Part 3: IRENE UWOYA Alinifuata USIKU Akitaka NIWE MTUMISHI wa MUNGU/Nilikuwa CLUB
Вставка
- Опубліковано 3 жов 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Rick You’re a very good interviewer
You give someone a room to express themselves of which many presenters fails 🙌🙌
Meno ya juu na ya chin rangi tofaut, all in all ur beautiful girl 🎉
Love from kenya.🇰🇪🇰🇪..Giggy love your English you have really improved grammatically..kudos
Why are you lying to this woman?? Her grammar is pathetic and her fake accent is disgusting! Aongee tu Swahili.
Yesu alikuja Duniani kea wenye dhambi kwa hiyo Mungu kumbadilisha mwanadamu kwake ni kitu kidogo sana Gigi ni mtoto mzuri sana kwanza ana akili sana
Nakupenda bure Gigy ❤
❤❤hapo sasa kwenye ugonjwa wakili ni hatari😅😅😅😅
Tuwaombee watoto wetu sana shetani ajawahi kumuonea asiekuwa na kitu uyu dogo anaakili sana ila akupata wa kumuombea.
Nakupenda wewe mtoto natamani ungekua mwanangu❤
Ila gigy wewe❤
Nice
Gigy anaongea zake kingereza
Wewe ni mtumishi wa MUNGU
Mkorogo umemkubali kweli Gigy.
😂😂😂😅ila Gigi hii nchi wote wako na mental illness
Gigy kwa kweli umekua mkubwa!!
Gigy unanenepa jamn
Gigy kama kazungu flani kaswahili 😊😊😂😂😂
UMEMUONA PSYCHOLOGIST🎉❤
😂😂😂😅ila Gigi hii nchi wote wako na mental illness
❤🎉
Ivi ili lidada nilisomi?kingereza chake kizuri kuwazidi wengi hata wabunge.itika uchungaji nitakuja kanisani kwenu bilashaka.
😅😅
M uwa nakupendaaa tu vile policy wallah❤
Ila gigy dhuuu 😅😅😅😅😅😅
WATUMISHI
WA FRIMANSON 😂😂 KANISAGANI 😂😂
Giggy
❤❤❤
Yaan anaemfanyia interview saa ingne hafocus na gigy😂😂
😂😂😂😂
Haka kamama mayla nakapendaga kanaongea ukweli
😂😂😂😂😂 ila Gigi
❤❤❤❤❤❤❤❤
WATU. WENGI. WANAUMWA. HATA. ULAYA
KANISA LIPI
Hahahaha 😅😅😅
✔️✔️✔️
Mavi kabisa shetan amewachonga huko Sasa anawatuma il mkafanye makufulu katka din shenzi kabisa
Huu mtazamo wako si wa Kimungu kabisa, Kwetu Sisi Wakristo Yesu alikuja kwa aji ya watu kama hawa, watu ambao wamechoka na wamekataliwa. Kumbuka Yesu alifufwa miguu yake na Malaya maarufu enzi hizo. So baada ya wao kufanya ushenzi na ushetani wote unataka waende wapi!? Wafie dhambini!?
@@Tg.7_7 shenzi kabisa ulisoma biblia gan kwamba mtu anaamin tu nakwenda kuwa mchungaj Kama hujui hii ndio sababu ya anguko katka makanisa makanisa ya hovyo na watu wa hovyo din imeharibika pakubwa na mkono wa shetan hakuna Toba ya kwel Kama hutak nenda kwa zumarid ukiwa huko sawa mtapatana alafu msubil kuchomwa
Wewe pia unaetoa matusi pia ni mchungaji mtarajiwa
Gigy una akili nyingi sn,
Gigy anaakili sanaaaa basi tu