SIKU MOJA KABLA YA NDOA YANGU PART 13 💞 Love Story | Final Episode

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 835

  • @emmanuelpuka6788
    @emmanuelpuka6788 3 місяці тому +34

    Natoa ushauri leo ningeshauri hivii movie kama hii maudhui ibebe pande mbili kuonyesha dhambi na madhara yake na injili ya kuwavutia wenye dhambi waache dhambi kwa kuumbuliwa na Mungu ili aliyecheza kwa uaminifu afundishe wengine uaminifu na imani inavyofanya kazi katika KRISTO YESU! WANAOMPENDA YESU NIWAONE HAPA! IMANI YENYE MATOKEO❤

  • @MartinaAgustino-fp5eo
    @MartinaAgustino-fp5eo 3 місяці тому +165

    Tulioifatlia had final ep gonga like apa
    Move nzuri inafundisha

    • @DemicanBusolo
      @DemicanBusolo 3 місяці тому +1

      final ep?how?

    • @GaudensiaGauden
      @GaudensiaGauden 15 днів тому

      Mim mwenywe naipenda san final hii inafundisha kwa wengne

  • @Glorian-iv6xz
    @Glorian-iv6xz 3 місяці тому +52

    Kelvin unatia hurumua jamani 😢pole .....asanteni sana kwakutoa hii movie nmejifunza mengi ubarikiwe Kelvin na team yko❤❤❤🎉🎉🎉

  • @CalustarMusic
    @CalustarMusic 3 місяці тому +27

    Kelvin hongereni sana..ila hii movie hamja maliza vizuri..Inge faa kelvin na Mayasa waowane .Inge faa waandae kamati upya ya kelvin na Mayasa bhana..Inge noga zaidi.ila basi bwana ❤❤❤. pamoja sana

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 місяці тому +35

    Wa mwisho kutoka Kenya Nipeni like basi hata kama ni mbili, Hongera sana donta tv❤❤❤

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 місяці тому +31

    Kelvin angemuoa Maya hapo ingekuwa kali sana, Alf Linah angejuta sanaaaah, Sema bas, Mungu wabariki wapendwa,

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 3 місяці тому +35

    Ulikua unategea ukiwa wapi team Kelvin naona kikiwaramba jmn 🤣 🇰🇪🇰🇪 Genz nawapenda nikiwa Saudi Riyadh 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰

  • @wez-bbabisha4592
    @wez-bbabisha4592 3 місяці тому +39

    wakwanza from burundi na sina shida na like zenu cha msingi na cha scondal tuutazame kwawingi

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 3 місяці тому +230

    Kama wewe ni fans wa Kelvin gonga like 👍 yako hapo

  • @ZaillanVanillaty
    @ZaillanVanillaty 3 місяці тому +65

    Wakwanzaaaaaaaaa MWAGA LIKE KWA KEVIN😂😂❤❤❤

    • @NdigwakoIkambo
      @NdigwakoIkambo Місяць тому

      Mungu habari Kaz ya mikono yako kakA

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ 3 місяці тому +13

    dah kaka mbna imeishia karibu sna muvi tamu hivi duh Aya ngoja tuone chuma nyingine unayoachia kiukweli kaka unatufunza sana muvi zako

  • @RoziPeter
    @RoziPeter 3 місяці тому +17

    Tangia tuanze mwanzo Hadi Leo sijawahi kukoment kelvin hongera sana unajuw kuvumilia sana hongeraaaa❤❤❤❤❤❤

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 3 місяці тому +16

    Tunashukuru sana kupata mafunzo kwenye movie yenu 🎉hongereni sana kikosi chote 🌹🌹🌹🌹

  • @kashmirsamir3367
    @kashmirsamir3367 3 місяці тому +7

    ❤🎉 Kevin upewe Maya yako Ila pole Sana na shukurani mumemaliza vizuri Sana Allah awaongoze inshaallah tuko pamoja Sana haya burauni tuletee mwendelezo wa kijana tajiri na mpenzi masikini moenda pesa😂😂😂😂 love ndota tv

