Huyo ni muuaji kabisa. Yaani wakulima wanavyoteseka kulima kwa jasho na bei kubwa ya mbolea lakini bado wanajibana na kununua halafu mtu anataka kuhujumu wakulima na kuleta changamoto ya usalama wa chakula Tanzania! Hawa watu walitakiwa wanyongwe tu 😢😢😢😢
😭😭😭nimenunua 85000/= juzi tu kumbe mbolea ni feki. SERIKALI wafanye jambo hela zetu zirudi. Hii ni nchi nzima sio hapo tu. Kwenye mazao naona nmekula hasara tayari. YARA NAOMBA HELA YANGU NYIE NI WAUAJI KABISA
Tunateseka sana kwa kuweka mbolea zilizokufa. Yani nilinunua mbolea mwaka juzi ile ya DAP nilitumia milioni 1.2 yani niliumia sana kwa kuharibu mashamba yangu na hasara kubwa sana na nilichovuna kikaporomoka bei nilijuta sana kujumlisha na mbegu 20000kwa kilo mbili nilitumia mifuko mingi. Yani tena kila mkoa unatakiwa uwe na mahabara za kuhakiki mbolea kabla hatujanunua. Tunachezewa sana Uwa najiuliza kwanini sisi watu wehusi huwa maisha yetu niya rahana kiasi iki wakati tunakilakitu. Taifa la urusi ukifanya ivi ni kufungwa maisha maana unataka kuuwa watu kwa njaa.
Hii nchi ni shida kwakweli, watu wanachojali ni pesa tu. hasara kwa mkulima, tabu kwa mkulima hawaini tabu kikubwa wametoa mzigo. Unagharamia shamba kwa kuingia gharama ya mbolea kwa imani ya kuongeza mavuno kumbe ndio unaharibu zaidi
Mnawachekea wakati wanahujumu uchumi. Peleka mahakamani ushahidi ni hiyo mbolea itapelekwa kwa mkemia mkuu athibitishe kama ni expired wapate adhabu kwa mujibu wa sheria.
Nina shida sana na matumizi ya amri ya kumweka mtu ndani, inatoka zaidi kukomoa kuliko kudhibiti, kwa kosa hilo sidhani kama kumuweka ndani ni hatua sahihi
Kinacho expire ni mfuko au mbolea? Serikali kama usilias upo pima quality ya mbolea wakemia si wapo!! Maneno yanini pimeni quality maana mbolea ni salt fanyeni analysis kitaalam
😭😭😭nimenunua 85000/= juzi tu kumbe mbolea ni feki. SERIKALI wafanye jambo hela zetu zirudi. Hii ni nchi nzima sio hapo tu. Kwenye mazao naona nmekula hasara tayari. YARA NAOMBA HELA YANGU NYIE NI WAUAJI KABISA
Duu hata kwetu Zanzibar yaani Tungule na Tikiti ni mtihani kumbe mbolea mnatuuzia ishakwisha muda wake!
Huyo ni muuaji kabisa. Yaani wakulima wanavyoteseka kulima kwa jasho na bei kubwa ya mbolea lakini bado wanajibana na kununua halafu mtu anataka kuhujumu wakulima na kuleta changamoto ya usalama wa chakula Tanzania! Hawa watu walitakiwa wanyongwe tu 😢😢😢😢
😭😭😭nimenunua 85000/= juzi tu kumbe mbolea ni feki. SERIKALI wafanye jambo hela zetu zirudi. Hii ni nchi nzima sio hapo tu. Kwenye mazao naona nmekula hasara tayari. YARA NAOMBA HELA YANGU NYIE NI WAUAJI KABISA
Tunateseka sana kwa kuweka mbolea zilizokufa.
Yani nilinunua mbolea mwaka juzi ile ya DAP nilitumia milioni 1.2 yani niliumia sana kwa kuharibu mashamba yangu na hasara kubwa sana na nilichovuna kikaporomoka bei nilijuta sana kujumlisha na mbegu 20000kwa kilo mbili nilitumia mifuko mingi.
Yani tena kila mkoa unatakiwa uwe na mahabara za kuhakiki mbolea kabla hatujanunua.
Tunachezewa sana
Uwa najiuliza kwanini sisi watu wehusi huwa maisha yetu niya rahana kiasi iki wakati tunakilakitu.
