- 733
- 2 169 697
ALI FAZA
Qatar
Приєднався 11 лют 2014
Leaving a legacy with Qur'an
Hukmu ya Kumuoa Mwana Haramu | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Hukmu ya Kumuoa Mwana Haramu | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Переглядів: 338
Відео
Usimchukie Babako Wala Usimkane Maana Huo ni Ukafiri | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Переглядів 29221 день тому
Usimchukie Babako Wala Usimkane Maana Huo ni Ukafiri | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Sheria ya Kupangisha Nyumba Katika Uislamu | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Переглядів 249Місяць тому
Sheria ya Kupangisha Nyumba Katika Uislamu | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Hukmu ya Kutawasal Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 2072 місяці тому
Hukmu ya Kutawasal Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
Hii Ndio Hoja Kuu ya Ibnu Taymia na Mawahabi Kupinga Tawasul | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 4042 місяці тому
Hii Ndio Hoja Kuu ya Ibnu Taymia na Mawahabi Kupinga Tawasul | Sheikh Mbarak Awes
Kwanini Munajiita Salafiya Lakini Munawapinga Waanzilishi wa Salafiya | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 5282 місяці тому
Kwanini Munajiita Salafiya Lakini Munawapinga Waanzilishi wa Salafiya | Sheikh Mbarak Awes
Mtume ﷺ Hafanyi Makosa Utasemaje Kua Ana Madhambi | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 8612 місяці тому
Mtume ﷺ Hafanyi Makosa Utasemaje Kua Ana Madhambi | Sheikh Mbarak Awes
Jee ni Nani Alie Anzisha Ahlu Sunna Wal Jamaa Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 3,1 тис.2 місяці тому
Jee ni Nani Alie Anzisha Ahlu Sunna Wal Jamaa Katika Uislamu | Sheikh Mbarak Awes
Unawezaje Kusema Wazazi Wa Mtume Wataenda Motoni | Ustadh Muhamad Al-beidh
Переглядів 9662 місяці тому
Unawezaje Kusema Wazazi Wa Mtume Wataenda Motoni | Ustadh Muhamad Al-beidh
Lazima Tisahihishe Ufahamu Ulio Potoshwa Kwa Waislamu | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 2,5 тис.2 місяці тому
Lazima Tisahihishe Ufahamu Ulio Potoshwa Kwa Waislamu | Sheikh Mbarak Awes
Ziayara Kwa Ndugu Walio Fariki Baada ya Eid | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Переглядів 5172 місяці тому
Ziayara Kwa Ndugu Walio Fariki Baada ya Eid | Ustadh Muhammad Al-Beidh
Acheni Kugombanisha Waislamu Sababu ya Arafa na Eid Imetosha Sasa | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 3 тис.2 місяці тому
Acheni Kugombanisha Waislamu Sababu ya Arafa na Eid Imetosha Sasa | Sheikh Mbarak Awes
Qauli Sahihi ya Sheikh Arify Kutoka Saudi Arabia| Mkanganyiko wa Mwezi
Переглядів 3,4 тис.2 місяці тому
Qauli Sahihi ya Sheikh Arify Kutoka Saudi Arabia| Mkanganyiko wa Mwezi
Samahani Sheikh Muharram Mziwanda Katika Arafa Ulighafilika Inabidi Urekebishwe | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 29 тис.2 місяці тому
Samahani Sheikh Muharram Mziwanda Katika Arafa Ulighafilika Inabidi Urekebishwe | Sheikh Mbarak Awes
Ni Ipi Qauli Sahihi Ya Ibnu Uthaimin Kuhusu Arafa | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 13 тис.2 місяці тому
Ni Ipi Qauli Sahihi Ya Ibnu Uthaimin Kuhusu Arafa | Sheikh Mbarak Awes
Ufahamu Sahihi Dhidi ya Upotoshaji wa Siku ya Arafa | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 12 тис.2 місяці тому
Ufahamu Sahihi Dhidi ya Upotoshaji wa Siku ya Arafa | Sheikh Mbarak Awes
Kauli Sahihi ya Sheikh Waseem Kuhusu Arafa na Eid Adh-ha | Jee Arafa na Eid ni Lini
Переглядів 1,1 тис.2 місяці тому
Kauli Sahihi ya Sheikh Waseem Kuhusu Arafa na Eid Adh-ha | Jee Arafa na Eid ni Lini
Ni Lini Tutafunga Saumu ya Arafa na Kuswali Eid Adh-ha | Kauli Sahihi Kutoka Madina Saudi Arabia
Переглядів 4 тис.2 місяці тому
Ni Lini Tutafunga Saumu ya Arafa na Kuswali Eid Adh-ha | Kauli Sahihi Kutoka Madina Saudi Arabia
