GARA B AMUONYA MAMA | ASUSA SHOW | SIPANGIWI CHAKUFANYA | LULU DIVA | HUNA MAMLAKA | MAMA HAMTAKI
Вставка
- Опубліковано 9 вер 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Lulu diva utake usitake umekosea sana kwa kukosa kuwa na msimamo wa kipindi. Na nimechukizwa sana na maneno uliyomwambia Garab. Ila nimependa Garab umeamua uamuzi wa kiume. Big Up broo
Sio kwa ubaya lakinii huyu mama kazingua sana
Zaidi bro
Gara B Yuko sawa . Maamuzi ya Binti akiingia kwenye show ni tofauti sana .
We are watching the show because of Mr Gara b wee lulu na huyo mwenzako mtajitazama wenyew . na hiyo show bila gara b ni sawa na buree
Kiukweki tunaeshim wazazi. Ila kwa ilo swala apana. Na hao wakina lulu wanafanya makosa makubwa sana kumuvuwa vyeo Gara B.mbele yawatu
Kabisa huyo mzee anajizalilisha
gara B upo sahihi kaka
Huyo mama bado anaishi kikoloni sana
Gara B uko sahihi kwa hili
Lulu diva kua na nidhamu bc sijapenda kabisa kumjibu ivyo b hapo ampo juakali sawa lulu muombe msamaa brother b
Maza msenge sana mimaza kama hiii ndo ile inabomoa miji ya watoto wao mamuzi ya gara B nimeyakubali sana mno safi brother uwo ndo wanaume sio kuendeshw kisenge
Asante
😂😂😂
Yan lulu diva mshenz anajipendekeza tu
Diva hata hamnazo coz anachokisema n pointless angalau aliyah bint ndio mtoa maamuz mzaz ana bark tu
Mambo ya kuchaguliyana wachumba ni ya kizamani gara b upo sahihi
zamani sana na kwann aende na mzazi wake akati moyo ni wake😂😂
GARAB u did the right thing.kwanza mambo ya kuchaguliwa wanaume mpk leo yapo??%nijichekee mie.Nashukuru wangu nilimchagua mwenyewe. Na this show itakuwa nonsense kama wazazi ndo wanakuja kuchagua wachumba kwani mzazi ndo anaenda olewa???
Gara B yuko right...do not allow wazazi kuja kwa show next time lasivyo show itapoteza mvuto
Upuzi sana. Hadi kutongoza mama anatakiwa kuwepo jamani dunia inaelekea wapi
Yote haya kasababisha mama jinga kwel
Mm simpelek mwanangu kwenye umalaya kama huo kama Mungu kamuandikia kupata mume n huko watakapokutana iwe kilabun iwe kanisani sio hvyo n kujidhalilisha
Nakupongeza sana dactar, unaheshimu moyo na matakwa ya Mungu. Wazazi ndio kila kitu maishani, ukitaka kufanikiwa pata baraka za wazazi. Na ukitaka kufeli, pia chaguo ni lako. Hii show Sio sehemu ya kujiuza, au kujifurahisha tu, bali ni malengo ya kuwasaidia kweli vijana. Hivyo kamwe msiruhusu mtu achukuliwe na mtu asiyejitambua.❤️🙏🏿
Unaongea ujinga tyu na ww😂
gara B yupo sahih sana asa mama si asubr home aletewe mkwe jamn kwenda kumchagulia mwanae ndio nin au ye alichaguliwaa na lulu ujafanya vzr kabsaa nakukubalig ila leo hapana upo wrong maan hutobaki na huyo mama hapo
Mwanaume na maamuzi ya kiume......Big Up Garab
Sema kulichangamka,pole gara B sidhan kam kutakua na mtu kama ww
Huyoo mama naye akatobwee huko asituharibie show
Garab Wewe ni mwanaume tena Upo sahihi mambo yakuwaleta mama zawo hapo yafe kama anamchagulia Binti yake mwanaume kwa nini waje hapo asimtafutiye nje huku Sijapenda hata kidogo 😡
Mama kazingua pakubwa but luludiva nae amezingua zaid sijapenda hyo majbu kwa GaraB
Mama anataka awe anashea mapenzi
Mm mzazi haezi nitafutia mchumba,huku Kenya labda tuko tofauti
Lulu umezingua sana kwanza imekuwa mzazi anakuja kumchagua mkamwana? Basi kama anaweza kumchagulia wa kumuoa wasingefika hata kwenye shoo. Akamtafutie mtaani khaaaa!!!
