Nashukuru Sana mwalimu ndacha kwa hekima ulio nayo ya mungu.nakubaliana nawe 99% lakini kuna 1% ambayo ningependa tujadiriane hapo kwa siku ya sabato.kwanza nitaanza kwa kukuliza usome Ephesians 2:14-15.utoelewa kwamba Leo hatumwabudu mungu kwa njia ya torati bali kwa njia ya kumwamini yesu lakini sio njia ya kutimiza torati.pili soma Colossians 2:16 tusiruhusu MTU yeyote kutuhukumu kuhusu kuheshimu siku ya sabato kwa maana hiyo ilikua ni kivuli Tu cha kristo.sasa tukiwa na Kristo hatufuati tena kivuli .
Kumwabudu mungu kwa njia ya torati kumeondolewa na Kristo Aroma 10:4-5,maana torati sio ya Imani Galatians 3:12,njia imebaki ni ya Imani ndani ya Kristo .hatuezi tena kurudi kuifuata njia ya torati kwa kuanza kuheshimu siku maana tutakua tumeondoa Imani ndani ya Kristo na bila Imani hatuezi kumpendeza mungu.
Ambao wanamwamini Kristo,siku zote ni Sawa na hawana siku kubwa kuliko ingine.wenye kuheshimu siku moja kuliko zingine ndio wayahudi waliomkataa yesu na waliopinga KAZI ambayo alitumwa na Baba afanye.sisi twaheshimu Kristo ambaye ameondoa torati yote.colosians 2:14-15
Mbona nyinyi watu hamwelewi...yesu alisema njooni nyinyi nyote mlikua na mizigo. Yesu anaambia wenye thambi,,kumanisha mwenye thambi hajui hats siku ya sabato,,,,ukisha mkubali yesu kristo basi unafwata anavyo Fanya sabato ikiwa ya kwanza ...mwenye thambi hajui sabato ni lini,,maana,, yeye ni mwenye thambi
huyo mwenye anatoa warumi 3.19 to 21 mngemsomea 31 verse the same chapter ili ajue Paulo alimaanisha nini. watu wa sunday ni wabishi tu. mbarikiwe sana walimju wangu. nimekuwa nikifuatilia from GERMANY
Yesu ndio muombezi atatuombea kwa nani na ikiwa ww ndacha huwa unasema yesu ndio mungu, ndio atatufufua na ata tuhukumu leo unasema yy ndio muombezi anatuombea kwa nn? Kweli ukiwa muongo kwenye dini utaumbuka tu
@@erickmaisha4773 The same Qualifications that you used to get a job are the same Qualifications that someone has at home 🏡but unemployed The same road that used everyday it's the same road that has killed very many people So be humble youngmen it's just by the grace of God we are living happily
Wakiristo wamejuaje Kua dini Yao ni ukiristo wakati yeso hakulitumia Hilo jina wala wanafunzi wake wanafaa watambue Kua hawana dini Kitabu Chao pia hakuna uhakika Kua ni injili ya yeso kwa sababu injili original hakuna hebu wakiristo fungukeni macho waisilamu sio Kua Wana kejeli la wanawafahamisha ukweli ulipo tafuta chanzo cha ukiristo kihistoria ndio utajua yeso Hakua mkiristo.
I hate this pastor mwenye suit ya black bahaviurs😬😬😬maandiko yakisomwa yeye ni kucheka kama mpumbavu.. Ameona washiriki wake watatoroka kanisani akose sadaka, sasa anakuja kuconfuse watu...
Safi waeleweshe Waksristo wenzangu wasome Biblia na waufuate
Nafurahiii Sana Sana niliona ndugu Hawa wapo pamoja Mungu Baba awalinde , asiwapungukie
Barikiwa Sana walimu kwa kazi nzuri unayo ifanya
mungu tupiganie,wape nguvu walimu par ndacha
Nashukuru Sana mwalimu ndacha kwa hekima ulio nayo ya mungu.nakubaliana nawe 99% lakini kuna 1% ambayo ningependa tujadiriane hapo kwa siku ya sabato.kwanza nitaanza kwa kukuliza usome Ephesians 2:14-15.utoelewa kwamba Leo hatumwabudu mungu kwa njia ya torati bali kwa njia ya kumwamini yesu lakini sio njia ya kutimiza torati.pili soma Colossians 2:16 tusiruhusu MTU yeyote kutuhukumu kuhusu kuheshimu siku ya sabato kwa maana hiyo ilikua ni kivuli Tu cha kristo.sasa tukiwa na Kristo hatufuati tena kivuli .
Kumwabudu mungu kwa njia ya torati kumeondolewa na Kristo Aroma 10:4-5,maana torati sio ya Imani Galatians 3:12,njia imebaki ni ya Imani ndani ya Kristo .hatuezi tena kurudi kuifuata njia ya torati kwa kuanza kuheshimu siku maana tutakua tumeondoa Imani ndani ya Kristo na bila Imani hatuezi kumpendeza mungu.
Taji ya uzima yakungojea dacha ... usichoke kuifanya kazi ..twakuombea mungu akupe nguvu ujasiri na hekima ....itokae juu mbinguni
ujumbe mzuri....tuwafundishe hadi Yesu Arudi mara ya pili
Asanteni sana Kwa kuja kwetu githurai 👍
God bless you my professor NDACHA I wish you Long life for Grace of God and Jesus Christ
Kazi Njema PST.NDACHA,PAUL, ONYANGO & the Team.May God Empower You to Advance His Kingdom 🔥🔥🔥
Mungu aendele kuwasaidia Na kuwapa marifa
🙏 Amen 🙏 🙏 Mungu wa mbinguni awabariki sana Watumishi 🙌🏻🙌🏻
Keep it up, we r praying for u
Ni kweli kaaabisa
I love the word of God...huyu mtumishi mungu amueke...
