A - Z BABU RAMA wa KARIAKOO ALIVYOJIUA - HAPA NDIPO ALIJIPIGA RISASI - MWENYEKITI -DADA'KE WASIMULIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 114

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  7 місяців тому +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 7 місяців тому

      Usiwatetee au ulipowa chcht mzungumzajii iyo siokweli wamemsababishis mangapi iyo serikari iyo niserikari mukumbile ilo nijasho lakedhuruma jmn muiogope Dunia alikuwa na mgogoro miaka mingi Masada waserikari niuo kiua badirikeni Dunia sio yenu hii😮😮

  • @tsumiduwe1406
    @tsumiduwe1406 5 місяців тому

    ASE HUYU BABA ALILALAMIKA SANA HAKUSAIDIWA ALIACHWA MWENYEWE MUNGU WA MBINGUNI AILAZE PEMA ROHO YAKE AMINA

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 7 місяців тому +4

    Wewe mwenyekiti mapumbu ya baba ako mbwa wewe na ufe leo leo chawa wewe unaongea nini mbuzi wewe dah kwakweli inauzunisha sana kwa ili tukio majaliwa inabidi ajiuzulu haraka sana maana ameshindwa kumsaidia miaka 7 dah😢😢😢😢😢😢😢

  • @kelvinfasili44
    @kelvinfasili44 7 місяців тому +10

    Damu ya uyu Mzee ipo mikononi wa serikali yaani Raisi, waziri mkuu na TRA maana taarifa zake wanazo. Inasikitisha sana hii Nchi Hakuna aliye salama.

  • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
    @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 7 місяців тому +15

    Mwenyekiti upo gizani sana sema tu tumwachie Mungu

  • @seluyangogo3965
    @seluyangogo3965 7 місяців тому +2

    Mwenyekiti mweu

  • @ANDREWGADIMRINJI
    @ANDREWGADIMRINJI 6 місяців тому +1

    Amejiua au aliuwawa?

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 7 місяців тому +3

    Huyu mwenye kiti anatakiw anunuliwe MB za kutosha ili anze kuangalia video UA-cam za mwanzo wa tatizo lake mpaka alipo fikia mwenye kiti mjinga kabisa kweli sio kila mzee ana busara eti babu Rama anataka kuchonganisha serekali na raia wake

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 7 місяців тому +8

    Mwenyekiti jiuzuru!

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 7 місяців тому +5

    Mwenyekiti hajui chochote.

  • @OmarKayuki
    @OmarKayuki 7 місяців тому +15

    Ndugu, huyu babu Rama ameumizwa na watumishi wa TRA tangu alipoingia Tanzania kutoka Afrika ya Kusini na bidhaa zake, TRA wamedhulumu nafsi yake, huwo ndiwo ukweli.

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 6 місяців тому

    We baba nyamaza, watu wameumizwa sana na serikali hizi, we mshukuru mungu kama unaamani

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 7 місяців тому +5

    Mwenyekiti naye kajichokea na maisha

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 7 місяців тому

      hana uhuru wa kuwakosoa viongoz waliopo atapotezwa watu walikosoa serkal kwa magu tu masio kwa samia ukikosoa unakwisha

  • @clementinerrwekiti5147
    @clementinerrwekiti5147 7 місяців тому +4

    Mwenyekiti c bora unyamaze tu kwa sababu naona unaniboha

  • @abednegomhamba1471
    @abednegomhamba1471 7 місяців тому +7

    Hivi serikali inasemaje kuhusu hili sakata au TRA ndiyo wenye nchi? Basi watamaliza watu wengi

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 7 місяців тому +2

    Ndio jinsi tunavyopotoshwa na hawa wanaojiita viongozi wetu. Msikilize jinsi huyu mwenyekiti anavyopindisha mambo yaliyowazi. Eti hajui kkitu chochote . Si jambo la ajabu sana hili ? Tuwe waungwana na wacha Mungu kwa mambo yaliyowazi.

