Kuna wangapi wenye masters Hawako hivyo? Ndugu elimu na kipaji ni vitu tofauti tumeaminishwa elimu ndio hukufanya uwe Bora ni kweli elimu muhimu ila haizuii kipaji kutake over . Ndio maana leo wasio na elimu hiyo ya makaratasi ndio wanalipwa zaidi kuliko wenye makaratasi, wanamichezo waigizaji watangazaji hususan huko duniani,
Wewe nondo acha ujinga wako, kwani wamesema ukiwa mpinzani ni lazima upingane na kila kitu. kumbuka social networks ni more accessible kwa watu wengi sana
Baba levo nimtangazaji mwenye kipajikikubwa sana akipunguza vituko na akaongeza elimu pia atakua mtu mzuri katka jamii tatizo nikwamba haiwezekani kutoa kipaji chake cha comedian
Naona ww ndo hujui kitu, Twitter ilikuwa mtandao na jukwaa la watu wenye heshima but sa hiv inamilikiwa na mtu mwengine kwa hiyo inaendeshwa kivengine so don't compare BTW twitter and X
Baba levo kufunga Twitter sio kosa ila kuna mambo mengi ya inci ya kuongeya Twitter ku post ngono sio shida sizani kama kuna mtuu mwenye akili yake anaweza kwenda kutafuta izo video so kufunga Twitter awajasahidiy kitu
Kusema kweli tiktok ina balaa yani sijawahi ona mtandao una umalaya kama tiktok sio sawa twitter ina elimisha sana sema tiktok ina haribu vijana tena wadada wana jiuza usiku
Hamna mwenyekitj apu 😂😂😂 BOGUS TREATY CCN inahaina mtu apo tatizo watu hawafikilii Hawaumizii vichwa kabla ya kuongea alafu na confidence kabisa anamuita ElON MUSK eti MARK X 😅😅😅😅
Kitu nimebaini Bado uhuru wa mwandishi (mtangazaji) Bado ni changamoto baba levo anasahau kuwa yeye anahost anaendesha mdahalo Kwa mlengo wa kutegemea upande Fulani !. 😂😂😂😂
Mimi naona Abdul ameongea vizuri. X inatumika sana na viongozi duniani kote kuwasiliana na watu wao.
Ilaaaa baba levo anaaakiliiiii sanaaaaa
Baba levo hujui KUULIZA . Mwache dada wa watu afafanue vizur usi attack
Msikilize Levo kwa makini utaelewa
CCM wanataka kufunga X kwa sababu upinzania TZ wanafanya mjandala X space .
Hapaaaaa nundo 5 kawaida 2
Kuna watu ni mahodari sana na wafaswaha sana katika kuongea na hata uongo akiuchacha nalia basi inakuwa ni ukweli
Baba leve anvesomaga hata diploma angekua mbaya sana
Kuna wangapi wenye masters Hawako hivyo? Ndugu elimu na kipaji ni vitu tofauti tumeaminishwa elimu ndio hukufanya uwe Bora ni kweli elimu muhimu ila haizuii kipaji kutake over . Ndio maana leo wasio na elimu hiyo ya makaratasi ndio wanalipwa zaidi kuliko wenye makaratasi, wanamichezo waigizaji watangazaji hususan huko duniani,
Nondo Yuko vizur lakini anakosea padogo
Nondo mashineee
Huyu dada anaongea sanaaaa😂pointless
Hata wewe ni pointless maana ulisikiza ukosoe na sio upate elimu 😊😅😅
@@gilliardgodfriend5745 sawa mpenda ngono
Wewe nondo acha ujinga wako, kwani wamesema ukiwa mpinzani ni lazima upingane na kila kitu. kumbuka social networks ni more accessible kwa watu wengi sana
Baba levo nimtangazaji mwenye kipajikikubwa sana akipunguza vituko na akaongeza elimu pia atakua mtu mzuri katka jamii tatizo nikwamba haiwezekani kutoa kipaji chake cha comedian
Kwanza VITUKO NDIO VILIFANYA UKAMJUA PILI n kweli Elimu ya kalamu inasaidia ila Elimu dunia ndio maisha❤😂
Kabisa
Na baba levo kumbuka hiyo x sio tu ngono wanataka kuweka vailasi kwenye akili za waafrica naapo ajenda yao ni ngono ya jinsia moja baba love
Baba levo hujui kitu. Twitter ndo mtandao na jukwaa la watu wenye heshima na ndo mtandao MAKINI kabisa
Naona ww ndo hujui kitu, Twitter ilikuwa mtandao na jukwaa la watu wenye heshima but sa hiv inamilikiwa na mtu mwengine kwa hiyo inaendeshwa kivengine so don't compare BTW twitter and X
Ingachoic Mashallah nakuona kaka umekua unaongea hahaha maisha bana aise
👍✌️👊。
Baba levo kufunga Twitter sio kosa ila kuna mambo mengi ya inci ya kuongeya Twitter ku post ngono sio shida sizani kama kuna mtuu mwenye akili yake anaweza kwenda kutafuta izo video so kufunga Twitter awajasahidiy kitu
Baba levo unamuuliza nondo maswali badala umuulize uyo wa ccm au waache waulizane wao we uwaongoze. Sio umshambulie nondo na maswali
Kusema kweli tiktok ina balaa yani sijawahi ona mtandao una umalaya kama tiktok sio sawa twitter ina elimisha sana sema tiktok ina haribu vijana tena wadada wana jiuza usiku
SHIDA NI MALENGO YA MTU KUINGIA X APP, WALA HAINA SHIDA SHIDA NI MTUMIAJI ANATAKA X APP?
Kwanini tusitafute mitandao yetu mwenyewe africa wenye maadali ya africa
Huyo dada akili akuna hapo
Mtandao wa X unatumiwa na Ikulu kubwa zaidi Duniani kama White House na Marais Duniani. Ni mtandao wa Kitaalamu zaidi.
Ila babalevo genius xan anafanya vitu ambavyo mtu wa degree angefanya
Tanzania penyewe watu wanaangalia video za ngono hata bila VPN, wewe andika kwa kiswahili kwenye google utaona video za ngono
Hamna mwenyekitj apu 😂😂😂 BOGUS TREATY CCN inahaina mtu apo tatizo watu hawafikilii Hawaumizii vichwa kabla ya kuongea alafu na confidence kabisa anamuita ElON MUSK eti MARK X 😅😅😅😅
Kitu nimebaini Bado uhuru wa mwandishi (mtangazaji) Bado ni changamoto baba levo anasahau kuwa yeye anahost anaendesha mdahalo Kwa mlengo wa kutegemea upande Fulani !. 😂😂😂😂
Nani amemwambia huyu CCM kwamba tiktok haipatikani Marekani?
Hem watuonyeshe walipobadili ni wap half waje na uthibitisho mbona wengn hatuoni
Huyo dada wa act uelewa wake mdogosana
Hebu acheni upuuzi, Huo mtandao ufungwe tuuu, Huyo dada nae anatetea kabisa usifungwe. Ni aibu ilioje.
Pornography haiharibu maadili, inarahisisha maisha kwa ambao maadili yao yameharibika tayari
Walikua wanakataza wewe
Mimi naweza kuletea ushahidi ata Leo Leo,,,tunaangalia sana xxx video Twitter
Ni Twitter tu zinapatikana?
Stop watching porno and start dating real people, fara wewe..
Huyu nondo nadhani kala hela ya watu, sasa anaitumikia kwa kutetea ujinga kabisa
Pole
Huy jamaa anaakili San.....
Wewe ndo ume lipwa na ccm