
Sasa kaharibu nn hapo acha wivu
Huyu ref lazima afukuzwe kazi..bad referring
Hakuna ngumi zosote za maana na pambano pimemapizwa Bila idhini ya mpinzani
Both horrible fighters! No chin , no skills. Both not world class
Huo ndo ukweli wang kwamba Hasan mwakinyo ni bondia Bora Tz
hamna kitu apo ngumi kama za mitaani izo not pro hamna kitu badooo
Shida Pia hiyo tarehe mliyoandika na mwezi (03/08) ndio vilivyochangia Mnamibia tuvurugwa
Jamani tuwe wakweli mwakinyo hawezi kumtoa twaha kiduku
Mbona kama kapewa tu ushindi jamaa alikuwa bado anaendelea