Huyu Pia ni Jirani Yako Lazima Umuheshimu | Ustadh Said Ali Hassan
Переглядів 2653 місяці тому
Huyu Pia ni Jirani Yako Lazima Umuheshimu | Ustadh Said Ali Hassan
Hukmu ya Kuswali Katika Sehemu Ilio na Makaburi (Makaburini) | Sheikh Mbarak Awes
Переглядів 1,6 тис.4 місяці тому
Hukmu ya Kuswali Katika Sehemu Ilio na Makaburi (Makaburini) | Sheikh Mbarak Awes
Hukmu ya Kuswali Katika Msikiti Ulio na Kaburi | Sheikh Omar Al-Midhar
Переглядів 1,2 тис.4 місяці тому
Hukmu ya Kuswali Katika Msikiti Ulio na Kaburi | Sheikh Omar Al-Midhar
Miujiza ya Usingizi Kwa Mwanadamu | Sheikh Shaaban Abdi Mussa
Переглядів 5194 місяці тому
Miujiza ya Usingizi Kwa Mwanadamu | Sheikh Shaaban Abdi Mussa
Albani Hana Uwezo wa Kusahihisha Hadithi Ilio Saihishwa na Bukhari | Ustadh Fadhil Ashirazy
Переглядів 3,2 тис.4 місяці тому
Albani Hana Uwezo wa Kusahihisha Hadithi Ilio Saihishwa na Bukhari | Ustadh Fadhil Ashirazy
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Kuswali Eid Uwanjani au Msikitini | Ustadh Badru Khamis
Переглядів 2,4 тис.4 місяці тому
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Kuswali Eid Uwanjani au Msikitini | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Khatibu Kushika Fimbo Juu ya Mimbar | Ustadh Badru Khamis
Переглядів 1,8 тис.4 місяці тому
Munaqasha Kamili Jee ni Sunna Khatibu Kushika Fimbo Juu ya Mimbar | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Je Dhikri na Dua Baada ya Swala ni Sunna au Uzushi | Sheikh Badru Khamis
Переглядів 3,2 тис.4 місяці тому
Munaqasha Kamili Je Dhikri na Dua Baada ya Swala ni Sunna au Uzushi | Sheikh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Je Ukimsomea Qur'an Maiti Inamfikia Thawabu Zake | Ustadh Badru Khamis
Переглядів 6 тис.4 місяці тому
Munaqasha Kamili Je Ukimsomea Qur'an Maiti Inamfikia Thawabu Zake | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili Je Maulidi ni Katika Dini au ni Upotevu | Ustadh Badru Khamis
Переглядів 1,5 тис.4 місяці тому
Munaqasha Kamili Je Maulidi ni Katika Dini au ni Upotevu | Ustadh Badru Khamis
Munaqasha Kamili wa je Maulidi ni Ibada au ni Uzushi | Ustadh Fadhil Ashirazi
Переглядів 3,8 тис.4 місяці тому
Munaqasha Kamili wa je Maulidi ni Ibada au ni Uzushi | Ustadh Fadhil Ashirazi
Tusidanganywe Baadae Tujue na Mapema Hakuna Eid ya Kimataifa | Ustadh Muhamad Al-beidh
Переглядів 2,5 тис.5 місяців тому
Tusidanganywe Baadae Tujue na Mapema Hakuna Eid ya Kimataifa | Ustadh Muhamad Al-beidh
Huyu sufi anabwabwaja kama 😢😢😮
Allah akuhifadhi shekhe letu Ustadh Faadhwil
Wallah ukhurafi ni maradhi nzito hata hana haya akiongea hivi mwongo kweli kweli na ashaa tangulia tumuogope Allah
Mashallah darsa nzuri
Great work akhy Ali Faza. Compiling these darsas. BARAKALLAHU FIYK
رضي الله عن الإمام البيض
Usuf ni uzandaqa
Usufi ni uzandaqa
Hawamasufi kumbe wamezua kitu hakikuwah kuwepo? Duuuh hakina hatadalili ndani yaquran
hyo mzee amna kitu
Mashallah
MashaAllah
ALLAAH AKURAHAMU SHEIKHE!
Sheikh msufi huyo makhulafi bwana ni shida sana Sheikh kishki uko sahihi kabisa achana na huyo sheikh wa kighulafi sisi tumekuelewa
Asalam alaykum Ali Faza naomba link ya darsa kamili ya hiki kipande
Ahsante
Waffaqana Wallah
Kwahio hata wanapiga malamuli sio washilikina
Iyo picha ya nan
Mola akurahamu ewe nduguyetu
😂😂😂😂 jini anae uyo kammfunika chupi
Subhana llah ebu lete fatawa ya shehe au lete maneno yake ya saut akizungumza hilo mbona wazee hamuogopi kua mtafufuliwa na mtaulzwa kwa mlioyafanya na kuyasema
Allah akupe pepo YA Juu Rais Mwinyi ulikuwa na Mapenzi makubwa saana na Mashekhe
Umma mmoja na watu wa Bidaa
Mawahabi wana Ufahamu wa kilokole
قَطْرٍ Ni jimbo !!!!
Wallah ustadh fadhil hakuna shekh wahabi am fika ilimu huyu bwana anaelimu
Shukraan sheikh
Akili za viongozi wetu zimejaa misuguano..maendeleo zero...walimu wa madrasa wanalipwa kiduchu wao bize kugombana
Kama wajuwa wewe ni JIWAHABI pure wawashwa na nini ?
