KAWAIDA na NONDO WANYUKANA Kwa HOJA KISA X (TWITTER), IFUTWE au ISIFUTWE? | PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 чер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 49

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 7 днів тому +2

    Mimi naona Abdul ameongea vizuri. X inatumika sana na viongozi duniani kote kuwasiliana na watu wao.

  • @jumbekibindo3021
    @jumbekibindo3021 8 днів тому +3

    Ilaaaa baba levo anaaakiliiiii sanaaaaa

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 7 днів тому +3

    Baba levo hujui KUULIZA . Mwache dada wa watu afafanue vizur usi attack

    • @allykwaya
      @allykwaya 3 дні тому +1

      Msikilize Levo kwa makini utaelewa

  • @Watema23
    @Watema23 7 днів тому +1

    CCM wanataka kufunga X kwa sababu upinzania TZ wanafanya mjandala X space .

  • @jumbekibindo3021
    @jumbekibindo3021 8 днів тому +2

    Hapaaaaa nundo 5 kawaida 2

  • @user-rp1xx3vo4r
    @user-rp1xx3vo4r 7 днів тому +1

    Kuna watu ni mahodari sana na wafaswaha sana katika kuongea na hata uongo akiuchacha nalia basi inakuwa ni ukweli

  • @thadeusmihayo1675
    @thadeusmihayo1675 8 днів тому +3

    Baba leve anvesomaga hata diploma angekua mbaya sana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 7 днів тому

      Kuna wangapi wenye masters Hawako hivyo? Ndugu elimu na kipaji ni vitu tofauti tumeaminishwa elimu ndio hukufanya uwe Bora ni kweli elimu muhimu ila haizuii kipaji kutake over . Ndio maana leo wasio na elimu hiyo ya makaratasi ndio wanalipwa zaidi kuliko wenye makaratasi, wanamichezo waigizaji watangazaji hususan huko duniani,

  • @kiotastar1791
    @kiotastar1791 8 годин тому

    Nondo Yuko vizur lakini anakosea padogo

  • @iam_sami
    @iam_sami 8 днів тому +2

    Nondo mashineee

  • @jumbekibindo3021
    @jumbekibindo3021 8 днів тому +2

    Huyu dada anaongea sanaaaa😂pointless

    • @gilliardgodfriend5745
      @gilliardgodfriend5745 7 днів тому

      Hata wewe ni pointless maana ulisikiza ukosoe na sio upate elimu 😊😅😅

    • @jumbekibindo3021
      @jumbekibindo3021 7 днів тому

      @@gilliardgodfriend5745 sawa mpenda ngono

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 4 дні тому

    Wewe nondo acha ujinga wako, kwani wamesema ukiwa mpinzani ni lazima upingane na kila kitu. kumbuka social networks ni more accessible kwa watu wengi sana

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 8 днів тому +9

    Baba levo nimtangazaji mwenye kipajikikubwa sana akipunguza vituko na akaongeza elimu pia atakua mtu mzuri katka jamii tatizo nikwamba haiwezekani kutoa kipaji chake cha comedian

    • @gilliardgodfriend5745
      @gilliardgodfriend5745 7 днів тому

      Kwanza VITUKO NDIO VILIFANYA UKAMJUA PILI n kweli Elimu ya kalamu inasaidia ila Elimu dunia ndio maisha❤😂

    • @allykwaya
      @allykwaya 3 дні тому

      Kabisa

  • @gachalovetz260
    @gachalovetz260 7 днів тому

    Na baba levo kumbuka hiyo x sio tu ngono wanataka kuweka vailasi kwenye akili za waafrica naapo ajenda yao ni ngono ya jinsia moja baba love

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 7 днів тому +1

    Baba levo hujui kitu. Twitter ndo mtandao na jukwaa la watu wenye heshima na ndo mtandao MAKINI kabisa

    • @abdulhamidbasha2108
      @abdulhamidbasha2108 7 днів тому

      Naona ww ndo hujui kitu, Twitter ilikuwa mtandao na jukwaa la watu wenye heshima but sa hiv inamilikiwa na mtu mwengine kwa hiyo inaendeshwa kivengine so don't compare BTW twitter and X

