JINA EPISODE 13 (Last Episode )
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- This is Channel is for action movies based on African and African Blockbuster Action Movies in English HD movies don't forget to subscribe @BenroyalMovies Grand theft Auto v, Mobile legends trending now More Movies Jungwa Movie • Best African Action Mo... Operation M22 • [Eng sub] Best African... South African English Movie #beastofnonation #southafricanmovie #netflixmovies #netflix #viral #video #nigerianmovies #africanmovie #southafrica #southafricanmovie #drama #viral #video #actionmovie #netflix #new #Best #actionmovie #operationm22 #benroyalmovies #movie #operationredsea #new #video #actionmovie #bestafricanmovie #benroyalmovies #diamondplatnumz #english #bongomovies #juakaliseries #benroyalpictures #safemovie #mobilelegends #bestgameplay #foryou #freefire #funny #fyp #funnyvideo #netflix #operationredsea2018 #freefire #actionmovie #netflix #video #africanmovies #english #operationredsea #netflix #africanmovie #actionmovie #phillipians #southafrica #philippines #bongomovies #trending #best #hulu #blockbusteractionmovie #viral #video #viralvideo #trending #mobilelegends #mobilegame #mobile #trendingnow
Nataman nijue jna la kwaya mana nyimbo zao zmenibariki sana
Nashukulu mungu Kwa kuwatumia vijana wenzangu Kunibadilisha . Pia mungu ambaliki Mtunzi NAMIpia nimetambua kuwa Mimi ni mpitaji . Hivyo naitaji kumludia mungu wangu. 📖📓 Nahahidi naenda kununua na biblia Asante sana
Ubarikiwe sana Mishael
Great ... Jina la thamani "Yesu".... Kweli....
Ended with joyful emotional❤😊, I like that
Daaah Move safiiiiiiii move yenye mafunzp mazuriiiii
Nimejikuta nalia kwafuraha kama mulijuwa je? Istoria ya maisha yangu amakweli popote mulipo mumenifaji kwelikweli MUNGU aguse mioyo yawengine wasio ijuwa thamani ya JINA LA YESU amen 🙏
For real naangaliaga tamthilia nyingi sana ila huwa zinakuwa na bad end but hii kutoka mwanzo mpaka mwisho nilikuwa na ninyi na nimeipenda bure na nawaelewa na ninawa ahidi siku moja nitakuja kuigiza na nyie mana napenda ila sijawahi kuigiza but for real nawaelewa sana ila tu Isarito kakimbilia dar arudi basi mwamba sana kwenye action na hata sio hi o tu thamthilia zenu nazikubali sana na mazingira mazuri kweli naamini Mbeya is a green city na nayapenda mazingira pia
Yani Tanzania hakuna waigizaji kama benroya asee njie hatari sana Mungu awabariki sana benroya
kazi nzuri sana sikutamani iishe
@@KisheryMicro Yani nimeipenda kuliko kazi zote
In a scale rate out of 10 you score 9 benroyal pictures hakika filamu zenu ni za kupendeza tunataka zaidi pia❤
Asante sana
Daaa! Mjawahi kufeli mungu awabaliki na vipaji mzidi kutuelimisha ongeren
Mungu awabariki sana na vipaji vyenu vikainuke zaidi na zaidi mnajua sana, Amina
Nawapenda saan Ben Royal mungu awatangulie nimejifunza vitu vingi hasa nyimbo zilikuwa zinanifariji Ameen
Kazi ni nzuri sana Toka mwanzo Hadi mwisho
Mbarikiwe sana 👏👏👏👏
Asante sana
Jaman mnastahir tuzo kwa kaz kubwa mlioweza kuifanya kwen film hii uandish mzur pia unao simamia maadili ya taifa letu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 # JuniorSimbeye
Ila master g mwendo wake unanichosha
Daaah story kali sana...
