Alikuwa anatafuta sababu ya kumwacha mumeo. Haijawai tokea umeachana na mkeo eti mwezi tu anamtu. Sema hivi alikuwa anawasiliana na huyo bwana vikamaidia akatafuta sababu wanawake hawa wasikie tu
Amefanya kama alivyoigiza kwenye Mawio anamume gabo huku anamchepuko mzungu na mimba kambebea kwaiyo akiachika kwa gabo anaolewa na mzungu wanalea mimba yao
Kweli ww mpumbavu unampa ongera mtu mjinga kama uyu yy alisema ataki mwanaume wetu anataka mwanaume wake pekeyake leo kaolewa na mume wa mtu kwasababu ya dini inaruhusu yani izi dini zitatupeleka motoni sana
Mwanaume wa yake alimaanisha sio mwanaume maruweruwe yani ana wanawake kibao anawachezea kwani si mnaelewa wanaume wa bongo walivyo na kona nyingi na waongo sasa kuolewa mke wapi maana yake ni mke na Ana mume ametulia na yaya tena yeye Tanzania yuko peke yake mwingine yupo oman sasa si bado ni Mwanaume wa peke yake hashei na hapo hapo bongo sijui unamuelewa???
@@kibouttv7148ukisema mume wa peke yako inamaanisha asiwe na mwingine hata akiwa wa ndoa labda aseme tu kuwa ameona huyo wa peke yake hawezi kumpata ila yote Kwa yote tuwatakie kila la heri katika ndoa yao
Mmmm ama kweli ww ni nyoka ss utaolewa mara ngapi jmn kwa nn umpotezee kijana wa watu mda wake tena uke wenza kweli we kiboko siyo mchezo utatambulisha wanaume wangapi kwenye mitandao?😢😢😢
Ni kweli wanawake wanasiri sana ....huyu alikuwa kishaingia kati kabla ya Mabango kutafutia mji kwenye ramani . Ilipangwa alipuliwe akaingia kwenye box . 😅😅😅😅
UNASEMA HUJUTII KUCHORA TATUU RUDI KWA MASHEIKH UULIZIE ATAKAEKUFA NA HALI ANA TATUU HUKUMU YAKE NINI UTAPATA MAJBU KUTOKA KWENYE KINYWA KITUKUFU CHA MTUME( S A W) .
@@abakibibi9917 hlf juzi alisema kakake ako mskiti kwa hiyo huyu kakake pia kachora tatuu siyo unadhalilisha dini ya kiislamu hakuna ayaa hata moja inaruhusu mwislamu kuchora tatuu
Hasbunallah waneemal wakeeyl 🤲 Allah akupe ndoa ya kheri, baraka na amani Isha wangu❤️❤️❤️❤️❤️🙏🌹
Mbona jina langu umeliita vibaya?...iyo inaitwa Hasbunallah waneemal wakili...Mwenyezimungu anatutosha
❤❤❤❤hakuna cha pekeako
Hongera mwaya
Ila isha anaimba bana❤❤
Ivi insha na shilole wanatoaga wapi wanaume maan wakiachna hachikuii mwezii wanaleta vifaa vingine ilaaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂wanakuwa online ukivurunda tu kitu kinaingia mashangaz hawatakag mengi
😂😂😂😂
Vijana wanakuwa wanaomba kwahyo application znakuwa pending
😂😂😂
@@MohamediKalanje umeona eee yn shwaaaa
😅DUNIA HII NGUMU JEURI HUNA ULISEMA UNATAKA MWANAUME WA PEKE YAKO MUME WAKO SIYO MUME WENU SASA HAPO NI MUME WAKO AU WENU. 🤣
😂😂😂😂😂
Watu mnakumbukumbu😂😂😂😂
🤝🤝🤝🤝weee huongopi, na usahau.umenikumbusha kweli.hajibu swali
Nakupenda sanah dada isha mungu akufanyie wepes katika ndoa yako ❤❤
Nimeipenda hiyooo ❤❤❤ hongera
Huyu shangazi Apimwe Akili yeye si alisema anataka mume wake hataki mume wetu imekueje kuingia kwenye ukewenza Afya yaakili tatizo kwakweli😊
