JINA EPISODE 13 (Last Episode )

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • This is Channel is for action movies based on African and African Blockbuster Action Movies in English HD movies don't forget to subscribe @BenroyalMovies Grand theft Auto v, Mobile legends trending now More Movies Jungwa Movie • Best African Action Mo... Operation M22 • [Eng sub] Best African... South African English Movie #beastofnonation #southafricanmovie #netflixmovies #netflix #viral #video #nigerianmovies #africanmovie #southafrica #southafricanmovie #drama #viral #video #actionmovie #netflix #new #Best #actionmovie #operationm22 #benroyalmovies #movie #operationredsea #new #video #actionmovie #bestafricanmovie #benroyalmovies #diamondplatnumz #english #bongomovies #juakaliseries #benroyalpictures #safemovie #mobilelegends #bestgameplay #foryou #freefire #funny #fyp #funnyvideo #netflix #operationredsea2018 #freefire #actionmovie #netflix #video #africanmovies #english #operationredsea #netflix #africanmovie #actionmovie #phillipians #southafrica #philippines #bongomovies #trending #best #hulu #blockbusteractionmovie #viral #video #viralvideo #trending #mobilelegends #mobilegame #mobile #trendingnow

КОМЕНТАРІ • 305

  • @AliciaLufunyo
    @AliciaLufunyo 6 місяців тому +4

    Nataman nijue jna la kwaya mana nyimbo zao zmenibariki sana

  • @MishaelKyando-gz8tm
    @MishaelKyando-gz8tm 8 місяців тому +3

    Nashukulu mungu Kwa kuwatumia vijana wenzangu Kunibadilisha . Pia mungu ambaliki Mtunzi NAMIpia nimetambua kuwa Mimi ni mpitaji . Hivyo naitaji kumludia mungu wangu. 📖📓 Nahahidi naenda kununua na biblia Asante sana

  • @edozzedga6299
    @edozzedga6299 8 місяців тому +1

    Great ... Jina la thamani "Yesu".... Kweli....

  • @LatifaKapange-cs8qm
    @LatifaKapange-cs8qm 8 місяців тому +5

    Ended with joyful emotional❤😊, I like that

  • @johnmajiulaya
    @johnmajiulaya 8 місяців тому +2

    Daaah Move safiiiiiiii move yenye mafunzp mazuriiiii

  • @bikyeombemteulwa2724
    @bikyeombemteulwa2724 8 місяців тому +4

    Nimejikuta nalia kwafuraha kama mulijuwa je? Istoria ya maisha yangu amakweli popote mulipo mumenifaji kwelikweli MUNGU aguse mioyo yawengine wasio ijuwa thamani ya JINA LA YESU amen 🙏

  • @AndreaLyelu-vb4bn
    @AndreaLyelu-vb4bn 8 місяців тому +8

    For real naangaliaga tamthilia nyingi sana ila huwa zinakuwa na bad end but hii kutoka mwanzo mpaka mwisho nilikuwa na ninyi na nimeipenda bure na nawaelewa na ninawa ahidi siku moja nitakuja kuigiza na nyie mana napenda ila sijawahi kuigiza but for real nawaelewa sana ila tu Isarito kakimbilia dar arudi basi mwamba sana kwenye action na hata sio hi o tu thamthilia zenu nazikubali sana na mazingira mazuri kweli naamini Mbeya is a green city na nayapenda mazingira pia

    • @LYEMA12
      @LYEMA12 8 місяців тому +1

      Yani Tanzania hakuna waigizaji kama benroya asee njie hatari sana Mungu awabariki sana benroya

    • @KisheryMicro
      @KisheryMicro 8 місяців тому +1

      kazi nzuri sana sikutamani iishe

    • @AndreaLyelu-vb4bn
      @AndreaLyelu-vb4bn 8 місяців тому

      @@KisheryMicro Yani nimeipenda kuliko kazi zote

  • @nyamaikite7839
    @nyamaikite7839 8 місяців тому +3

    In a scale rate out of 10 you score 9 benroyal pictures hakika filamu zenu ni za kupendeza tunataka zaidi pia❤

  • @CHARLESLEMASHA
    @CHARLESLEMASHA 8 місяців тому +2

    Daaa! Mjawahi kufeli mungu awabaliki na vipaji mzidi kutuelimisha ongeren

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 8 місяців тому +2

    Mungu awabariki sana na vipaji vyenu vikainuke zaidi na zaidi mnajua sana, Amina

  • @DaudiEmmanuel-s5b
    @DaudiEmmanuel-s5b 7 місяців тому +1

    Nawapenda saan Ben Royal mungu awatangulie nimejifunza vitu vingi hasa nyimbo zilikuwa zinanifariji Ameen

