ALIKIBA ALIVYOTUMBUIZA SIMBA DAY 2023, MASHABIKI WAITIKA..
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- SIMBA DAY: Hivi ndivyo Mfalme wa Bongo Fleva King @officialalikiba alivyoingia katika dimba la Benjamin Mkapa …
Tupo #LIVE kwenye UA-cam Channel ya UFMRADIOTZ na 107.3 UFM Radio
#UFMUpdates #SimbaDay #TamashaLaSimbaDay #SimbaSC #UnyamaMwingi #Unyama #SikukuuYaSimba
@simbasctanzania @ahmedally_
me nilikuwa team mond ila saiv nimehamia team kiba umekuja simba umetisha sana
😂😂😂😂
Hakuna Kama kiba wanna simbaaaaaah
🎉saf sana mnyamaaaaa
Ila mwijaku jamaniii kama kweli vile
Mfalme ni mfalme
Mfalme Wenu Simba mmemuona sasa na Yeye aimbe ka nyimbo ka Kumliwaza Kaka R Kelly kuhusu kushutumiwa kwa zile tabia mbaya kule na wao wako huku kufanya hivyohivyo wapelekwe maporini hao wakae na simba OG wanyama wa nyika
Yanini ushuke na makamba wakati wewe sio bondia Wala komando bana, hivyo hivyo tumekuelewa king wetu unyama mwingi
AIBU NAONA MIMI, ALIKIBA HAKUITENDEA HAKI SIMBA DAY... KAZINGUAAAAA😢😢😢
WATU 60,000 UNAENDA KUWAFANYIA UJINGA HUU..
KUNA WATU WALIPATUMIA HAPO VIZURI, ILA BRO UMEZINGUA..
ME NILIKUWA NATAZAMA HUKU NAONA AIBU😢😢
Mfalme wa bongo freva Mungu akulinde kipachi chako 🔥💥💥👊🇹🇿
Ni fleva si freva😂
@@sturbbornvideoz8547 x
The really star for bongo flavor.
Mtu apendwaki na kila wanadamu.
Ongera ndugu ali, allah azidi kukuzidishiya.
Mfalme Wetu❤️❤️🦁..Uyu Ndio Msanii Kipenzi Chetu,Msanii anayemueshimu Mungu na Kumuabudu pia.Hababaishwi na strehe za Dunia.Ndio maana Hana tattoo Wala hajatoboa pua.Nampenda na Moyo wngu Wote❤️❤️❤️. Allah Akujalie Kila la kheri mfalme Wetu🦁❤️
Kumamamayo Angelikua anamheshimu mungu angefanya yotehaya haramu
Kasikie vibaya Uko Kwenu wewe.Kama Umekasirika Jitie kidole unuse,kudadeki zako
Apo peny kumueshim mungu unajuaje na unajuaj kua ababaishwi na stareh za Dunia,,yaaan tumpend kweny music ila sir ya mtu msogeleee na kuish nae utajua mengi
@@mozasalum8742 matusi ya nini
Umesemq point nying umesahau tu mzk nao ni ushenzi 😅😅😅😅😅
Tanzania 🇹🇿 Raha sana I'm proudly to be a tanzanian
Jamani mwiJaku wewe mkali ndani ya team kiba 😂😂😂😂 nakupenda toka DRC bwana wewe noma wacha niseme
Kweli ww ni mfalme wa bongo freva ila kwa hili ubunifu nakupa 0 ya 100😂😂
Watu wa Yanga nawaona 😂😂😂😂
Haya mambo ya ali kiba na diamond ni drama mi sidhani kama wako serious labda siku mtu akichapwa risasi ya goti na mwenzake ndipo nitajua this is serious beef but to me this is crap Holy crap
Ali kiba ni MYAMA kweli Show yake hii mpaka Mh. Rais Samia alihuzulia kulishuhudia LIVE. daaah #Kingkiba MYAMA #MYAMA🎵❤❤❤ #KINGKIBA👑 #SUMU🎵❤
The one and King in Tanzania kuongezea ni mfalme wa East Africa....kipenzi Cha wote pole na mkarimu...kipaji Cha kuzaliwa hakina mfano wake...big up Bro
Anapendwa Sana kiihalisia
Unyama 4ever 🦁🦁🦁🦁🦁
Afu huyu kiba si alilkuaga yanga
Mnawakilishaga Taifa vizuriiii kwa nyimbo nzuri na mic zao nzuri,,,ila sasa kutetea waafrika ndo hamuwezi,,,,mleteni kaka R Kelly atufundishe sisi watemi ,,Michael Jackos si hayupo???Tunamtaka MWALIM R KeLLy tunifunze maunyama mengi ya nchi za watu
Hv hamjaona alovaa kijani na mzuka balaa😂😂
Anamzuka kuliko wenye shughuli 😅😅
Pita kelele king mnyama umetishaa🎉🎉🎉🎉🎉 l love you
Once a King always a King
You guys in Tanzania you care for your talents in Kenya we never such large multitudes of people just for football big up TIZI(TZ)
Waganga wa kienyeji katika ubora wao
Njoo tukutibie
Mwijaku 😂😂😂 🔥🔥🔥🔥
