Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
Hakuna kama 👑 king hii ndo maana ya mfalme anaimba nyimbo za miaka 15 iliyopita na watu Wana vibe Kuna watu wameumbuka ureno na wamepiga nyimbo za juzi hata MWEZ azina daaa nmeamin Kuna msanii na mwanamuziki king noumaaaaa
Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
San@@mogrosso3500
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake @@joycekisamo4896
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
Likes from East Africa 😂😂😂
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
King ni mmoja tu
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
Haongelwi kwa chuki dat why
Sns hawezi kuongolea hahaha
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
Nimeona
Nimeona pia
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
Congo na motema
Crown ni nyumbani
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo@@joycekisamo4896
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
King always is king thank you king kiba
Only one king in Africa 🥰
Akun kama yeye
Dj D Ommy bonge la hipe
THE INTERNATIONAL DJ
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
Show amazing king
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
Kingkiba salute
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
Dj wa crownfm hyo
@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
Ndo dj wake uyo
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
King ni mmoja
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
King 👑👑👑 y
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
Lia basi😂😂@@salimalaquimane3077
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
Mfalme wa music 👑👑
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
King forever ❤
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
The king himself 🔥🙄🙌
Only one king❤❤👑
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuh
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
King kiba🔥🔥🔥
Great vibe🎉
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
King kiba Atari sana❤
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
King to the world 🎉
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
Nakubali sana ❤
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
Kingkiba tunakukubalii sana
King 👑 on top
Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅
King🎉🎉
King Kaká we ni kiboko
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
King ❤
King king🔥🔥🔥🔥
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
Dj d ommy hatariii mno
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa
Congolese we’re there big up
Tu mérite être le roi
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
King ni mmoja2
Mashaallah❤❤🎉🎉
Dj d ommy anamjulia king kiba
King Kiba king of east Africa ❤
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani
Je Vien aussi de voir notre 🇨🇩 depuis congo 🇨🇩
Mfalme wa africa
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
Safii kiba kazi nzur
Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.
King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤
Umetisha King 🤴 🙌 kiba
King
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
Wakwanzaaa😂😂
#kingkiba
Daaaa mwamba pga kaz nakukubal sana
Hakuna kama 👑 king hii ndo maana ya mfalme anaimba nyimbo za miaka 15 iliyopita na watu Wana vibe Kuna watu wameumbuka ureno na wamepiga nyimbo za juzi hata MWEZ azina daaa nmeamin Kuna msanii na mwanamuziki king noumaaaaa
Ninoma Sana 😂😂
Tz oooooyeeeeee
Yan msanii na dj wote niwanoma