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 7 місяців тому +9

    Kama sio msemaji nini kimekupeleka hapo?
    Achia familia we

  • @henrykibodya1207
    @henrykibodya1207 7 місяців тому +6

    Mwenyeki takataka

  • @SangioNgoo
    @SangioNgoo 7 місяців тому +2

    Hiki kifo kina utata mkubwa. Huyu mwenyekiti achunguzwe. Nasema hivi kwa sababu anasema watu waache kusema kwa hisia wakati yeye anatumia hisia kuhitimisha kuwa marehemu kajiua. Ni mwenyekiti mpumbavu tu ndiye anaweza kusema ujinga huu. Ukifanyika uchunguzi wa kina na huru unaweza kuibua mambo mwengine. Narudia tena. Huyu mwenyekiti kuna kitu anajua, na pengine ameshirikishwa kwenye kukifanikisha.

  • @MeryJonh
    @MeryJonh 7 місяців тому +5

    Sijaelewa linaongea nini uyu atakuwa Muhamiaji labda🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 7 місяців тому +5

    Chairman kalamba asali!!😂😂

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 7 місяців тому +5

    Mwenyekiti wa mchongo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 7 місяців тому +5

    Mwenyekiti alikua karibu na marehemu lkn hakuwahi kujua masahibu yake🤔!!!

  • @paulMaker-d2r
    @paulMaker-d2r 7 місяців тому

    Mwenyekiti anastahili kupigwa viboko 😂 awezi kuongea mtu mzima bila kujielewa na kujua kiasi icho au na yeye kaambiwa ataachia ngazi 😅..eeh mungu siasa zetu izi tunusuru nazo💔

  • @FredrickFilbert
    @FredrickFilbert 3 місяці тому

    Huyu ndiye Mwenyekiti

  • @brudapesa1674
    @brudapesa1674 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂ila sinto bhna aibu naona mm😂😂😂😂

  • @HamisLeo
    @HamisLeo 7 місяців тому +8

    Hv ss watanzania tukoje? Mtu ametangaza kwenye media zote kwamba amezurumiwa na serikali ya tzania kuptia T.R.A.rais anajua wazri mkuu anajua, wazri wa fedha anajua lkn hakuna aliye kanusha tuhuma za huyu mlalamikaji. M/kt mungu anakuona acha unoko

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 місяців тому

      Kwel kabisaa hawa TRA. Ni nguruwe kabisaaaa

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 місяців тому

      Ila yupo Allah mfalme wa wa Falmee atawakomesha hawa nguruwe wote wa T. R.A. walio mzulumu mzee Rama.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 7 місяців тому

      Inshaa Allah

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 7 місяців тому

      mshamba sana wee mwenyekit na utakaa hapo kutumika na uwoga wako tena unalana wee,
      utakaa na ulofa mpka kaburin uendako..yan brother huyo anapmbania haki yake for so long.. dhulma kafanyiwa na hata rais,wazir mkuu,wazir Wa fedha hakuna aliekanusha ila wewe uko porin hapo unaongea bila hata ya kujiridhirisha na kuja mbele ya mic.., acha kujipendekeza kwa viongoz wako Ili mtu marehem aonekane mkosefu..shit

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 7 місяців тому

    Kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa Ni nyepesi Saaana, kama hutumii au hunufaiki na madawa ya kulevya, vita ya madawa ya kulevya huwa Ni nyepesi

  • @henryjoseph5233
    @henryjoseph5233 7 місяців тому +2

    Mwenyekit acha ujinga

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 7 місяців тому +4

    Kaa kimyaaaa

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 7 місяців тому

    Mbona ameleza sana matatizo yake 😢serekal ndi wamemtapeli 😢 mpka amejiua😢

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 7 місяців тому

    Ayayay😢 jamaaa yangu huyu pore

  • @mahamudali1453
    @mahamudali1453 7 місяців тому

    Huyu marhemu apewe fidiya FAMILIYA YAKE NA SEREKALI NA AFISA WA TRA ASIMAMESHWE KAZI