Kivumbi kivumbi mhhhhh haya makubwa sasa huyo kaka anamuoa na mama Agness au anamuoa Agnes tu makubwa, GaraB upooo sahihi 🎉🎉🎉
Asee lulu sijapenda ulipokuwa 😢 unamujib GaraB
Maman huyu hastahili kuwa naenda show atakuwa ana haribu sana hawezi kumchagulia mwanawe. Ame haribu
Mama nae anataka mwanaume siyo bure,huwezi kujidhalilisha namna hiyo
Sas garab akiondoka hapo mnafikiri mtajiweza na likipindi lenu hilo 😂😂😂
uyo mama ni mjinga sana asant GARA B kwa maamzi ulofanya wanaume atupendagi ujinga lulu anasapoti ujinga 2
Yan uyo mam anaacha mme wake hom anakufa barid anakuja mr right kumchagulia mtu mume nimelia san sorry Grab but umeonyesha wanaume tunapaswa kuwaje 🫡👏
😂😂😂😂😂😂
Ani apo ata c elew ,bt baraka za wazazi zinahusika sana kwa maisha yetu ya ndoa,bt kwa utaratibu mzuri na c huo wa kujiuza huko,mama umejiaibisha mwonekano na matendo tofauti
Iyo ndio shida kufanya kazi na wanamke tu eti ni watu nanusu ila uko kichwa lazima wakuheshimu kweli hawana heshima leo nisiku mbaya kwako garab tulia tu tutawapa fuzo hao ❤😂😮😊
Kyoma safi sana wazazi wasituaribia kipindi wakati wao ushapita maamuzi ya kiume hayo waache watoto wachague wenyewe ndoa nyingi azifiki mbali sababu ya wazazi kuangalia maslahi kwa watoto wao ovyo sana mama kazingua
Mama amezingua
Kun wamama nikama mama Mkwe wa BARNABA hhhhha mwanao atongozwe From A too Z unasikiliza mistali afu ndiyo au apana anaye sema ni mzazi au mama mwenyewe kwahiyo atakufanya mapenzi itakuwa nikukadiriana penzi letu, hizo siyo tamaduni ni kam Matusi yakujitakia
Nawaza tu lulu diva na gara B mbona kama mnajibizana vibaya jua kali series yetu itakuaje 😮😮
😂 umfika upande wapili
Hakuna aliye kosea, Hakuna mzazi asipenda mafanikio mazuri kwa mwanaye. Hivyo mtoto amemwelewa mzazi na kufanya maamuzi sahihii. Kama ingetokea mtoto amemwelewa huyo kijana, bado hata Kama mama angekataa, yeye angekubali na kumshawishi mzazi wake. Hivyo hatuna haja ya kulaumu, dr. Alikuwa sahihii sana, na pia garabii alitamani mr.right apate mtu. Mwisho Wa siku lazima mmoja wao angekubali kushuka, ili kumaliza ugovi.❤ Hii ni challenge nzuri, watapatana tu wenyewe ❤. Kazi iendelee.
Hii kali 😂😂😂😂😂 mama alikua ni angalie mwenye atachaguliwa akubali huyo tuu
Duuuh jaman kumbe bado Kuna kuchaguliwa mwanaume hahahaa
Big up gara B
Katika show mbovu ni hii Apa imeingiliwa watazamaji hatujapendezwa na lulu kumsaport mama syo sahihi Ata kidgoooo
Kaah Lulu Kazingua dactar Gan mpuuzii all In all kwenye ndoa huend kuishi na mzazi wako usije ukamuacha mtu unaempend kisa mama amtaki anakuchagulia anaemtaka yy utaumia sana
Mama kaboaaaaa balaaa
Jamani nahuyo mama nayeye anamambo sibure ni mama wema
Uyo lulu div kama msenge iv anajielewa kweli
Na Kama wangekuja kila binti na mama yake,basi mambo yange alibika kila siku...Lulu sijapenda ayo sio mameno ya kumwambia MC Garab unavuka mipaka.