  • @shakilaDaudy
    @shakilaDaudy 3 місяці тому +21

    Team. Kelvin gonga like apa❤😂😂🎉😢😮😅😊❤❤🎉🎉

  • @uwimanairfan2775
    @uwimanairfan2775 3 місяці тому +25

    Wakwanza Leo nipeni like zenu wandugu😂😂🥰🥰👌

  • @WasmanMundenga
    @WasmanMundenga 3 місяці тому +53

    Wakwanza mimi naomba like

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 3 місяці тому +24

    Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 movie yenye mafunzo jameni wanawake wengine nawatch nikireject finance bill 😢😢

    • @Gerckbush
      @Gerckbush 3 місяці тому

      Hahahaha you're just remembering about financial bill 💵💵 until now

  • @mahmoudnajad217
    @mahmoudnajad217 3 місяці тому +11

    HII TAMTHILIA NZURI SANA...MNASTAHILI PONGEZI TEAM DONTA...HONGERENI SANA.

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 3 місяці тому +5

    Hongeren sana team Donta Tv Kwa Kaz nzur.. na hongeren sana kwa kushika nafas ya pili❤❤

  • @nasrannyakio6076
    @nasrannyakio6076 3 місяці тому +23

    Wa kwanza kutoka Kenya likes zije

  • @MohammedyJuma-wf3jc
    @MohammedyJuma-wf3jc 3 місяці тому +5

    Daah kumbe sikujuw kam ndo final aise congratulations 👏👏🎉 kak kelvin Khan 💪💪💪

  • @Aminahamady-o9u
    @Aminahamady-o9u 3 місяці тому +10

    Ata wa mwisho atacomet ye ndo wa Kwanza mmh sema kelvin mnacheleweshà kinoma

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 3 місяці тому +8

    Mwajua mnakera sana badili mmalize movie ndio muanze ingine mnaachia katikati alafu mwaanza ingine mpaka twasahau kama tuliishia part ngapi

  • @MaheriChristopher
    @MaheriChristopher 3 місяці тому +17

    Bonge la move nimependa harafu kuna majitu yanakimbilia like sijui washida gani.

  • @HadijaHusen-od2bw
    @HadijaHusen-od2bw 3 місяці тому +10

    Na mie naombeni like ata 5 jmn mana napenda ❤

  • @HappyDaudi-ub4hw
    @HappyDaudi-ub4hw 3 місяці тому +5

    Linah 😂😂😂mwana kulitafuta mwana kulipata 😂pole sana kelvin na mwisho wa kazi ndo mwanzo wa kazi mpya zingine ❤❤❤ nawapenda sana ❤️

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 3 місяці тому +5

    Duuh huyu mama linah,, kheeee ndio maana mwanae yuko hivyo,, ahsanteni kwa movei nzuri

  • @GraceNgaiza-e7e
    @GraceNgaiza-e7e 3 місяці тому +11

    Jamn kwann mnachelewesha sana move mnatufanya tunakata tamaa jamn

  • @JoshuaSamwel-j2k
    @JoshuaSamwel-j2k 3 місяці тому +18

    Tina sio mtu mzuri hata kidogo yaan Kila movie anakuwa na roho mbaya

  • @RoseMeshack-c9x
    @RoseMeshack-c9x 3 місяці тому +4

    Nimejifunza mengi kuputia hii move Mungu awape maisha marefu, Kelvin pokea maua yako🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @HappyMtawali
    @HappyMtawali 3 місяці тому +13

    Mtaka yote hukosa yote adi kugawa mno kaz nimekosa jmn linnah😂😂😂

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 3 місяці тому +10

    Wakwaza mimi jani lake zangu kutoka south Africa mawuwa ya Kevin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hajiussi9290
    @hajiussi9290 3 місяці тому +15

    Nani kaisikia hiiii "shuba mit" naomba like zangu

  • @hythamshadrack2323
    @hythamshadrack2323 3 місяці тому +17

    mbona fupi jmn kevii sio km kesho yangu tunaishia ep ya 13 jmn kweli

  • @AminaSuleiman-sr4oo
    @AminaSuleiman-sr4oo 3 місяці тому +8

    Jaman umewahisha kidog safar hii Asante San kak 🌹🌹🌹🌹

  • @stephenmatata5676
    @stephenmatata5676 3 місяці тому +8

    To be sincere,,,,the she in office ,boss lady ako supuu❤❤

  • @mariamirakoze7299
    @mariamirakoze7299 3 місяці тому +4

    ❤❤❤Tunasubiri season 2 kelvin kamuowe Mayassa please😢😢

  • @NuruHussein-sz2be
    @NuruHussein-sz2be 3 місяці тому +5

    Jamani nataman nione maamuz ya kevin kama atampenda boss wake❤❤❤❤

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 3 місяці тому +34

    Nimewai leo aisee nipeeni like 2kizonga❤❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 3 місяці тому +2