  • @longinuskomba9887
    @longinuskomba9887 7 місяців тому

    Kwa hali ilivyo ukiona unabifu na mtu wa Serikali, cha kufanya ni kumalizana nao

  • @abednegomhamba1471
    @abednegomhamba1471 7 місяців тому +2

    Kujiuwa siyo sahihi lakini mwenyekiti asitetee serikali, TRA wamehusika mwanzo mwisho.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 7 місяців тому

    Vitu kama hivi Mungu pekee ndiye ajuaye...
    😭😭

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha 7 місяців тому +3

    Natamani nimtie ngumi kumanyoko uyu sema nimegundua ntaua cmu yngu ila ww mwenye kiti kuna kitu

  • @davidmwandenuka1712
    @davidmwandenuka1712 7 місяців тому +5

    Sijawahi kuona mpumbavu kama huyo mwenyekiti mshenzi kabisa ina maana hajasikia ntunzwe alivyo kuwa ana lalamika?mpaka kwa raisi na waziri mkuu??halafu unaongea ukenge

  • @ANDREWGADIMRINJI
    @ANDREWGADIMRINJI 6 місяців тому

    Huyu ni mtu wa wapi..ina maana hakujua alikuwa na mgogoro na TRA?

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 7 місяців тому

    Aagh, wapi, huyu kauwawa bhana..

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 7 місяців тому

    mali zao azito wa faaaa duniani wala Akhera .....Mwenda zake alikua ana utu ila kwa sasa serikali imejiziba macho

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 7 місяців тому

    Mwenyekiti tutokee hapa! Hivi milion 986 unaijua? Ukinyang'anywa na serikali utafrahia? Hujui kitu kaa utulie!

  • @yusuphwella9651
    @yusuphwella9651 7 місяців тому

    Kila saa anatoa wito...😢

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 7 місяців тому +3

    Kwan huyu mzee alikua hajui babu Rama alikua anawadai TRA

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 7 місяців тому

    Kapigwa risasi sio kajipiga 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 місяці тому

    Tra serkali wazir mkuu vyomba vya usarama na rais mnamaswari magumu mbele ya Allah tabaraqa kila mchunga ataulizwa alivyochunga

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 7 місяців тому +1

    Mwenyekiti alipits bila kupingwa.

  • @tanzaniaboy9605
    @tanzaniaboy9605 7 місяців тому

    Akili za kuambiwa changanya na zako jamaa kapambana sana kutetea haki yake alafu mtu anakuja tu anabwabwanya unaambiwa malipo hapa hapa tu

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 7 місяців тому

    Tangu enzi za Maskulinum masikini kesi yake

  • @stevensosipita
    @stevensosipita 7 місяців тому

    HUO NDO UKWELI WEWE MWENYEKITI FUNGA MDOMO WAKO USITAFUTE LAWAMA NA WATU HUYO KHAMIS RAMADHANI KAJIUA KWAAJILI YA SERIKALI KWAKUDHULUMIWA PESA ZAKE NA TRA.

    • @emmanuelletema8385
      @emmanuelletema8385 7 місяців тому

      Inasemekana kapigwa risas

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 7 місяців тому

      @@emmanuelletema8385 HILO PIA LIPO KWANI HIVI SASA TOKA JPM KAFARIKI SERIKALI HAIJALI TENA RAIA NA IMEFIKIA KUTOA WATU ROHO

  • @JumaKitutu-t4s
    @JumaKitutu-t4s 7 місяців тому

    Malipo hapa hapa duniani.
    Lazima mupitie ngumu kabla hamujafumba macho.