Hongera sana Benroyal
Asante sana mm gonga mwamba
Nimejua mahana ya wokovu kupitia Nyinyi mungu awabariki muweze kutupa Vitu vizuri kama Hivi SiSi ,JINA na kadha wakadha Benroyal films tupo sambamba 🙌 ❤❤
Karibu sana
God bless u bro Naamini wengi wataelewa maana ya wokovu kupitia hii tamthilia🙌🙌🙌 MUNGU azidi kukuinua
Amen
@@Benroyalmovies nawakubali sana mabr Mungu awabariki sana naomba angalau unitumie namba yenu ya whatsApp samahani lkn 🙏🙏🙏
Nimebalikiwa sana kuitazama hii story mwanzo hadi mwisho hakika nimebalikiwa🎉🎉
Amen, Karibu sana
Hadi ya kuandika yanakosekana but from start to the end hii tamthilia ni kali sana
Thank you Mary
Master KG humu umetisha sana, Big up kk
Tuko pamoja family
Kaka baraka asante kwa ujumbe mzuri Mungu awaogoze kwenye kuleta ujumbe kama huo nimependa sana , nimejifunza kitu kutoka kwenu❤ na wapenda sana🎉❤🥰🤗
Asante sana, Karibu
Amen Amen mbarikiwe sana ❤❤🙏🙌🏾Mungu ni mwema sana ❤❤
Mater G...Aamina sana😂😂😂
Sanaaaaa 😅😅
Peter & Jogoo aiseee mnatisha sanaa
Hongera sana Ben Royal na waigizaji wote kwa filamu bora. Hii ni mara ya kwanza kuandika maoni yangu mtandaoni kwa sababu ya ubora na uzuri wa filamu ya JINA. Hakika kupitia filamu hii mmeweka alama itakayokumbukwa mbinguni. Filamu hii imesukwa kwa ustadi mkubwa wenye kuzingatia theolojia ya mchakato wa wokovu kupitia Jina la Yesu. Falsafa na ubunifu uliotumika katika filamu hii ni nguzo ya kuwavuta watu kwa Mungu. Mungu aifungulie njia isambae duniani kote, Amina
Amen
❤❤❤ Amina Amina Amina sana... Asanteni beniroyal Mungu atawabariki wa kazi yenu hii iliyotukuka. More blessings!
Amen 🙏
Hakuna jina lipitalo majina yote duniani na kuzimu, hisipokua jina la YESU KRISTO liwaokowalo wenye dhambi wote.
Mbarikiwe sana kwa tamthilia hii nzuri inayojaa fundisho kwa kizazi cha sasa.
Woow work I like it love you all
Amen ,MUNGU awabariki sana ,naimani ujumbe huu umewafikia vijana wengi sanaa.
Wajina your the best tangu nimeanza episode ya 1 mpaka tamati hakika umefanya kitu kikubwa sana Mungu aendelee kukufunulia upate kuelimisha kondoo wake... Be blessed 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Asante sana
KAZI NZURI SANA lkn mwishon cjamwona #NALA AKIOMBEWA ila mmejitahidi sana na nnazifatilia Kaz zenu kila iitwayo Leo #GOD BE WITH YOU 🙏
Team work nmeiona 🙌🙌🙌
Very interesting movie and shows the God love to us , thanks much all and director
kazi ssa sana 🔥🔥🔥🔥
Amina 🙏🙏
Asanteni sana kwa kazi nzuri kwa kweli kazi yenu ni nzuri sana wacha mungu wa amani azidi kuwainua nyinyi wote 🙏❤❤much love from Kenya 🇰🇪
Kazi nzuri sana ina funzo ndani yake
Fanya ulete action movie tume miss ngumi
Mmbarikiwe sana
Hongereni sana ndugu zangu
Tuishi Kama mlivyo higiza. Amen
Mbarikiwe sana 🙏🙏🙏
Nawapenda saana
U did the best more blessings .Ila peter mwasomolaa umeua upewe maua yko. Msininukuu vby cio kama wengne mmefany vby ila yy nimemuona kuwa ni man of match😅😅😅 much love 😘😘
Ameeeeeeeen ❤❤❤❤❤❤❤❤
Tuzo kwenu jaman na movie n nzurii saaana kazi n nzur saana mwenyezi mungu azidi kuwaoa kibali mbele zake mfike mahali pazur zaidi
Daah kwann imesha mapema hivi aisee
🔥🔥🔥
mmetisha sana
kàzi nzuri sana
Aseee story
Jamani hii inajifunza kiti kulikubwa sana please ndio mwisho hapa kweli Jamani
Asanteni sana kwa kutuonyesha njia ya kweli bila kukata tamaa
Kuanza MWANZO Hadi Mwisho Movie Ina Mafunzo ma Kubwa Ina Fundisha kua una weza uka Badilika katika Hali ya uaribifu na ukawa mtu Alie Safi mbele za Mungu Hongereni sana kwa Movie Hii Na Tumaini mta Leta nyingine zaidi ya Hii Mungu Awe Pamoja Nasi 🙏🙏🙏