    Finally 😂😂😂😂bt mbona sponsor hajaoneshwa na linah anywei thanks kwa movie yenu nzuri mzidi kutuletea nzuri ❤❤❤ love you from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @RAPHAELGOBRE
    @RAPHAELGOBRE 3 місяці тому +14

    Leo nimejaribu kuwahi 😂naombeni likes basi

  • @kingrabi5118
    @kingrabi5118 3 місяці тому +13

    Number one from 🇧🇮🇧🇮🇺🇸🇺🇸

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 3 місяці тому +17

    Series nzuri kabisa, kelvin mbona mapema series nzuri ivi😂😂😂😂

  • @peterbahati
    @peterbahati 3 місяці тому +19

    Wakwanza leo gong like

  • @hythamshadrack2323
    @hythamshadrack2323 3 місяці тому +12

    first tow watch

  • @VictorNzai
    @VictorNzai 3 місяці тому +8

    I the first one to like😂

  • @hghh6056
    @hghh6056 3 місяці тому +2

    Aaa Kila mtu amevuma alicho kipanda Lina usilaumu Rashid ww mwenyewe uliyataka hongera saana kelvin ni wanaume wachache saana wenye moyo kama wako hata singependa siku moja baadae ya ndoa yangu kuishia hapa nimeipenda saana na nimejifunza mengi mungu azidishe kipaji chako kelvin nani kama mm mawazo yake musipite please wenye upendo wa tafsir hii ya siku moja baada ya ndoa nyangu🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 3 місяці тому +2

    Yaani apa kimeramba kila mtu 😂😂😂😂😂, kelvin pole sana bro wanawake atupangwingwi much love from 🇰🇪

  • @rakenmontes7981
    @rakenmontes7981 3 місяці тому +5

    Wa kwanza naombeni likes zangu😂😂

  • @MousaAmos
    @MousaAmos 3 місяці тому +10

    Naomb like jmn nmewai japo nmechelew

  • @BrytonTimothy
    @BrytonTimothy 3 місяці тому +6

    Kelvin unaweza mpaka unaweza tena kaka

  • @aminaabdalla-uo9zq
    @aminaabdalla-uo9zq 3 місяці тому +11

    Wa kwanz Leo naomb like 3 t

  • @clariszawadi2010
    @clariszawadi2010 3 місяці тому +3

    Movie nzuri sana,watu wa donta tv, Mungu awalinde na awape ubunifu zaidi 🙏🙏🙏🙏🙏, nawapenda bure

  • @PeterMhina-o2k
    @PeterMhina-o2k Місяць тому +1

    Pore sana Kevin. Kwa ao unapitia najua unamia sana sana

  • @NajmaMgallah
    @NajmaMgallah 3 місяці тому +7

    Hy nayo chance y kumpata kelvin , umeamwa lump umbea

  • @IrakozePapy
    @IrakozePapy 3 місяці тому +4

    Natamani ningeona maisha ya kelvi na ule mtoto wa boss😊

  • @CatherineNdunda-t6p
    @CatherineNdunda-t6p 3 місяці тому +9

    Wakwanza naomba likes zenu

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 місяці тому +10

    Tina apunguze uongeaji jaman

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 3 місяці тому +1

    Waaah hii leo ni hatali much love from Kenya ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ongeleni sana hata kama hatujui Kelvin kamuoa nani xx

