Natoa ushauri leo ningeshauri hivii movie kama hii maudhui ibebe pande mbili kuonyesha dhambi na madhara yake na injili ya kuwavutia wenye dhambi waache dhambi kwa kuumbuliwa na Mungu ili aliyecheza kwa uaminifu afundishe wengine uaminifu na imani inavyofanya kazi katika KRISTO YESU! WANAOMPENDA YESU NIWAONE HAPA! IMANI YENYE MATOKEO❤
Kelvin hongereni sana..ila hii movie hamja maliza vizuri..Inge faa kelvin na Mayasa waowane .Inge faa waandae kamati upya ya kelvin na Mayasa bhana..Inge noga zaidi.ila basi bwana ❤❤❤. pamoja sana
❤🎉 Kevin upewe Maya yako Ila pole Sana na shukurani mumemaliza vizuri Sana Allah awaongoze inshaallah tuko pamoja Sana haya burauni tuletee mwendelezo wa kijana tajiri na mpenzi masikini moenda pesa😂😂😂😂 love ndota tv
Aaa Kila mtu amevuma alicho kipanda Lina usilaumu Rashid ww mwenyewe uliyataka hongera saana kelvin ni wanaume wachache saana wenye moyo kama wako hata singependa siku moja baadae ya ndoa yangu kuishia hapa nimeipenda saana na nimejifunza mengi mungu azidishe kipaji chako kelvin nani kama mm mawazo yake musipite please wenye upendo wa tafsir hii ya siku moja baada ya ndoa nyangu🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hapa nmejifunza kuwa malipo ni hapa duniani,na mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu.Linah wakati ulipofanya mapenzi na mume wa mamako unadhani aliskiaje.Ama kweli mtaka vyote hukosa yote,Kila mahali mumekosa,Big up sana ,pongezi kwa mafundisho mazuri, Nawapenda sana. KELVIN and your team ,Love you more guys❤❤❤. Watching from Kenya.
Natoa ushauri leo ningeshauri hivii movie kama hii maudhui ibebe pande mbili kuonyesha dhambi na madhara yake na injili ya kuwavutia wenye dhambi waache dhambi kwa kuumbuliwa na Mungu ili aliyecheza kwa uaminifu afundishe wengine uaminifu na imani inavyofanya kazi katika KRISTO YESU! WANAOMPENDA YESU NIWAONE HAPA! IMANI YENYE MATOKEO❤
Tulioifatlia had final ep gonga like apa
Move nzuri inafundisha
final ep?how?
Mim mwenywe naipenda san final hii inafundisha kwa wengne
Kelvin unatia hurumua jamani 😢pole .....asanteni sana kwakutoa hii movie nmejifunza mengi ubarikiwe Kelvin na team yko❤❤❤🎉🎉🎉
Huruma sema anaroho ngumu
Aise anatia huruma kinoma duh 😅
Kelvin hongereni sana..ila hii movie hamja maliza vizuri..Inge faa kelvin na Mayasa waowane .Inge faa waandae kamati upya ya kelvin na Mayasa bhana..Inge noga zaidi.ila basi bwana ❤❤❤. pamoja sana
Wa mwisho kutoka Kenya Nipeni like basi hata kama ni mbili, Hongera sana donta tv❤❤❤
Kelvin angemuoa Maya hapo ingekuwa kali sana, Alf Linah angejuta sanaaaah, Sema bas, Mungu wabariki wapendwa,
Mawazo kama yangu
Kelvin
Mbn umeiba mawazo yangu yan kpengele cha kevi kumuoa maya wamekitoa
pia Mimi was expecting the same
Ulikua unategea ukiwa wapi team Kelvin naona kikiwaramba jmn 🤣 🇰🇪🇰🇪 Genz nawapenda nikiwa Saudi Riyadh 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰
Tupo team strong
Penda ww saaana @@HidayaMbodze
wakwanza from burundi na sina shida na like zenu cha msingi na cha scondal tuutazame kwawingi
Hapo ndipo sio mambo ya kuomba likes
Kama wewe ni fans wa Kelvin gonga like 👍 yako hapo
Mie ni fan siyo fans
@@sikudhanimohammad7692umbea tu kuoga 😅
Kbs @@sikudhanimohammad7692
👍
😂😂
Wakwanzaaaaaaaaa MWAGA LIKE KWA KEVIN😂😂❤❤❤
Mungu habari Kaz ya mikono yako kakA
dah kaka mbna imeishia karibu sna muvi tamu hivi duh Aya ngoja tuone chuma nyingine unayoachia kiukweli kaka unatufunza sana muvi zako
Tangia tuanze mwanzo Hadi Leo sijawahi kukoment kelvin hongera sana unajuw kuvumilia sana hongeraaaa❤❤❤❤❤❤
Tunashukuru sana kupata mafunzo kwenye movie yenu 🎉hongereni sana kikosi chote 🌹🌹🌹🌹
❤🎉 Kevin upewe Maya yako Ila pole Sana na shukurani mumemaliza vizuri Sana Allah awaongoze inshaallah tuko pamoja Sana haya burauni tuletee mwendelezo wa kijana tajiri na mpenzi masikini moenda pesa😂😂😂😂 love ndota tv
Team. Kelvin gonga like apa❤😂😂🎉😢😮😅😊❤❤🎉🎉
Wakwanza Leo nipeni like zenu wandugu😂😂🥰🥰👌
Wakwanza mimi naomba like
Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 movie yenye mafunzo jameni wanawake wengine nawatch nikireject finance bill 😢😢
Hahahaha you're just remembering about financial bill 💵💵 until now
HII TAMTHILIA NZURI SANA...MNASTAHILI PONGEZI TEAM DONTA...HONGERENI SANA.
