KAMATAKAMATA YA WATUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA ARUSHA YAANZA, WALIOKAMATWA WAISHUKURU SERIKALI..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 224

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 роки тому +5

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @senguloally8016
    @senguloally8016 2 роки тому +27

    Hakika kiongozi wangu nimekuwa nikikufuatilia sana kwenye harakati zako za kuwakomboa wananchi wako Mungu akulinde na akusimamie AMIIN!!

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 9 місяців тому +1

    Hapo kwenye basikeli vijana Awataki tena kazi watembeza wazeee na Adi watoto wa shule pi hawa omba omba serekali ingiliye kati

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +8

    Mungu awape ufahamu hawa ndugu zetu, Asanten viongozi wetu

  • @bongo39
    @bongo39 2 роки тому +3

    Hongera mkuu wa mkoa na huyu muheshimiwa na daresalaam pia fanyeni kama hili dar wako watoto wadogo kibao wanavuta unga,gundi,petrol, bangi na mengineyo ukienda kariakoo kunatisha na hawa watoto ni hatari kweli makala angalia mfano huo nawewe lianzishe pamoja na ombaomba wamezidi jiji la daresalaam viongozi mujiongeze na muwe wabunifu ili tufike pazuri

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 2 роки тому +10

    Hongera kwa kuwatreat kama wagonjwa! Lakini mjue mtaendelea kukusanya waathirika bila kikomo kama wauzaji wakubwa hawaguswi na kuchukuliwa hatua

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 2 роки тому +12

    Very wise man, giving them second chance 👏 👍

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +4

    Maashaallah. MKUU Allah akulipe heri kwa kila hatua

  • @floramboto7571
    @floramboto7571 2 роки тому

    Kazi nzuri DC Arusha mungu akubariki kwenye majukumu yako

  • @MerceySamson
    @MerceySamson 10 місяців тому

    Mungu awabarik sana tupo pamja mkuu wamkoa

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 7 місяців тому

    Kaka asante🙏🙏🙏

  • @bongo39
    @bongo39 2 роки тому +4

    Na hili msiishie njiani liwe endelevu tushazoea nguvu ya soda gesi ikiisha basi tena huyu bwana anafanya kazi sana hata lile swala la mbao nimuona anafatilia sana kaka piga kazi utafika mbali ila mwacheni alisafishe jini la arusha kwanza badae ndio mtajua wapi mumpeleke (cheo)❤🇹🇿

  • @jubychris8716
    @jubychris8716 2 роки тому

    Safi sana mkuu wa Police Mungu na awabariki kwa kuwasaidia

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 роки тому +3

    Mungu Awatie Nguvu na Afya njema...Viongozi Wetu Awape Busara zaidi zakutuongoza...Allah Awafanyie Wepesi In sha Allah.

  • @mikidadiabdul4010
    @mikidadiabdul4010 2 роки тому

    Mh safi sana mji kaz unayo fonya nikuingwa sehemu zote wachukue mfano kwako

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 2 роки тому

    Ahsante sana kiongozi aliechukua huo uamzi

  • @geraldanaeli5963
    @geraldanaeli5963 2 роки тому +1

    Upo sawa mkuu

  • @happymkojera5348
    @happymkojera5348 2 роки тому +2

    MUNGU akubariki sana

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 2 роки тому +4

    Baba umefanya lamaaana mungu akuongozeee

  • @hassanmahamed8744
    @hassanmahamed8744 2 роки тому

    Kimsingi Dc unafanya majukumu yako vizuri kama Mkuu wa wilaya ya Arusha kwa kufuata maagizo ya Mkuu wa Mkoa ndugu Mongela. Hongereni sana, ila ushirikiano uwe ni wa wadau wote katika operation zote. Pia wauzaji na wasambazaji washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 2 роки тому +5

    Wamebadirika hadi sura jamani, Mnaouza waoneenihuruma Hawa vijana🙏.

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 2 роки тому +1

    uyu wa kwanza ananifurahisha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alinassorkabouli5254
    @alinassorkabouli5254 2 роки тому

    Nashukuru kuona wajibu wa utendaji kazi wenyu mougu awazidishie oundri mdrefu na swiha zuri ili mokowe taifa manake hawa niwanchi lazima wawe nathamani natwaifa lao hivo ndo ujenzi wataifa ni kuwa nawaraia wema uchimi uzidi kuimarika mougu niwahaki na ndiyo atawalipa hapa nduniani hadi kesho kwa mougu

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 2 роки тому +1

    Noma sana

  • @rabanusnjungan7072
    @rabanusnjungan7072 2 роки тому

    Jamani mmefanya jambo zuri sana

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 2 роки тому

    Mashaallah mashallah kiongozi m/mungu awabariki

  • @calvinjoseph4278
    @calvinjoseph4278 Рік тому

    Vizuri Baba

  • @jafaryyusufu2993
    @jafaryyusufu2993 2 роки тому +1

    Allah akutilie wepesi wa Maisha yako na mwisho mwema

  • @ismailiissa7433
    @ismailiissa7433 2 роки тому

    safi mku;

