WAKILI MADELEKA ACHARUKA MAHAKAMANI/ AWASHUKIA VIKALI MAWAKILI WA SERIKALI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 226

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 11 днів тому +39

    Wanaacha mawaziri majambazi,wanafunga watu wanaotetea mali za Tanganyika

    • @mambosasabill7558
      @mambosasabill7558 10 днів тому

      @@timboxlee919 huyo pimbi tu,wenzake Wana kula bata yeye ananyea DEBE

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 11 днів тому +3

    Mungu Akubariki Peter Madereka na Team yako, Dr Peter Slaa uko salama kwa uwezo wa Mungu. Insha Allah

  • @Frankremishoy
    @Frankremishoy 11 днів тому +16

    Mbwembwe nyingi nguvu kubwa Askari wengi Kwa mzee.just intimidating

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 11 днів тому +4

    AT THE END OF THE DAY EVERYINDIVIDUAL WILL DIE. Pole sana Dr Wilbroad Slaa

  • @annasitaziakamtewe
    @annasitaziakamtewe 11 днів тому +8

    Yaani ni upuuzi sana mahakama zetu zimegeuka kuwa chombo Cha siasa na ukandamizaji.

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 8 днів тому

      Tatizo ni mfumo wa kuwapata hao mahakimu, majaji ndiyo mbovu hauoni hata Bunge la Sasa halina nguvu tena Kwa serikali ndiyo maana Watu wanataka katiba mpya Mifumo ibadilishwe Jaji anateuliwa na Rais unategemea Nini hapo

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 11 днів тому +7

    Dokter Slaah tuko pamoja tunazidi kukuombea namungu akulinde

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 11 днів тому +5

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 10 днів тому

      Huna akili kabisa
      Mambo hayo sio Mungu ni mwanadamu na Mwanadamu
      Unafikir slaaa hamwamini Mungu
      Acha ujinga umeniuzi kweli yani
      Mungu anajua Kwanini yupo hapo

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 10 днів тому

      Hata injili yenyewe Hujui Mbinguni sio ENEO la kijeografia Ni ufahamu
      Mbinguni ni ndani yako Acha kutarajia kwenda mbinguni

    • @aqcqpissa6887
      @aqcqpissa6887 10 днів тому

      ​@@childofgod3216sasa ndg biblia inasema nitawahukumu kwa sheria zilezile mliojiwekea

  • @malakiedson
    @malakiedson 9 днів тому

    Mwachie dk sira mzee wetu moja ya wazelendo wa nchii hii wapenda haki.

  • @annasitaziakamtewe
    @annasitaziakamtewe 11 днів тому +8

    Aisee,tz kwa hiki kinachoendelea kwa dr.slaa ni aibu na unaweza kuona jinsia mahakama zetu hazipo huru,wanafanyakazi kwa maelekezo ya watawala.

  • @mohdseif1659
    @mohdseif1659 10 днів тому +1

    Hilo lizee silaa lilijifanya mjuaji Sanaa aache uwongo atambue raisi ni taasisi kubwa

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 11 днів тому +6

    Serikali du!

  • @AlexMagori
    @AlexMagori 11 днів тому +8

    Ila askari magereza Wana mbwenbwe 😅😅😅

  • @godlovekinyunyu-lk3hu
    @godlovekinyunyu-lk3hu 10 днів тому

    Tanzania !!Tanzania !!Tanzania watawala wangu wanako kupeleka wanajuwa wenyewe sijui kama unaumwa au uhai mimi yangu macho tusio na macho tunaona wenyewe wanao oña wanafumba macho tusilazimishwe kufumba macho wote oneni jamani siyo kabisa Utakufa Tukiku angalia pole sana Tanzania ninaye kupenda daima moyoni mwangu

  • @shabanizayumba5432
    @shabanizayumba5432 11 днів тому +2

    Mungu tunakuomba umnusuru mzee wawatu,ukweli hana kosa,

  • @AlhajiHusseni-x9g
    @AlhajiHusseni-x9g 11 днів тому +2

    Jambo God bless you always,

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 11 днів тому +4

    Tufike mhli hwa wazeee tuwalipe waliofanyia hpa Dunia ,Tusisahahu mema Yao maxury tusiyasahau tukahukumu kwakidgo alichokifanya.Tuwaelimishe ili waishi uzee wao kwawema.

