SUMU | Ep 01|.
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Mapenzi yana nguvu saana na ndio mpaka leo hakuna majibu sahihi ya maswali yote yanayohusu mapenzi..
Binti alitaka kujenga ndoa yake kumbe jitihada zake mwishoni zilizuwa utata kabisaaaa 😔.
Karibu kufatilia kisa hiki cha kusisimua.
Follow us on INSTAGRAM 👇 www.instagram....
Follow us on TIKTOK 👇
www.tiktok.com...
For Bussiness WHATSAPP ONLY
+255 764 397 711 - Фільми й анімація
Bismillah, haya tushanuia...twasubiri mwendelezo tujionee sumu itakavyotupeleka japo mashallah mwanzo tushauona na sio mbaya na siku njema huonekana asubuhi 👍
Nice ipoh vzr shabnam Big up ❤🎉
Mzuri sana ianamafunzo ila mtuobgeze mda kidogo jamani chibu tuleteyeni namba 2 Sasa daa Hadi raha
Episode mpya ...tunatarajia makubwa
Kazi kazi
🏆 Director wa Africa! Nasubiria kumuona #SANDRA atakaa nafasi gani ktk #SNAKE_BOY na #BIG_BOSS season 2. Yule ni miongoni mwa waigizaji wanaojituma sana. Kuhusu vipaji, na kuigiza wote umewafua vizuri sana lakini SANDRA kwa upande wa wanake anashindana na MWASI, na vidada 2 majina yao sijavikalili. Viko vizuri sana ktk uigizaji ❤❤❤ #SNAKE_BOY 🏆 #BIG_BOSS 🏆
Tunaoamini chibu ni mtaalamu nataka niwajue
Mim movie za chib zinanikatisha tamaa kwasababu haziishag km ufuo cjui ht uliishia wap
Wewe ndio hujui kuangalia move ati hujui mfuo iliishaje 😂
Nambie ni episode ya ngap mwisho Ili nitafute maan Kila nikitafuta sipat naomb nisaidie tafadhal maan mm cjui kuangalia movie kwakwer pia unifundishe namn Bora ya kuangalia movie
Tuna wakubali team chibu woteeee ❤🎉
Yani kwenye hii huyu dada anatisha sana anajua sana
MASHAALLAH
Nzuri sana shabnam upo vizuri❤🎉
HII TAMTHILIA Mr CHIBU umenikumbusha nasheed ya kijana wangu mmoja aliwahi kuniletea inaitwa SUMU YA MUHOGO 😂 Kwakuwa napenda sana stori nikambana maswali hii stori aliitoa wapi akasema ni stori maarufu sana hasa PEMBA ❤ Hatimae umeitolea filamu sasa ❤😂 Naangalia EP 1 nikiwa najuwa itaishaje 😂❤
MAONI: Tusitengeneze taswira mbaya. Chibu umeigiza kama mwenye msimamo wa dini. Wanawake kutembea namna hiyo hususan mke wako sio sahihi. Kuongeza mke ni sunna lakini kuvaa stara ni faradhi. Itakuwaje unataka kufanya sunna haliyakuwa faradhi hauzingatii!?.... 🙏 Hauwezi kutaka kuongeza mke mwenye anayevaa namna hiyo bila kuonesha juhudi ya kumlingania ktk mambo ya faradhi... 🙏
KAZI NZURI tulekebishe vijidosari
Je suis le 4e depuis RDC
Hamna kupoa ni mwendo wa kazi tu
🔥🔥
Greatest bro
🎉🎉🎉🎉 ❤
Story nzuri kaka Big up sana
🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉
Mzri msicheleweshe mwendelezo
Aiseee😂😢
🎉🎉🎉🎉
Chibu hujawahi kukosea umetisha San kweny hii movies nakubal San
Ukisikia mkenya anaomba like jua yeye ni failure, Hana maisha
Kabisa😂
😂😂😂😂😂
Ni zuri sana . Ni wenu director Innocent kutoka Congo 🇨🇩👉🎉 naomba SUBSCIBE zenu wa dungu
Wa5 like zangu
Bravo
Oooh Mashallah hii tamthilia ni kisa kimoja ivi cha kiislam mtu na wifi yake ndani nyumba walikua mhawapendani wifi akaenda kununua sum ili amuue wif yake yan mdogo wa mumewake ila alivoenda dukan mwenye duka akampa dawa ya .............................😅 💖nachadhan tusubire tamthilia indelee😊 good job Mr chibu🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Chibu unazingua humalizi tamsilia zako unaanza mpya ilimradi hatukufahamu jipange
Ni nzuri ila mazingira ni hayo hayo tu mbadilishe hata location
MOVE HII NI NZURI SANA ILA TUMFATILIE KANUMBA MASINDE ANA MOVE NZURI PIA
Shangazi mmh umetowa sum kweli unaupendo wewe au😢
🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo na mim wa Kwanza naomben like zangu
😮
❤kazi nzuli
KAKA ANGALIA NYUMA AKO WAMEKUWEKEA SUMU USINYWE
Kazi nzuri
🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