DR SULLE | SILVER OIL | MAFUTA YENYE MAAJABU 7 | YENYE KUTIBU MAGONJWA SUGU 7 | HUONDOA NUKS UCHAWI
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- DR SULLE | SILVER OIL | MAFUTA YENYE MAAJABU 7 | YENYE KUTIBU MAGONJWA SUGU 7 | HUONDOA NUKS UCHAWI
#Masjid_Mtoro_Online_Tv #Silver_Oil #DrSulle
Mche Allah dr sulle, acha kuwapiga Waislamu..!!
ACHA utapeli kaka, utasimamishwa mbele ya Allah
Kwani vip
Kwakweli analeta mambo ya kina mwamposa
Shukrani nimekusikiliza mpaka mwisho kumbe bado hujaanza kusafirisha nchi za nje
Shukran
Mwenyeenzi Mungu akubariki
Wamikoani umetutenga docter
Nipo dodoma nipata vipi mafuta?
Sisi waisilamu tunatabu acheni rohombaya tumuunge mkono mwenzetu angekuwa mkirsto mngekaa kimya lakin kwakuwa nishekhe nishida kilasiku watu wanaenda kawe kilasiku kwa mwaposa lakin hawasemi chochote nawanatapeliwa lakin hawasemikitu ilakwakuwa jambo imesemwa nashekhe watu hawamini
Asamu alyku warahma tulahi Wa barakatu alhamdulilah,.mola akupe saha Wa afiya kwakutu ilimisha shukran
Nipo Kilimanjaro nitapataje hayo mafuta Dr?
What's the name in English .
Mashaallah hakika
Asalam alaykum Doctor sule mbona ujutena holi la shekhAlifa
Asc
sisi tuku mbali i tutapataje
mafuta ??
Duh wazee wa madili mafuta yanaondoa nuksi????
Tafadhali kama umewahi kutibiwa na nadawa za sule na haukupata kupona weka like kapa
Hakuna kitu hapa ni ujanjaujanja tu hakuna mafuta yeyote y kutibu basi huyu ajjiyae Dr ni mwongo
Mijiminginehaipatikan?
Dr tunayapataj hayo mafuta dr tunayahitaj
Naomba jibu Mimi na pres sha na Sukari nikitumia mafuta yatanisaidia ntapataje Au Dar yanapatikana? Naomba jibu
Napresha ni mazuri sana mim mwenyewe nimeyatumia yana FAA sana na sasa presha sina kabisa haki ya Allwah yanatibu kweli
Napataje please 🙏 😊
Naomba namba ya Dkt sulle
Nitapataje mafuta
Shuhuda nzuri ziwe kabla na baada ya Tiba/Matibabu.
Shuhuda za kujionyesha na kutueleza umepona/umefanikiwa baada ya kutumia dawa wakti hatujaonyeshwa kabla ilikuwaje/alikuwaje haki kunawalakini (kunatia mashaka).
Ni vema wangekuwa wanaonyeshwa kabla (hali hali halisi ilivyo) na baada ya kutumia mafuta/dawa.
Sio mbaya wangefuatwa Wagonjwa Hospital walopooza nk tuka washuhudia kabla hawajatumia dawa/mafuta kisha wakatoa ushuhuda baada ya kutibiwa/kutumia madawa.
Tunalalamika na kuchangishana pesa kuendeleza Uislamu (kuwalipa Walimu wa Madrasa, kuw
Tunawasema Wasokuwa Waislamu wanatowa shuhuda za uwongo nasisi tungeboresha ushuhuda wetu usuwe wa maashaka.
Kwa nchi za kiarabu uae yanapatikana kwa jina gani?
@@salumtajiri8018 Amiiin
Salum. Niko Saudi na hiyo mafuta inaitwa Zeitun. Haikosi kw Kila nyumba ht mm niliambiwa inatibu majini.
@@mwanarabumm7814 zeitun ni olive oil ni tafauti
Nani takubali kutangazwa akiwa mgonjwa anapotafuta matibabu ?kupona Ni furaha hivyo Ni maamuzi ya mtu kutoa ushuhuda na kupona katika tiba sio lazima unaweza kupona au usipone akatumia mwenzao akapona na ww usipona
Sheikh nahitajipia
Naona Sule ana uza dawa sasa, ni masuala ya muda tu ila tutasikia mengi sana
Kabisaaa
Sule toka niskinze Mambo yako na mwaipopo Yani video zako pia nilichukia kabisa pia za mwaipopo
tutayapataje hayo mafuta.
Naomba no yako doctor sule nataka mafuta ya silver oil
Assalam Aleykum Dr mimi nimkaazi wa nchi ya kenya hayo mafuta nayahitaji nami sasa nitayapata vip ?
Dukani tu😂
@@13_young.k.i.d.d shukrani niko mombasa kilifi.Kilifi ndiko ninako ishi sasa.mobasa.nidukagani naweza.yapata.au.Kilifi.nakama.hayo maduka yana namba za sim niandikie hizo namba zao
Nitauelekeza vipi? nifwate inbox
Asalam Aleykum Rahma vip ulipata mafuta nami unielekeze
@@abdulrahmansafari897 waalaykum salaam sijayapata mafuta.hajaanzakusafirisha nchi za nje ni Tabora tu nilivyomsikiliza mpaka mwisho sasa tuwe na subra kakangu
kkkkkklll
dr wacha mafumbu sema wazi tujue
Nikihitaji haya mafuta nitayapata vipi
Simu ukipanga zishingwi tutasaindika vipi
TAPELI TUUU WEWE HAKUNA ZAIDI YA QURAAN KUONDOA NUKSI
Ww mwenyewe ntapel la kmataifa ndomana klamtu unahs ntapel km ww kula yako n kbaruwa kukitmiza akutapel nn ww kgagura wacha choyo pambana na Maisha yako umfkiye Dr Sulle syo husda itakuweka pabaya
Tulete nasi dawa
Kama unayataka tunapataje nipo tanga na bei gan