  • @lawimichaelwerewere7619
    @lawimichaelwerewere7619 11 днів тому +2

    Mungu akutetee

  • @malakiedson
    @malakiedson 9 днів тому

    Mahakama nizatia aibu kweri mnamteza mzee wawatu makusudi subri mtaktana na mungu.

  • @TumainieliMamuya
    @TumainieliMamuya 6 днів тому

    Jaman

  • @EmmanuelKazimili-ky1ss
    @EmmanuelKazimili-ky1ss 11 днів тому +5

    Tunaomba mahakama impe dhamana Mzee wetu

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 9 днів тому

    Sema nani alikwambia Rais katoa hela mzee?,au wamepigiana simu?,ulipo pewa ubalozi ulikubali ulipotolewa umeanza umbea,sasa utamjua Samia vizuri,hongera mama samia mitano tena.

  • @Piusrevo2013
    @Piusrevo2013 5 днів тому

    Mimi najiuriza Mzee mangufuri adi alimpa ubarozi duu

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 11 днів тому +5

    Wewe Muite anaropoka Hio Nchi haina Sheria na kuna Siku yakikukuta ndio utaelewa.Mzee Ali Kibao alitekwa kwenye Buss na kuuwawa jee na yeye alijitakia.Kuweni na mioyo ya kibinadamu Hatupaswi kuwa hivyo.

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 11 днів тому

      Kwani uongo?, nikweli slaa karopoka anatakiwa awempole tu mamlaka zimuhurumia umri alionao sio rafiki kufanya mambo Kama hayo na kua katika mazingira hayo binafsi niombe tu mamlaka zimuhurumia coz anaonekana afya + umri sio rafiki kwake na Mzee slaa pia ajitathmini mwenyewe na achague upande akipenda kuendelea kutumika kisiasa haitakua nzur kwake muda haupo upande wake alishafanya ya kufanya Sasa atulie tu.

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 11 днів тому +8

    Hivi Samia Suluhu haoni aibu kweli kwa matendo haya ya kipuuzi

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 11 днів тому

      Godly blindness

    • @nyembobea7285
      @nyembobea7285 11 днів тому +1

      Ona aibu wewe na mzee wako kupayuka hovyo, acheni kuleta mazoea na serikali makosa afanye Doctor silaa aibu aone rais wapi na wapi acha kumuandika rais na kumuhusisha na mambo ya makosa yenu huyu mzee aache kutumika kisiasa

    • @MaguguStore
      @MaguguStore 11 днів тому +1

      Mzee ndio mpuuzi ningekuwa mimi Rais

    • @AbudullaSulieman-ez7dl
      @AbudullaSulieman-ez7dl 11 днів тому

      Kwani amefanya nni?

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 11 днів тому +2

      Samia sio mahakama ,cha msingi usaliti wake utamuumiza , Mzee angeachana na siasa akalea vitukuu ,sasa hata lissu hana muda naye

  • @AminaJofrey-u8m
    @AminaJofrey-u8m 11 днів тому +5

    Twaafwa Watanganyika. Tukimbilie wapi Yarabi, Mahakana zenyewe ndio hizi...

  • @jumskibona3261
    @jumskibona3261 11 днів тому +2

    Moja ya mambo ya aibu kwa taifa ni kuendelea kushikila mzee Dr slaa mtu mwenye. Hazi zake na pia mzee huyu ajaonekana kutenda kosa wakina ndani

    • @2000-j3i
      @2000-j3i 11 днів тому

      Wacha afundishwe kusheshimu dola

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 11 днів тому +2

    Watanzania bwana huyu Mzee alivyokua anachezea vyombo vya Dola na kutukana mmekaa kimya tu bila hata kutoa ushauri Kwa huyu Mzee kua pumzika acha kupambana na Dola. SI kitu kizuri kwake

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 11 днів тому

      Sasa kama ametukana si ahukumiwe ?

