Dua la kuku halimpati mwewe. Baada ya Imam bukhari ati albani 🤣. Yaani baada ya simba kwa ukali kaekwa mjusi kafiri 🤣. Kama kwamba hakukua na wanachuoni. Tena huyo kijusi amsahihisha akampiga makofi SIMBA 😂. DUNIA VITUKO. yaani albani na amsahihisha Imam bukhari 🤣. Mtu ambae hata hadithi 30 HAJAHIFADHI anamsahihisha mtu kahifadhi hadithi malaki au maelfu 🤣🤣🤣. Hii inaitwa myahudi kawanusa USHUZI 😃.
Sheikh Muhammad Nassiruddin Al-albani ni mwiba wa koo kwa kila alieenda kinyume na mafunzo ya Allah na Sunna za Mtume Salla Allahu 3leyhi wa Sallam.si ajabu maneno haya ya mzungumzaji na mfano wa kama yeye,kumsema Albani!naomba kabla haujaanza kunitusi katika comments,kasome kitabu kimoja tu(Chochote),cha Sheikh Al-albani au kaskize Audio yoyote yake,kisha kuwa hakimu mwenyewe kwa Uadilifu.
Wewe mjinga waeza mfika sheikh Albani Allah amrehemu. Al Bani ni mwanachuoni wa fanni ya Hadithi na ameandika vitabu vingi sanaa . ALLAH AMREHEMU. Soma kitabu kimoja tu cha Albani uone Elmu utakayo toka nayo hapo Wewe mjinga tu mpuuzi. Unamdharau mwanachuoni Eti mm pia naweza . Waweza nini mjinga ww
Wewe inaonekana ndio mjinga maana hujui maana ya muhaddith kitaab . Na kama ALBANI ni muhaddith kitaab basi sio Ust fadhili tu pekee yake atakaye weza kufanya hivi bali hata mimi na wewe . Kwasababu ni kuangalia tu katika vitabu na kuandika .. Unajua fika kile ambacho kimeshaandikwa sasa faida yake ni nini ??. Halafu kuna Elimu Nane za hadithi. Suali ALBANI anazo ngapi. Kama wewe ni msomi kujibu hili suala. Ndio utajua kuwa ALBANI ni mtu wa mikopi na kupest .
Albani hakua mwanachuoni bali ni muhuni tu bali hakuwa na elim kabisa, na iyo kutunga vitabu vingi sio sababu ya kuwa yeye ni bingwa sana bali ivo vitabu je vimetungwa kifani au vimeandikwa km gazeti? Bali watoto wadogo sana kielimu Leo wanamkosoa Albani! Kinachoshangaza ni kuona km kuna watu ukimkosoa Albani hukuona mbaya/una chuki binafsi nk! Lkn kwa nini chuki ziende kwa Albani tu zisiende kwa muhadith wengine? Sasa hili linaashiria wazi km ni lazma iwe Albani ana matatizo kweli msimtetee Albani hakua aalimu bali alikuja muhuni tu ambae alikuja maksudio kuiharibu dini ya kiislamu lkn insha Allah, Allah atailinda
Mimi nawapa challenge , sheikh yeyote andike kitabu kama chake mfano swiffatu swalaatu annabiyy....hamna mwenye uwezp huo hapa ...na kama yupo angeshaandika ....wachilia mbali ...kitabu chake hadithi sahihi na dhaifu😂
Sheikh ALBANI rahimahu llahu, ni bahari nyengine katika fani ya hadithi , nimesoma vitabu vyake nimeona mengi na kujua mengi , usikae tu kuzungumza kuhusu huyu mwanazuoni mkubwa wa hadithi.
Mawahabi walazimisha masheikh wao itawezekanaje Albani awasahihishe Bukhari na Muslim haingii akili hata kidogo hao ni vibaraka wa mayahudi kutoa hadithi ambzo hawazitaki.