Daaah sio poa b mkubw amezngua 2
daah lulu huna akili ww huoni hata ss watazamaji tumekereka na mamuzi yako ss basi. KAKE GARA B upo sahh sana one love for this
Huyo mama anafel na bint Hana msimamo na anachokifany
Me kama me chakusema kuwa
Ifatwe sheriya mliyoiweka na kanuni zake ingekuwa hayupo
Mzazi lulu biva ungemsema sana uyomrembo na gara B
Yuko sahihi na kazi yake
Ila mliyobakiya mmeharibukipindi
Maana huyo mama
Alikuwa hapaswi kusema chochote kile kuhusu changuwo
La mtoto wake mpaka angekwenda juposa hapo
Mzazi angemkubali ama kumkataa hiki ni kipindi
Brother gara B yupo makini
Na kazi hana kona kona
Gar b hakika ulikuwa sawaa
Hiii sio haki kabisaaa wazazi tunawapenda but kwa kipengere cha kunitafutia mume au mkee hapan kwakweli GaraB yuko correct kabisaa
Lulu diva yuko sahihi, Tena huyu lulu diva ana chembe za dini, katika swala la ndoa wazaz ni viungo muhimu sana, mzazi ndo kamlea huyo bint anajua madhaifu ya bint yake na mapungufu, mema na mazur yake, mzaz anajua ni mume gan atamfaa mwanae. Huwez kumdharau mzaz na kusema hana nafas, SHIKA ADABU YAKO WEWE. halafu maisha ya ndoa kuna furaha na misukosuko , je mkipatwa na misukosuko mtarud wap na mliwadharau wazaz, halafu nikuambien kitu, ndoa haiwez kuwa na baraka kama wazaz wamenyongeka.hususan mzaz mama, muogopen sana mzaz mama, msijitie dharau hapa saiz ohooo,!! hiyo ndoa haitakua na furaha mtakoma.. Halafu pia wanawake si wengi tu, iv kunafaida gan kung'ang'ania mtoto wa mtu wakat wazaz wake hawakutak.
Hata dini anaulizwa binti na kijana,siyo mzazi,ndiyo ni za wanaooana,siyo za watazamaji na mzazi,drt. Umemkosea Gar.B
sasa kama yuko sahihi kulikuwa na haja gani hao mrs right kuenda apo kwenye show bila wazazi wao na just assume kama kila mtu angeenda na mzazi wake nini kingetokea??? wazazi ndio ni viungo muhimu sana ila katika sehemu kama hizo waache watoto huru si wamewaruhusu waende uko kutafuta basi wasubiri watakacholetewa😁😁😁😁😁😁
Lulu diva naho kademu kenzako nawashauri muombe msamaha garabii mumemdharirisha sana tena garabii yuko sahihi kwahico anachozungumza mzazi hatakiwi kuingilia penzi la mwanae
Jaman jamani jicho la mama linaona mbali sana hivyo asilaumiwe sana juu ya maamuzi yake kwa mwanae Ila mungu ampe hekima yeye na mwanae atapata mchumba mwema Tu tena akiwa nyumbani
Angeenda uko wanapo jiuza akamchagulie senge sana Sila sijapenda lulu diva kama anajionaa Sanaa etie
Lulu diva kanajiona kama kanamuweza GaraB hv 😂 kashamba sana haya endesheni kipindi wenyew madem ss
Maza anazingua asiingilie maisha ya watoto wake
Koo mama nae kajibeba kwenda uko khaaaa😮
Kwani huyo mama kafata nini 😂huko kwa show ya vijana
Gara b yupo serious na kazi hawa malaya wanajua wanaigiza tamthilia ya mapenzi😏😏😏
Huyu mama kavuruga sana show
Mimi nadhani utaratibu ubadilishwe wazazi wasiruhusiwe Gara B uko sahihi ikibidi huyo dada asirudishwe Kwa podium
Uyo mama mujuaji
Lulu anaheshima sana na Mama na ndio maana amekaa upande wa mama. Big up sana❤️
Lulu diva na alyaaa mimi nimewaelewa kwa tofauti, so kama wako pamoja na mama ila walishaona tempa ya mama na misimamo yake yakizamani hata wangesema nini asingeweza kubadlsha mtazamo wake wako pamoja na gara b ila walchkua wanafanya nkumsitiri mama, mana garab alkua anaenda mbali zaidi kama wote wangesimama na garab ingekua mbaya sana kwa huyo mschana mwenye mzazi wake apo mbele na hata wengne