  • @clintonkhan4961
    @clintonkhan4961 2 роки тому

    Heri ya Mungu wasaidieni jamani kazi nzuri

  • @jehovajonas9284
    @jehovajonas9284 2 роки тому +1

    safi sana

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 2 роки тому

    Arusha hakufai Kwa bangi, mirungi, gongo, madawa ya kulevya

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 2 роки тому

    thanks for it

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 2 роки тому

    Safa sana mkuu umewasaidia sana

  • @donnihope1768
    @donnihope1768 2 роки тому +1

    Ila Arusha🙌🙌🙌

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 2 роки тому

    Nimewapenda bureeee mkuuu wa wilaya hoyeee

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 2 роки тому

    Mungu akubariki sana kiongozi Kwa hatua nzuri...

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому +2

    Safi sana🙏🏼🙏🏼

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 роки тому

    Hili wazo zuri sana. Kuliko kukamata wauzaji ambao pia ni balaa kuwashika ni vema ukamsaidia mnunuzi ili aache kutumia na automatically muuzaji akose wateja

  • @maryamrashid8499
    @maryamrashid8499 2 роки тому

    Maskini mungu wasaidie wabadilike wadogo sana

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 роки тому

    Safi sana aisee

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 11 місяців тому

    Wafanye kazi badala ya Bangi

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 роки тому +2

    Subuhanallah wengi duuu mtihani

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 10 місяців тому

    Wana tisha jamani duuuu 😢😢😢

  • @amourmixer8924
    @amourmixer8924 2 роки тому

    Muheshimiwa kazi nzur sana hongera ukimaliza na hao bado na hawa huku shivaz wale makahaba

  • @neemamkemae2580
    @neemamkemae2580 2 роки тому

    Napenda anavyowauliza😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @petersulle1937
    @petersulle1937 2 роки тому

    Mh, mkuu wa wilaya naukibali sana utendaji wako kwa kufuatilia kazi zako na kutenda haki, nakuombea ufanikiwe ufikie viwango vya juu, mh ukimaliza hao bado wapiga debe ni tatizo ndiyo wanaochangia kupandisha bei za nauli kwa udalali wao.

  • @siajohn6866
    @siajohn6866 2 роки тому

    Mungu awanusuru vijana wetu, awaepushe na bangi

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 10 місяців тому

    Mngewahusisha viongozi wa kiimani hao vijana wengi wangebadilika mapema sana,

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 2 роки тому +3

    Nimekukubali kiongozi Sina Cha kukulipa.

  • @ramadhaniamri3465
    @ramadhaniamri3465 2 роки тому +2

    Usimsikilize hata mmoja hapo hao wote ni mateja peleka rehab wote hao

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 роки тому +1

    Sijui kama hilo zoezi linaweza kufanikiwa pasipo kuwadhibiti kwanza wale wanaoingiza zile dawa yaani vyanzo bila kufanya hivyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 2 роки тому +1

    Wakamatwe wenye kuuza ndio hao watu wanaumiza

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 роки тому +1

    Safi mkuu WETU.

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 2 роки тому +4

    Allah akubariki kiongozi wetu🤲

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 роки тому +3

    Said mtanda unaifanyia haki ARUSHA

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 2 роки тому

    Ahsante eeee jombaaa eeeejombaaaa

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu 2 роки тому

    📌 shetani huyu jmna ana haribu vijana

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 роки тому

    Boraaa Arusha ilikuwa ina RUSHARUSHA palishakuwa hapakaliki KABISAAA

  • @edinamogela384
    @edinamogela384 2 роки тому

    Aha ahaa ahaaa eti siyo wote.

  • @josenyambeo3587
    @josenyambeo3587 2 роки тому

    Mweshimwi rais samia mteue huyu mkuu wilaya Arusha au mpandishe cheo awe mkuu wa mkoa kwaukweli anapiga kazi sana bigap sana

  • @jeradkanyuru5745
    @jeradkanyuru5745 2 роки тому +1

    Kweli wajirekebishe..

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 2 роки тому

    Zombi stendi kuu Arusha yuko wapi?.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 роки тому +5

    SAIDI MTANDA
    HAKIKA WEWE NI KTK AINA NZURI YA VIONGOZI WENYE UCHUNGU NA TAIFA HILI
    WENZAKO WALIPATA BAHATI YA KUPATA MADARAKA WAIGE MFANO WA UTENDAJI KAZI WAKO,.