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 7 місяців тому +2

    Mwenyekiti famba kabisa

  • @hamadgusagusa8675
    @hamadgusagusa8675 7 місяців тому

    Kiukweli haingii akilii ikiwa utafuatiliya kiundan

  • @selemanibilali8405
    @selemanibilali8405 7 місяців тому +2

    Mwenyekiti anaangua kichaa

  • @emmanuelletema8385
    @emmanuelletema8385 7 місяців тому

    Hawa ndo wenyeviti wa Magufuli waliokuwa wanapita bila kupingwa .yaan hovyo kabisa hajui hat anaongea nn 😮

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 7 місяців тому +1

    Kwani wongo

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 7 місяців тому +5

    Huyu ndio mwenyekiti ?

  • @tamashaharuna9345
    @tamashaharuna9345 6 місяців тому

    Huyu hajajiua aliuwawa

  • @ZachariaLufunga
    @ZachariaLufunga 7 місяців тому

    Hatari sn laana ya ukoo inawatesa selikali!

  • @iambaizo
    @iambaizo 7 місяців тому

    Imagine huyu ni mwenyekiti just imagine tu ,

  • @josephinamkono5183
    @josephinamkono5183 7 місяців тому

    Tra wakikudai utaona ukiwadai mpaka ufe waziri mkuuu duu

  • @abednegomhamba1471
    @abednegomhamba1471 7 місяців тому

    Inasikitisha sasa!!

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 7 місяців тому

    We mwenyekiti we ni mjinga usikatae yanayo ongelewa kaa na uwenyekiyi wako si unajilinda ndio maaana unakataa kua jamaa alikua hadai selekari

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim3392 7 місяців тому +1

    Huyu kamroga ndio kajiuwa

  • @mohdnasser3620
    @mohdnasser3620 7 місяців тому

    Huyo ni uongo Hamisi kauwawa na watumishi wa TRA nasina Shaka hate serikali inahusika

  • @emilynathanielluvanda8298
    @emilynathanielluvanda8298 7 місяців тому +2

    Unapoambiwa hujui kusoma hata pcha huoni?
    Ndo hiyo sasa.

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 7 місяців тому

    Video Ina MAKELELE Mno.!

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 7 місяців тому

    Hata nyimbo ya mch Mbalikiwa hakuwahi kuisikia 😂😂😂simu anayo mwenyekiti ila uwa Haina bando

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 7 місяців тому

    huyu baba analinda uwenyekiti wake maskini

  • @Saddamyusuphsavannah
    @Saddamyusuphsavannah 7 місяців тому

    alaisi

  • @Syikiwaryoba
    @Syikiwaryoba 7 місяців тому

    Hujielewi ww eti mwekiti mwenyekiti bongoooooooo

  • @AminaAmine-v4m
    @AminaAmine-v4m 7 місяців тому

    Huyu babq amelalamika mno 😢😢😢

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 7 місяців тому +1

    WEWE MWENYEKITI FALS KWELI, WALS HUKUWA HATA NA UWEZO WA KUMSHAURI NTUZWE LABDA USEME UNGETAMANI AKUPE HATA MKATE TU, NENDA KALALE TU.

  • @BarnabaJaphety
    @BarnabaJaphety 7 місяців тому +3

    Kwer hapo hakuna mwenye kiti hapo kuna mwenye kigoda tu

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 7 місяців тому +1

    hapana huyu jamaa atakua kauliwa tunaomba uchunguzi ufanyike

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 7 місяців тому

      Kabisa jinsi ilivo kunamashaka sana juu ya kifo chake

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 7 місяців тому +1

    We mwenyekiti na wewe hujielewi. yaani ndugu wa marehemu anasema marehemu anaidai tra wewe unasema anachonganisha.
    Watu wa serikali mnateteana hata kwenye uovu jambo linaloondoa uadilifu katika majukumu yenu.

