KISA CHA KIPOFU NA IBILIS MALUUN=SHEIKH KIPOZEO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 73

  • @winstonkazungu6298
    @winstonkazungu6298 Рік тому +2

    Am not a Muslim but this guy is the best ever he preaches the word without critising other religions

  • @allyndambwe4354
    @allyndambwe4354 2 роки тому +13

    Huwa napendaga kusikiliza visa unavyosimulia maashallah

  • @abdallahsudi3047
    @abdallahsudi3047 2 роки тому +5

    Allah akupe umri mrefu wenye kheir na wewe tuzidi kufaidika

  • @ssulking8136
    @ssulking8136 2 роки тому +9

    Allah akuzidishie Shekh Kipozeo uendelee kutupa dawa. Ameen in shaa Allah

  • @salimbabukirgit2377
    @salimbabukirgit2377 2 роки тому +4

    Allah akuzidishie elmu ,rizq ,umri na Afya

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 2 роки тому +4

    MashaAllah

  • @apangomombasa9230
    @apangomombasa9230 2 роки тому +3

    Ma Sha Allah ya sheik

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Рік тому

    Nomba radhi kutoka leo nitajitahidi kukaa kimya si dini si siasa nikiwa na nia njema na watu wote tutakiane rehma shukran

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 2 роки тому +2

    Masha Allah

  • @mariamchembea9089
    @mariamchembea9089 2 роки тому +3

    Mungu amlaani shaithwan

  • @user-bs2ix5wf2k
    @user-bs2ix5wf2k 8 місяців тому

    Maashallah

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 10 місяців тому

    Barabbara kabisa🙏🏃

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 2 роки тому

    Jazaka Allah khaira shekh kipozeo

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 2 роки тому +3

    Jazakallah khaira

  • @goodluckmhagama4236
    @goodluckmhagama4236 2 роки тому +3

    Shekh kpoozeo nakupnda kwa ajil ya Allaa

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 2 роки тому +5

    Profesa kipoozeo!

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Рік тому

    Nimesema kwako mzee sababu najuwa ujumbe umefika .

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Рік тому

    Jazaka Allah kheri mzee

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 2 роки тому +3

    Shekh mashallah

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 2 роки тому

    MashaaAllah kisa kizuri kimenikumbusha babu yangu alikuwa kipofu ila MashaaAllah alikuwa akienda msikitini ALLAH amrehemu

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 2 роки тому +8

    Hakika ya sheitwan kwenu ni adui na nyinyi mfanyeni adui hakika yeye sheitwan anawaita katika kundi lake ili muwe watu wa motoni

  • @marcoshepardson2663
    @marcoshepardson2663 2 роки тому +2

    Allah Akbar

  • @yohanankondo1939
    @yohanankondo1939 2 роки тому +2

    Mashaallah

  • @ibinmgeta2406
    @ibinmgeta2406 2 роки тому +3

    Subhanallah

  • @akimmiradji981
    @akimmiradji981 2 роки тому +1

    masha Allah

  • @saay4273
    @saay4273 2 роки тому +2

    SubuhanaAllah

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 2 роки тому +6

    Tuletee habari za mizigo bana sisi tunapenda mizigo km wewe tu

  • @safielimjema4593
    @safielimjema4593 4 місяці тому

    Mim siyo wa Muhammad ila wew Kipozeo sina shaka nawe

  • @adamnoah4334
    @adamnoah4334 2 роки тому

    Mungu Jehovah ndiye anajua kila kitu kwa kisa hk

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Рік тому

    Saf sana shehe kipozeo

  • @Ngangabwite
    @Ngangabwite 2 роки тому +2

    Huyu sheikh ana thwawabu kama zote peponi

  • @abdalakawambwa9319
    @abdalakawambwa9319 2 роки тому

    Shukuran.shekh.tumevifika

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 2 роки тому +2

    🤣🤣🤣 shetan mjinga na ana wivu mnoo

  • @fatmahmohammed7838
    @fatmahmohammed7838 2 роки тому

    SubhanAllah

  • @abdulhakimhasan7673
    @abdulhakimhasan7673 2 роки тому

    Maisha mema mazuri ya muislamu .

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 роки тому

    Mashaallah tabarakaallah

  • @abudoeugenio6903
    @abudoeugenio6903 2 роки тому

    Anzu biilhai minashaitwani raajim.

