JINSI YAKUPIKA MKATE WA SINIA KWA NJIA RAHISI NA BILA KUHARIBIKA‼️

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 54

  • @jascasimba
    @jascasimba Рік тому +5

    Mungu akubariki san my sister nilijifunza half keki kwako shiv ninauza napata viela vyangu

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому +3

      Eeeeh jamani mungu nimwema kwakweli na nafurahi sana nikiskia hivi mungu atubariki sote

  • @salmafaraj3839
    @salmafaraj3839 Рік тому +1

    Masha Allah nice receipe ya mkate wa sinia nitajaribu na mm Insha Allah

  • @azzanalkindy1898
    @azzanalkindy1898 25 днів тому

    أحسنتي

  • @najwasalim9915
    @najwasalim9915 Рік тому +3

    A.alkm vp hali yako umzima ...tumekumisssss sanaaaaaYeeey🎉🎉🎉ur back .. welcome back

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому +1

      Waaleykhm mussalam my love yes am.back Alhamdullillah mimi nimewamiss zaidi yaani sanaa

    • @najwasalim9915
      @najwasalim9915 Рік тому

      @@HadijaSheban glad 😘

  • @amjadnadarali4433
    @amjadnadarali4433 Рік тому

    Mashallah I will give it a try. Walikomsalaam Warahmatullahi Wabarakatoo.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому +1

    Maa Shaa ALLAH ❤

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 Рік тому

    Umeweka iliki,hamira,...na ukaongeza kituingine inakaa bread crum????..naona nikama umemimina vitu 3 kabla uweke maziwa?...na umetaja vitu viwili iliki na hamira...tafadhali tupeleke slow 😂😂ndio tuelewe.asante barikiwa sana unatufunza vyema twakupendaa sanaa.🙏

  • @biusiabdallah3491
    @biusiabdallah3491 Рік тому

    Maashallah na mm napika hapa muda c mrefu nimeuloeka mchele wangu since morn

  • @shebanishebe7866
    @shebanishebe7866 Рік тому

    Maa sha ALLAH

  • @salimaslalaamalekumwardah1318
    @salimaslalaamalekumwardah1318 2 місяці тому

    Wawooooo sooò yummyyyy

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj Рік тому

    Masha allah

  • @njeshkymani9656
    @njeshkymani9656 Рік тому

    Did u bake the rest of it in the oven ?

  • @Hudz.am7
    @Hudz.am7 Рік тому

    Asalaam aleykum , nimejaribu huu mkate nimefata yte na wakati nimemaliza kusaga nikauweka ulifura km wako, kuja kuweka jikoni hapo juu, ulichukua masaa mengi na still haukukuka km huo wako, ulikuwa maji maji, nilichoka kusubiri nikauweka kwa oven hivyo hivyo, matokeo sikupata mkate, suala langu kwanini haukukauka juu? Na nimeweka masaa mengi tu still ulikuwa topetope

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Рік тому +2

    Mi napenda tu unavyoongea!!🤣🤣🤣🤣

  • @areebmohamed5229
    @areebmohamed5229 11 місяців тому

    👌

  • @Safaricom_
    @Safaricom_ Рік тому

    TabarakaAllaah

  • @aminaabdalla8636
    @aminaabdalla8636 6 місяців тому

    Kwhyo umepika n glass 2 1/2

  • @a.856
    @a.856 Рік тому

    Asante

  • @juweriaahmed956
    @juweriaahmed956 Рік тому

    Maa Shaa Allah, hapo pap ndani

  • @zeinabkhamis91
    @zeinabkhamis91 Рік тому

    In sha Allah nitajaribu

  • @salmafaraj3839
    @salmafaraj3839 Рік тому

    Afwan my dear

  • @halimaahmed5051
    @halimaahmed5051 Рік тому

    Waiwacha how many minutes kwa jiko?

  • @qmaalim1687
    @qmaalim1687 Рік тому

    Aa hadija long time!
    Huwezi kupika direct kwenye oven ?

  • @BeryneRobert-ld6ji
    @BeryneRobert-ld6ji 5 місяців тому

    Hi daa kama huna nazi si unaeza tumia maziwa

  • @badawyhaji9288
    @badawyhaji9288 Рік тому

    😋😋😋😋😋😋

  • @mwanajumamakame9964
    @mwanajumamakame9964 6 місяців тому

    Hujatuekea kipimo cha tui la nazi

  • @zedpineaple7824
    @zedpineaple7824 Рік тому

    Dada hadija naomba unifundishe vitumbua vya kupikia uji

    • @HadijaSheban
      @HadijaSheban  Рік тому

      Nishaeka search vitumbua hadija sheban

  • @jascasimba
    @jascasimba Рік тому +1

    Huo unakaa mda gani bila kuaribika dad

  • @azizaathumani525
    @azizaathumani525 Рік тому

    Umetumia mchele gani dada

  • @ibraabuemu9231
    @ibraabuemu9231 Рік тому

    Maa sha ALLAH