  • @rickmatty4210
    @rickmatty4210 8 місяців тому +1

    Kazi ni nzuri sana Toka mwanzo Hadi mwisho
    Mbarikiwe sana 👏👏👏👏

  • @JuniorSimbeye
    @JuniorSimbeye 8 місяців тому +2

    Jaman mnastahir tuzo kwa kaz kubwa mlioweza kuifanya kwen film hii uandish mzur pia unao simamia maadili ya taifa letu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 # JuniorSimbeye

  • @RamadhanAlly-j7q
    @RamadhanAlly-j7q 8 місяців тому +2

    Ila master g mwendo wake unanichosha

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 8 місяців тому +3

    Daaah story kali sana...
    Hongera sana Benroyal

  • @EdwardMbale
    @EdwardMbale 7 місяців тому +1

    Asante sana mm gonga mwamba

  • @MishaelKyando-gz8tm
    @MishaelKyando-gz8tm 8 місяців тому +3

    Nimejua mahana ya wokovu kupitia Nyinyi mungu awabariki muweze kutupa Vitu vizuri kama Hivi SiSi ,JINA na kadha wakadha Benroyal films tupo sambamba 🙌 ❤❤

  • @hekimatinga2990
    @hekimatinga2990 8 місяців тому +2

    God bless u bro Naamini wengi wataelewa maana ya wokovu kupitia hii tamthilia🙌🙌🙌 MUNGU azidi kukuinua

    • @Benroyalmovies
      @Benroyalmovies  8 місяців тому +2

      Amen

    • @WilsonMnyandwa
      @WilsonMnyandwa Місяць тому

      @@Benroyalmovies nawakubali sana mabr Mungu awabariki sana naomba angalau unitumie namba yenu ya whatsApp samahani lkn 🙏🙏🙏

  • @tinomligo8250
    @tinomligo8250 8 місяців тому +7

    Nimebalikiwa sana kuitazama hii story mwanzo hadi mwisho hakika nimebalikiwa🎉🎉

  • @marymorlyn2838
    @marymorlyn2838 8 місяців тому +1

    Hadi ya kuandika yanakosekana but from start to the end hii tamthilia ni kali sana

  • @kulishaandry5730
    @kulishaandry5730 8 місяців тому +2

    Master KG humu umetisha sana, Big up kk

  • @SixbethBalunguza
    @SixbethBalunguza 8 місяців тому +1

    Kaka baraka asante kwa ujumbe mzuri Mungu awaogoze kwenye kuleta ujumbe kama huo nimependa sana , nimejifunza kitu kutoka kwenu❤ na wapenda sana🎉❤🥰🤗

  • @CharlotteMuyenga
    @CharlotteMuyenga 8 місяців тому

    Amen Amen mbarikiwe sana ❤❤🙏🙌🏾Mungu ni mwema sana ❤❤

  • @pappilonfar
    @pappilonfar 8 місяців тому +3

    Mater G...Aamina sana😂😂😂

  • @mikekassege8529
    @mikekassege8529 8 місяців тому +1

    Peter & Jogoo aiseee mnatisha sanaa

  • @RUNINGAYAMSWAHILI-ts2zc
    @RUNINGAYAMSWAHILI-ts2zc Місяць тому +1

    Hongera sana Ben Royal na waigizaji wote kwa filamu bora. Hii ni mara ya kwanza kuandika maoni yangu mtandaoni kwa sababu ya ubora na uzuri wa filamu ya JINA. Hakika kupitia filamu hii mmeweka alama itakayokumbukwa mbinguni. Filamu hii imesukwa kwa ustadi mkubwa wenye kuzingatia theolojia ya mchakato wa wokovu kupitia Jina la Yesu. Falsafa na ubunifu uliotumika katika filamu hii ni nguzo ya kuwavuta watu kwa Mungu. Mungu aifungulie njia isambae duniani kote, Amina

  • @frankluswaga
    @frankluswaga 8 місяців тому +1

    ❤❤❤ Amina Amina Amina sana... Asanteni beniroyal Mungu atawabariki wa kazi yenu hii iliyotukuka. More blessings!

  • @jeanclaudebyolenganya5157
    @jeanclaudebyolenganya5157 8 місяців тому

    Hakuna jina lipitalo majina yote duniani na kuzimu, hisipokua jina la YESU KRISTO liwaokowalo wenye dhambi wote.
    Mbarikiwe sana kwa tamthilia hii nzuri inayojaa fundisho kwa kizazi cha sasa.

