Atoswa kwenye BAHARI ya Somalia, Wapelekwa na UPEPO mpaka INDIA, Mmoja afariki, Wakaa JELA miaka 5

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 97

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 Рік тому +24

    Mimi nimezamia miaka ya 80 hadi leo nipo UK , Allah awape wepesi mabaharia wotr

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Рік тому +4

      Adventure umezamia 80 kupitia wapi?ume cross au umetoka na boti? sorry km ntakuwa Nime kukwaxa?

    • @Josh_1194
      @Josh_1194 Рік тому +2

      @@rasjamal9854 nilitoka na meli Ras

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Рік тому +2

      Nakukubali baharia uliepasi mitihani ya usafiri lakini naomba connection ya namba yako ya what's up broh

    • @rasjamal9854
      @rasjamal9854 Рік тому +2

      @@Josh_1194 ok beach gani?Miimi mwenyewe michezo yangu hiyo ilikuwa hila nipo beach ulikuwa

    • @MohamedAli-ho5fq
      @MohamedAli-ho5fq Рік тому +1

      Ulikwenda UK kwa meli?

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Рік тому +5

    Napenda hizi stori sana

  • @sueblake379
    @sueblake379 Рік тому +8

    Wafriaka sisi huona majuu au Ulaya kama heaven lakini kusema kweli Afrika Kuna mazuri ambayo tunakuja kuyaona ukiwa inje ya inchi. Africa can be the best place to be if government make it fir the people.

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 Рік тому +1

      Hayo mazuri labda baada ya miaka 1000 maisha magumu kama jiwe unasema kuna mazuri rudi basi tuishi wote tule mazuri pamoja huku

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Рік тому

      @@eyabdimaha3698 hah

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Рік тому +1

      😂😂😂

    • @shamsaalrahbi5573
      @shamsaalrahbi5573 Рік тому

      @@eyabdimaha3698 swa swa 😂😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Рік тому

      Hipo hivyo ata Mimi natamani kurudi nyumbani lakini naogopa nikiwaza waya nilioupitia

  • @Benjathekingofficialtv
    @Benjathekingofficialtv 9 місяців тому +2

    Huyu jamaa hajui kuoji wasimuliaji , mtu anaachiwa nafasi kwanza ajieleze

  • @sheikhanasser4714
    @sheikhanasser4714 Рік тому +4

    Lakini hakuna hasara saana amepata faida ya kujuwa Lugha mbili si mbaya

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 Рік тому +2

    Daah jamaa sio mtam sana kwenye story big up sana mabaharia wenzangu

  • @davidshebughe3422
    @davidshebughe3422 Рік тому +2

    Huyu hajui kusimulia vizuri kama Kinyogoli.

  • @nahishakiyeassuman5541
    @nahishakiyeassuman5541 Рік тому +2

    Esco tunajifuza vitu vingi Sana kutoka kwa mahabaria kwakweli

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 Рік тому +1

    Big thanks for the best story in your life

  • @saidsongoro9097
    @saidsongoro9097 Рік тому +3

    Wanapaita Richard bye bye au Beach kidosho. Mwandishi na kuja kukupa story ngoja winter ipite nikija huko tupige story maana bahari wengi wapo huku juu.

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 Рік тому +3

    Sns hizi video za mabaharia nazipenda sana
    Bila shaka siko pekeangu, tuko wengi tunaopenda hivi video za mahojiano na mabaharia.
    Ombi langu naomba muwe munatuletea video za aina hii nyingi zaidi @ sns

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Рік тому

    Yeah new chata 🔥🔥🔥🔥

  • @stellajohn5647
    @stellajohn5647 Рік тому +4

    Duh! Inasikitisha sana, maisha haya🥲

  • @mudiluiz7081
    @mudiluiz7081 Рік тому +1

    Naenjoy sana kuwasiklza mabaharia...