Sasa Albani sikaja juzi tu anavyo Sema huyu ni Sawa kwa sababu ili mtu aitwe muhadith Kuna sheria zake sasa bukhari amefikia viwango sasa vp aje mtu tu aseme amesahihisha maneno ya bukhari wakati daraja hiyo hana vitabu vya usuli hadithi vinasema namba Wan ni bukhari baadae Muslim sasa Leo atokea mtu asema kasahihisha Alban
Siku ya Qiyama Ndio Tutajuwa Watu ni kina Nani... Hawa Masufii mwuwawatukanao ni wacha Mungu Sana ... Tahadharini Na ndimi zenu .. kwani Nyama ya wana wazuoni ni sumu ... na Huyu sheikh Fadheel ni Mwanachuoni mkubwa ... Mwanafunzi wa Mwanachuoni Mkubwa ... Tuweni na Inswaaaf katika kupinga
Kweli kabisa maneno Yako matwarika wacha mungu sana hata Wana abudu makaburi,wanapiga Ngoma miskitini,wanasoma khitma Ama lahalika hakuna Wacha mungu kama matwariqa. Majahil wakubwa makhurafi
مكانة البخاري محفوظة ولا أحد يستطيع أن يزعزعها لا المتقدمين ولا المتأخرين .... ولو اختلف البخاري مع أحد من المتأخرين لقدم قول البخاري على غيره بلا شك ..فهو إمام في الفنّ بلا منازع ..وكذا الإمام مسلم بن الحجاج ... والشيخ الألباني رحمه الله ممن استفاد من علم البخاري وله يد في علم التخريج والتصحيح والتضعيف..ولا يقلل من شأن الألباني شيئا كونك لا تعترف به بل تريد أن تنقص من قدره !! أبدا ... أنت لست بشيئ بس مجرد التهجمات فقط.. والله أسألك سؤالا واحدا فقط في علم التخريج لما استطعت الإجابة عنه ناهيك عن التصحيح والتضعيف!! وقد حاول الدارقطني رحمه الحافظ تضعيف بعض الأحاديث في الصحيحين في كتابه التتبع والإلزامات ودافع الحافظ ابن حجر عنه..فالشيخ الألباني عالم وله جهوده معلومة مشكورة ..نقول اجتهد فأخطأ في تضعيفه لما في الصحيح لا أكثر من ذلك.. ومتى سمعت أن أهل البدع مثلك يوما يجيد فن الحديث ؟؟ أنتم شغلكم الشاغل ضرب الطار والناي والرقص كما يرقص الدبب..فحسبك من الشيخ الألباني ومن أنت حتى تعترف به أو لا تعترف ؟؟
Wewe ni nani wa kumkosoa imam albani, unamchango gani kwenye dini dini? Kuweza kumkosoa imam albani. Kuna yeyote anaekujua kwenye jamii yetu kama wewe ni sheikh? Imam Albani ni mwanachuoni mkubwa kwenye zama zetu na mwenye sifa kubwa, amesomea sayansi ya hadith zaidi ya miaka 50 na kuweza kusahihisha na kuziweka sawa hadith nyingi. Na wanachuoni wengi wakubwa wanamkubali na wanazitumia hadith alizozisahihisha kwenye tafiti zao za dini. Halafu unatokea mjinga mmoja umeshiba zako makande, unaenda mskitini unashika maiki (microphone) na kuanza kubweka na kuropoka. Iman bukhari alikuwa ni binadamu na alikosea na kukosolewa kwa dalili
Bukhari ni muhadith mkubwa vigezo alivyotumia kupokea hadith vilikuwa ni madhubuti lakini kuna sehemu aliteleza na akasahihishwa kwa dalili. Pia imam albani alikosolewa kwa dalili na akakubali marekebisho. Hawa wote ni binadamu lazima wakosee hakuna aliyemkamilifu. Allah (s.w) ndio mkamilifu
Katika hii dunia watu watafuta umaaurufu tu hakuna lingine .albani alisema kwenye kitabu gani kuwa anachukua hapa na hapa mche Allah kwa maneno yako ....
Kwanza anza kukosoa khabari za sheikh albeidh😂,zile za mtu aliyekufa bila ya shahada kisha akaamka kutoka kwenye umauti akatoa shahada,al badawi hakuwahi kufanya dhambi mpka kufa kwake,maulidi ni tiba ya ukimwi,ukisoma suraatul jinni saana wawa mwehu,hizo khabari zifanyie bahthi,ukimaliza😂 ndo utuletee bahthi ya hadithi za mtume sasa kama utaweza😂
Umetanguliza ujinga badala ya ilmu ,,,wako wapi maulamaa wenu masufi mfano wa al allama albani..? Sheikh albani رحمه الله تعالى،،،ni mwanachuoni muhadith aliezifanyia bahthi Hadith nyingi , alhamdulillah ametoa faida kubwa kwa waislamu kwa kuwabainishia Hadith sahihi na dhwaifu ,,,,Leo unakuja wewe mpuuzi sufi khurafi unamfanyia thwa'an . Lazima kumzungumzia vibaya kwa Mana hamna mwanachuoni mfano wake.