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 8 місяців тому +1

    Woow work I like it love you all

  • @daudic.mpinga4606
    @daudic.mpinga4606 8 місяців тому

    Amen ,MUNGU awabariki sana ,naimani ujumbe huu umewafikia vijana wengi sanaa.

  • @benedictomaujamtutui8693
    @benedictomaujamtutui8693 8 місяців тому +1

    Wajina your the best tangu nimeanza episode ya 1 mpaka tamati hakika umefanya kitu kikubwa sana Mungu aendelee kukufunulia upate kuelimisha kondoo wake... Be blessed 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @prospergasper3193
    @prospergasper3193 6 місяців тому

    KAZI NZURI SANA lkn mwishon cjamwona #NALA AKIOMBEWA ila mmejitahidi sana na nnazifatilia Kaz zenu kila iitwayo Leo #GOD BE WITH YOU 🙏

  • @Dodomacomedytz
    @Dodomacomedytz 8 місяців тому +4

    Team work nmeiona 🙌🙌🙌

  • @aminahaule1806
    @aminahaule1806 8 місяців тому +3

    Very interesting movie and shows the God love to us , thanks much all and director

  • @charlienyenga528
    @charlienyenga528 8 місяців тому +2

    kazi ssa sana 🔥🔥🔥🔥

  • @rehemakazungu6945
    @rehemakazungu6945 8 місяців тому +1

    Amina 🙏🙏

  • @elizabethmulupirapando9774
    @elizabethmulupirapando9774 8 місяців тому +1

    Asanteni sana kwa kazi nzuri kwa kweli kazi yenu ni nzuri sana wacha mungu wa amani azidi kuwainua nyinyi wote 🙏❤❤much love from Kenya 🇰🇪

  • @misanangasa8296
    @misanangasa8296 8 місяців тому

    Kazi nzuri sana ina funzo ndani yake
    Fanya ulete action movie tume miss ngumi

  • @almashauribinyakichwaaldo9337
    @almashauribinyakichwaaldo9337 8 місяців тому +1

    Mmbarikiwe sana

  • @johnmajiulaya
    @johnmajiulaya 8 місяців тому +1

    Hongereni sana ndugu zangu

  • @giftlwae953
    @giftlwae953 8 місяців тому +1

    Tuishi Kama mlivyo higiza. Amen

  • @janetadamcharo1606
    @janetadamcharo1606 8 місяців тому +1

    Mbarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 8 місяців тому +1

    Nawapenda saana

  • @JacklyneDedan
    @JacklyneDedan 8 місяців тому +1

    U did the best more blessings .Ila peter mwasomolaa umeua upewe maua yko. Msininukuu vby cio kama wengne mmefany vby ila yy nimemuona kuwa ni man of match😅😅😅 much love 😘😘

  • @JoxhBarasa
    @JoxhBarasa 7 місяців тому +1

    Ameeeeeeeen ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Amicandy-w8o
    @Amicandy-w8o 8 місяців тому

    Tuzo kwenu jaman na movie n nzurii saaana kazi n nzur saana mwenyezi mungu azidi kuwaoa kibali mbele zake mfike mahali pazur zaidi

  • @SappyLemi
    @SappyLemi 8 місяців тому +1

    Daah kwann imesha mapema hivi aisee

  • @ngoshaog1255
    @ngoshaog1255 8 місяців тому +1

    🔥🔥🔥

  • @NuruheartAman
    @NuruheartAman 8 місяців тому +1

    mmetisha sana

  • @LEONARDJULIUS
    @LEONARDJULIUS 8 місяців тому +1

    kàzi nzuri sana

  • @Mrboom720
    @Mrboom720 8 місяців тому +1

    Aseee story

  • @mdungimdungikhamis7779
    @mdungimdungikhamis7779 6 місяців тому +1

    Jamani hii inajifunza kiti kulikubwa sana please ndio mwisho hapa kweli Jamani

  • @fadhilikandonga2465
    @fadhilikandonga2465 8 місяців тому

    Asanteni sana kwa kutuonyesha njia ya kweli bila kukata tamaa

  • @BrownD
    @BrownD 8 місяців тому +1

    Kuanza MWANZO Hadi Mwisho Movie Ina Mafunzo ma Kubwa Ina Fundisha kua una weza uka Badilika katika Hali ya uaribifu na ukawa mtu Alie Safi mbele za Mungu Hongereni sana kwa Movie Hii Na Tumaini mta Leta nyingine zaidi ya Hii Mungu Awe Pamoja Nasi 🙏🙏🙏