  • @abouybaramia534
    @abouybaramia534 7 днів тому

    Ingachoic Mashallah nakuona kaka umekua unaongea hahaha maisha bana aise

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 години тому

    👍✌️👊。

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 8 днів тому

    Baba levo kufunga Twitter sio kosa ila kuna mambo mengi ya inci ya kuongeya Twitter ku post ngono sio shida sizani kama kuna mtuu mwenye akili yake anaweza kwenda kutafuta izo video so kufunga Twitter awajasahidiy kitu

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 7 днів тому

    Baba levo unamuuliza nondo maswali badala umuulize uyo wa ccm au waache waulizane wao we uwaongoze. Sio umshambulie nondo na maswali

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 днів тому

    Kusema kweli tiktok ina balaa yani sijawahi ona mtandao una umalaya kama tiktok sio sawa twitter ina elimisha sana sema tiktok ina haribu vijana tena wadada wana jiuza usiku

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 6 днів тому

    SHIDA NI MALENGO YA MTU KUINGIA X APP, WALA HAINA SHIDA SHIDA NI MTUMIAJI ANATAKA X APP?

  • @gachalovetz260
    @gachalovetz260 7 днів тому

    Kwanini tusitafute mitandao yetu mwenyewe africa wenye maadali ya africa

  • @gachalovetz260
    @gachalovetz260 7 днів тому

    Huyo dada akili akuna hapo

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 7 днів тому

    Mtandao wa X unatumiwa na Ikulu kubwa zaidi Duniani kama White House na Marais Duniani. Ni mtandao wa Kitaalamu zaidi.

  • @onesmonjandi5673
    @onesmonjandi5673 7 днів тому

    Ila babalevo genius xan anafanya vitu ambavyo mtu wa degree angefanya

  • @sugumbeya
    @sugumbeya 7 днів тому

    Tanzania penyewe watu wanaangalia video za ngono hata bila VPN, wewe andika kwa kiswahili kwenye google utaona video za ngono

  • @michaelbanda728
    @michaelbanda728 5 днів тому

    Hamna mwenyekitj apu 😂😂😂 BOGUS TREATY CCN inahaina mtu apo tatizo watu hawafikilii Hawaumizii vichwa kabla ya kuongea alafu na confidence kabisa anamuita ElON MUSK eti MARK X 😅😅😅😅

  • @lameckbuya7569
    @lameckbuya7569 7 днів тому

    Kitu nimebaini Bado uhuru wa mwandishi (mtangazaji) Bado ni changamoto baba levo anasahau kuwa yeye anahost anaendesha mdahalo Kwa mlengo wa kutegemea upande Fulani !. 😂😂😂😂

  • @kasaisatv9765
    @kasaisatv9765 6 днів тому

    Nani amemwambia huyu CCM kwamba tiktok haipatikani Marekani?

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 7 днів тому

    Hem watuonyeshe walipobadili ni wap half waje na uthibitisho mbona wengn hatuoni

  • @valelianmbuma493
    @valelianmbuma493 8 днів тому

    Huyo dada wa act uelewa wake mdogosana

  • @shaban6644
    @shaban6644 7 днів тому

    Hebu acheni upuuzi, Huo mtandao ufungwe tuuu, Huyo dada nae anatetea kabisa usifungwe. Ni aibu ilioje.

  • @kilinakoshengelo2944
    @kilinakoshengelo2944 7 днів тому

    Pornography haiharibu maadili, inarahisisha maisha kwa ambao maadili yao yameharibika tayari

  • @modestkissima6771
    @modestkissima6771 6 днів тому

    Walikua wanakataza wewe

  • @mapesa0762
    @mapesa0762 8 днів тому

    Mimi naweza kuletea ushahidi ata Leo Leo,,,tunaangalia sana xxx video Twitter

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 8 днів тому

    Huyu nondo nadhani kala hela ya watu, sasa anaitumikia kwa kutetea ujinga kabisa