Kama kunawazi wapo bado mda huu wa kuchagulia wapenzi watoto wao aiseee huwo ni ujinga na uswahili mtu kwanza wanajizalilisha pili anaonekana mtot wake hana soko mpaka anajitangaza imeisha hiyo 😂😂😂😂😂😂
Startimes jifikilieni kama Gara B hayupo mtaangalia show wenyewe na hayo makina lulu
Uyo mama nae kanaenda kufanya nini hapoo
Gara b is right mama Agnes akustaili kutumia neno lolote au kumkonyeza mwanae kwa ahina yoyote Bali ange kuwa hapo kushuhudia chaguo la mwanae maana mwisho wa siku watawahacha wazazi wao na kuambatana wao wili (2) Mr right and Mrs right
huyu lulu bana mbishi hee
Gara plz heshimuni wazazi na pia msichana mwenywe amekubali ombi la mama so sioni shida hapo acheni hasira nyinyi ni wakubwa na mnategemewa
Gara b yupo sahihi mzazi anamuharibia maisha mwanae anachosema mzazi akina maana sio show ya wazazi hiyo
Agnes angetolewa stage na mamake
Wew lulu unachukiza sana
Kipind hik kimeanza kuboa naomba mjiangalie up ya achen upuuz
Jaman mm namumba eliza apo kwanz nawe lulu diva acha zako ww nani anakuchagulia mme na umama huo bana umeboa sana ka b upo sahih sana
wazazi tena kwa mr right hakuna heshima apo uyo mama hajielewi why mtu mzima amekuja apo bwana yake yuko wapi balaa kabisa Mr Gara B wewe emecheza kama wewe bih up
Huyu mama veeep jmn!!! Kwani mama ndo anaishi na huyo bwana jmn daaa!!! Wa mama wa ivi jmn nilijua walisha kufaga kumbe wengine bd wapo?
Inauma hyooo
Wa kina mama wa nini mnaharibu shoo afu Gara B yuko sahihi
Gara B anafata protocal za kazi wala hajakosea🎉
Kama n hivi😮😮😮😮😮😮
Huyo lulu diva mbna ana mambo ya kizamani
Mama mzima unakuja kuangalia binti yako akijiuza kama nyanya za sokoni
Yaan mama hana aibu kbs
Maza alizingua xana Kama alikua hataki mwanae aondoke na Mr right aloyempata ktk show ya Mr right Bora yeye na mwanae wasingekuja kwenye show mama yake amtafutie mwanaume huko mitaani
Huyu mama kaja kutuharibia shoo yetu
Aisee maswala yamahusiano nawazazi ni chanya na hasi. Mama anakosea kumchagulia mtt mume kwasababu huyu mume haendi kuwatumia wote mtt na mama anaenda kuolewa mtt pekeake mama anamtaka mwananume anaemtaka kwamatumizi yapi kwakwe wakati hy ni furaha ya mtt
Lulu diva acha kusapoti ujinga ka garab upo sahihi sana
Ukute hapo huyo maza anataka achague mkwe wa kuja kumkwea baadae 😂
Msipokuwa makini watakuja paka Matommy boy kutafuta wachumba hapo. Na serikali ikaja kufungia hiyo show.
Huyu lulu anapaswa kupigwa makofi coz anadhani Gara B ni mwanamke mwenzie
Yote kwa yote Niwapongeze kwa kazi Nzuri wanayofanya, Ila kwa mzazi kama mzazi bhana Daah Si kweli
Wazazi wasiruhusiwe show itakuwa haina mvuto tena
Huyu lulu diva huyu hovyo
Anachoogopa mama ni nini mwanae kuchezewa au anabikra anamlindia😂😂😂mn kama Mr right ni muongo c ataachana nae jmn
Huyo mama kaja kufanya nn hapo sas Haina aja ya Agnes kuwa hapo mama ake amchukue akamtafutie mwanamme huko nje wasituchefue sis uyo mam n atoke hapo
Ata hivyo gara b katumia busara kajishusha sana yy ndo kiongozi why nibashane nanyinyi 😂😂
Gar b huyo mama anazingua yupo