Asante sana
Wote nawakubali ila master G unanikosha sana
Nakubal nitakufulahisha mpaka siku naondoka nduniani tuko pamoja😅
Asante kwa kaz nzur Ben Royal nawapenda San kikosi mast g na Abel
Karibu sana,
Master g anatabasam jicho lot kwa mremb
Naonekana ninakatamani aka katoto😅😅
i like it
musician wapewe maua yao kwakweli hongereni kwa kazi nzuri yakueleimisha jamii na kumuwakilisha Mungu❤❤
Laiti waigizaji wote bongo wangeandaa KAZI kama hii Tanzania yote tungeliokoka
Bonge la move yan
From Lusaka zambia nawapenda saana saana kaza kaza kaza kaza kaz isonge
BENROYAL KAZI ZAKO AUJAWAHI KUTUANGUSHA AISEEEE MBEYA CITY IS GREEN GODY BLESS NINYI NYOOTE
🙌🙌🙌
Leo nimekubar show🎉🎉🎉
Nzuri mno
Kazi nzuri na nusu hongera kwa kundi zima
Hii bonge la Kazi big up sanaa Crue nzima
Shukran sana boss
Asanteni sana
Hakika mnawesa
Kazi nzuru
❤❤❤❤❤❤😂😂😂radio Abely akupeye kbsa ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 dah inafanana kuisha 😢hhhh yaani kama nitaumiya nipale iyi series itakapo isha 😅😅😅 nawapenda sna nawakubali sna piya ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Big up ⬆️ Ben Royal 🫅 Movies 🎥 !!!!❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana murafiki yetu kutoka congo
@@Benroyalmovies natokeya DRCONGO mpaka nipo 🇺🇸 huwa nawafwatililiya sana, one I’m coming to Mbeya City !
You most welcome bro
Yohana 5
21 Maana kama Baba awafufuavyo wafu na kuwahuisha, vivyo hivyo na Mwana awahuisha wale awatakao.
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Leo nimegundua kuwa benroyal you are not just a director kama wengine, unajua kusudi la kuwepo kwako duniani. Blessings to you sir
Asante sana
❤❤❤Asanteni sana benroyal pitures
asanteni sana familia 👏👏👏👏 #benroyalpicktures
İme isha kwa ujumbe mzuli ila nilitaman kumwona masta G kapigwa pala tuna taka nyingne jaman atuja wai waangusha kwenye kutazama ❤❤❤❤😂❤❤
mwendo wa master G😹🙌
Kazi nzuri, ukwel nimefurahia hii movie❤❤, yaan mnajua mnajua mnajua tena.
Hakika imenibarik nataman muitafute nzuri kama hii
Hii ngoma aliimba master g tusaidiane namna ya kuipata
🙏Very nice 🎉🎉🎉❤
Thanks 🤗
Hakika mfanya kazi nzuri wanangu
Ss kwa nini nyinyi muna kawiza jama nyiye wasenge sana
Hii ni kali sana bwana mkubwa anakipaji sana
Good job ❤
Mmemaliza vizuri jamani big up benroyal
Good blesse vijana pamoja na muchungaji kazi nzuli sana muendelee tunawapenda sana❤❤❤
Great Work... Mungu awabariki Team BenRoyal🙏🏽🙏🏽🙏🏽🇰🇪✌️💥
Amen
Daaah the movie is so dop er enjoyed a lot funny moments 😂😂
Love❤ some lessons here...
Very creative congrats boys👏👏👏 en galz🎉🎉
HUWA NAANGALIA MOVIE ZAKO KARIBU ZOTE NA NAZIPENDA ILA HIII NIMEIPENDA ZAIDI, MUBARIKIWE ZAIDI SANA
Nakubal sana 🙏♥️🔥🔥
Ahsante kwa mafunzo mazuri kwetu❤️💕💕❤️❤️👏🏾
Appreciate you 🔥🔥🔥
Dear Jina Series Crew and Cast,
As the Jina series concludes, I want to express my heartfelt gratitude to each one of you for your dedication, passion, and talent that brought this incredible story to life. Your hard work has captivated audiences and left a lasting impact. Thank you for the unforgettable moments and the emotions you've shared. You've created something truly special, and your efforts are deeply appreciated.
Thank you very much, may God bless you
Mungu nimwema siku ZOTE 🙏🙏
Ahsante sana Kwa funzo nzuri mungu awabalik team yote hakik nimejifunza kitu kwenye hii movie mungu awape maisha malefu na kumtumikia mungu katika loho na kweli Amna 🙏🙏🙏🙏✅
Amen
Kazi nzur sana 🙏
A boy from 969 Family🇹🇿🇹🇿....
I appreciate it
Leo nimefurahishwa sana na nyie Sanaa sanaaa