Masyaa Allah tiada pernah bosan" mendengar kan syair" yg di lantun kan berikan lah Negara kami dan Negara ini Rahmat mu yaa Allah engkau lah yg maha segala - Sega nya.
Maa sha Allah hii Qasida ingependeza zaidi kama mungeitoa vile vile maigizo yake ya kifo kama munaekti hayo mauti kuliko kucheza lkn ujumbe umefika vzuri maa sha Allah
awa vijana ni wadogo noma wanastahili kuenziwa masahalah sauti zao zanisisimua walah mashalah duu sasa mwataka walie au wagaregare ujumbe utafika na umefika hata wakicheza
Assalaamu alaikum. Ndugu Aqaz,ushauri wangu ni kwamba angalieni vizuuri ni Kasida gani ambazo inaweza kukufanyeni kucheza na ipi hamutakiwi kucheza. Kwa mfano kama hiyo,mulitakiwamutulie kabisaaa,nyengine ileee ya Yatima aliyoimba ustadh Juma. Ile kasida binafsi ninapoiangalia na kuisikiliza macho yangu hayawezi kustahamili ni lazima nilie tuu
Mumekosea sana kwenye kucheza..hiyo qaswida mlitakiwa msikatike viuno hivyo sabab ujumbe wake ni kifo..sasa unaanzaje kucheza kuhusu kifo?itaonekana kama mzaha vile mnafanya
asalamu\ałaykumu warahmatulahi wabakatu wadogo zangu juma faki na faki mbaruku nikweli kabisa kashida yenu ya kifo ni nzuri na inamachungu na inamkumbushamwanaadam ;msingecheza ibaki kama huzuni
Sasa lazima muangalie sana,kasida yoyote munayoiimba ikawa ndani yake kuna vitu vizito kama hiii basi kuweni makini, musichezee. Kasida imekita zaidi kuzungumzia "UMAUTI" unadhani kunahaja ya kucheza?
Ndugu Waislam tunawakaribisha katka group letu la qaswida.wattsap humo zinatumwa qaswida mbali mbali kwa aneihitaj group letu anitafte kwa namba 0772379025
Mungu awalipe kher kwa ukumbusho huu hakika mwenye iman ya hofu na Allah hayaish kwake machoz kila anaposikiliza qaswaida hii
shukran sana kwa ukumbusho wako Allah akulipe kila lenye kher inshallah 🙏
Masyaa Allah tiada pernah bosan" mendengar kan syair" yg di lantun kan berikan lah Negara kami dan Negara ini Rahmat mu yaa Allah engkau lah yg maha segala - Sega nya.
MaashaAllah Shukran kwa ukumbusho Mola atujaalie tuyakumbuke kila mara ili tujizuie na maovu kuyasogelea Amin
Yallah tujaghalie mwisho mwema tu nawapongeza pia kwa qaswida nzr san umauti siri ajuae Allah ujumbe mzr inshallah
Mashallah ujumbe mzuri mungu atuongozee sote isilama kwani duniani tunapita inshallah tuwe wenye kufata mema mabaya tuyaepuke
Mashallah Allah hongereni sana vigogo
alihamdhulilah kaka ak nikisikiliza uu wasiya ak naona machozi yanindondoka ak bt nikikumbuka wazi wag alihamdhulilah
maa shaaa Allah qaswida nzuri sana hakika sisi ni wa Allah na kwake tutalejea
Maa sha Allah hii Qasida ingependeza zaidi kama mungeitoa vile vile maigizo yake ya kifo kama munaekti hayo mauti kuliko kucheza lkn ujumbe umefika vzuri maa sha Allah
In sha Allah
mashallah ujumbe mzito kwa tunayojfanya dunian tumefka xo tumche Allah ndugu zangu
Vigogo wamekutana. 💘Mashaallah
Mashaallah umauti siri yake allah allah awabariki sana kwa ukumbusho ,,
Best voice ,,, hongereni sana wasomaji kwa nyote zaid na zaidi,,, asanten sana,,,
Mashaallah mungu awajarie kaswida zuri sana
Uhakikaaaa ...unanikumbusha marehemu baba angu ..mungu akurehemu baba angu kwa rehma njema na mi nipo nyuma yako
Mashaallah ujumbe ni mzito ila mlivyokaa kaa tu hata hamjaweka majonz majonzi ndo kwanza mnacheka mmeikosea sana hio kaswida
MashaAllah,hamjawahi toa kaswida ikachusha hongereni kwa kazi nzuri
Mashaalaha kaswida nzuri sana imenikosha sana tu ila tu mmekosea kucheza juma fakk nakuaminia tutawakaribisha kwetu kondoa asateni
Ujumbe mzuri Masha Allah Ya Allah tujalie Mwisho
awa vijana ni wadogo noma wanastahili kuenziwa masahalah sauti zao zanisisimua walah mashalah duu sasa mwataka walie au wagaregare ujumbe utafika na umefika hata wakicheza
Mashaa
Alpha kwakutukumbusha
Barallah lakum
Mungu akuzishiee fakiyy akupe pumzi utuzidishia kutupa ujumbe wa manufaaa kwetu
Masha Allah hongeren sana Qaswida mzur yenye ukumbusho .
