Yaan Mo fanya jambo .Huyo Mangungu :majura: Try agein waondoke ndipo Timu itakuwa bora. Na Kocha Mgunda awe Kocha Mkuu.❤❤❤ Huyo Babura safi sana kuludi tena Big Up❤❤❤
Wachezaji wote wanaoringa ondoa ACHA wanaitetea Simba Kwa nguvu zao zote!! Km tulivyo ona Leo,Vijana wasiaminiwa wanafanya Vitu tofauti na wale makomredi!!! Kata kabisa watuachie Simba yetu Ili tuone Balli safi km hivi afanyavyo Guduola mnene (Mgunda na Matola)
Kwamajina naitwa Godfrey Michael nipo manyara ushauri wangu mm kama mshabiki wa simba naona juma mgunda apewe mkataba wa miaka 2 pia benchi la ufundi livunjwae lote
Kwani Simba mmelogwa na nani mbona kizunguzungu yaani mtakosa bara na pwani kwanza huo ungonzi uondoke hivi km washabiki na wanachama hawataki huo ungonzi mnasubiria Nini au mnasubiria serikali impe mtu mwingine hiyo timu maana mmeshindwa
Wanao haribu timu ya simba sports club ni mwenyekiti na makamu wake wanatakiwa kujiuzulu tu kwani wanachanganya siasa na mpira ni kitu tofauti sana ndio wanatuletea kuonekana kuwa timu yetu iwe mbovu
Heshima kwako rais waheshma kabla ya yote ningependa kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema kiongozi kwa heshima naomba kwani ana mashabiki wa simba nakuomba uyodada yetu babra asipangiwe watu wakifanya naye achague yeye ondoa mangungu jaribu tena na imani kajula wanakula genji wasenge tu tena wanakupa hasara ubarkiwe modewj
Yaan Mo fanya jambo .Huyo Mangungu :majura: Try agein waondoke ndipo Timu itakuwa bora. Na Kocha Mgunda awe Kocha Mkuu.❤❤❤ Huyo Babura safi sana kuludi tena Big Up❤❤❤
Karibu Sana babla kwa wekundu wa msimbazi
haojamaa waondoke babra njooo kazini tumekuelewa sana
Watolewe wote wawiri
Baadh ya wachezaj wamechokaka sana hawafundishik km kapombe anavujisha sana magoli
Akiludi huyu dada naamini tunaweza kuendelea tena maana tumeshuka kweli
Wachezaji wote wanaoringa ondoa ACHA wanaitetea Simba Kwa nguvu zao zote!!
Km tulivyo ona Leo,Vijana wasiaminiwa wanafanya Vitu tofauti na wale makomredi!!! Kata kabisa watuachie Simba yetu Ili tuone Balli safi km hivi afanyavyo Guduola mnene (Mgunda na Matola)
Kwamajina naitwa Godfrey Michael nipo manyara ushauri wangu mm kama mshabiki wa simba naona juma mgunda apewe mkataba wa miaka 2 pia benchi la ufundi livunjwae lote
😅
Simba sajilini wachezaji. Wazuri
Kwani Simba mmelogwa na nani mbona kizunguzungu yaani mtakosa bara na pwani kwanza huo ungonzi uondoke hivi km washabiki na wanachama hawataki huo ungonzi mnasubiria Nini au mnasubiria serikali impe mtu mwingine hiyo timu maana mmeshindwa
Wanao haribu timu ya simba sports club ni mwenyekiti na makamu wake wanatakiwa kujiuzulu tu kwani wanachanganya siasa na mpira ni kitu tofauti sana ndio wanatuletea kuonekana kuwa timu yetu iwe mbovu
Acheni kua mnatudanganyabmbola makae kimy nyinyi
apa Simba also qay Safi 😅😅
Heshima kwako rais waheshma kabla ya yote ningependa kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema kiongozi kwa heshima naomba kwani ana mashabiki wa simba nakuomba uyodada yetu babra asipangiwe watu wakifanya naye achague yeye ondoa mangungu jaribu tena na imani kajula wanakula genji wasenge tu tena wanakupa hasara ubarkiwe modewj
Uogozi. Sio. Mbovu. Niwachezaji. Mfano. Ukiwa. Nawachezaji. Kama. Inoga. Unategemea. Nn. Kitafanyika. Wanaolaum. Viogozi. Naowajuwi.tu.wachezaji.wanizam.kama.hao.watupishe