Kwanza ukitaka kujua huyu ni jaahil,masaail ya elimu ya علل Bingwa wa mambo hayo na al imaamu ddaaraqutnwiyy,na sheikhul albaaniii rahimahu llah,kapita mapito ya wanachuoni wakubwa ktk kudhoofisha na kusahihisha hadiithi,swala si sheikh albaani,kadhoofisha au kasahihisha,swala ni kapita mapito gani?we mkosoe kielimu,sio kutoa macho na kutanua pua,kama upo kwenye sakaraatul mauti😂
Allah akuvunje UTI wa mgongo
Usije vunjika wewe
Amin
Dua la kuku halimpati mwewe. Baada ya Imam bukhari ati albani 🤣. Yaani baada ya simba kwa ukali kaekwa mjusi kafiri 🤣. Kama kwamba hakukua na wanachuoni. Tena huyo kijusi amsahihisha akampiga makofi SIMBA 😂. DUNIA VITUKO. yaani albani na amsahihisha Imam bukhari 🤣. Mtu ambae hata hadithi 30 HAJAHIFADHI anamsahihisha mtu kahifadhi hadithi malaki au maelfu 🤣🤣🤣. Hii inaitwa myahudi kawanusa USHUZI 😃.
Mwehu
SAFI SANA, MASHALLAH
Shukran
Sheikh Muhammad Nassiruddin Al-albani ni mwiba wa koo kwa kila alieenda kinyume na mafunzo ya Allah na Sunna za Mtume Salla Allahu 3leyhi wa Sallam.si ajabu maneno haya ya mzungumzaji na mfano wa kama yeye,kumsema Albani!naomba kabla haujaanza kunitusi katika comments,kasome kitabu kimoja tu(Chochote),cha Sheikh Al-albani au kaskize Audio yoyote yake,kisha kuwa hakimu mwenyewe kwa Uadilifu.
Kweli kabisa ndugu❤
Hii dunia ina maajabu sana kweli ujinga ni maiti sasa kuongea kwenyewe awezi Allah akuongoze
Wewe mjinga waeza mfika sheikh Albani Allah amrehemu.
Al Bani ni mwanachuoni wa fanni ya Hadithi na ameandika vitabu vingi sanaa . ALLAH AMREHEMU. Soma kitabu kimoja tu cha Albani uone Elmu utakayo toka nayo hapo
Wewe mjinga tu mpuuzi. Unamdharau mwanachuoni
Eti mm pia naweza . Waweza nini mjinga ww
Wewe inaonekana ndio mjinga maana hujui maana ya muhaddith kitaab .
Na kama ALBANI ni muhaddith kitaab basi sio Ust fadhili tu pekee yake atakaye weza kufanya hivi bali hata mimi na wewe .
Kwasababu ni kuangalia tu katika vitabu na kuandika .. Unajua fika kile ambacho kimeshaandikwa sasa faida yake ni nini ??.
Halafu kuna Elimu Nane za hadithi. Suali ALBANI anazo ngapi. Kama wewe ni msomi kujibu hili suala. Ndio utajua kuwa ALBANI ni mtu wa mikopi na kupest .
Albani hakua mwanachuoni bali ni muhuni
Albani hakua mwanachuoni bali ni muhuni tu bali hakuwa na elim kabisa, na iyo kutunga vitabu vingi sio sababu ya kuwa yeye ni bingwa sana bali ivo vitabu je vimetungwa kifani au vimeandikwa km gazeti? Bali watoto wadogo sana kielimu Leo wanamkosoa Albani! Kinachoshangaza ni kuona km kuna watu ukimkosoa Albani hukuona mbaya/una chuki binafsi nk! Lkn kwa nini chuki ziende kwa Albani tu zisiende kwa muhadith wengine? Sasa hili linaashiria wazi km ni lazma iwe Albani ana matatizo kweli msimtetee Albani hakua aalimu bali alikuja muhuni tu ambae alikuja maksudio kuiharibu dini ya kiislamu lkn insha Allah, Allah atailinda
Mimi nawapa challenge , sheikh yeyote andike kitabu kama chake mfano swiffatu swalaatu annabiyy....hamna mwenye uwezp huo hapa ...na kama yupo angeshaandika ....wachilia mbali ...kitabu chake hadithi sahihi na dhaifu😂
Nichuki tu na hassadi zimewajaa😂
SUBHANALLAH, ITAQIILLAH
Sawa kabisa
Sheikh ALBANI rahimahu llahu, ni bahari nyengine katika fani ya hadithi , nimesoma vitabu vyake nimeona mengi na kujua mengi , usikae tu kuzungumza kuhusu huyu mwanazuoni mkubwa wa hadithi.
Hana anachokijua zaidi ya uvurugaji dini ya Allah
Sema baba
Mawahabi walazimisha masheikh wao itawezekanaje Albani awasahihishe Bukhari na Muslim haingii akili hata kidogo hao ni vibaraka wa mayahudi kutoa hadithi ambzo hawazitaki.