    • @Wardenburg-h5x
      @Wardenburg-h5x 11 днів тому

      Kuma la mama yako

    • @RBMBAKARI-bv6wn
      @RBMBAKARI-bv6wn 11 днів тому +1

      @Wardenburg-h5x wewe acha matusi ni jinsi Gani umefilisika kimawazo .Mimi sikutukani ila Dola l itakushukia😀

  • @deodatusmugalulamugalula
    @deodatusmugalulamugalula 11 днів тому +4

    Hivi kuns haja ya dr Slaa kulindwa kwa mbwembwe hivyo kama amekuwa Gaidi au kaua mtu laana itawapata wahusi wakati wa MUNGU ukifika.

  • @RastaMany-p8x
    @RastaMany-p8x 11 днів тому +8

    Lisu kashinda tayr na we umesha shinda apa ni swala la mda2🇹🇿✌️✌️✌️❤️❤️💪💪💪💪💪💪🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🙏🙏

  • @B23-i8p
    @B23-i8p 11 днів тому +2

    Tz bhana 😂😂😂 Yani kama Gahidi

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 11 днів тому

      Inachekesha kwa huzuni sinema tupu .Tupo bado usingizini

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 11 днів тому

      Drama za kututishia raia wa Tanzania 😢

    • @B23-i8p
      @B23-i8p 11 днів тому

      @leokamil6284 kabisa

  • @AllyMwakyioma
    @AllyMwakyioma 11 днів тому +3

    Kwa kweli hii selikari iwe na huruma. Umri wa mzee slaa umeenda sio wa kukaa rumande bila sababu za msingi.

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 11 днів тому

      Hoja dhaifu, wazee wapo wenge sana nchi hii, huyo kakosea aombe radhi mamb yaishe ujuaji wa uzeeni sio sawa aachekutumika vibaya

    • @ndelanzali
      @ndelanzali 11 днів тому

      Shetani hawezi kuwa na huruma

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 11 днів тому

      Wazee si wengi kwa nini akamatwe yeye. Au kichwa kikubwa akili kisoda

  • @Dr.ForexTz
    @Dr.ForexTz 11 днів тому +7

    Dah mzee wetu anateseka jamani

    • @giztony2009
      @giztony2009 11 днів тому +3

      Kwa kile alichokisema anastahili

    • @MaguguStore
      @MaguguStore 11 днів тому +2

      Kasema uongo ingekuwa vema angeomba msamaha

    • @victorcharlesmwakikoti7764
      @victorcharlesmwakikoti7764 11 днів тому

      V​@@giztony2009Wala hastaili mana hajaua mtu mbona

    • @2000-j3i
      @2000-j3i 11 днів тому +3

      Wacha afundishwe kuheshimu dola

    • @hamzakhamis1575
      @hamzakhamis1575 11 днів тому +1

      Iyo ndio dawa yake, ttzo lake ni kiherehere sana

  • @AlbertSabo-hp3ss
    @AlbertSabo-hp3ss 11 днів тому +2

    Kazi ya Mama na "R" nne ipo kazini 😮

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 11 днів тому +3

    Mzee anamaliza vibaya kwenye siasa zake jmn kila jambo Lina mwisho wake

    • @mdnsakuzi7732
      @mdnsakuzi7732 11 днів тому

      Wajinga ndiyo mtaamini kuwa anamaliza vibaya muda wake

  • @Isaacchama-d8j
    @Isaacchama-d8j 9 днів тому

    Tanzania mambo yanayoendelea ni aibu mambo yakijinga SANA serikali ya samia imeshindwa kuendesha nchi

  • @kennycathles
    @kennycathles 11 днів тому +2

    Muogopeni MUNGU kwa mnavyomtendea huyu Mzee. Duniani tunapita tu!