Mashallh kaswida nzur sn ❤
Juma untembea sana Allah Akuongzee in shaa allah
ya rabbi utujalie mwisho mwema
Vp brothers hapo hakutaki kucheza fujo
Wapo sawa namaanisha mahodari sana juu ya kazi wanayoifanya ya kufikisha ujumbe
ahlu madina
Kwakweli. Mm naipenda kadiria dam dam😍😍😍😍😍
Juma kasida nzurii sana ila mumekharibu Kucheza tu
Hongeren Sana kwaukumbusho Allah awajalie Afya njema
Kwakweli juma faki ilikuwa huku kwetu hukubaliki hata kidogo ila ss hiv kila kona unatajwa hongera sna, kiongozi fakk hongera sna naww
Wallah tulipokua enzi za zamani hapo tumeshinda koz kaswida imesimama lakini Leo nimekua naona hakki haipaswi kucheza hivo hassa huo ni ujumbe mzito
Masha'Allah!wakali mmekutana
mashaallah nawapenda
Hii nimeikbali mashalla
❤
Maashaallah maashaallah maashaallah ❤❤❤❤❤
Mashaalkah kaka napend kaswida zako ni nzyr san
Mko vizuri kadiria hongereni ujumbe mzuri
nawapenda mpk bc nzuri sanaa
InshaaAllah Allah atujalie mwisho mwema.
Good job
Mashallah sheikh wng
Mashaallah kheryy
Kaswida ina ujumbe mzuri lkn mlitakiwa muoneshe huzuni yaani hata kulia mngelia basi ujumbe ndo ungetimia zaidi shukran
Hamuna baya nyinyi nici
Mashaallah nawakubal sana
Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah #AQAZ
Masha Allah mmeipangilia vizur kwa saut ya huzun Juma and fak nice
Mashaallha
Nice
Mashaallah
Hongereni sana wana aqaz
Hongera Shee fakky na shee juma kwa kughani
Hapana kiukweli hilo ni dufu kucheza lazima hata kama ujumbe ni mzito, hebu kumbukeni dufu asilimia kubwa sana Qaswida zao ni ujumbe je hawachezi
Qaswida nzuri na kali sio siri lkn mumeiharibu kucheza to unaezaje kzngmzia mauti halafu unacheza inamana mauti yanafurahisha or vp?
Kwel wamekosea
Kweli Broo. Hakika hata minanda ipungue na kucheza kupungue.
Wapunguze waongeze lkn kifo kikopalepale hivy bas waache wachez kwaman hainjins
Io ni kwasababu watutoe machungu watizamaji
Naam kweli kabisaa
Masha Allah unatishaaa sanaaa
ujumbe umefika kw jamii 😢😢
Nimeipenda sana hii kasda yenu
Safi kabisa .huwa nakaa naskiliza hii qasda
Mashaallah ujumbe mzuri sana
Ujumbe ni sahihi kabisa hongereni sana
Mashaallah hakika nawapenda maustadh wang
Mashaallah mashaallah taqbiiiiiiirr nimeipend sana hiii qaswida
Ahsant kwa ujumbe mzr Mashallah
asante kwa qaswida nzuri hongereni kwa hilo
Mashallah hongereni kwa ukumbusho tuko pamoja
Masha Allah Aqaz
Hakika sisi ni wa Allah na kwake tutarengea
Mashaallah aqaz qaswida nzuri, but mmejaribu kucheza. Walio swafu ya nyuma, huo ndio utaratibu wa qaswida huo.
