JIONEE ALIKIBA ALICHOKIFANYA CANADA, MAELFU WAJITOKEZA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лип 2024
  • Alikiba

КОМЕНТАРІ • 348

  • @AlikibaaCom
    @AlikibaaCom 22 дні тому +84

    Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222

    • @mogrosso3500
      @mogrosso3500 22 дні тому +2

      Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤

    • @SokoroboyNdend-iv1js
      @SokoroboyNdend-iv1js 22 дні тому

      San​@@mogrosso3500

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 21 день тому +1

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

    • @AlikibaaCom
      @AlikibaaCom 18 днів тому

      @@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa

    • @user-ry4cf8ln6l
      @user-ry4cf8ln6l 17 днів тому

      Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake ​@@joycekisamo4896

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 22 дні тому +16

    Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 22 дні тому +28

    Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v 22 дні тому +26

    Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako

  • @razakilipwelele5518
    @razakilipwelele5518 22 дні тому +44

    Likes from East Africa 😂😂😂

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 22 дні тому +20

    Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 21 день тому

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

  • @DambweRama
    @DambweRama 22 дні тому +35

    CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉

  • @SuleimanAli-jv3lt
    @SuleimanAli-jv3lt 22 дні тому +16

    All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 22 дні тому +5

    Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music

  • @HenryChristophvtl-md1cz
    @HenryChristophvtl-md1cz 22 дні тому +36

    Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥

  • @Lebabaz
    @Lebabaz 22 дні тому +32

    King ni mmoja tu

  • @AmosItawa
    @AmosItawa 22 дні тому +37

    Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa 22 дні тому +96

    Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like

  • @shabaningaoga164
    @shabaningaoga164 22 дні тому +43

    Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 21 день тому

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

    • @rajabumkoko3947
      @rajabumkoko3947 20 днів тому

      Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo​@@joycekisamo4896

  • @saxprince10
    @saxprince10 22 дні тому +14

    Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba

  • @barakayusuph4617
    @barakayusuph4617 22 дні тому +14

    our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 21 день тому

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

  • @Peresi-t1d
    @Peresi-t1d 22 дні тому +23

    Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 22 дні тому +1

      Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂

    • @belitomanuel6240
      @belitomanuel6240 22 дні тому +1

      Even my self I had this question ❓ which Canada are this??

    • @abdullahkazungu4025
      @abdullahkazungu4025 22 дні тому +1

      Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- 22 дні тому +4

    Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 22 дні тому +16

    Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz

  • @Peresi-t1d
    @Peresi-t1d 22 дні тому +18

    King always is king thank you king kiba

  • @rukiasekulu502
    @rukiasekulu502 20 днів тому +4

    Only one king in Africa 🥰

  • @Saki930
    @Saki930 22 дні тому +9

    Dj D Ommy bonge la hipe

  • @middoTv
    @middoTv 22 дні тому +17

    THE INTERNATIONAL DJ

  • @kgchippy
    @kgchippy 22 дні тому +16

    Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤

  • @BoniphaceDonald
    @BoniphaceDonald 22 дні тому +9

    Show amazing king

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 22 дні тому +12

    Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 22 дні тому +21

    Kingkiba salute

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d 22 дні тому +11

    Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.

  • @Murisal
    @Murisal 22 дні тому +10

    Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa

  • @ABUBAKARISAIDI-dh7fy
    @ABUBAKARISAIDI-dh7fy 22 дні тому +24

    Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli

  • @angelojuma7818
    @angelojuma7818 22 дні тому +20

    King ni mmoja

  • @alphamanoke6116
    @alphamanoke6116 22 дні тому +2

    King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king

  • @thomaskombe2430
    @thomaskombe2430 22 дні тому +11

    King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥

  • @kelvinliheta9769
    @kelvinliheta9769 22 дні тому +16

    Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 22 дні тому +8

    I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo 22 дні тому +11

    Mfalme wa music 👑👑

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 22 дні тому +6

    Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 22 дні тому +12

    King forever ❤

  • @TiliaAmedeus
    @TiliaAmedeus 22 дні тому +4

    Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....

  • @user-hy5le8uk5b
    @user-hy5le8uk5b 22 дні тому +10

    The king himself 🔥🙄🙌

  • @collinswambani8972
    @collinswambani8972 22 дні тому +12

    Only one king❤❤👑

  • @AbdallaMpambika-bp6ub
    @AbdallaMpambika-bp6ub 22 дні тому +2

    Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 22 дні тому +6

    King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @msagatijackson
    @msagatijackson 22 дні тому +8

    Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow

  • @deusdeditsanga9666
    @deusdeditsanga9666 22 дні тому +12

    King kiba🔥🔥🔥

  • @gibronrugemela853
    @gibronrugemela853 22 дні тому +5

    Great vibe🎉

  • @iddyfourteen9252
    @iddyfourteen9252 22 дні тому +3

    Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa

  • @ErickWambura-dv1if
    @ErickWambura-dv1if 21 день тому

    Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa

  • @SalinSultan
    @SalinSultan 22 дні тому +13

    King kiba Atari sana❤

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 22 дні тому +4

    King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba

  • @user-lk5dz3dx8z
    @user-lk5dz3dx8z 22 дні тому +6

    King to the world 🎉

  • @Juliusantipas
    @Juliusantipas 22 дні тому +2

    Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍

  • @AmuriUlimwengu
    @AmuriUlimwengu 22 дні тому +2

    Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 22 дні тому +6

    Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana

  • @idinshazimakashukwe
    @idinshazimakashukwe 22 дні тому +1

    Anaeijua anajua Tu big up bro🔥

  • @Muidumbe450
    @Muidumbe450 22 дні тому +4

    Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 22 дні тому +7

    Nakubali sana ❤

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv 22 дні тому +5

    Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage

    • @barakadaprince3742
      @barakadaprince3742 22 дні тому +1

      Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p 22 дні тому

      Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia

    • @LameckZakaria-qg9vv
      @LameckZakaria-qg9vv 22 дні тому

      Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu

  • @ALLY_K61
    @ALLY_K61 22 дні тому +22

    Kingkiba tunakukubalii sana

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 22 дні тому +2

    King 👑 on top

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 22 дні тому +10

    Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅

  • @user-vm4fe3ql5c
    @user-vm4fe3ql5c 22 дні тому +7

    King🎉🎉

  • @alvannykiba281
    @alvannykiba281 21 день тому +1

    King Kaká we ni kiboko

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 21 день тому +1

    DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu

  • @SeifullahSady
    @SeifullahSady 22 дні тому +1

    Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤

  • @FaithaAli-cy5nr
    @FaithaAli-cy5nr 22 дні тому +4

    King ❤

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 22 дні тому +8

    King king🔥🔥🔥🔥

  • @Kingjmtv1982
    @Kingjmtv1982 21 день тому

    King kiba nakubali mtu wa watu ❤

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 20 днів тому +1

    Dj d ommy hatariii mno

  • @isayamsisika6255
    @isayamsisika6255 22 дні тому +2

    Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown

  • @IqramNoman-gu3xr
    @IqramNoman-gu3xr 12 днів тому

    É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá

  • @AhjuceAqeeb
    @AhjuceAqeeb 22 дні тому +1

    Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v 22 дні тому +3

    Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪

  • @GDBOYOFFICIAL
    @GDBOYOFFICIAL 22 дні тому +4

    Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa

  • @user-cs4nj4yn8d
    @user-cs4nj4yn8d 21 день тому

    Congolese we’re there big up

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa 22 дні тому +9

    Tu mérite être le roi

  • @Jipendelee255
    @Jipendelee255 22 дні тому +1

    Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥

  • @swala_master
    @swala_master 22 дні тому +4

    Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 22 дні тому +5

    King ni mmoja2

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f 21 день тому +1

    Mashaallah❤❤🎉🎉

  • @bakarimajaliwa247
    @bakarimajaliwa247 22 дні тому +2

    Dj d ommy anamjulia king kiba

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu4462 22 дні тому +1

    King Kiba king of east Africa ❤

  • @user-en1ci8jk7v
    @user-en1ci8jk7v 22 дні тому +1

    Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani

  • @PmVictor-d3i
    @PmVictor-d3i 22 дні тому +1

    Je Vien aussi de voir notre 🇨🇩 depuis congo 🇨🇩

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 22 дні тому +12

    Mfalme wa africa

  • @ZinganisaNova
    @ZinganisaNova 22 дні тому +2

    Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 20 днів тому

    King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa

  • @HusseinChai-23
    @HusseinChai-23 16 днів тому

    Safii kiba kazi nzur

  • @Igauf3
    @Igauf3 22 дні тому +1

    Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 22 дні тому +1

    King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 22 дні тому +1

    Umetisha King 🤴 🙌 kiba

  • @PozzTonny-in8vy
    @PozzTonny-in8vy 22 дні тому +5

    King

  • @Saki930
    @Saki930 22 дні тому +4

    Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa

  • @egbertrwiza9226
    @egbertrwiza9226 22 дні тому +9

    Wakwanzaaa😂😂

  • @kennedymatiko6830
    @kennedymatiko6830 22 дні тому +10

    #kingkiba

  • @user-br5eq8ky5l
    @user-br5eq8ky5l 22 дні тому +1

    Daaaa mwamba pga kaz nakukubal sana

  • @rainohazard2453
    @rainohazard2453 22 дні тому +2

    Hakuna kama 👑 king hii ndo maana ya mfalme anaimba nyimbo za miaka 15 iliyopita na watu Wana vibe Kuna watu wameumbuka ureno na wamepiga nyimbo za juzi hata MWEZ azina daaa nmeamin Kuna msanii na mwanamuziki king noumaaaaa

  • @JosephMichael-z5y
    @JosephMichael-z5y 22 дні тому +8

    Ninoma Sana 😂😂

  • @JosephMutambala
    @JosephMutambala 22 дні тому +5

    Tz oooooyeeeeee

  • @user-mr1gs2oe7e
    @user-mr1gs2oe7e 22 дні тому +2

    Yan msanii na dj wote niwanoma