Hongeren sana team Donta Tv Kwa Kaz nzur.. na hongeren sana kwa kushika nafas ya pili❤❤
Wa kwanza kutoka Kenya likes zije
Daah kumbe sikujuw kam ndo final aise congratulations 👏👏🎉 kak kelvin Khan 💪💪💪
Ata wa mwisho atacomet ye ndo wa Kwanza mmh sema kelvin mnacheleweshà kinoma
Mwajua mnakera sana badili mmalize movie ndio muanze ingine mnaachia katikati alafu mwaanza ingine mpaka twasahau kama tuliishia part ngapi
Bonge la move nimependa harafu kuna majitu yanakimbilia like sijui washida gani.
Hiyo mijitu inamatatizo ya akili
Na mie naombeni like ata 5 jmn mana napenda ❤
Linah 😂😂😂mwana kulitafuta mwana kulipata 😂pole sana kelvin na mwisho wa kazi ndo mwanzo wa kazi mpya zingine ❤❤❤ nawapenda sana ❤️
Duuh huyu mama linah,, kheeee ndio maana mwanae yuko hivyo,, ahsanteni kwa movei nzuri
Jamn kwann mnachelewesha sana move mnatufanya tunakata tamaa jamn
Tina sio mtu mzuri hata kidogo yaan Kila movie anakuwa na roho mbaya
Hata mimi nashangaa kila movie hucheza part zile mbaya tu
Tena kanafki
Nimejifunza mengi kuputia hii move Mungu awape maisha marefu, Kelvin pokea maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤
Mtaka yote hukosa yote adi kugawa mno kaz nimekosa jmn linnah😂😂😂
Wakwaza mimi jani lake zangu kutoka south Africa mawuwa ya Kevin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nani kaisikia hiiii "shuba mit" naomba like zangu
mbona fupi jmn kevii sio km kesho yangu tunaishia ep ya 13 jmn kweli
Jaman umewahisha kidog safar hii Asante San kak 🌹🌹🌹🌹
To be sincere,,,,the she in office ,boss lady ako supuu❤❤
❤❤❤Tunasubiri season 2 kelvin kamuowe Mayassa please😢😢
Jamani nataman nione maamuz ya kevin kama atampenda boss wake❤❤❤❤
Nimewai leo aisee nipeeni like 2kizonga❤❤
❤
Mimi wa kwanza tena si Moja ❤🎉
@@KumbukaSalimo-yk5kf 🤣🤣
Finally 😂😂😂😂bt mbona sponsor hajaoneshwa na linah anywei thanks kwa movie yenu nzuri mzidi kutuletea nzuri ❤❤❤ love you from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Leo nimejaribu kuwahi 😂naombeni likes basi
Number one from 🇧🇮🇧🇮🇺🇸🇺🇸
Series nzuri kabisa, kelvin mbona mapema series nzuri ivi😂😂😂😂
Wakwanza leo gong like
first tow watch
I the first one to like😂
Aaa Kila mtu amevuma alicho kipanda Lina usilaumu Rashid ww mwenyewe uliyataka hongera saana kelvin ni wanaume wachache saana wenye moyo kama wako hata singependa siku moja baadae ya ndoa yangu kuishia hapa nimeipenda saana na nimejifunza mengi mungu azidishe kipaji chako kelvin nani kama mm mawazo yake musipite please wenye upendo wa tafsir hii ya siku moja baada ya ndoa nyangu🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaani apa kimeramba kila mtu 😂😂😂😂😂, kelvin pole sana bro wanawake atupangwingwi much love from 🇰🇪
Wa kwanza naombeni likes zangu😂😂
Naomb like jmn nmewai japo nmechelew
Kelvin unaweza mpaka unaweza tena kaka
Wa kwanz Leo naomb like 3 t
Movie nzuri sana,watu wa donta tv, Mungu awalinde na awape ubunifu zaidi 🙏🙏🙏🙏🙏, nawapenda bure
Pore sana Kevin. Kwa ao unapitia najua unamia sana sana
Hy nayo chance y kumpata kelvin , umeamwa lump umbea
Natamani ningeona maisha ya kelvi na ule mtoto wa boss😊
Wakwanza naomba likes zenu
Tina apunguze uongeaji jaman
Waaah hii leo ni hatali much love from Kenya ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ongeleni sana hata kama hatujui Kelvin kamuoa nani xx
Leo nimewahi kutoka kenya love you guys❤❤❤❤
Jmn movie nzur San sichok kuiangalia nawapenda sana❤
😂😂😂dah nitamu Sana jamann❤❤❤❤aseeee amakweli huyo mama lina nimbaya sana
Kevi shikamoo🎉🎉🎉