Huyu anayesema hivo hajahifadhi hata hadith 50 kwa riwayah😂😂....eti naye mfikie albani thubutu😂😂
Sasa Albani sikaja juzi tu anavyo Sema huyu ni Sawa kwa sababu ili mtu aitwe muhadith Kuna sheria zake sasa bukhari amefikia viwango sasa vp aje mtu tu aseme amesahihisha maneno ya bukhari wakati daraja hiyo hana vitabu vya usuli hadithi vinasema namba Wan ni bukhari baadae Muslim sasa Leo atokea mtu asema kasahihisha Alban
Siku ya Qiyama Ndio Tutajuwa Watu ni kina Nani... Hawa Masufii mwuwawatukanao ni wacha Mungu Sana ... Tahadharini Na ndimi zenu .. kwani Nyama ya wana wazuoni ni sumu ... na Huyu sheikh Fadheel ni Mwanachuoni mkubwa ... Mwanafunzi wa Mwanachuoni Mkubwa ... Tuweni na Inswaaaf katika kupinga
Kweli kabisa maneno Yako matwarika wacha mungu sana hata Wana abudu makaburi,wanapiga Ngoma miskitini,wanasoma khitma Ama lahalika hakuna Wacha mungu kama matwariqa. Majahil wakubwa makhurafi
Umejuaje wachamungu? Mwanachuoni mkubwa ?
Maneno ya dhahabu... 👌
Mawahabi mwaka wenuuuuuuuuuuu
Watu wameacha kazi wanamsikiliza huyu zama zinaenda sehem mbaya hizi
مكانة البخاري محفوظة ولا أحد يستطيع أن يزعزعها لا المتقدمين ولا المتأخرين ....
ولو اختلف البخاري مع أحد من المتأخرين لقدم قول البخاري على غيره بلا شك ..فهو إمام في الفنّ بلا منازع ..وكذا الإمام مسلم بن الحجاج ...
والشيخ الألباني رحمه الله ممن استفاد من علم البخاري وله يد في علم التخريج والتصحيح والتضعيف..ولا يقلل من شأن الألباني شيئا كونك لا تعترف به بل تريد أن تنقص من قدره !! أبدا ...
أنت لست بشيئ بس مجرد التهجمات فقط..
والله أسألك سؤالا واحدا فقط في علم التخريج لما استطعت الإجابة عنه ناهيك عن التصحيح والتضعيف!!
وقد حاول الدارقطني رحمه الحافظ تضعيف بعض الأحاديث في الصحيحين في كتابه التتبع والإلزامات ودافع الحافظ ابن حجر عنه..فالشيخ الألباني عالم وله جهوده معلومة مشكورة ..نقول اجتهد فأخطأ في تضعيفه لما في الصحيح لا أكثر من ذلك..
ومتى سمعت أن أهل البدع مثلك يوما يجيد فن الحديث ؟؟
أنتم شغلكم الشاغل ضرب الطار والناي والرقص كما يرقص الدبب..فحسبك من الشيخ الألباني ومن أنت حتى تعترف به أو لا تعترف ؟؟
Hayo ndio maneno ya chuki ya maghurafi juu ya Alhlu Sunna
Wewe ni nani wa kumkosoa imam albani, unamchango gani kwenye dini dini? Kuweza kumkosoa imam albani. Kuna yeyote anaekujua kwenye jamii yetu kama wewe ni sheikh? Imam Albani ni mwanachuoni mkubwa kwenye zama zetu na mwenye sifa kubwa, amesomea sayansi ya hadith zaidi ya miaka 50 na kuweza kusahihisha na kuziweka sawa hadith nyingi. Na wanachuoni wengi wakubwa wanamkubali na wanazitumia hadith alizozisahihisha kwenye tafiti zao za dini. Halafu unatokea mjinga mmoja umeshiba zako makande, unaenda mskitini unashika maiki (microphone) na kuanza kubweka na kuropoka. Iman bukhari alikuwa ni binadamu na alikosea na kukosolewa kwa dalili
Skilizia hapa 0:18
Utajua sheikh kamaanisha nini
@@IbraFareed kwa hiyo hakuna hadith ya bukhar ya kusahihishwa?
Bukhari ni muhadith mkubwa vigezo alivyotumia kupokea hadith vilikuwa ni madhubuti lakini kuna sehemu aliteleza na akasahihishwa kwa dalili. Pia imam albani alikosolewa kwa dalili na akakubali marekebisho. Hawa wote ni binadamu lazima wakosee hakuna aliyemkamilifu. Allah (s.w) ndio mkamilifu
Katika hii dunia watu watafuta umaaurufu tu hakuna lingine .albani alisema kwenye kitabu gani kuwa anachukua hapa na hapa mche Allah kwa maneno yako ....