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Рік тому +1

    Maskin pole sn kaka Allah akufanyie wepes ufanikiwe ktk maisha yako👏🤲

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Рік тому +1

    Mzee anazungusha kamba

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 Рік тому

    Jamani uongo mbali shule muhimu sana tujitahidi sana kufahamisha watoto wetu nduguzetu hatakama mtoto siwako jaribu kumsemesha sasa hivi tunajuta tusiosoma unaambiwa nenda shule tunaona kama tunaonewa kumbe nikwafaida yetu leo unabaki kujilaumu yaret ningesoma wapi tumeshachelewa

  • @newindiatelecom6829
    @newindiatelecom6829 Рік тому

    Daaahh huruma sana

  • @emmanueldeogratius3969
    @emmanueldeogratius3969 Рік тому

    Napenda sana hii

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Рік тому

    One love Eeeesco

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Рік тому +1

    sasa huyu jamaa mbona anachezea kikambaa au ndo kumiss utotoni

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 Рік тому

    mzee nae, atulii

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Рік тому +1

    Story izi za mabaharia zinavutia sana

  • @onesmochuwa2996
    @onesmochuwa2996 4 місяці тому

    Vp

  • @cristinasofla5090
    @cristinasofla5090 Рік тому +1

    Esko mm napenda sana story hizi na unajua kutangaza

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Рік тому +1

    Capeti pekee ya dunia NI bahari ndiyo kitu pekee Kiko level...

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Рік тому

    Jamaa ako standi sio

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Рік тому

    Waindi wanashida sana

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Рік тому

    Hamuna akkili wengi niwawona .mayiti karibu 30 bahari ya somaliya

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Рік тому

    Baharia haagi kwao na unapondoka kichwani pako unasema wana nitawakuta huko huko juu kwa juu hivyo ndivyo ilivyo home boy mtangazaji

  • @hermanfrank6727
    @hermanfrank6727 Рік тому

    Ktk maisha watu 2napitia changamoto mbalimbali,duh.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Рік тому

    Uliza maswali ya msingi mzeeee unazunguka sana....muulize swali jamaa aflow mwenyewe

  • @salimmohamed3603
    @salimmohamed3603 Рік тому

    Balozi alichelewa sana kuwajibika

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Рік тому

    So katoka nyumban anamiak mingap na amerud anamiaka mingap vipi changamoto za rugha nchi za watu ubaguzi huko gelezana ya life inakuwaj

  • @abdullaalwikabil3371
    @abdullaalwikabil3371 Рік тому

    Iko wapi serikali

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Рік тому

    Mzeee jmbee sanaaa

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Рік тому

    6

  • @muhogomchungu1265
    @muhogomchungu1265 Рік тому

    🇹🇿👍

  • @saadiaahmed7624
    @saadiaahmed7624 Рік тому

    Yemen alikua kijiji au mji gani atupe history kidogo ya hizo nchi somalia na yemen

  • @Y0u_tube
    @Y0u_tube Рік тому +1

    Nakubali wakwanza kucomment

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 Рік тому

    Kipindi kizuri sana

  • @saidnasibu5803
    @saidnasibu5803 Рік тому

    Amezamia taree 9 amekaa siku tano ndio akatoka taree 11😂😂😂😂😂 hapa ame tupamba😂😂😂

  • @gharbbllato7703
    @gharbbllato7703 Рік тому

    Mbona hulizi miaka ilikua mwaka gn

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Рік тому

    Nimeskia kulia uchungu ulivosema mwenzako amefarik it's hurting 😢 ,yan kam ndo hivo maji yamekula wengi aiseee daaah sasa mwenzio nyumban kwao hajui mtu alipotelewa wapi kumbe alizikwa Somalia, au alimpa habari kabla ya kufa uwii

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +1

      yaan ndio nyumban wanakua wanasemaga tu alisha potea daaa😢😭😭

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu Рік тому

      Weeeeh Rosemary achana na huyo Muha pale dukani!!!! Ana ukimwi yule!!!

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Рік тому +1

    Daaah Darasa la tatu miaka kumi na tano …! Baharia tuache kidogo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Рік тому

      Zamani walikua wanaanza shule wazee

    • @vincentakhwale1428
      @vincentakhwale1428 Рік тому

      Miaka ya zamani mbona kawaida sana

    • @jobmaclean5382
      @jobmaclean5382 Рік тому

      Way back umri wakuanza Shule ulikuwa mkubwa

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Рік тому

      Hiyo enzi izo bro we mwenyewe saivi unaona watoto walivyo wadogo mashuleni

    • @rosemaryismaily001
      @rosemaryismaily001 Рік тому

      Yan la 3 ilikuwa kama upo fom five au six hahah 😆 sio kam sisi tunasoma mbk kusomboloka