Mwenyezimungu akufanyiye wepesi
Hongera mwanangu tuletee mjukuu chotara wa Ki oman na kikurya atakuwa handsome boy au beautiful girl.🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mashallah ushampata wa pekeako mungu atakuona kwa maneno yk
Mmh Hata selew akili inachanganyikana tu uyu Isha
🙌
Alikuwa anatafuta sababu ya kumwacha mumeo. Haijawai tokea umeachana na mkeo eti mwezi tu anamtu. Sema hivi alikuwa anawasiliana na huyo bwana vikamaidia akatafuta sababu wanawake hawa wasikie tu
hovyo huyu dada
Kwini Mabango Alioa Lini Jamani Nijuzeni
@@AishaIddy-bt3rl hajaoa huyu ndo ameolewa eti na mwingine
Amefanya kama alivyoigiza kwenye Mawio anamume gabo huku anamchepuko mzungu na mimba kambebea kwaiyo akiachika kwa gabo anaolewa na mzungu wanalea mimba yao
Hasbunallah waneemal wakeel. Ikawe ndoa ya kheri na baraka ❤❤❤
Ndio maana hakutaka kumsamee mabango,kumbe teyali alikuwa na mahusiano mengine,ila wanawake sisi Mungu anatuona
Isha nakupenda bure,hongera
Kweli ww mpumbavu unampa ongera mtu mjinga kama uyu yy alisema ataki mwanaume wetu anataka mwanaume wake pekeyake leo kaolewa na mume wa mtu kwasababu ya dini inaruhusu yani izi dini zitatupeleka motoni sana
Hiz ndoa za kiki hiz 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Huyu si alisema anataka mwanaume wa peke yake vipi tena kwenda kuingia kwenye ukewenza tena
😂😂😂😂😂
Mwanaume wa yake alimaanisha sio mwanaume maruweruwe yani ana wanawake kibao anawachezea kwani si mnaelewa wanaume wa bongo walivyo na kona nyingi na waongo sasa kuolewa mke wapi maana yake ni mke na Ana mume ametulia na yaya tena yeye Tanzania yuko peke yake mwingine yupo oman sasa si bado ni Mwanaume wa peke yake hashei na hapo hapo bongo sijui unamuelewa???
@@kibouttv7148ukisema mume wa peke yako inamaanisha asiwe na mwingine hata akiwa wa ndoa labda aseme tu kuwa ameona huyo wa peke yake hawezi kumpata ila yote Kwa yote tuwatakie kila la heri katika ndoa yao
Jamani uyu dada sikasema Ataki kushea mume anataka wapeke yake
Mmmm ama kweli ww ni nyoka ss utaolewa mara ngapi jmn kwa nn umpotezee kijana wa watu mda wake tena uke wenza kweli we kiboko siyo mchezo utatambulisha wanaume wangapi kwenye mitandao?😢😢😢
Sasa uritaka hazini mbaka Rin wabongo mnapenda zinaha ndio mnashangiria lkn harari hahahahaha,,,bola mitala amefanya suna na mungu anafuraiya harari
Hongera hongera mmungu akusaidie ishallah
Umemuona mabango maskin ukamtaftia sababu duuu alafu wasanii kioo cha jamii mna ukioo gan ss
Alikuwa anaye kitambo na ameshafanya maamuzi hii ni sbbu ilikuwa inatafutwa na imepatikana
Umegonga ndipo
Kweli alitaka sababu.jamanii😢😢 sio vzr lkn
Kweli kabisa kiukweli hajamtendea haki
Sana maana ktk ya ugomvi kesha pata mchumba na ndoa juu inatia mashaka.
Umeongea kweli yani mi naskiya simpendi weaca tu atayeye atapata mke mwema
Masha Allah
Hongera isha mashaallah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂ebu nicheke kwanza.