Shida nyinyi watu wa maulidi fanni ya hadithi , tawhidi , lugha na fiqhi ni watupu ..hata mtu akitaka kuwafahamisha atapasuka moyo yeye ..
Kati ya Albani na Bukhari nani salaf?
Nani afuate ufahamu mwenzie?
wewe ulipewa microphone ukaitia shkioni, alafu wasema waeza fanya alichokifanya sheikh al albani?
Wafuasi wa sheikh Albany mtihani
@@user-hh6bq9sz4d vumilieni basi kwa huo mtihani
Mara tu ,tushafika huku 🥲 ama kweli chizi karogwa mara ya2 duuuh
Wali wamaulidi unakusumbuwa
Kwanza anza kukosoa khabari za sheikh albeidh😂,zile za mtu aliyekufa bila ya shahada kisha akaamka kutoka kwenye umauti akatoa shahada,al badawi hakuwahi kufanya dhambi mpka kufa kwake,maulidi ni tiba ya ukimwi,ukisoma suraatul jinni saana wawa mwehu,hizo khabari zifanyie bahthi,ukimaliza😂 ndo utuletee bahthi ya hadithi za mtume sasa kama utaweza😂
Wacha ujinga Matwariqa wanaujinga
Eti na watu wamekaa wanakusikiliza
Anza leo bc na ww kuanza kuandika ili tusome vitabu vyako.
قل موتوا بغيظكم إن الله عليم بذات الصدور.
Ajabu utaona watu wala3ni watu... kanena lipi lamakosa?😅😂
Chizi karogwa tena
Basi yeye hatakuzungumza hajiwezi kama mlevi
Hata mm naweza hahahaha mtihani kwa kweli, kweli unaweza kufanya alivyoyafanya ulamaaa????
KAMA NA WEWE WAWEZA AYA FANYA MJOMBAA😜😜😜
Ewe mola msamehe huyu hajui alisemalo na umuongoze.
😂😂😂😂 ana udata kwani huyuu
Kuongea kwenye huwezi
Unawez nn ww unamjua al aruban ww jahal
Icho kichwa au ngoma 😂😂😂😂
Haahaa 😂😂 anaweza kuwa kama albay haya kuwa tukuone
Jitu puuzi puuzi tu hili jahil kubwa.huyu ndie alisema maulidi ibada yamtakasa mtu.doooooooh
Umetanguliza ujinga badala ya ilmu ,,,wako wapi maulamaa wenu masufi mfano wa al allama albani..?
Sheikh albani رحمه الله تعالى،،،ni mwanachuoni muhadith aliezifanyia bahthi Hadith nyingi , alhamdulillah ametoa faida kubwa kwa waislamu kwa kuwabainishia Hadith sahihi na dhwaifu ,,,,Leo unakuja wewe mpuuzi sufi khurafi unamfanyia thwa'an .
Lazima kumzungumzia vibaya kwa Mana hamna mwanachuoni mfano wake.
Wewe jibwa una hadithi ngapi au kubweka tu
Kweli kabisa Akhy . Masufi ujinga mtupu tu
Anatokea wapi ulamaa mkubwa? Wakati wao mda wote wanawaza dufu
Tukipata umri tutaona mengi sana
Sijawahi kukaribia kufikiria kama ktk zama hizi tunaweza kua na mwendawazimu kama huyu sufi
Albani ni sawa na padri tu
Kwanza wewe ni kibawa cha mbu,albaaniii ni tembo,wakubali visa vya albeidh,afu wamkejeli sheikh albaani😂
Wacha ujinga na upumbavu wewe.
Kazi yako ni kupoteza ummah huna haya . Wewe sio sheikh bali shehena
Wew jamaa ni jahil tena ni mwendawazimu
Jitu la bidaa' Allah akuongoze sufi wewe!
Kwanza ukitaka kujua huyu ni jaahil,masaail ya elimu ya
علل
Bingwa wa mambo hayo na al imaamu ddaaraqutnwiyy,na sheikhul albaaniii rahimahu llah,kapita mapito ya wanachuoni wakubwa ktk kudhoofisha na kusahihisha hadiithi,swala si sheikh albaani,kadhoofisha au kasahihisha,swala ni kapita mapito gani?we mkosoe kielimu,sio kutoa macho na kutanua pua,kama upo kwenye sakaraatul mauti😂
😂😂😂