  • @christine7744
    @christine7744 3 місяці тому +3

    Leo nimewahi kutoka kenya love you guys❤❤❤❤

  • @NasraSaid-p9e
    @NasraSaid-p9e 3 місяці тому +2

    Jmn movie nzur San sichok kuiangalia nawapenda sana❤

  • @OLAGWANANILEMBUSEL
    @OLAGWANANILEMBUSEL 3 місяці тому +2

    😂😂😂dah nitamu Sana jamann❤❤❤❤aseeee amakweli huyo mama lina nimbaya sana

  • @wemasangasanga757
    @wemasangasanga757 3 місяці тому +9

    Kevi shikamoo🎉🎉🎉

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze 3 місяці тому +12

    Moses na tina pwagu na paguzi😂😂😂

    • @ZulekhaAmar-fy4pm
      @ZulekhaAmar-fy4pm 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @agnesagnes5288
      @agnesagnes5288 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂walikutana maraya 2 but mi penda xn Tina vile anaomba doo

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 3 місяці тому

      @@agnesagnes5288 nakwambia tena kwa harakana lazima alafu anaepewa nae mshenzi akiambiwa Leo naitaka ashapeana🤣🤣

  • @imakulataemanuel4979
    @imakulataemanuel4979 3 місяці тому +3

    Ningetaman Kevin amukibalie boss wake kwan alikua na mapenzi ya kweli kwake

  • @ruthmkutano1862
    @ruthmkutano1862 Місяць тому +1

    Mungu awabariki sana kwa kazi njema kuna kitu nimejifunza wala sio moja waah asanteni sana

  • @AfreyBahalaye
    @AfreyBahalaye 3 місяці тому +2

    Hongeraaa sanaaa team Kelvin❤😂🎉❤❤❤❤❤❤❤ we loving us Kaz nzuri

  • @BurhanMwanangombe
    @BurhanMwanangombe 3 місяці тому +2

    Wakwanzaaaa Mimi apa weka like

  • @basimisemusafiri4856
    @basimisemusafiri4856 3 місяці тому +1

    Tunasubiri part 14 kaka kelvin mungu akulide kwakazi unafanya movie nizabutamusana

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 3 місяці тому +1

    Mi sina lakusema zaidi ya kukupa pole Kelvin khan ❤ wetu nimasikitiko makubwa

  • @Husna-uu9oc
    @Husna-uu9oc 3 місяці тому +1

    Hongera sana timu donta mmetufunza mtuletee movie tamu na zenye mafunzo kama hizi

  • @mwajumahibe6161
    @mwajumahibe6161 3 місяці тому +3

    Lakini kwa kelvin imehisha vibaya sana bana tuliwafatilia mpaka mwisho lakini na sisi mmeuhumiza mahana tulifikiri kelvin atakuowa mtoto wa boss

  • @DominguezdaFátimaNacirOmar
    @DominguezdaFátimaNacirOmar 3 місяці тому +1

    Dah movie nzuri sana! Mbona imeisha mapema naamgalia kutoka msumbiji 🇲🇿

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz 3 місяці тому +2

    Shubamiti mfyuuuu😂 kelvin na team yako asanteni kwa kutufunza wanawake wengi wanatamaaa sana,hata wanaume pia kila alietazama hii anachakujifunza hapa

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 3 місяці тому +1

    Kumbe Lina na mamake wote walikua wa hovyo😂😂jamani

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 3 місяці тому +1

    Nimejifunza vitu vingi mashaalah mbarikiwe sana❤

  • @NuruAshery
    @NuruAshery 3 місяці тому +2

    Hashim kambi anazeeka hadi maneno hayatok vizur legend acha nimpe maua yake🎉🎉🎉

    • @sikudhanimohammad7692
      @sikudhanimohammad7692 3 місяці тому +2

      Ndvyo alivyo kwenye uzungumzaji wake tangu zamani

    • @NuruAshery
      @NuruAshery 3 місяці тому +1

      @@sikudhanimohammad7692 sahiz amezidisha mfuatilie vizur movie zake za nyuma

  • @VumiliaMwaiswelo
    @VumiliaMwaiswelo 3 місяці тому +2

    Hongera sana kevo mpo vizuli muvi ni nzuli mpaka raha

  • @RehemaNgumbao-f1s
    @RehemaNgumbao-f1s 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤kaz nzur sna kevn na team yako wap mauwa ya kunambi😊