Afu niishie hapo
Mashaallah ❤️ 👌👌
Ngoma nzuli hongera isha
Mashaallwh lnsha ❤
Uyu Alikuwa na Bahasha Wake Tangu muda, Ila alikuwa anatafutia Sababu
Kabisa 😂😂😂
Kila mwenye mumewe oman alioenda tz achunguze huenda ndio aliomuoa isha 😂
😂😂😂😂😂 Sitaki mie
Mashaallah jamani mbona RUANGWA sijui niruke ni kajionea mwenyewe
Hongera kipenzi
Huyo Malaya tu kma Malaya wengine
Jaman isha mara moja hii chumba mara chap ndoa haya maa shaa Allah Allah awatangulie😅😅😅😅
Allahumma Amiin 🤲
😂😂😂
Mmmh 😮jamani uyosha sialisema anataka mwanaume wapekeyake😅yaani wakwake2 imekuaje😅😅😊
Ongera yakodada munguawasaidie
Isha Aliongea hapo hapo studio kwenye masham sham kwamba nataka mume wangu sitaki mume wetu, Sasa mbona kaolewa na mume wa mtu?
Hapo sasa uongo watu kusahau motoo
Kiungo kinachoitwa MMDOMO, 😂😂😂😂
Uyu si kubwa jinga
Mpk dida akamuuliza utampta wapi wapekeako
Omani. Matapeli tu
Uwezi kuwa na mume wa peke yako hata cku Moja c huyo kachukua mume wa wote,huyo mwanamke Isha alikuwa ampendi mabango
Maashaallah mafii mshikila tumeolew wengi tuy oman
Hongera
mmhh nashindwa kuelewa kwahiy alikua na wanaume wawili kaachika tu kaolewa 😢
Atakuwa ndio maana alimtafutia sababu
Rangi inawababaisha sana hawa dada zetu,huyo Bwana alikuwepo Huna nyimbo wewe,uachane na mtu mwezi mmoja halafu unafuatia UNAOLEWA ACHA UONGO WW
Uyu pia alikua anamipango y kando
Somo Hongeraa siri ya mafanikio kinganganiziii
Jamani hiyo makaburi pia tunashare now
Anawajua wanaume wa Oman lakini- atakuwa ni mzee mgonjwa wa sukari huyu Oman hata kiwi Tena pole bidada
Shwaaaaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jmn
😂😂😂😂😂😂😂
Alitaka sababu kwa mabango ili aolew si ungesema tu 😮😮we kiboko.dada😅😅😅duuuu
Wanawake wa kiarabu hawana manjonjo dada utashinda chumba chao kama stoo
Halafu haya mambo sijui nimetoka kwa Mweusi naenda kwa Mweupe ,Maneno gani hayo ya KIJINGA ,KWAHIYO RANGI NDIYO IMEKUBABAISHA "PROPER STUPID "
Hata kama katoka kwa mweusi kaenda kwa mweupe, bado huyo mweusi alimtumia kisawa sawa
Ila hawa wanamuenjoy sana mna alisema.kumaliza hapa sai amerd kujimaliza hapa hapa
Alikuwa hampendi tu mabango mbona kaingia mulex2
Si alisema anataka wa peke yake imekuwaje tenaa
Nakukubali dada wanao kusakama ujatuli kuolewa jambo la kheli kuliko uzinifu nakupa hongera
Huyo muoman atajuta na nyimbo juu kaingiliwa na studio kbs kutambulishwa Rabby endelea kunilindia ndoa yng nisiwe kama hv maana ni mtihan
Isha alisema anataka wake peke yake sai amekua mke mwenza alooo
Hapa ndipo🎉🎉🎉🎉🎉
Juzi tu hii ni ile panda mti panda mti😂😂😂
ukahaba tu ..sijui hta watoto wao hujifunza nn kupitie kwao
Mtumzima umalaya tu
Mashallah 😂Mshangazi ikawe ya heri 😂wengine wanakosa wakuwawowa jamani 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ebu nicheke kwanza.
Afu niishie hapo
hana baya isha
Isha si alisema anataka mume wake, hataki mume wetu, Jamani ukiwa unaongea ubakishe maneno.