Taifa la urusi ukifanya ivi ni kufungwa maisha maana unataka kuuwa watu kwa njaa.
Ukiwa na pesa raha sana, ageiba kuku apo, jela miaka saba,
😂😂😂😂😂😂
Hii nchi ni shida kwakweli, watu wanachojali ni pesa tu. hasara kwa mkulima, tabu kwa mkulima hawaini tabu kikubwa wametoa mzigo. Unagharamia shamba kwa kuingia gharama ya mbolea kwa imani ya kuongeza mavuno kumbe ndio unaharibu zaidi
Hakana Radhi nikuweka ndani
Mungu wamshukuru maana chuma chetu hapo hapo wangeisoma ndan rest in peace my favorite john pombe magufuli
5:37 makonda uko wp mbolea inaonyesha ndio tabia yao hatuna imani tena Yara huenda nchi nzima sio huko tu mchezo wao
Wafungwe
Wahujumu uchumi hao
Kwa hiki kitendo tz hatutaiga hatua wanyongwe hawa watu
Mnawachekea wakati wanahujumu uchumi. Peleka mahakamani ushahidi ni hiyo mbolea itapelekwa kwa mkemia mkuu athibitishe kama ni expired wapate adhabu kwa mujibu wa sheria.
Mbolea za Yara ni Bomba ila hpa wamezingua
Ndio maana yara ubora umepungua, pumbavu zenu
NINA WASIWASI HATA,VYAKULA TUNAVYOTUMIA KAMA ,UNGA WA NGANO....NAYO INAFANYWA VIVYO HIVYO....
- LADHA YAKE ,SIVYO ILIVYO
Nina shida sana na matumizi ya amri ya kumweka mtu ndani, inatoka zaidi kukomoa kuliko kudhibiti, kwa kosa hilo sidhani kama kumuweka ndani ni hatua sahihi
Ukiona jambo mpaka linafahamikaaana yake lishafanyuka kwa kitambo. Futa hiyo kampuni. Ndio mchezo wao.
Dah tumenunua bei ghali sana mwaka huu mbolea kumbe imekispay ndo maana mahindi haya sitawi kabisa
Hii nchi haiko serious kabisa wangefutiwa leseni na wapigwe faini na kufunguliwa kesi
Hakuna cha mmeteleza! Wapumbavu nyie, mnataka faida kubwa kwa jasho la wakulima
Watu wa ajabu mtu ana makosa tena hiyo ni kosa kubwa kubwa eti wanakaa kujadiliana naye kumbe ndio maana mazao hata uweke vipi mbolea hazifabyi kazi
futia lesen mbuzi hao
funga mbwa hao
Wakati wa Mzee BABA ungeongea utumbo
Mmesha rambishwa Yani muhalfu Mme mkamata na kizibiti anawadanganya mnakubari hao NI wezi wahujum uchumi sio tabora Tu
Jamani tumepata hasara sana mahindi yameungua
Mnaujumu uchumi Alafu mnaomba lazi mushafanya mala ngapi mpaka mnakamatwa mnacheza na selekali 😂😂😂
Afrika bwana, mnatuletea habari ya kukamatwa ya kuchukua hatua kimya.
Uhujumu uchumi
Tia sindano watu km hao
Ndio wanafanyaga hivo,,, kwani ikiwekwa mfuko mpya haifanyi kazi?
Kama ndio! Mbona mbolea yenyewe ni adimu ?
Mi naona Kuna uhujumu uchumi iba kuku miaka 30😂
Kinacho expire ni mfuko au mbolea? Serikali kama usilias upo pima quality ya mbolea wakemia si wapo!! Maneno yanini pimeni quality maana mbolea ni salt fanyeni analysis kitaalam
Tunaomba makonda aje huku
Kumbe ndiomana viazi vimetoka vidogo vidogo wapumbavu nyie
Mnapembejea mbwa kama hawa hawahitaji zamani hao walai Tz hamna viongozi 😢😢
Hawa mbwa wakufunga tu
😭😭😭nimenunua 85000/= juzi tu kumbe mbolea ni feki. SERIKALI wafanye jambo hela zetu zirudi. Hii ni nchi nzima sio hapo tu. Kwenye mazao naona nmekula hasara tayari. YARA NAOMBA HELA YANGU NYIE NI WAUAJI KABISA