🔴
Вставка
- Опубліковано 23 вер 2024
- 🔴#Live: NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AUWASHA MOTO TANESCO - "WATANZANIA WANATAKA UMEME"...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Wewe ni kiongozi na nusu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 mtu anayeheshimu na kuwatia moyo watu anaowaongoza. Aheshimiwe sana! Mama kafanya chaguo sahihi saaaaanaaa
Salute Ndugu Naibu Waziri Mkuu!! Kipara ametuumiza sana
R.I.P JPM. Alimbetua Kipara
Kuna viongozi sinaga maneno mengi juu yao..Mungu akuongoze mh Biteko..Tunaimani sana nawewe..Wewe ni kiongozi mzalendo,Tunakuombea tunaimani nawewe kaka yangu.Kazi nzito hiyo lkn kwa kumtegemea Mungu ,kuchapa kazi na uzalendo utashinda …Mungu akutunze.🙏🏾
Akili kubwa na ni mtendaji👏👍👍
Doto Biteko, Mashaka hongera sana una maono mazuri, unaitengeneza vzr Tanesco mpya Mungu akurinde. 🎉🎉 Lakini Binafsi nakuona Waziri mkuu ajaye 2025 Yashike haya na uyalinde Mungu akusimamie.
Hongera sana Mh. Naibu Waziri Mkuu
Sukumaland be blesed.
Naiona vazi la Magufuli limekudondokea naamini yordan river, itapasuka maana tunaona taa ya matumaini inawaka ktk msitu mnene wenye Giza Totoro, Mungu akubariki Sana Biteko.
NIMENUKUHU HIVYO HIVYO. UMETISHA HAPA KAZI TU.
Waziri biteko wewe ni zaidi ya mchungaji honest your speech is very touching and motivational to the national thank you so much Dad❤
Ditto wewe Ni JPM mpyaa
President in waiting...a very brilliant guy 👍
Umenekosha mdogo wngu..lkn iwe kweli..Mungu akutendeee..
Mungu akubariki na kukutunza,wewe ni tumaini jipya kwa Watanzania wanyonge,songa mbele upo kwa ajili ya matokeo makubwa.
Wazazi waliwaelekeza na waliwatii kwa muonekano. Yaaani HOFU YA MUNGU.
I repeat this one more time! Our president made the best choice ever 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 hapa kwakweli umeme hautosumbua tena
Speech hii imeenda shule kweli kweliiiiiiiiii 👏👏👏
Waziri , nakupenda ,ubarikiwe
It's one of the great speaches
Good management style. Kazi ipo mara hii.
Uko vizuri mkuu❤❤
Mheshimiwa Doto Mungu akuinue zaidi na akulinde.Umetufaa sana
ASANTE...Asante....Asante Sana.
wewe ni nabii usikatae kwa kuwa unaitumikia serikali uko upande mzuri kwa kumtumikia mungu na umesema huwa ukiwa kwenye maombi na familia yako unawaombea watu huo ndio unabii kama unamuabudu kwa roho na kweli. barikiwa sana mtumishi wa mungu watanzania wanataka umeme ova.
Hongeleni bukombe mmezaa mtoto mwema
Big up kiongozi ,yaani TANESCO mtusaidie kwakweli umeme umekua shida
Safi sana waziri nakuelewa sana watzanzania wanataka umeme
Safi sana kiongozi tunataka umeme ikiwezekana ata nguzo tusilipishiwe tulipie tu 27
Daaahhhh nime enjoy Sana kuskiliza hii speech
Mungu akutangulie Muheshimiwa Biteko naona nuru mpya kwa watanzania kwenye nishati Asante mama Samia Suluhu Hassan Raisi wangu mpendwa kwa maamuzi yako bora kwa kuwa wewe pia ni mama bora kwa sisi watoto wako wa Tanzania ❤
God wish u......
Mungu akubariki sana sana sana
Naona Mungu yupo ndani yake ! Asimwache aende zake !!,aendelee kumtukuza Mungu siku zake zote.
Aseeh Great Great Great Speech
Mimi nakuamini doto lakini srkl yako haijatulia mungu akusaidie biteko najuwa utafika mbali nimekuona kwa macho na akili ni mtendaji kazi mzuri
Hotuba hii konk sana....
