🔴
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Endelea kubarikiwa na somo hili.
..........................................................................
Neno la Mungu ni Taa ya Miguu yangu na Mwanga wa njia yangu.
Neno la Mungu ni Pumzi ya maisha yangu, unapolisoma neno la Mungu hautapotea gizani bali Nuru ya Bwana itaangaza Maishani mwako kila wakati.
..............................................................................................................................................................................................................................................................................................
Naitwa Japhet Magoti ni mtumishi wa Mungu ambaye nahubiri na kufundisha neno la Mungu kuhusu habari za Yesu mwenye wokovu. Mungu amenipa baraka ya mke mmoja Veronica Japhet Magoti na watoto wawili wa kiume Jayson na Jayvyn Japhet Magoti.
...............................................................................................................................................
Unaweza kushiriki huduma hii kwa sadaka yako ili tuzidi kupeleka injili kwa watu wengi kwa njia zifuatazo:-
Mpesa 0764062976 jina JAPHET MAGOTI MATOTI
Safaricom mpesa number 0713307222 Japhet Matoti
Tigopesa 0712526937 Veronica Kanick
CRBD BANK 0152318092200 JAPHET MAGOTI
Mungu akubariki sana.
Baba anaendelea kukutetea mtumishi
Amen hallelujah
Barikiwa
Have learned alot from you pastor
May God shower more blessings to you and your family 🙏🙏
Amina
Please of mim pastor
Pastor niombee plz
Amina mchungaji
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Naomba number ya doctor kamau please babangu yuaugua hiatal hernia
Plaster kama kwa kweli uko Kenya hii, mbana usinizaidie mtumizo WA mungu.ombi langu ni hili my both tubes are blocked na niliambiwa na gcyn kana kwamba siwezi kupata mtoto,plaster nizaidie na maombi plz.