DHIKRI YAUNGURUMA MBELE YA MWILI WA SHEIKH MTI MKAVU ZAWIYANI MOSHI TAZAMA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 16

  • @BukhariMwatebela
    @BukhariMwatebela 22 дні тому

    Allah awaongoze masufi

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic 22 дні тому

    Bismillah astghafirullah ladwim

  • @AmanaHussein
    @AmanaHussein 25 днів тому +2

    Pole Abdul poleni dunguu 😭😭alhamdhulilah🫂

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 25 днів тому +1

    M.mungu atampa kauli thabit

    • @rahema1992
      @rahema1992 25 днів тому

      Amiin amiin lnshaallah

  • @rashidshekiondo1427
    @rashidshekiondo1427 25 днів тому +1

    Hakika sote ni wamwenyezingu ndan tutarejea inauma sana

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 23 дні тому +1

    Duuuh toubaaaaa subuhana llah! Subuhana llah! Hivi ndo bidaa zilivyo haribu uislamu daah ni haki mtume awakatae kwenye houdhi yake siku ya kiama maana mmechafuwa sana dini yake. Kama umeijuwa sunnah ukaachana na mambo haya mshukuru sana Allah.

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 24 дні тому +2

    Dini imebadilishwa na kuchafuliwa Sana. Mtume swanlallahu alayhi wasanlam na Maswahaba zake wangerudi, wangeshangaa pakubwa huu uislamu nani kauleta! Uislamu wa kumuimbia na kumchezea maiti😢

    • @ZaynWalad
      @ZaynWalad 23 дні тому

      We ulikuwepo wakati wa Mtume, utuelezee walikua wanafanyaje??au kila sauti ukisikiliza we wajua nyimbo??.Vitu visivyokuhusu,we waachie vinaowahusu.

    • @iddihamisiharuna8261
      @iddihamisiharuna8261 23 дні тому

      @@ZaynWalad Watu wanasoma dini ndg, sisi waislamu dini yetu imenukuliwa kwenye Quran na vitabu vya Hadith. Mtume swanlallahu alayhi wasanlam alisema "YOYOTE ATAKAEONA JAMBO LISILOFAA ALIKATAZE.... sio kusema eti halimhusu wkt yeye ni muislamu. SOMA USILAMU AU MTUME ALIFUNDISHA MAITI AFANYIWE NINI TANGU KUKARIBIA KUFA HADI KUZIKWA KWAKE, NA BAADA YA KUZIKWA KWAKE. Soma " Kitabul janaiz" kwenye vitabu vya Hadith kama vile swahihul musm, swahihul bukhaar, na vitabu vya sunan. Mtume wetu ametufundisha ya kufanya, ama kujitungia nyimbo na kucheza mbele ya maiti, huu ni msiba mwingne. Allah tunusuru,,

    • @YaziduIddy-u7p
      @YaziduIddy-u7p 21 день тому

      Kwa hiyo dhikri nayo imebadilishwa

    • @iddihamisiharuna8261
      @iddihamisiharuna8261 21 день тому

      @@YaziduIddy-u7p hakuna adhikari ya namna hiyo aliyofundisha Mtume, hayo ni mambo watu wamejitungia na kubadilisha dini aliyofundisha Mtume swanlallahu alayhi wasanlam. Wanacheza na kumuimbia maiti. Ajabu sana, huu ni msiba juu ya msiba

    • @YaziduIddy-u7p
      @YaziduIddy-u7p 21 день тому

      ​@@iddihamisiharuna8261 kwani kuimba ni dhambi ? Na je yote unayofanya wewe mtume kafundisha?