Mungu akubariki sana....!!
Ubarikiwe kiongozi
Excellent speech
Mungu akupe uzima biteko smart mind
Uko vzr kaka
Bahati mbaya sana huyu kijana anapitia kwenye chama kibovu kilichojaa majambazi.
Chama gani ambacho hakina majambazi? Usiwaamini wanasiasa wote ni waongo.CHADEMA ni majambazi hafadhali hata hao CCM ni vibaraka wa Western countries.
NaKupenda sana biteko wewe kweli kiongozi..mungu akutangulie..
Big up Biteko! naamini kazi yako
Great
hapa mama kateua mtu kwelikweli🙏🙏🙏🙏
Hongera mzee MUNGU kwa kumtonya mh Rais amteua biteko kuwa naibu prime minister. Hongeren sana
Safi sana
Kaz nzuri Mh.buteko...ushaampita ata majaliwa,, maana yeye mda wote ni kusema tuu"""Dr Samia oyeeeeeeeee"" alafu utekelezaji ni zero..
Kazi,njema
Huyu ni akili kubwa Sana, kama hawatampiga fitina ....anaweza kuiweka vzr Serikali, nimkweli na hanaga unafiki....tumwombee, he is a future big Leader ....through him naamini Taifa Letu siku moja litafika mbali .... cheers 🎉🎉
Ubarikiwe sana
Daaah Biteko nimekuelewa sana,sijanza Leo lkn kuanzia wewe ni kiongozi mwenye maono,nakupenda aisee!!
Mtaniiii. ......nilijua Mungu atakuinua tu.....!! Mungu akulinde. .....
Naomba namba waziri tunachangamoto
kweli kiongozi sisi shida yetu umeme tu hayo mengine sisi hayatuhusu huduma kwa wateja tanesco mbovu sana wanafanya kazi kwa mazoea rushwa ndio mbele ukitaka kitengo cha dharura sio poa naomba waziri ushughulikie hilo sisi tunahitaji umeme wa uhakika tufurahie maisha yetu
Kidogo moyo wangu imetabasamu japo kwa mbali
Safi sana Tunatak Umeme,Shikilia hapo hapo
Mh waziri biteko tunakuomba utuludishie ile bei ya tsh27.000/= wananchi tunahali mbaya Sana
Mungu akupe nguvu
Km ingetokea akawa rais, nahisi watanzania tungepona maradhi yanayotusumbua ndani ya nchi yetu.
Umeme
Rudisheni ile bei 27000 ili tupate umeme wengi na tanesco wapate malipo meng tunapo nunua mbona enzi za Jpm ilikua hivyo but ikashindikana kwa January
Mungu akutangulie kila uendako na sekta yako nzima.
Kweli umeme tunautaka na uwe wa uhakika.
Safi sana mkuu
Speech nzuri sana, kama viongozi wako wa juu mh. Biteko watakupa ushirikiano utafanya vizuri lakin kama Mamlaka zako za Uteuzi ni Mbovu hakuna kitu utafanya, nafaham sina mwanasheria lakin ukweli lazima niongee. Tanesco hawa nadhan hawana tatizo kabisa kama waliweza kukaa miaka takriban sita umeme haukua tatizo then ndani ya mwaka mmoja tatizo limekuwa kubwa hivi, ukweli nikwamba uozo upo kwa Mamlaka za juu yaan Executive. Binafsi ninamatumaini makubwa sana nawew mh. Biteko na ninakuombea ukawe wakili mwaminifu.
Hotuba nzuri waziri kuwa mkali kwa wtendaji wako watanzania tunataka umeme Fanya jambo juu hili LA umeme Tanzania haiezi kuwa giza
Safi sana waziri Buteko
Daa magufuli kafufuka sijawai kusikiliza utuba ya kiongozi yoyote zaidi yako toka magufuli afe
Karibu king,ori Arumeru
Amezungumza hapo kuwa baadhi ya watendaji wanataka tuwaone mungu watu hilo ndyo tatzo hafanyi kazi mpaka utoe pesa.
I hope they now understand this simple language..tumechoka nao!! Watanzania tunataka UMEME!!
Future prezda!!