Moses na tina pwagu na paguzi😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂walikutana maraya 2 but mi penda xn Tina vile anaomba doo
@@agnesagnes5288 nakwambia tena kwa harakana lazima alafu anaepewa nae mshenzi akiambiwa Leo naitaka ashapeana🤣🤣
Ningetaman Kevin amukibalie boss wake kwan alikua na mapenzi ya kweli kwake
Mungu awabariki sana kwa kazi njema kuna kitu nimejifunza wala sio moja waah asanteni sana
Hongeraaa sanaaa team Kelvin❤😂🎉❤❤❤❤❤❤❤ we loving us Kaz nzuri
Wakwanzaaaa Mimi apa weka like
Tunasubiri part 14 kaka kelvin mungu akulide kwakazi unafanya movie nizabutamusana
Mi sina lakusema zaidi ya kukupa pole Kelvin khan ❤ wetu nimasikitiko makubwa
Hongera sana timu donta mmetufunza mtuletee movie tamu na zenye mafunzo kama hizi
Lakini kwa kelvin imehisha vibaya sana bana tuliwafatilia mpaka mwisho lakini na sisi mmeuhumiza mahana tulifikiri kelvin atakuowa mtoto wa boss
😅😅😅
Dah movie nzuri sana! Mbona imeisha mapema naamgalia kutoka msumbiji 🇲🇿
Shubamiti mfyuuuu😂 kelvin na team yako asanteni kwa kutufunza wanawake wengi wanatamaaa sana,hata wanaume pia kila alietazama hii anachakujifunza hapa
Kumbe Lina na mamake wote walikua wa hovyo😂😂jamani
Nimejifunza vitu vingi mashaalah mbarikiwe sana❤
Hashim kambi anazeeka hadi maneno hayatok vizur legend acha nimpe maua yake🎉🎉🎉
Ndvyo alivyo kwenye uzungumzaji wake tangu zamani
@@sikudhanimohammad7692 sahiz amezidisha mfuatilie vizur movie zake za nyuma
Hongera sana kevo mpo vizuli muvi ni nzuli mpaka raha
❤❤❤❤kaz nzur sna kevn na team yako wap mauwa ya kunambi😊
Haki nimengoja hadi nikachoka asanteni
Congratulations Kelvin and all, i love so much your movies❤❤❤❤
Kaz nzuri tunasubil Kazi mpya nyingine❤❤❤❤❤❤❤❤💪💪
Tupe season two kaka hutojali kazi nzuri hakika imefundisha vitu vingi sana tuachane na sifa kama Rashid na linah DU nohatari
Mwanang lia upunguz hasir typing... 😅😅😅😅😅😅😅😅😅Mama nae et Rashid amuonesh kile ambach alikuwa akimuonesh Linah😅😅😅😅😅😅
Huwa kelvin nimustarabu kwenye muvi zake zote❤❤❤
Wakwanza fm burundiii 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kaka napenda sana kaz yenu nawaombhea sana mung awatie nguvu mfike mbali.
Mbarikiwe wapendwa kwa move hii ni nzuri sana kwa kuelimisha jamii
Ila Kelvin unajua kuvumila hongera sana
Hongereni sana time Kevin metupatia mafunzo mazuri sana kevini pole sana we mama in mbwa
Hongerani timu kelvin tunakupa uwe na maonesho yazidi kuendelea na kipawa chako kenya
Wenye waliigiza wote ma Malaya watupu...siioni kama niigizo ata..😂😂mumefanya nimeachana nawangu haraka😂😂
Hongera sana team kelvin kwa kutupa mafunzo mazuri nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Isiishe jmn
Move nzur sana bro unajitahidi sana mungu adhidi kukubarik tumejifunz vingi ❤❤❤❤
Oyanakuelewasana kazamwanang kelvin👍🤣👍👍👍 5:55
Nimependa sana advais ya daddy ni aron from Kenya good work
Hapa nmejifunza kuwa malipo ni hapa duniani,na mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu.Linah wakati ulipofanya mapenzi na mume wa mamako unadhani aliskiaje.Ama kweli mtaka vyote hukosa yote,Kila mahali mumekosa,Big up sana ,pongezi kwa mafundisho mazuri, Nawapenda sana. KELVIN and your team ,Love you more guys❤❤❤. Watching from Kenya.
Mmi nko kenya,nimefatilia full movie, BUT nahisi haikuisha ,ime hang, however hongereni SANA 👏👏
Uyu mama ni mnyama wallah ila kelvin una jua saaana baba🥰🥰🥰🥰
Wa mwisho nice ending from 🇸🇦 🇸🇦 🇰🇪
😢😢😢 kelvin pole saana bro lina ni shetani kabisa Kelvin mungu akutie nguvu. Kwa yote kazi nzuri kelvin na mafunzo mazuri ❤❤❤❤❤