    • @machumumalugu4058
      @machumumalugu4058 11 днів тому

      Upo sahihi ndg...yaani watu utu umepotea tunaishi kama wanyama pori yaan alie na nguvu ndo mwenye haki

  • @JosephineKabuka
    @JosephineKabuka 11 днів тому +1

    Tuna serikali ya hovyo sana!

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 10 днів тому

    Mahakama ya Tanzania ni ovyo sana imegeuka chama Cha siasa

  • @JustineKavishe
    @JustineKavishe 11 днів тому +1

    Mmh nimetumia sanaaaa

  • @mohdseif1659
    @mohdseif1659 10 днів тому

    Hilo zee silaa ni mchochezi achukuliwe hatua kali za kisheria

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 10 днів тому

    MUNGU AKUBARIKI DR SILAA
    UNATESEKA KWA KUWATETEA WANANCHI WANYONGE WASIOKUWA NA UELEDI WA HAKI ZAO
    WANATESEKA NA MAISHA MAGUMU
    MNAOMTESA HUYU BABA SIKU MOJA MTAYALIPA.MBELE ZA MUNGU

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 11 днів тому

    Iviii ileee makamaaa yaaa mafisadii ikooo waziii auuu imefungwaa naonaaa wanahangaikaaa naaahuyuuu mzeee wajanjaaa wanapigaa elaaa wanabadilishiwaaa wizalaaa tuuu tanzaniaaa ninchií yakishalii shalii tuuu

  • @GodfreyMwendawila-ff7on
    @GodfreyMwendawila-ff7on 11 днів тому

    Hii nchi yetu inalaana kubwa sana wanajalibu kufanya kila linalo waflahisha mioyo Yao hata kwa kudhulumu maisha ya wengime ili mladi tu wapate Wanacho kitaka kisa wako selikalini

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 11 днів тому +1

    Slaaa hiyo ni sehemu ya kazi yake huwezi kuwa mwanaharakati bila kukukuta hayo yeye yupo sawa tu

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 11 днів тому

    Safi kabisa wakili msomi

  • @JacquelineMnishanga7-hw9zp
    @JacquelineMnishanga7-hw9zp 10 днів тому

    Nawashangaa mnaomlaumu Mama ! Tatizo lipo kwa huyo mzee yeye ndiye aliye Twitte ujinga kumuhusu mama sasa muacheni apate alichokua akikitafuta.

  • @annamnanka-qk1bx
    @annamnanka-qk1bx 11 днів тому +1

    Jamani mpe haki huyo mzee

  • @JamesAbel-ig8wb
    @JamesAbel-ig8wb 11 днів тому

    Vyama vya upinzani ongezeni nguvu mzee Slaa apate dhamana,

    • @YourMoor-px1rd
      @YourMoor-px1rd 11 днів тому

      CCM NI CHAMA CHA UONEVU HAWATAKI KABISA KUKOSOLEWA KILA KITU WANACHOKIFANYA WAO NI SAHIHI LKN YANA MWISHO WAKE

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 11 днів тому

    Daaah nchi hii😢😢😢😢

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 11 днів тому

    Tanzania tumelelewa kuwaheshimu na kuwatunza wazee na kuyanyamazia yale wanayoyatamka kwa hasira na mihemko, mstufundishe utamaduni mpya kuwadhalau kuwakamata kamata, sisi wazee wakiingia hata kwenye gari tunaangaliana nani anyanyuke

  • @AidanAndrea-g5b
    @AidanAndrea-g5b 11 днів тому +1

    Mi namuomba mheshimiwa Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania amsamehe tu si Kila atae sema kuhusu yeye amfuatilie mengine asamehe tu tuendelee na mengine

  • @teddymassawe3583
    @teddymassawe3583 11 днів тому +1

    Kwani huyu mzee hata angekuwa askari mmoja anaweza kukimbia kweli au ni mbwembwe tu

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 11 днів тому

      Analindwa sio Asikimbie...Analindwa ili Asizulike.wangemsamehe tu Mzee ..Naona kama Amechoka kiafya.

