CHANZO CHA KIFO CHA BABU WA LOLIONDO "HAKUTAKA WAJUE ANAUMWA, ALIUGUA SIKU NNE"
Вставка
- Опубліковано 20 жов 2024
- Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Raymond amethibitisha kifo cha Mchungaji Ambilikile Mwasapila maarufu kama babu wa Loliondo ambapo amesema aliugua kwa siku nne na alipokuwa anaulizwa na Wasaidiz wake anaendeleaje alikuwa anawaficha na hakuwa anataka wajue kama anaumwa
"Alisema chembe ya moyo inamuuma sana na alipokuwa anapelekwa Hospitali alianza kutapika na hapo ndipo alipotutoka alikuwa hataki aonekane anaumwa sana na Wasaidizi wake, pale hakai na Familia tunawatafuta Watoto wake tukae vikao ili tujue atazikwa wapi"-DC Raymond
Ushujaa wa maendeleo, ameweka rekodi wilayani. Barabara, umeme, nk. Alifanya utumishi wake kwa uwezo wa tu Mungu.
ni mnyakyusa pekee aliyewahi kutapeli makabila yote Tz😂😂😂 pumzika kwa amani mzee wetu.
😂😅🤣🤣🤣
Mbon watu.kibao walipona jamani
😆😁
Mzee anaaakil sana jero ya wagonjwa imemsaidia kujenga nyumba ya kawida lkn nzur
Jirani yangu alitoroshwa hospital akapelekwa kunywa kikombe huwezi amini yule kaka alipona na anaendelea kutumia dawa zake anadunda mtaani na afya ikarudi
RIP KIKOMBE CHA BABU LOLIONDO. KIMIUJIZA KABISA ALITOA KIKOMBE CHENYE KUTIBU MAGONJWA SUGU NK. SASA AMEONDOKA MCHJ 30.7.21 , NIMONIA KALI JAMANI. NAMKUMBUKA PAMOJA NA WENGINE WENGI TZ NA NJE MAHALI MAHALI. RIP RIP RIP.
Kikombe cha babu😢😢😢
Subhanallah..
Polen Sana mungu awatie guvu
Kama umeona mtangazaji na babu wanafanana gonga like 🤣🤣
Amekufa kabla hajawaadaa tena kuwa anadawa ya corona...maana angevuna tena....
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Jamn
R.I.P. Babu Ambilikile Mwaisapila umefanya kazi ya Bwana kubwa Kuponya, na kuleta maendeleo makubwa Wilaya ya Ngorngoro. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana na libarikiwe Amen
Ila mwanzon kabla kikombe hakijafahamika sana kilikuwa kikitibuu.. nina ushahid nacho..
Algoma kabsa kufa masikin 😂😂😂
Apumzike kwa amani babu
Apumnzike kwa amani alimponya bibi yangu ambaye a lilala kitandani kwa miaka 10 na ni mzima mpaka leo na bibi yangu anamiaka98 pumnzika kwa amani mzee wetu
Kumbe huyu ndiye Babu wa loliondo😂
Corona na nimonia ni pete na kidole.
Katika wafsnyakaz wanaopenda kz nihuyu Godi wa Arusha uniform asipovaa Leo kesho lzm umuone nayo hawa wengine mweee wanatangaza vzr lkn wamevaa mbagala temeke kwnn hawavai???? Bosi wa ayo tv shuhulikia hili tunakupenda na hbr za uhakika tunapata kwenye chanel yk
Wanadamu wanaogopa kitu kifo, wanasahau maandiko uliumbwa kwa udongo utaludi kwa udongo.leo hii mtu aseme nina daw a ukichanjwa hifi tena watu watachanjwa ni sawa na chanjo ya corona wanachanjwa na wanakufa,
Huyo si kashapata hata miaka ya nyongeza mlitaka aishi milele
RIP ameen
Ndio corona
Siku hizi mmekuwa nanyi waongo
Pumzika kwa AMANI MZEE WETU!
Pumzika kwa amani babu.😭😭
Mganga hajigangi
Tetemeko lenyew ndio Corona au 🤔🤔
NDIO KORONA YENYEWE HIYO NIMONIA.
Ndo Corona(mviko) yenyewe hiyo jamani kuweni makini msiwe kama Gwajima-mama!
Dunia unamambo mtu anatibu ukimw sukar , kifua kikuu,homa ya ini na pressure lkn anauliwa na pneumonia 👀👀👀 mambo ya goliati na daud haya
Babu aliwaingiza watu mjini...
Wakati wake umewadia na sisi tutafata
Bab mwenye nasahaa zake
.
Fremasoon amekufa
Pumzika kwa aman babu
Alijifanya anaponya akaja kufa kwa mafua ya pneumonia
Pumzika kwa amani
Kamela man ,kaganda na kamera kumuangazia mzee badala yakuzungusha pia tukaona mazingira
Hiyo ndio coronavirus
Corona the Delta virus
Upumzike Kwa AMANI mzee wetu. Nasikitika na comments za kubeza Kwa baadhi ya watu. Tambueni kila nafsi itaonja mauti, maandiko matakatifu yanasema na yamo katika Biblia na Quran. Badirikeni
baba angu alifia uko kabla ya kumuona huyo mzee..atuku baatika hata kuona mwili wake...
Ooo poleni sana
Pole
Pole jamani
Mkuu kwani alienda peke yake !
Kivipi yaani kwamba ulizikwa uko au alipaa ,au Kuna namna fulan ivi samahani lakini
Maskini kikombe chake kimeshindwa kumtibu
Hawezi kujitibu umauti wako ukishafika yani hiyo siku haipiti saa dakika Wala sekunde Allah amlaze Mahal pema peponi
mganga/daktari hajigangi kuwa muelewa
@@jasminjuma6390 amin inshallah 🤲
Madocta bingwa pamoja na ubinngwa wao na wao wanakufa sembuse yeye! Rejea kila nafsi itaonja mauti !
Mbona asinge jitibu
Mganga hajigangi
Zamu yake🤣🤣
Babu alikuwa tapeli
Mzee tapeli huyu mfano hakuna. Alitaka kutapeli tena ya corona, ikaamua kupita nae.
We ropoka tu kwakuwa hujui kitu