Shuhudia Sheikh Muhammad Bachu Alivyokimbia Mjadala Kwa Swali Moja Na Kujikojolea Kwenye K /Sh.ABOUD
Вставка
- Опубліковано 6 жов 2024
- Shuhudia Sheikh Muhammad Bachu Alivyokimbia Mjadala Kwa Swali Moja Na Kujikojolea Kwenye Kiti / Sheikh ABOUD
Mashaa Allah Sheikh Aboud akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Shuhudia Sheikh Muhammad Bachu Alivyokimbia Mjadala Kwa Swali Moja Na Kujikojolea Kwenye Kiti / Sheikh ABOUD
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
UA-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Kwa kweli bachu yupo cheke chea annajifanya anajua kumbe hajui anataka asifiwe mwenzake alitulia hana papara lakini buchu alikua anaruka ruka tu kawaaibisha mawahabi wote
Vizuri sana wasanii wetu
BACHO UMETUANGUSHA SANA LAKINI AIBU YA ZAIDI NI KUKOJOLEA KITI SHEHE WANGU BACHO AAAAAAAAH UMETUUMIZA BACHO😢😢😢
Hatuna uhakika kuwa ni haja ndogo au jasho lilimvuja kwa kutojibu swali moja tu ila hakika kiti kililoaaa😂😂😂
Hamutambui. Washenzi wakubwa washirikina.
@@KhalfanKishki thibitisha iyo shirki utaulizwa mbele ya allah
Leo nimeamini kuwa maulidi sio ibada aliyokujanayo mtume wetu Muhammad ()
Unaijua maaana ya neno ibada wewe kisheria??
@@abubakarhussein2186 hawa mawahabi ni wagonjwa.shida yao hawasomi alafu wanaongea sana kudhuhurisha ukosaji wao wa ilmu.waswahili wanasema muungwana akivuliwa nguo huchutama hasimami sasa wao hawakusoma wala hawataki kusoma,jamani dini sio mashindano ya mpira.Bachu mwenyewe alizubaa na vimondo alivyokuwa akipewa alafu kuna mwengine hapa anasema maulid si ibada.mnatuaibisha ndugu zetu waislamu someni acheni aibu
Huyu Diudakozi heheh wallah kila anaemfuata bachu anamtihani yani mnafanana na kiongozi wenu kwa kila kitu.vishindo vyenu matusi yenu ilmu hamna mnapenda kujiabisha.kweni mkisoma kisawa sawa mtakuwa mumekosa nn ili mupate kuyajua vzury haya mambo? Bachu mwenyewe amerowekwa mpaka ameroeka kisawa sawa.kama huamini kama bachu alishindwa mfatilie kuanzia munaqasha ishe clip alizotoa ule ushujaa alipkuwa nao kabla bado sasa yuko nao.amezima na sio kuzima bure huezi kutaka kuizima nuru ya bwana mtumi alafu mungu akuache bure bure.
TULIONA MJADALA MWANZO HADI MWISHO NA TUMESHUHUDIA KUA BACHU HAKUKIMBIA BALI TUMEJUA KUA WATU WA BIDAA HAWANA HOJA YOYOTE YA KUWAPA NAFASI KUZUA KATIKA DINI
😂😂😂😂😂
Hao mawahabi wamekubali ww mwehu unasema sio kweli
Dj saidi alikimbia hoja za sheikh Muhammad bachu kiujanja tulikujuwa sisi .Ulifanya vile Kwa kukimbia hoja
Ukweli umedhihirika bacu alishinda tumezitumia akili zetu kwakufuatilia
Tumche ALLAH.Chupa ya maji ya kunywa ilikuwa karibu.
Bachu ameshinda
mawlid ni bidaa si miongoni ya ibada , na mashiri ya bazrajni ni uwongo na ushirikina , na yeyote anayempa mkono mwongo ni mwongo dalili hadithi imepokelwa imaamu muslim من حدث عني بحديث يُرى أنه كذب فهو أحد الكاذبِِينَ" رواه مسلم (1). وقد ذهب جماعة من أهل العلم إلى كفر من تعمد الكذب عليه صلى الله عليه وسلم
Akimbie. Tu 😂😂😂😂
Nyinyi DARSA TV, content kama hiyo ya nini mnairusha?
Ajakipiya.alijibu.akuna.muhongope allah nyiye bacho ukosahihi tumejihoneyasisiwenyewe musituhadisiya maulidi nihuzuchi
Mh hata kiswahili hujui akili kama yabachu
Mada ya jana haikuwa maulid ni uzushi au c uzushi mada ilikuwa ni owongo katk kitabu cha barzanji dhibiti nukta hiyo
User_ws7_ Bachu ameingia kwenye hasara kubwa watu wengi wameona udhaifu wake ukiwa na haki siku zote mungu anakupa utulivu ukiwa mkweli siku zote unakuwa na utulivu.ndugu yetu bachu alipoaanza alidhihirisha udhaifu wake.macho yake yalikuwa yamejaa hofu.mikono yake ilikuwa haitulii mara nikama anajikonyoa.mara kofia haijakaa vzury.mara kiti kimoto.hofu ilimpa joto akawa anakunywa maji sio mchezo.matamshi yake yakukejeli.yani bachu aliaibisha mawahabi kwa ujumla hakuwa na ilmu ndio maana wale waliokuwa wawakilishi wake wakati wa maandalizi walikimbia munaqasha walijua tayari bachu atashindwa.kwa hvyo ukiwa unamuunga mkono bachu na kupinga mawlid nisawa lakini someni hapa kuna siri mnafichwa someni
Ww sheikh acha ujinga hyo ni mambo ya kawaida tu acha ujinga mtu mzima hujielewi
Kweli mijitu ya bidaa haijielewi jitu Zima Ata aibu halina
Wanafiki walibadilika gafla
Mi nadhani Bachu arudi darasani na asisome kwa google apige goti maana anazunguka saana saana...
Maulid hayafai hata mujifarji kiasi gani
Kumbe maulidi ni uzushiii mtupu
Sh bachu lete ushahidi wapi MTUME alikula urojo....
Kajikojolea
Hakuna maulidi katika ahly sunna
Kwani maulid ni nini kwa akili zako na unavyojuwa wewe....,!!!?
Hakuna maulidi kwa Mawahabi
Neno ahli sunnat ww ulipata wapi? Sahaba alijiita hivo Amir ao rasul?
CLIP INAYOFUATA IWE NI HOJA NZITO ZINAZOTHUBUTISHA KUA MADAI YA MAWAHABI JUU YA KITABU CHA BARZANJI SI UKWELI .MUTIE DALILI SIO KURIPOKWA.BIRRRRRIIII
nyimbo za mbosoo halalii maulidii yawa haramuuu tusitafute dalili kwa jambo lenye dalili
Mashia ndio wasomaji maulidi
Buchu katia aibu kukimbia akibanwa anakmbia mpaka kakojoa
Tena bachu ati auliza wataka nini ww ..... hahahaha siwajifanya mume ww