  • @LeopardAmoskomba
    @LeopardAmoskomba 7 місяців тому

    Pelek ujinga huko kwa sababu sio ndgu yako

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 7 місяців тому +1

    Mh mwenyekiti hata picha hauoni mwenyewe anachosema alafu wewe unamiatalia nini,ukapimwe afya ya akili mwenyekiti

  • @lucasmourice8347
    @lucasmourice8347 7 місяців тому

    Huyu mzee vpbona kama kalewa

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 7 місяців тому

    Ss si kila kitu aliwek waz

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 7 місяців тому

    Huyu mzee kiukweli dam yake ipo kwa marehem magu,magu ndie alikuwa Rais na ndie alitoa amri ya huyu mzee alipwe,lakini hayati magu kamkwepa,badala awaamuru TRA wamlipe akakaa kimya mzee anahangaika huku na kule magu hana habari,msiwalaumu Tra hawahusiki

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 7 місяців тому

      WEWE ACHA UJINGA USHASEMA MAGU ALITOA AMRI ALIPWE SASA KUMKWEPA INAKUJAJE HAPO MAGU ALIPOTOA AMRI YA TRA KUMLIPA RAMADHANI MDA MFUPI MAGUFULI ALIANZA KUUGUA NA MUDA AKAFARIKI WAZIRI KASIM MAJALIWA NA RAIS WA NCHI SAMIA SULUHU HASSAN NDO WAKULAUMIWA KATIKA KIFO CHA HUYU MFANYABIASHARA

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 7 місяців тому

    MWENYEKITI C UNYAMAZE TU ,MAANA HUKUMJUA VIZURI RAMADHANI AMEHANGAIKA NA TRA ZAIDI YA MIAKA MITATU WATANZANIA TULIKUWA TUNAFUATILIA , ALIPOAMBIWA ATALIPWA NDIPO ALIPOANZA KUTISHIWA MAISHA MBONA CLIPS ZAKE ZOTO ZIPO? WEWE BORA UNGENYAMAZA KULIKO KUMLAUMU MAREHEMU

  • @goodluckkapinga2677
    @goodluckkapinga2677 7 місяців тому

    Hakuna mwenyekiti hapo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 7 місяців тому

    TRA ndio waliio muuwa

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 7 місяців тому

    Wemzee unafirwA

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 7 місяців тому

    Mtangazaji mjinga alafu unamuoji mpumbavu...du

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 7 місяців тому

    Mwenyekiti unaongea upuuzi tu pumbavu hujitambui mtu mzima ovyooo

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 7 місяців тому

    UNAAKILI NDOGO AMA HUJUI UNAELEZA NINI? HUYU NDG ALIKUWA NA MGOGORO NA TRA TANGU ENZI ZA MAGUFULI , ILA TUMWACHIE MUNGU NDO ANAJUA A~Z

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 місяців тому

    Mzee unaongea pumba, myekaa

  • @oyay2821
    @oyay2821 7 місяців тому

    Ccm iliko na damu ya huyu mfanyi biashara

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 7 місяців тому

    Wemwenykt huna akili we hujui kama alikua na mzozo huo? Mbwa we

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 7 місяців тому

    Hili jambo linajulikana kila mahari hawa Viongozi wa ccm wanajifanya hawajui wajinga kabisa

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 7 місяців тому

    Mwenyekiti wewe ndio walewale anaowasema makonda

  • @HawadiHawadi-b1z
    @HawadiHawadi-b1z 7 місяців тому

    Ungemshauli nn ww tajili kama uyo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 7 місяців тому

    Mwenyekiti wewe ni zamwamwa mkubwa huna sababu ya kuwa kiongozi

  • @michaelnehemia4932
    @michaelnehemia4932 7 місяців тому

    We huna akili

  • @omarimpogo6895
    @omarimpogo6895 7 місяців тому

    Mbn km mzee umekuja kuwatetea watu fulani

  • @emanuelkidali9733
    @emanuelkidali9733 7 місяців тому

    Hili lizee hamnazo kabisa