  • @edwarddaniel5683
    @edwarddaniel5683 11 днів тому +1

    Kwani huyu mzee wakimwacha alale nyumbani na kwenda mahakamani kila wanapomhitaji kuna shida?

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 11 днів тому

    Askari wa Tanzania vituko kweli😂.. sasa huyo pimbi kavalia kama anakwea mlima Everest😂

  • @AminaJofrey-u8m
    @AminaJofrey-u8m 11 днів тому +2

    Mahakana imeahirisha uamuzi Ili kusubiri maelekezo kutoka juu kama Dr.Slaa apewe dhamana au la.

  • @HonorataMafala
    @HonorataMafala 11 днів тому

    Ukipanda mahindi utavuna mahindi so watavuna wanachopanda. Mbingu na ahdra iko hapahapa. Mungu ni wa haki atahukumu kwa haki.

  • @BorySaronge
    @BorySaronge 11 днів тому

    Kwa umri huu na uzee huu Dr slaa ulikuwa hauna sababu ya kusumbuana na dola.

  • @modernmwamtobe-lq8rg
    @modernmwamtobe-lq8rg 9 днів тому

    Komenti zingine ni za kipuzi sana wewe kripu aliogea mzee silaa hijaiona.acha wanasheria wafanye kazi zao.

  • @AminaJofrey-u8m
    @AminaJofrey-u8m 11 днів тому +5

    Samia kapania na ndio sababu Dr. Mpango ameamua kujitenga na maovu haya.

  • @AllanLyombile
    @AllanLyombile 11 днів тому

    CCM na serikali mnatia aibu sana mnawaogopa hata wazee vikongwe? basi mmefirisika vibaya kisiasa, mwisho mbaya unawasubiri.

  • @alisalim2725
    @alisalim2725 11 днів тому +1

    Yani bongo bwana sasa huyu mzee ndio tushio sio mpka mwampeleka left right

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 11 днів тому

    Ni jambo la aibu,serikali imajidhalilisha.

  • @MzeeBabu-s6y
    @MzeeBabu-s6y 11 днів тому

    daaa hayaa mungu hana yaona

  • @kihongole87-ns1bo
    @kihongole87-ns1bo 11 днів тому +1

    Hv kanisan au misikitini huwa mnaenda kweli na bdio maana mkifa tnafrahi

    • @ndelanzali
      @ndelanzali 11 днів тому

      Wanaenda ila Mungu hayupo

  • @RamadhanAlly-cf7du
    @RamadhanAlly-cf7du 11 днів тому +3

    Yani maaskar wa kibongo baana yani wanamlinda mzee na srahaa kubwa utazan jambaz

    • @NixonJohnson-zn8nk
      @NixonJohnson-zn8nk 11 днів тому

      Kudos akili ni Jamboree LA ajabu mno.. Ndio kinachowasumbua

    • @stewartdyamvunye-wz6rn
      @stewartdyamvunye-wz6rn 10 днів тому

      Hii ni dalili tosha ya utumishi wa umma hii leo umejaa watumishi kama sio wote walio wengi ni wenye vyeti feki. Kama matokeo tunashuhudia leo kila kona utendaji usio na hekima, weledi wala utu! Comde Slaa analindwa na askari/silaha kama makomando utadhani Paulo Escoba gwiji wa madawa ya kulevya kule Mexico! Kisa: Slaa kasema rais Samia anaongea na Mbowe/anafisadi uchaguzi CHADEMA! Mwamba Magufuli alipiga vita sana vyeti feki, alivojiondokea, sera hii ikatupiliwa mbali na kuwarejesha kazini vyeti feki! Hivyo kuhalalisha vyeti feki zaidi vipya! Sasa tusishangae mauzauza: polisi - sisi ni weledi, tutachunguza kifo cha mzee Kibao, hadi leo kimya! Mchengelwa - CCM imeshinda kwa 99.8! (Kwa viwango hivi hakika CCM sasa ni malaika!) CAG - jamani kuna ufisadi, serikali kimya! DP World badala ya yeye kunyenyekea kuomba kazi kwa wa tanzania ya kuendesha bandari, Steaven Wasira (na wenzake) aliziara nchi nzima kumuombea kazi huku DP World amelala mustarehe Dubai! Na mengine mengi, si rahisi kuyataja yote hapa!