Amen Mungu awalinde na awabariki🙏🙏
Thanks 0nyango plus Ndacha hao Waze e wamekuja kushindana na si kujifunza bora hata wasio na dini
This was the best combination. May God hold the winds that they don't blow until God's angel finishes sealing His people.
Ndacha deserves this gentleman to work with him..I love your hardworking youngmen You are killing it 👏
Mwalimu paulo ubalikiwe tu kwa kipaji ulichopewa cha usomaji kama mashine
Msomaji wa ndacha 🤣🤣na pastor ndacha mungu awabariki🤗🤗🤗🤗
Mungu akubariki Mwi jilisti KAZI itamalizwa na.waley
Enyewe tunakosea mbele za mwenyezi mungu watu hutusamahee makosa yetu
Sabbath day is Saturday WHILE Sabbath rest is resting in Jesus CHRIST
Ambao wanamwamini Kristo,siku zote ni Sawa na hawana siku kubwa kuliko ingine.wenye kuheshimu siku moja kuliko zingine ndio wayahudi waliomkataa yesu na waliopinga KAZI ambayo alitumwa na Baba afanye.sisi twaheshimu Kristo ambaye ameondoa torati yote.colosians 2:14-15
Kazi nzuri kabisaa, Mungu awe nanyi.
That pastor who was teaching family life.. You have to include him there.
Ubarikiwe mtumishi wa mungu.
ALL IS VANITY UPON VANITY ONLY REAL FAITH COUNTS👍
" THANKS FOR PREACHING THE TRUTH👍💯 ❤🌹🙏
But faith without works it is dead...
@@paulocharo7780 We must testify !
"Testimonies are convermition of God with us!
Amen
Penye wanaume wamesimama nearly 95% men ukweli neno limewaingia sio rahisi kupata idadi kubwa ya wanaume wakisikiza neno la Mungu.
Amina...
God bless you Ndacha
How can I get the update of your meetings,I am here in Nairobi.
Hapa ni githurai 45
Yeshua Messiah nisaidiye kutenda kulingana na mapenzi yako.mafundisho haya twaelimika sana na kufunguliwa macho.
Waaaah
MUNGU awe pamoja nawe
Kama ww n SDA kweli kweli wacha kutuma pesa coast field tuma Kwa hawa watumishi ndacha jamani hakika hawa mungu amewatuma
Mbona nyinyi watu hamwelewi...yesu alisema njooni nyinyi nyote mlikua na mizigo. Yesu anaambia wenye thambi,,kumanisha mwenye thambi hajui hats siku ya sabato,,,,ukisha mkubali yesu kristo basi unafwata anavyo Fanya sabato ikiwa ya kwanza ...mwenye thambi hajui sabato ni lini,,maana,, yeye ni mwenye thambi
😢💟💟💟🇹🇿👨👨👧👧
huyo mwenye anatoa warumi 3.19 to 21 mngemsomea 31 verse the same chapter ili ajue Paulo alimaanisha nini. watu wa sunday ni wabishi tu. mbarikiwe sana walimju wangu. nimekuwa nikifuatilia from GERMANY
Sabato sabato sabato😔😔kwani ulifanyia watu nini?? Yaani wachungaji wakumbwa hivi wanapotosha watu namna hii na maandiko yako wazi
Yanasemajee
Yesu ndio muombezi atatuombea kwa nani na ikiwa ww ndacha huwa unasema yesu ndio mungu, ndio atatufufua na ata tuhukumu leo unasema yy ndio muombezi anatuombea kwa nn? Kweli ukiwa muongo kwenye dini utaumbuka tu
Kwa nini Pastor Onyango hampi pastor nafasi?
Nilifariki
This is a biter truth
@@erickmaisha4773 wait for the embarrassment moment..But Dasa understood the assignments
@@erickmaisha4773 The same Qualifications that you used to get a job are the same Qualifications that someone has at home 🏡but unemployed The same road that used everyday it's the same road that has killed very many people So be humble youngmen it's just by the grace of God we are living happily
@@erickmaisha4773 Goodbye 👋 kwa here see you soon Nitakuona hivi karibu Nilifariki
Jesus(Yashua) died on Wednesday...not friday....and wanafunzi kukusanyika ilkuwa mkutano(iddi) ya pasaka
Wakiristo wamejuaje Kua dini Yao ni ukiristo wakati yeso hakulitumia Hilo jina wala wanafunzi wake wanafaa watambue Kua hawana dini Kitabu Chao pia hakuna uhakika Kua ni injili ya yeso kwa sababu injili original hakuna hebu wakiristo fungukeni macho waisilamu sio Kua Wana kejeli la wanawafahamisha ukweli ulipo tafuta chanzo cha ukiristo kihistoria ndio utajua yeso Hakua mkiristo.
Mark 9v31 yesu anatambua wafuasi wake ni wakristo
@@peternatilotroturo9387 sijui anaongea nini uyo Emanueli asikii wala aelewi
😅uyu hajasoma tafsiri ya quaran utaongoka kabla umalizie sura tulfatiha bwna
Wewe ndacha mwenzako mchungaji akitaka kuongoea au kufafanua unamkatiza katiza lkn wewe unaongea sana
I hate this pastor mwenye suit ya black bahaviurs😬😬😬maandiko yakisomwa yeye ni kucheka kama mpumbavu.. Ameona washiriki wake watatoroka kanisani akose sadaka, sasa anakuja kuconfuse watu...
Ukweli
Mungu atusaidie sana