  • @yusuphkidoto6766
    @yusuphkidoto6766 8 місяців тому +2

    Wote nawakubali ila master G unanikosha sana

    • @ndongoropwii4835
      @ndongoropwii4835 8 місяців тому

      Nakubal nitakufulahisha mpaka siku naondoka nduniani tuko pamoja😅

  • @NasraAlly-yx6gt
    @NasraAlly-yx6gt 7 місяців тому +1

    Asante kwa kaz nzur Ben Royal nawapenda San kikosi mast g na Abel

  • @NuhuMetson-mt1vc
    @NuhuMetson-mt1vc 8 місяців тому +2

    Master g anatabasam jicho lot kwa mremb

    • @ndongoropwii4835
      @ndongoropwii4835 8 місяців тому

      Naonekana ninakatamani aka katoto😅😅

  • @GideonMwablambo
    @GideonMwablambo 8 місяців тому +1

    i like it

  • @aminahaule1806
    @aminahaule1806 8 місяців тому +2

    musician wapewe maua yao kwakweli hongereni kwa kazi nzuri yakueleimisha jamii na kumuwakilisha Mungu❤❤

    • @jeremiahfanuel9579
      @jeremiahfanuel9579 8 місяців тому

      Laiti waigizaji wote bongo wangeandaa KAZI kama hii Tanzania yote tungeliokoka

  • @babananiliu-dq5cr
    @babananiliu-dq5cr 8 місяців тому +1

    Bonge la move yan

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 8 місяців тому +1

    From Lusaka zambia nawapenda saana saana kaza kaza kaza kaza kaz isonge

  • @josephmwanyekule7375
    @josephmwanyekule7375 7 місяців тому +2

    BENROYAL KAZI ZAKO AUJAWAHI KUTUANGUSHA AISEEEE MBEYA CITY IS GREEN GODY BLESS NINYI NYOOTE

  • @babananiliu-dq5cr
    @babananiliu-dq5cr 8 місяців тому +1

    🙌🙌🙌

  • @dullyommy22
    @dullyommy22 8 місяців тому +1

    Leo nimekubar show🎉🎉🎉

  • @EdibiliSalum
    @EdibiliSalum 8 місяців тому +1

    Nzuri mno

  • @efrahimtadeo5965
    @efrahimtadeo5965 8 місяців тому

    Kazi nzuri na nusu hongera kwa kundi zima

  • @pierrefilm7078
    @pierrefilm7078 8 місяців тому +1

    Hii bonge la Kazi big up sanaa Crue nzima

  • @lutachahalajohnkalokozi6297
    @lutachahalajohnkalokozi6297 8 місяців тому +1

    Asanteni sana

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 8 місяців тому +1

    Hakika mnawesa

  • @Raz254vicky
    @Raz254vicky 8 місяців тому +1

    Kazi nzuru

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤😂😂😂radio Abely akupeye kbsa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 dah inafanana kuisha 😢hhhh yaani kama nitaumiya nipale iyi series itakapo isha 😅😅😅 nawapenda sna nawakubali sna piya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Big up ⬆️ Ben Royal 🫅 Movies 🎥 !!!!❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @Benroyalmovies
      @Benroyalmovies  8 місяців тому +1

      Asante sana murafiki yetu kutoka congo

    • @jeanclaudeakili2372
      @jeanclaudeakili2372 8 місяців тому +1

      @@Benroyalmovies natokeya DRCONGO mpaka nipo 🇺🇸 huwa nawafwatililiya sana, one I’m coming to Mbeya City !

    • @Benroyalmovies
      @Benroyalmovies  8 місяців тому +1

      You most welcome bro

  • @DcLaucheng193
    @DcLaucheng193 8 місяців тому +1

    Yohana 5
    21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.