Hakika MashaAllah
Mashallwah💞💞
mashallillah mashallillah jmn me napenda xn
NAAMINI HAPO NI MPENDAE KTK MAULID YA AHIMT, PAMOJA SANA AQAZ
Assalaamu alaikum. Ndugu Aqaz,ushauri wangu ni kwamba angalieni vizuuri ni Kasida gani ambazo inaweza kukufanyeni kucheza na ipi hamutakiwi kucheza. Kwa mfano kama hiyo,mulitakiwamutulie kabisaaa,nyengine ileee ya Yatima aliyoimba ustadh Juma. Ile kasida binafsi ninapoiangalia na kuisikiliza macho yangu hayawezi kustahamili ni lazima nilie tuu
Jaman qaswd imeniliz iwej nyie mfurh hvy
Mashalll Juma nawapenda sana
Mlitakiwa kuonesha huzunika na sio kucheza.. hongereni ujumbe umefuka
Wenzetu walikuw wakitajiwa mauti inakuwa nimazingatio sisi twacheza yakowapi mazingatio ALLAH tuongoe inshaallah
Tunatoa mawazo
Qaswida mzur ila kitu kimoja mulikuwa mueke huzun
Mashallah
Safi aqaz
mtihan mkubwa sana watu mauty yanaelezewa sisi tunacheza baada ya kulia tukaomba maghfira ka ALLAH by sh mpury
Swadsktah
Ujumbe mwema mashaallah
Safi sana
Ikovizur ht kam wanacheza kisa ujumbe lkn kifokiko plpl kwahio waachen wachex t mn hainajinsi ht wasingecheza kufa nifaradh lzm 😰😥😢
Mashaaallah baraka allah
Jamani dini na bongo man haifai.Kaswida imekosa mahali pake.Mbona hi tabia yakuigiza manaswara tuacheni.Vibaya hivyo.
Mashaallh.qaswida.nizur
Ma sha Allah...
Mumekosea sana kwenye kucheza..hiyo qaswida mlitakiwa msikatike viuno hivyo sabab ujumbe wake ni kifo..sasa unaanzaje kucheza kuhusu kifo?itaonekana kama mzaha vile mnafanya
asalamu\ałaykumu warahmatulahi wabakatu wadogo zangu juma faki na faki mbaruku nikweli kabisa kashida yenu ya kifo ni nzuri na inamachungu na inamkumbushamwanaadam ;msingecheza ibaki kama huzuni
Maxhaallah
Suleiman Alawy kweli ndugu zangu mko vzr lakini kwenye nyimbo hii mmekosea kucheza na kutabasam.
Suleiman Alawy mh mlitakiwa musichez kwa rafu sw
Hat wasipochez kifo kikopalpal kwahio achawachez t. Mn hainajins
mashaallaha nawakubali sana
Sasa lazima muangalie sana,kasida yoyote munayoiimba ikawa ndani yake kuna vitu vizito kama hiii basi kuweni makini, musichezee. Kasida imekita zaidi kuzungumzia "UMAUTI" unadhani kunahaja ya kucheza?
Wasicheze Wao Au Tusicheze Sisi. Hatutakiwi Sisi Kùcheza Juu Yamaisha Namazingira Yetu Yamaisha
Ndugu Waislam tunawakaribisha katka group letu la qaswida.wattsap humo zinatumwa qaswida mbali mbali kwa aneihitaj group letu anitafte kwa namba 0772379025
nduguzangu jitahidini kuamakini maana ktk mafundisho tunaambiwa MAUTI yakitajwa tuonyeshe nyuso za huzuni,asakwann ninyi mnakatika?
Mashaallah 😅
Mauti ni siri ilowekwa na allah pia kwake tutarejea na hakuna kitakacho baki ila lillah peke yake.
Qaswaida na mwonekano haviendani
Mashairi mazuri mashalla
Wasomaji ya rasuli munayataka ??
Ubishi munao nyinyi kwa kuwa hamtaki kuacha ujinga huu na kufuata SUNNA
jmni mnapatkan wapi chuo chenu mashaaallah
Hapa kweli wameharibu hvi kucheza tu,walitakiwa watulie
Kasida nzur
Mashalla.kaswida.zikosawa.tatizo.punguzeni.kukatavi.uno
Mashala
Jaman kaswida nommmma
qaswida nzuri mashaallaha! lkn ilikuwa musicheze km hivyo inaujumbe mzito na wa huzuni!
Ndug hat wasipochez umaut upo acha t wacheze mn hainajins
Yani ninatoka machoz kwa hii kaswida kwa sababu ninamkumbuka kiongoz wa Qamaria Abubakar Alikuwepo ile siku ya hii kaswida keel umauti sirii
Mashaallah