Umenifanya nitamani kukuamini zaidi
Ukitka kwnda vzr pga chni hyu MD maana hawa wote ni maswaiba na Makamba weka MD mwngne.
Kiongozi Mungu akubariki nimefurahi pia kwa nini tanesco wanaleta miter mbovu zinazo zima na kuwaka
Mungu amekuona hekima kubwa sana
Nikweli Tunataka Umeme. Barikiwa Kiongozi. Sio Enzi Ya Vibatari!!!!
Tanesco anthem - watanzania wanataka umeme - 3x
Mh anajua km tuna mgao toka miezi miwili iliyopita?
Yani ww ndo uliye Baki kuwa tunaini la watanzania kiujumla doto biteko ndo tunaini lijayo
"watanzania wanataka umeme!",maneno mazuri mh.waziri wa Nishati na naibu waziri mkuu,umeme umekua kero mheshimiwa niko Mbeya hivi ninavyoandika sasa hivi umeme umekatika,nashindwa kusonga ugali,nashindwa kunyosha nguo maana umeme umekatika,msaidieni mhe.Rais wetu nia yake njema ya watz kupata umeme wa uhakika itimie!.
Ila kwa hotuba yako mh.Biteko napata matumaini!.
❤NAIBU WAZIRI LANGU BABAUUU. a.k.a ''WATANZANIA WANATAKA UMEME''. OYO OYO OYOOOO! WAKILEGA LEGA TUNAFAHAMU NI TANESCO NDIO KIKWAZO. MIHERA KIBAAAO. HUDUMA ASTE ASTE.
Mhe.Naibu waziri Mkuu Kwa kweli maneno yako nmeamini Bado Tanzania tuna hazina ya viongozi.
Mhe Naibu Waziri Mkuu sisi hatuja lipwa na JV Arabs sasa miaka mitatu na Nusu 11 B bila Sisi Becco Ltd wasinge fika site Nyerere Dam. Sisi tuna zungushwa kila kona.
Anavyooneka kwa macho ya nyama ni msikivu. Hebu mcheki inbox kwa hilo tatizo lako, huenda utapata msaada
Haki unapata kwa mahakama, unakwama wapi shitaki hao waliokutapeli
Tume enda Arbitration ime toka award moja badae waka fanya mpango ika toka ya 2 angine haija Anzwa wana taka muda ipite waondoke. Hapo ina takiwa order itoke waone ukweli ni Nini Hivyo wana zungusha miaka 3 na Nusu sasa.
Bitokeee🎉🎉🎉
Leo mchana ni mwingi sana ila usiku sijui
Tanga pia umeme unakatika sana mara kwa mara kila siku... twataka umeme.
Hotuba nzuri
Shusha ghalama za umeme kutoka 27000, na had 517000 ni aibu kubwa wimbo wako hauna maana watanzania wataka umeme, kwa ghalama gani
Kiukweli Tanesco Wana kazi hasa maeneo ya vijijini umeme wa Rea, vitongoji vingi havina umeme
Huyu ndio rais ajae
Story tu za siasa hapa hakuna chochote kinachofanyila umeme uwe shida kinajulikana ni deals zao tu wakubwa zao
👏🏼👏🏼👏🏼🙏🏽🙏🏽
Nimefurai sana kupata waziri mchapakazi na anayejua nini Cha kufanya
Safi sana ila mpaka sasa giza tupu
Hapa naona Magufuli anarudi ndani ya Biteko
👍🏽
shida tanesco iko peke yake tunaomba mlete shirika mbadala hata nje
by nsese dodoma ,nguzo zinazowekwa barabarani ni zao la kanuni ipi?
Mh umenifumbua jambo.kumbe kwenye social life facts huwa hazishindi,bali perception na mahusiano. Nimekuwa mara kadhaa nakomaa kueleza facts kwenye jambo fulani,lakini nashangaa mbona wengi bado wanapinga.sasa leo nimejifunza.elimu haina mwisho
Du bright sana uyo jamaa anafaa kuwa rais ajaye
Umeme tatizo kubwa Dar.
Inzi akidondoka kwa maziwa aondolewe na maziwa yaendelee kutumika nimekuelewa sana.
Watanzania tunataka umeme tu , mgao wa umeme umezidi