Kijana mzuri unalingania bidah Allah akuongoze bidah kitu kibaya Sana we endelea kutawasali na mait IPO siku utakuja kujuwa kuwa inafaa auhaifai adhabu za Allah akuna awezae kuzimilik Allah katuma mitume kukataza watu shirki we walingania shirki Allah Hatokuwa na msamaha kwa washirikina siku ya kiama we Minya Minya hakki utakuja kujuta ndugu
Jibu kwa hoja aloyasema na kataja na vitabu
@@IbraFareed kwani kila kinachotajwa kwenye kitabu ni sahihi mwengine anatafsili adithi dhaifu au aya akazitafsili kwa uwelewa wake so wana wazuoni mrudi katika sunnah muache bidaa mtasalimika tawasuli makaburini kwa wafu ni shirki na walikuwa wakiwaomba mayti walokufa maqureish walipoambiwa mnawaabudu Hawa wakisema hatuwaavudu tunajikaribisha kwa mungu kupitia wao maneno haya yanasemwa hadi leo na badhi ya mashekhe wenye tabia hizi ummah umerudi katika shirki tena Allah aninusuru na atuweke mbali na shirki
Tunaomba full video
Allah akulipe kheir maalim kwa kutupa mambo ya kheir namn hii
Kwan katika Surat عبس و تولى mtume saw analaumiwa na Alla Kwa kitu Gani hebu someni nyie Masufi acheni porojo nyingi
Wanakuelewa ww watu wa Haki, ila mahizby woooote WALLAHI WABILLAH WATALLAH hawawez kukuelewa. Hafidhwakallah Dr. Mubarak Awes
Unaesema watu mahizbi ukute huelewi Hilo neno kenyewe hizbi na inaweza ikawa ww ndo miongoni mwao Sabu mtu wa hakki hawezi mtetea mtu wa bidaah hata siku moja lazima atakuwa mbali nae
@@user-yj5on8cz3e Watu wa Haki wanaichukua Haki popote ilipo, watu wa mahizby Haki kwao ni kile kinachotokana na Makundi Yao Nje ya hapo Yoooote ni Baaatil. Na hujifakharisha na Makundi Yao. Soma Vzr utakuja kuelewa IN SHAA ALLAH.
Mawahabi munachuki na wanazuoni tushawazoweya
Shekh mziwanda nimemuelewa
Sio kweli
Kataa kwa hoja sio kwa maneno
Huyu jamaa maneno mengi tu Hana hoja Sufi huyuuu
Swali langu niku husu Mawahabi je uwahabi ni dini wala ni Waislamu
Hakuna hadithi ambayo ni lazima kupijwe twari, wanawake ndio walio ruhusiwa sio wanaume mambo ya wanawake vp mufanye nyinyi wanaume, tena sio tari vidafe
Na hii aya inayo sema, laysa laka min amri shaiun tizama katika sababunnuzuli nailiteremshwa kwa ajili gani
Muongo Ahlulsunna wal Jamaa ni mfumo wa kale kabla ya huyo ash'ary Fundisha haki Sio kueneza Uwongo...!
Mawahabi hawawezi kukuelewa sababu wapo kama walokole walioambiwa na mashekhe zao ndo hayo hayo hatakama wakipotezwa
Allahu akbar Huyu jamaa ni muongo sana. Kwanza Ametowa wap Maneno yake.kama wadai dali li sis twakudai ww kwanz haya maneno yako ikiwa ww mkweli. Pili hujui maana ya Ahlu sunnat Waljamaa. Mjinga sana ww Mubarak Aweso. Halafu Hauna historia ya kusoma. Na Pia maneno yako ni kufru.Kama Wadai eti Kuna kizaz ndo kilileta Itikad ya Ahl sunna kwa hyo waliotangulia hawakuwa Ahl sunnat waljaamaa??pumbafu
tufuate mwandamo wa mwezi tufuate mashekh wetu
Ww jisufu ww nenda tu lamu kwenye maulidi na kukhitimisha kimchongo nani kasema hatufuati muhamadi ibn idirisa ashifii alosema tujifananishe na salaf ninani acha kushamta
MAWAHABI NI MAYAHUDI HAWAMPENDI MTUME MOHAMAD SALALAHU ALAYHI WASALAM ALLAH AWAONGOZE WAO PAMOJA NA SISI AMIN
Ww wapenda leta mizozo wajifanya Una elimu na upotofu mwingi
Nyinyi makhurafi ndio mulio potea mwasema sheke wenu Al marhum Al sharif Al bidhi alijikafini mwenyewe, sasa angalia walio potea Kati ya mawahabi na nyinyi ni Nani?
ikiwa aqida ya ahlu sunnah imeanzishwa na abul hasan ashary vp kuhusu maimamu wa qarne ya kwanza ya pili na yatatu wakina imamu shafii wao hawakuwa na aqida ya kiislamu ikiwa imeanzishwa na abul hassan ashary
Hueleweki