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Рік тому

    Sasa wakati huo walikuwa wadogo walielewaje kwa haraka izo nchi ama walikuwa wana tumia map

    • @Chemba67
      @Chemba67 Рік тому

      WALIKUA WANAJIENDEA TU BORA LIENDE KAMA ULIVYOSIKIA NCHI WANAZONASA, MARA SOMALI, THAILAND, VIETNAM, PAKISTAN,MOZAMBIQUE, SOUTH AFRIKA,ANGOLA INDIA NCHI AMBAZO KIUKWELI KAMA WANGEKUA WANAJUA WASINGEKUBALI MAANA NCHI ZOTE HIZO WENYEJI WAO WAMECHOKA SASA WEWE MGENI UTAYATOA VIPI. WACHACHE SANA WALIONASA NCHI ZENYE MAISHA.

  • @mwaserarashid5451
    @mwaserarashid5451 Рік тому +1

    Hawa watu mabahatia wana ni chekesha sana heti ameishia darasa la tatu

    • @yonicdontah6392
      @yonicdontah6392 Рік тому +3

      We hata kuandika hujui, uliishia la ngap?

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 Рік тому

      @@yonicdontah6392 la kwanza 😂😂😂😂

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Рік тому

      @@yonicdontah6392 Noma labda ana form six kichwani 🤣

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 Рік тому +1

    Nawapata kutoka 🇧🇷🇧🇷🇧🇷 🙏

  • @gurishaahadi1786
    @gurishaahadi1786 Рік тому

    Qz

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Рік тому +1

    Unapata watu sahihi na story zao ila hujui kuuliza maswali ya msingi na hauendi na flow ya story

    • @Sheisparis
      @Sheisparis Рік тому +1

      Wee mjinga kweli ivi unadhani hii KAZI ni rahisi kama unavodhani😏😏😏😏😏 waulize wewe kama unaona simple nyooooo😏😏😏

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 Рік тому +1

      Nenda kaulize wewe watz sijui mna shida gan yan kila kitu kukosoa tu

    • @yusufally5168
      @yusufally5168 Рік тому +1

      Wewe acha chuki zakijinga tafuta pesa acha makasiriko fara wewe. Jamaa anahoji vizur Sana wewe ukitaka ahoji swali kama lipi?? Isco yuko poa na hiki kipindi wewe ndokwanza ucheki Leo sisi kila cku tunaangalia mahojiano yake acha kuwa na roho mbaya wewe pasipo hitajika.

    • @husseinibnuhassan1272
      @husseinibnuhassan1272 Рік тому

      @@yusufally5168 media ni kazi yangu inanipa kula nauwezo wakulisha familia yako nikawa hata baba yako

    • @yusufally5168
      @yusufally5168 Рік тому

      @@husseinibnuhassan1272 Sawa sio tatizo kuwa baba lakini je unajitambua? Kama wewe mtu WA media huwezi andika comment mbovu ambayo haina uweredi. Unakosoa kitu hukijui brother usiwe na roho kama hiyo. Isco anafanya vizur Sana na ndokazi yake kumbuka ameajiliwa so usiandike comment ambayo inaweza kumtia rawama officen kwake.

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Рік тому +1

    ua-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/v-deo.html
    KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO ..,.*#*#*#
    ua-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/v-deo.html

  • @farikkaqueen2367
    @farikkaqueen2367 Рік тому

    Somalians we're not racist like y'all tanzanian ppl.

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Рік тому +1

      Tanzanian we're not racist too yr welcome my friend

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 Рік тому

      @@amiriramadhan7753 remember what happened to hamza?

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Рік тому

      @@farikkaqueen2367 it's about him and police bro and all of us when that issue happens we feeling so bad & sad ,and we're with hamza side an till now bro Tanzanian police are fucking bullshit as hell!!

    • @fredybundala2336
      @fredybundala2336 Рік тому +1

      Hamza was shooting police without any clear reasons

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 Рік тому

      @@fredybundala2336 you called those 4 polices?? lmfaooo more likely waizi wakubwa took his stuff that’s why. what kind of police officers getting killed it by they’re own weapons❓⁉️❔😂😂😂

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 Рік тому +1

    ua-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/v-deo.html
    KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO ..,.*#*#*#
    ua-cam.com/video/pJaEMzAh9gs/v-deo.html