  • @MercyAdhiambo-r4b
    @MercyAdhiambo-r4b 3 місяці тому +10

    Haki nimengoja hadi nikachoka asanteni

  • @ElyséeFeza
    @ElyséeFeza 3 місяці тому +1

    Congratulations Kelvin and all, i love so much your movies❤❤❤❤

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 3 місяці тому

    Kaz nzuri tunasubil Kazi mpya nyingine❤❤❤❤❤❤❤❤💪💪

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ 3 місяці тому

    Tupe season two kaka hutojali kazi nzuri hakika imefundisha vitu vingi sana tuachane na sifa kama Rashid na linah DU nohatari

  • @PrettySalmah-tt8bh
    @PrettySalmah-tt8bh 3 місяці тому +1

    Mwanang lia upunguz hasir typing... 😅😅😅😅😅😅😅😅😅Mama nae et Rashid amuonesh kile ambach alikuwa akimuonesh Linah😅😅😅😅😅😅

  • @BijouxBulose
    @BijouxBulose 3 місяці тому +1

    Huwa kelvin nimustarabu kwenye muvi zake zote❤❤❤

  • @EddyNifasha
    @EddyNifasha 3 місяці тому +3

    Wakwanza fm burundiii 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @JacksonMarwa-fc6gp
    @JacksonMarwa-fc6gp 2 місяці тому

    Kaka napenda sana kaz yenu nawaombhea sana mung awatie nguvu mfike mbali.

  • @loycep7785
    @loycep7785 3 місяці тому

    Mbarikiwe wapendwa kwa move hii ni nzuri sana kwa kuelimisha jamii
    Ila Kelvin unajua kuvumila hongera sana

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 3 місяці тому +2

    Hongereni sana time Kevin metupatia mafunzo mazuri sana kevini pole sana we mama in mbwa

    • @FatumaSaid-cl1cr
      @FatumaSaid-cl1cr Місяць тому

      Hongerani timu kelvin tunakupa uwe na maonesho yazidi kuendelea na kipawa chako kenya

  • @aimeclaudeharagakiza5540
    @aimeclaudeharagakiza5540 3 місяці тому +2

    Wenye waliigiza wote ma Malaya watupu...siioni kama niigizo ata..😂😂mumefanya nimeachana nawangu haraka😂😂

  • @LoiceKatana-ci1tx
    @LoiceKatana-ci1tx 3 місяці тому +1

    Hongera sana team kelvin kwa kutupa mafunzo mazuri nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @ntembo
      @ntembo 3 місяці тому

      Isiishe jmn

  • @pilselman2955
    @pilselman2955 3 місяці тому

    Move nzur sana bro unajitahidi sana mungu adhidi kukubarik tumejifunz vingi ❤❤❤❤

  • @RamadhanYusufu-lj3hu
    @RamadhanYusufu-lj3hu 3 місяці тому +1

    Oyanakuelewasana kazamwanang kelvin👍🤣👍👍👍 5:55

  • @HaronMwaisaka
    @HaronMwaisaka 3 місяці тому +1

    Nimependa sana advais ya daddy ni aron from Kenya good work

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo 3 місяці тому

    Hapa nmejifunza kuwa malipo ni hapa duniani,na mkuki kwa nguruwe mtamu kwa binadamu mchungu.Linah wakati ulipofanya mapenzi na mume wa mamako unadhani aliskiaje.Ama kweli mtaka vyote hukosa yote,Kila mahali mumekosa,Big up sana ,pongezi kwa mafundisho mazuri, Nawapenda sana. KELVIN and your team ,Love you more guys❤❤❤. Watching from Kenya.

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r Місяць тому

    Mmi nko kenya,nimefatilia full movie, BUT nahisi haikuisha ,ime hang, however hongereni SANA 👏👏

  • @Amidaqueen-p9l
    @Amidaqueen-p9l 3 місяці тому +1

    Uyu mama ni mnyama wallah ila kelvin una jua saaana baba🥰🥰🥰🥰

  • @valinemkanamkuverammbone-ci9ou
    @valinemkanamkuverammbone-ci9ou 3 місяці тому +1

    Wa mwisho nice ending from 🇸🇦 🇸🇦 🇰🇪

  • @اريناارينا-ق3ط
    @اريناارينا-ق3ط 3 місяці тому

    😢😢😢 kelvin pole saana bro lina ni shetani kabisa Kelvin mungu akutie nguvu. Kwa yote kazi nzuri kelvin na mafunzo mazuri ❤❤❤❤❤