| HEKAYA ZA LOLIONDO | Tiba ya Babu wa Loliondo [Part 1]
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2019
- Takriban miaka tisa iliyopita, mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki walifunga safari na kuelekea hadi kijiji cha Samunge nchini Tanzania kutafuta miujiza ya uponyaji wa magonjwa aina aina. Eneo la Loliondo likageuka na kuwa sehemu iliyosifika hasa miongoni mwa Wakenya. Dawa za uponyaji ambazo wakati huo zilionekana kuwa miujuzia zilikuwa zinatolewa na mhubiri aliyestaafu kwa jina Ambilikile Mwasapile maarufu Babu. Mwishoni mwa mwaka wa 2012 zaidi ya watu milioni 6 walizuru kijiji cha Samunge, sehemu anayoishi Babu hadi wa leo. Hii leo runinga ya Citizen imeandaa makala kuhusu matukio baada ya Loliondo ambapo wengi walifariki baadaye na wengine wakizungumzia masaibu yao. Huyu hapa Jamila Mohamed na makala ya Hekaya za Loliondo.
#HekayaZaLoliondo #TibaYaLoliondo
Have mercy oooh lord.. Just trust in him who lives forever... Health comes from God.. Please lets trust in Jesus.
Walay huyu mzee ndio mkora mkubwa kuliko wote Duniani na inabidi Iwekwe kwenye historia kama Mtu hatari zaidi duniani kwa ukora
Let people learn.....health is the greatest wealth one can have
Legend. Every year, Every generatin has their hype/narrative/scam. It is not unique to Kenya but similarly present the world over.
Peter my long lost customer,nimekuona and u look Soo healthy
Msilaumu mzee, nyinyi ndio mlipeleka kiherehere
Watu waliacha dawa kwa kweli inasikitisha sanaaa ni UONGO wa ajabu
Nimetoka kwa citizen kuja tena kuona loliondo😂😂😂😂😂😂😂😂
Waiting for part two
This is sad. I totally understand why this guys went. God help you guys thru this journey.
Nimeona naekana sacco nikajua wakenya Sana Sana wakikuyu WAliende, 👏👏🤣Africa hatukosi vituko,, babu WA loliondo biguni ataonea viusasa
So this man alkua anaplan kuwamaliza wah, part 2 naisubiri
Mimi hata kama ni jirani anasema ako na tiba siwezi. Yesu alisema tuwe maskini sana na hawa watu Mat 24.
Duh nakumbuka huko mwaka 😋
Wonders shall never end!!
Tusisahau kwamba Kuna mwingine katokea hapa Kenya na maiti ziko hospital walifariki Jana na wagonjwa wako hospital
mzee alipata utajiri kwa kuuwa watu 🚶🚶🚶
Woiye
People have problems but they don't know the real problem, many have refused to go to hospitals for the fear of the worst. Some look for who to blame family members, others neighbours etc. Let not be fooled by people who play our psychology by brain washing.
DCI na DPP ichangamkie hii scandal 😁😁😁