  • @emmadababy4378
    @emmadababy4378 8 місяців тому +1

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @barakalawrence742
    @barakalawrence742 8 місяців тому +2

    Leo nimegundua kuwa benroyal you are not just a director kama wengine, unajua kusudi la kuwepo kwako duniani. Blessings to you sir

  • @sammymutuamunyoki6291
    @sammymutuamunyoki6291 8 місяців тому

    ❤❤❤Asanteni sana benroyal pitures

  • @brathonisanga8391
    @brathonisanga8391 8 місяців тому

    asanteni sana familia 👏👏👏👏 #benroyalpicktures

  • @mesharkctz2374
    @mesharkctz2374 8 місяців тому

    İme isha kwa ujumbe mzuli ila nilitaman kumwona masta G kapigwa pala tuna taka nyingne jaman atuja wai waangusha kwenye kutazama ❤❤❤❤😂❤❤

  • @Davidchalz
    @Davidchalz 8 місяців тому +1

    mwendo wa master G😹🙌

  • @estererasto8521
    @estererasto8521 8 місяців тому +2

    Kazi nzuri, ukwel nimefurahia hii movie❤❤, yaan mnajua mnajua mnajua tena.

  • @chalespaulo-zm8sz
    @chalespaulo-zm8sz 8 місяців тому

    Hakika imenibarik nataman muitafute nzuri kama hii

  • @bonnybitson2993
    @bonnybitson2993 8 місяців тому

    Hii ngoma aliimba master g tusaidiane namna ya kuipata

  • @Tweve-k7q
    @Tweve-k7q 8 місяців тому +1

    🙏Very nice 🎉🎉🎉❤

  • @azookiping8675
    @azookiping8675 8 місяців тому

    Hakika mfanya kazi nzuri wanangu

  • @shujaad-melody5799
    @shujaad-melody5799 8 місяців тому +1

    Ss kwa nini nyinyi muna kawiza jama nyiye wasenge sana

  • @luckynoah
    @luckynoah 8 місяців тому +1

    Hii ni kali sana bwana mkubwa anakipaji sana

  • @emmanuelantony-wq3ml
    @emmanuelantony-wq3ml 8 місяців тому +1

    Good job ❤

  • @DcLaucheng193
    @DcLaucheng193 8 місяців тому

    Mmemaliza vizuri jamani big up benroyal

  • @jobsimpamba71
    @jobsimpamba71 8 місяців тому +1

    Good blesse vijana pamoja na muchungaji kazi nzuli sana muendelee tunawapenda sana❤❤❤

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 8 місяців тому +4

    Great Work... Mungu awabariki Team BenRoyal🙏🏽🙏🏽🙏🏽🇰🇪✌️💥

  • @mpinaskid9316
    @mpinaskid9316 8 місяців тому +4

    Daaah the movie is so dop er enjoyed a lot funny moments 😂😂
    Love❤ some lessons here...
    Very creative congrats boys👏👏👏 en galz🎉🎉

  • @barakalawrence742
    @barakalawrence742 8 місяців тому +1

    HUWA NAANGALIA MOVIE ZAKO KARIBU ZOTE NA NAZIPENDA ILA HIII NIMEIPENDA ZAIDI, MUBARIKIWE ZAIDI SANA

  • @Christia-07
    @Christia-07 8 місяців тому

    Nakubal sana 🙏♥️🔥🔥

  • @aidanidallu7030
    @aidanidallu7030 8 місяців тому +1

    Ahsante kwa mafunzo mazuri kwetu❤️💕💕❤️❤️👏🏾

  • @babananiliu-dq5cr
    @babananiliu-dq5cr 8 місяців тому

    Appreciate you 🔥🔥🔥

  • @bladetvke
    @bladetvke 8 місяців тому +3

    Dear Jina Series Crew and Cast,
    As the Jina series concludes, I want to express my heartfelt gratitude to each one of you for your dedication, passion, and talent that brought this incredible story to life. Your hard work has captivated audiences and left a lasting impact. Thank you for the unforgettable moments and the emotions you've shared. You've created something truly special, and your efforts are deeply appreciated.

    • @Benroyalmovies
      @Benroyalmovies  8 місяців тому

      Thank you very much, may God bless you

  • @karembo7082
    @karembo7082 8 місяців тому

    Mungu nimwema siku ZOTE 🙏🙏

  • @Braveone94
    @Braveone94 8 місяців тому

    Ahsante sana Kwa funzo nzuri mungu awabalik team yote hakik nimejifunza kitu kwenye hii movie mungu awape maisha malefu na kumtumikia mungu katika loho na kweli Amna 🙏🙏🙏🙏✅

  • @HumphreyFrank-pe4qs
    @HumphreyFrank-pe4qs 8 місяців тому

    Kazi nzur sana 🙏

  • @Dodomacomedytz
    @Dodomacomedytz 8 місяців тому +2

    A boy from 969 Family🇹🇿🇹🇿....

  • @h.boytvtanzania7090
    @h.boytvtanzania7090 8 місяців тому

    Leo nimefurahishwa sana na nyie Sanaa sanaaa