Kabisa
Dida na ww nataman uolewe❤😂
kunakesho mama usimalize maneno
Sukasema anamtaka wapekeyake sakwanini aende mchukulia mwezie
😂😂😂😂😂😂isha ywamuuliza dida nawee ulitokaje bila talaka,mwijaku sasa😂😂😂😂balah la tanzania😂😂😂😂ety halijikuta tuu na bag
Nampenda san isha lakin niwakumbushe wadada jaman kuolewa kwa muda husika kuna saidia uoneni anti zetu wanavyooangaika😢
HUYU ni yule aliesema nataka mume wangu mimi sitaki mume wetu😂😂😂😂
Kaolewa wa pili 😂😂😂.....
😅😅😅chapeke yake nikabur tuu
@@faridadondo2103 nac ilikua tunasubiria tumuone huyo wa pekee
Sindo apo😂😂😂
Naikumbuka hii
Mshamba tu isha ulisema unataka mume wako mbona upo na mwenzio
Kila la kher dada Isha
❤❤kaniganda
Jina la nyimbo jmn kpnz
Mimi naiombea hii ndoa khery
Izi zote ni Kiki wabogo😅😅
Isha hongera mamuuzi uliyojiamulia ndoa ni stara , ila nimeumia cjui kwa nini yaan kama mimi ndio mabango ila kheri yote
Mmmh msiwe mnamaliza maneno
Saf san maashaallah ndo kituy nilikuw nataman hiv
Kubwa zima😂
😂😂😂😂da dida nakupenda sana yano itikiq zako huw zinqniua
Na kwa nini hataki tumuone wanaume wa Oman utalia saana
Kweli we mkurya dada looh ukagoma kabisa kumsamehe mabango😂😂😂😂
😅😅😅😅😅 yan kunanoga tz
Alisema anataka mme wake hataki mume wetu kampimeni akili uyo
😂😂😂😂😂😂yaani
ndo maana isha alikaza kwa mabango hongera umepata ndoa
❤❤❤
Atamkumbuka mabango omani hakuna wanaume.
Hii imeendaaaaa
Sasa eda imeisha lini
Wanapenda chini hao hatar ujipange wala tende hao😂😂😂😂😂waarab
Bado aingilini akili hukum ya (mabango) babu seya
Ni kweli wanawake wanasiri sana ....huyu alikuwa kishaingia kati kabla ya Mabango kutafutia mji kwenye ramani .
Ilipangwa alipuliwe akaingia kwenye box . 😅😅😅😅
Ila dida eti eee kingereza😂😂
Lkn jmn isha analinga
Songi hilooo ,kaniganda
Mmh oman huko kwema asije akataka ...... ya dada yetu
Dida na ww olewa km isha kaolesa😂
Si alisema anataka wakwake pekee yake huyu???
Kazi ipo
So umalaya kuolewa jambo la kheli mnataka azini
Ishabn uyuuu ndo wako peke yakooobUlikuwa nae dadaaa
Ila Isha ni shinda tu 😅😅Ila Mimi namupenda San tu❤
UNASEMA HUJUTII KUCHORA TATUU RUDI KWA MASHEIKH UULIZIE ATAKAEKUFA NA HALI ANA TATUU HUKUMU YAKE NINI UTAPATA MAJBU KUTOKA KWENYE KINYWA KITUKUFU CHA MTUME( S A W) .
@@abakibibi9917 hlf juzi alisema kakake ako mskiti kwa hiyo huyu kakake pia kachora tatuu siyo unadhalilisha dini ya kiislamu hakuna ayaa hata moja inaruhusu mwislamu kuchora tatuu
Mtihani
@@SaumuSalimu-k8v TOKEA AMEACHIKA MUDA WA EDA HAUJAMALIZIKA AMEOLEWA
Eda tayari jamani we ganda tuu tupo pamoja
Kwan uyuu s ndo alisema anatak mwanaume wa pekeake...😂😂😂😂😂
Dida na uzee wote unatak kuolewa😂😂😂