    • @BestonMwaminyambi
      @BestonMwaminyambi 9 днів тому

      Hata jambazi akiwa mahakamani hakuna haja ya kubeba silaha namna hii labda kama Yuko kwenye tukio la ujambazi au kama ni gaidi.

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 11 днів тому

    Samia unamtesa mzee hivyo kisa mmetofautiana mawazo duuu,this is not good,na wewe Mzee Silaha mwombe Mama Samia msamaha muyamalize na wacha ongea mambo ynayokwaza serikali,toeni tofauti zenu hatuwezi wote tukawaza katika mtazamo ulio sawa lazima tutatifautiana

  • @LeahMgunda-l8c
    @LeahMgunda-l8c 11 днів тому

    Mabunduki kulinda mtuhumiwa mzee, mtoto kauliwa na fisi Simiyu!!!!

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 11 днів тому

    OOH MAMA TANZANIA....AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA TAIFA LETU KWA HAYA MAMBO YA AIBU YALIYOFANYWA NA HAKIMU WA MAHAKAMA YA KISUTU, OFISI YA DPP AKISHIRIKIANA NA POLISI....AIBU KUBWA SANA KWA SERIKALI YETU....DUNIA INATUSHANGAA!

  • @zedmsuya420
    @zedmsuya420 11 днів тому

    Em muacheni huyo mzee bwana mnamtesa sana jmn

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 10 днів тому

    Kamateni mafisadi na wala rushwa! Sio wanao waking! Laana inawatawatafuna!

  • @Freeedom-e4h
    @Freeedom-e4h 11 днів тому

    Kwa umri huu lengo kumtia presha mzee adondoke mana hakuna jambo alofanya ujinga tu

  • @MathiasMayengo-c1c
    @MathiasMayengo-c1c 7 днів тому

    Tz viongozi hovyo

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 11 днів тому +3

    Mtamuuuwa bule mzee wa watu

    • @BestonMwaminyambi
      @BestonMwaminyambi 9 днів тому

      Wakumuuwa Kwani wao Wana hati miliki ya uhai au Wana ujomba na mungu?

  • @SleepyChefHat-oq9ji
    @SleepyChefHat-oq9ji 10 днів тому

    Huyu Mzee akitoka na akutulie achane na siasa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 11 днів тому

    Huyu mzee mnamtesa bure mnajilimbikizia laana Mahakama na serikali yenu. Kawafanya nn huyu mshua mbona hana hata shida na mtu

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 11 днів тому

    Mwacheni mzee amechoka. Huenda hata aliyoandika sio akili yake. Ni uzeeee 😅

  • @EmmanuelGervars
    @EmmanuelGervars 8 днів тому

    Slaha stafu siasa umezeeha achia vijana jamani

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 11 днів тому +1

    Tunawaamini mawakili wetu kuufatiria kesi ya dokter Slaah il aachiwe huru wanaamua tu kumtesa mtetezi wawanyonge wananchi watanzania .