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 2 роки тому

      hakika mkuu wawilaya unastaili kuwa mbungee waarushaa hakika unaweza nakuona uchaguzi unao kujaa ukiwa bungeni

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 2 роки тому +3

    Duuh hao watu wote wamekaa kwenye gari sio poa

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 7 місяців тому

    Nawaletea na kijana wangu njoo na usa wameshindikana

  • @samally3136
    @samally3136 2 роки тому

    Yan kamata kamata ya kukamata mateja bora ije dr

  • @patriciaschmidt2618
    @patriciaschmidt2618 2 роки тому

    Blessings from Germany 🙏🙏♥️💐🌹👍🇰🇪🇩🇪

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 2 роки тому

    Yaan hadi nimecheka

  • @chekaplus215
    @chekaplus215 2 роки тому

    Hahahahaha ety nani mimi apa😊 lakini kiswahili cha arusha dahh

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 роки тому

    Wapelekwe sobber house mbalimbaliii

  • @ramadhansururujuma2394
    @ramadhansururujuma2394 2 роки тому

    Hii vita iwe Nchi Nzima kwa watumiaji na wauzaji mtawaokoa vijana wengi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 8 місяців тому

    Maskini Vijana wengi wamepoteza fahamu sababu ya Madawa ya kulevia Serikali lazima iweke utaratibu wa kuchunguza hayo Madawa ya kulevia yanaingia Nchini Tansania kupitia Mpaka gani ? Asante

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 2 роки тому

    Ni bora kabiza mwenyezi mungu awasaidie waache kabisa

  • @mersianantibakazi8474
    @mersianantibakazi8474 2 роки тому

    Jjombaaaa.bangi mbaya

  • @franciscogosbert9603
    @franciscogosbert9603 2 роки тому +3

    Mmefanya vizuri ila muweke nguvu na mikakati katika kuwatafuta hao wanaowauzia,kuwapeleka sober tuu harafu wauzaji wako tuu mtaani mtakuwa bado hamjatatua tatizo

  • @lazarololusu4594
    @lazarololusu4594 2 роки тому

    Wapelekwe mashambani wakalime wajue kufanya kazi

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 11 місяців тому

    Kweli inabidi kuwasaka. Ila viongozi wa mitaa wafuatilie kuwapata na kuwasaidia

  • @mc_lookx_wa_ole_sauroo
    @mc_lookx_wa_ole_sauroo 2 роки тому +4

    Jiji LIMECHAFUKA ni hatari jomba watu wakasetiwe makichwa huko lembe bana chuga irudi imara saluti kwa waliokubaliana hili jambo arif

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 2 роки тому

    Yaani utadhani mizimu jamani. Dah😪🥺

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Місяць тому

    Kamata wote hao

  • @rabanusnjungan7072
    @rabanusnjungan7072 2 роки тому

    Mje Mwanza jamani bangi hatar

  • @radhiamhando3733
    @radhiamhando3733 2 роки тому

    Apo mmesaidia watumiaji mtusaidie na wauzaji jmn ni wengi saana ndo wanaharbu ata vijana wadogo

  • @estermziray7737
    @estermziray7737 2 роки тому

    ila uyu mtangazaji namkubali sana anatangaza kitu unamuelewa safi sana

  • @gmanyota1
    @gmanyota1 2 роки тому

    Muwatafutie kazi sio kuwalundika soba wakitoka wanafikia mtaani hawana shughul

  • @malagajisena8864
    @malagajisena8864 2 роки тому

    Mnafanya kazi nzuri ila wakukamata wauzaji Bado haowakienda soba watendelea kuhalibu watoto wetu kamata wausambazaji kwasababu tumonao mtani safisha saplaya msiwaache hao

  • @MfiriFulgensi
    @MfiriFulgensi 10 місяців тому

    Mweshimiwa bila walezi wa kidini hapo kazi ya serikali itakuwa ngumu kidogo japo kwakias inasaidia

  • @kephamapogo5333
    @kephamapogo5333 2 роки тому

    KWA hali hii nchi inaenda pa haya sana

  • @kijengejuu4370
    @kijengejuu4370 2 роки тому

    Namuona Izibulah ndio wa kwanza kushuka kwenye gari

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 2 роки тому

    agustin miez6 kwake hamna inshu hahahahhaha

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 2 роки тому +3

    Tena huko wakafanye na kazi za serikali wasiende kula bure hali ngumu

  • @kagwilengaiza2050
    @kagwilengaiza2050 2 роки тому

    Kat ya majiji hil jij la kibabe naona mnapoteza mda wenu

  • @matekerekurwijira1576
    @matekerekurwijira1576 2 роки тому +3

    Udc wako unautendea kazi broo, hakika wee ni creative sana kwenye uongozi wako, unaongea kwa haiba nashauri mamlaka ya uteuz upewe nafasi ya juu

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 роки тому

    Wapangiwe sehemu mbalimbali same morogoro mtwara dodoma mbali na arusha kumaliza MTANDAO WAOOO

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 2 роки тому

    Mie naona hili liwe tanzania nzima afu iwepo msako wakunasa wale wote wanao uza vitu hivyo kuhalibu vijana wetu.

  • @josephmchumbe4226
    @josephmchumbe4226 2 роки тому

    Wakikaa chumba Moja itakuwa atari

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 роки тому

    Arusha mtakamata wengi kwakweli kwasababu uko matukio ya ualifu yamezi Sana.

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 2 роки тому

    Dar lini jamani?

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 2 роки тому

    Nishida sana jamani vijana wanaangamia sana kunawanaotajilika sana kisa bangi jamani

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 2 роки тому +2

    Kwa hili kama siyo nguvu ya soda ni bora.lakini baada ya hii hatua nini kinfats