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 2 роки тому

    Kipozeo acha kunyoa ndevu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @naswaha
    @naswaha 2 роки тому +2

    Suali langu ni huyu iblis aljuaje kama huyu kipofu kasamehewa dhambi manake iblis hajui ghaib ispokuwa Allah na mtume pia hakuteremshiwa wahyi je iblis aljuaje? Kama mwanafunzi naomba kufundishwa SHUKRAN

    • @Omary_Mjema
      @Omary_Mjema 2 роки тому

      Wanajua Kheri Zote shekhe ndio mana anatumia Nguvu Kubwa Kkupotosha

    • @abrahamabdala1207
      @abrahamabdala1207 2 роки тому

      Bilis alikua malaika acha kujisahaulisha

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 2 роки тому

    Fc POROJO 🤔🤔🤔🤔

  • @Smartboy-wt1es
    @Smartboy-wt1es 2 роки тому +2

    Ibillis sio wa mchezo mchezo😂

  • @sulleympemba255
    @sulleympemba255 2 роки тому

    Bloody

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 2 роки тому

    Kipozeo maneno yako ya hicho kisa tupe source. Naona maneno matupu

  • @erimikatz904
    @erimikatz904 2 роки тому

    Umejaribu hii
    ua-cam.com/video/Ruf9qGLFocw/v-deo.html

  • @thabitalwiy1
    @thabitalwiy1 2 роки тому +2

    Hivi Sheikh kipoozeo hii Hadith inapatikana wapi mbona unatupiga makamba 😂😂😂

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 2 роки тому +1

      Nilishawahi kuisikia sehemu ingine ni kweli

    • @thabitalwiy1
      @thabitalwiy1 2 роки тому +1

      @@ahmedmpimbi9684 kusikia na kuwa kweli ni vitu viwili tofauti. Hizi hadithi ni za kiisrail wao ndio wana hadithi nyingi za uwongo. Na pia Waislamu tumekuwa wavivu wa kusoma Quran na kuielwa matokeo yake tunapenda hadithi zilizotungwa na watu. Subhanna LLAH

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 2 роки тому

      @@thabitalwiy1 kuna sheikh alitoa hicho kisa namaanisha hvo, hadithi zipo ambazo ni sahih na zisizo sahihi hapo tunakuja kwenye matni yake, labda useme tu sio sahihi kwasababu zipi, Qur-an tunasoma na hadithi zinasomwa vile vile ili kuelewa zaidi

    • @arafatbarissa8392
      @arafatbarissa8392 2 роки тому +2

      @@thabitalwiy1 Astaghfirullah. Unadhani pale msikitini hamkuwa na wanachuoni waliokuwa wanasikiliza sheikh alipokuwa akizungumza? Hata mimi mwenyewe najua sheikh alichokizungumza ni ukweli na nilifunzwa na sheikh wangu. Ulioyazungumza utahukumiwa,mtafute sheikh umuombe msamaha. Kama hujawai sikia kitu katika dini basi endeleza masomo usiseme ni uongo.Wewe hujasoma kama hujui hicho kisa.Endelea kusoma utoe ujinga na kiburi. Na uache kusingizia masheikh kuwa wanazungumza uongo wakati muongo ni wewe, ambae hajui kitu...

    • @thabitalwiy1
      @thabitalwiy1 2 роки тому

      @@ahmedmpimbi9684 hicho kisa anachokielezea hakina mashiko. Na wala sio Hadithi ya Mtume Muhammed wasimzulie.

  • @aminarashid3916
    @aminarashid3916 2 роки тому

    UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA ua-cam.com/video/vXaCVwHoLsE/v-deo.html

  • @haditvswahili4045
    @haditvswahili4045 2 роки тому

    ua-cam.com/video/dVGl3gcdjAE/v-deo.html
    TIBA YA KIISLAMU SEHEMU YA (18)
    MADA : FALSAFA YA KUU UGUWA NI NINI

  • @abumuadh1053
    @abumuadh1053 2 роки тому

    Kipozeo wacha porojo, kisa hiki cha patikana kwenye kitabu kipi? Na huyo swahaba kipofu aitwa nani?

    • @mohamaalim7013
      @mohamaalim7013 2 роки тому +1

      Wewe wacha kuongea mbaya kwa Sheikh Umbwa wewe

    • @abumuadh1053
      @abumuadh1053 2 роки тому

      @@mohamaalim7013 mbwa ni mamako shoga wewe

  • @irtshisekedikhamis5648
    @irtshisekedikhamis5648 2 роки тому

    Kisa Cha wongo mtupu. Uyo kipofu Jina lake ni Nani?

    • @rashid3562
      @rashid3562 Рік тому

      Acha ujinga usichokujua ww sio useme tu uongo wew soma tu elimu haijamaliza

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 роки тому +1

    Mashaallah

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna8261 2 роки тому

    Kipozeo acha kunyoa ndevu