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196 11 днів тому +2

    Watanganyika tunahangaika sana

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 11 днів тому

    Nakuonea huruma dr slaa lkn nadhani tujifunze kutokuwa wasemaji wa mambo yasiyo na ukweli,taasisi ya urais ni kubwa mno

  • @SimonMelon-k9p
    @SimonMelon-k9p 11 днів тому

    Sasa huyo babu,simuachie tu

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche 11 днів тому

    Serikali inapenda kuwafunga watu wanaowakemea wezi ili waache Wizi. Na wale wezi wanalindwa. Yaani hapa Ni Mungu tu aingilie Kati. Ni ngumu Sana hii kuwaondoa wezi madarakani. Wanalindwa sana

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 11 днів тому

      Slaa mwenyew ndio mwizi mkubwa alikimbia upadri kwa tamaa ya fedha za siasa hayo ndio malipo yake, alipokua anatukana na kuwadhalilisha watu tena viongozi hakujua Kama Kuna sheria?

    • @HamisiNguche
      @HamisiNguche 11 днів тому

      @kamanapomo7029 lakini Serikali yako si ilimpa ubalozi huyo baada ya kutoka ujambazi akiwa Padre. Sasa Serikali kwanini ilimfuga kumpa ubalozi. Ndiyo maana nasema Serikali inapenda kutetea majambazi. Leo jambazi mwenzao kawageuka inawauma nini? Huyo tayari ameshajua mbinu za ujambazi mnazotumia. Mwacheni huru.

  • @onesphoryndomba6115
    @onesphoryndomba6115 11 днів тому

    Haya yanaonekana ni maagizo kutoka juu kabisa lakini yatapita tu sote ni damu na nyama mungu wetu atatenda kwa wakati usio julikana mteseni mzee lakini ipo siku

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 11 днів тому +1

    😢😢

  • @CharlesLobulu
    @CharlesLobulu 11 днів тому

    Mzee mwenyewe kutembea shida askari wote hao wa kazi gani.

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 10 днів тому

      😂😂😂 mi mwenyewe najiuliza yaaani dooh

  • @EphesiansMbilinyi-g5z
    @EphesiansMbilinyi-g5z 11 днів тому

    Kafanyann

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 11 днів тому

    HAWA MAWAKILI WANAKAUKA MAKOO WANATETEA CHAO WAKO KAZINI HAO.

  • @Selemlaki132
    @Selemlaki132 9 днів тому

    Huyo mzee muachieni

  • @MohamedShaksi
    @MohamedShaksi 11 днів тому

    Mimi nadhani wanatka kuwajua hao waliompa taarifa

  • @Oswaldpaulkimario
    @Oswaldpaulkimario 11 днів тому +7

    Mwachieni jamani huyo ni mzee msinyanyase hivyo

    • @YourMoor-px1rd
      @YourMoor-px1rd 11 днів тому

      YAANI NI JAMBO LA AIBU SANA KWA SERIKALI YETU

  • @ShukuruEdward-v1l
    @ShukuruEdward-v1l 11 днів тому +1

    utazani mtuhumiwa ni bonge lajambazi

  • @kazikazicompany-yl6sd
    @kazikazicompany-yl6sd 11 днів тому

    😮😮😮😮😮

  • @VictorMwalulenga
    @VictorMwalulenga 11 днів тому

    Nimaagizo kutoka juu hayo

  • @Mpendahaki
    @Mpendahaki 11 днів тому

    Awamu ya bibi inaonea sana wazee

  • @PovertyPeace
    @PovertyPeace 11 днів тому

    Kamdomo kamdomo

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 11 днів тому

    KOMREDI SILAA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.

    • @hamisishabani4072
      @hamisishabani4072 11 днів тому

      Huyu ni komredi wa kuropoka hivyo.wacha ya mfike.

  • @kiyumbijustine3434
    @kiyumbijustine3434 11 днів тому

    😢😢😢😢

  • @GadafSalum
    @GadafSalum 11 днів тому

    Acha anyowoke mze anazalawu sana

  • @HabibKhamis-b2x
    @HabibKhamis-b2x 11 днів тому

    Dah serikal hii jmn

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 11 днів тому

    Mzee kama huyo mnamwandama kama gaidi jaman wanalaana hawa