Hapo. Hapana. Usimba. Mmoja. Uyo. Kiba. Anamuiga. Platinum. Ayo. Ni. Mafumbo. Kwa. Nasb. Tu
Mfalme katembea sn mgempa atafalac au kigari frani ivi
Kuazia leo mm nitimu kiba unyamaaa mwingi sana
Tuko tunangoja ngomajipya lamondi la wananchi
Mfalme. Munamjuwa. Kumbe. Ni. Wanyama. Nyie. Sio. Binaadamu. Tunaishi. Na. Wanyama. Duuhh
Unyamaaaaaaa💕💕
Wenye nchi hao🦁🦁🦁❤❤❤
Alikiba kadamshi kinoma huwo ndo ubaya ubwelaaaaaaaa
Mwijaku juu sana
Once the King 👑 always the King 👑 Simba nguvu moja❤️🤍
Nakukubali sana alikiba na ulivohamia simba ndo kabisaaaaaa❤❤❤❤❤
Ata asiimbe inatoshaa iyo style tu
Mnyamaaaaa🦁🦁🦁🦁🦁❤❤❤❤❤❤
Yes mfalme wa Bongofleva ndio huyu sasa❤ KingKiba n balaaah na nusu
Yani King uyo jama tu muche tu na ufalme wake
Mwanjku akitoka hapo kesho hawez kuamka sio kwa uchov huyooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiba nae mnyama unyama ni mwingi unyama 🎉
Unyama mwingi Love ❤️❤️💋
Mwijaku ❤❤😂😂😂😂
Muke wa mwejaku kweli amueshimu sokwakutafuta pesa kweli mwejaku afagigilia hatari
Unyamaaa mwingii big up
Salute kibaaaa umetisha
I love you simbaaaaaa❤❤❤❤❤❤
KAKA KIBA MNYAMA KING sasa kaka Yetu R KELLY zile tabia za unyama walimfundisha wao then wakampiga ma Picha wakamfunga au???wewe kaka MNYAMA mteteee mkubwa wako sasa siyo tuimbe WE ARE THE ONE WE ARE THE CHILDREN kumbe wengine kule ndo kina NELSON MANDERA wakombolewe
Dc Mwijaku chawa International umetisha sana
Asante DC Mwijaku🎉🎉
😅😅😅 kiba oyooooo mond pitakulee
Yeeeeeeee babaaaaa ❤️💯💯💯💯💯💯
kiba kafanya pw sn acheni wivu king is king
Mm3tisha
Kajulaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu ni king lion
Mambo ni moto
Wenye nchi yao simba tamasha lao Lili fana sana❤
Mwijaku kama id Amin dadaaa😂😂😂
Simba haitak watu wapole bwana aha mi team yng simba ila msanii mmefeli
Mbona unatusemea jisemee ww nenda kachangamke kwenye documentary uko
King Kiba 👍
Achen makasiriko king kiba mmoja tyuuu unyama mwingii
mimi macho yangu yapo kwa mwijaku tu😂😂😂
Kiba a bien assuré le show
Vive le roi
Ni busti baba mfalm
Ila kanoga bhnaaa❤❤
Fanya kazi king kiba zuhura nimshamba2 wa Sanaa
Piga kelele Kwa Simba akee❤❤❤❤
Simba day Excellent 🔥🌹🌹
Jamani aliwetu amependeza saaaaa
❤❤❤❤❤sanaa yani mm najitekenya mwenyewe
Kuna Simba arafu kuna mnyama unamjua mnyama wewe ❤king 👑
🎉🎉🎉🎉
Mwiiijaaakuuuu😂😂😂😂😂😂
Unyama sanaaaa
❤simba unyama mwing
🔥mambo ni fire
Mzee mnyama kwa kweli🙌🙌
😂😂😂 jamaa anaga swaga sema sifa tu
Unyama mwingiiii❤❤❤
Mbona ata yeye nyimbo aijui na ndio alieimba sasa umeona ubaya wakuandikiwa nyimbo 😅😅😅
Mwijako we nouma brother 🤝👍
Sidai naleng'🎉
King ❤
Sema mm ni Simba lkn kiba hanaga maubunifu flan hivi sas ndio uingisj gan hua ata show Zak lazma iwe flan iv haiwag na unyama mwingi
Mnyaaamaa! Nice performers ❤ simba
Jamani team waganga haoooooh😅😀😃😄😄
Jamani hizi Ni jezi au nyanya? Rangi km nyanya Za moshi,au waganga wa matunguli
Boa sorte kiba,❤
King first think twice before showing off , ask urself y did diamond (Simba) leave Simba , actually diamond is topper than u coz he uses IQ more than brain , diamond left Simba because he wants u to be 😢😢😢😢
Unyamaa ni mwingi❤❤❤❤❤
Bahati,bugalamaa
Kipenzi cha watu king kama kiba
Mwijaku yuatafuta unga kwa mbinde 😂😂😂
Namkubali Sana Vituko vya Dr.Mwijaku...nakukaribisha...kenya 🇰🇪K🇰🇪E🇰🇪N 🇰🇪Y 🇰🇪A...
Tanzania always entertaining 😂🎉
Big brother una shobo wala majivuno
Angekua nanii angewekwa kwenye kiota apo ila kakaang anatmbea mwnyew tu
Toka Congo hongera sana