Sio kweli,nakuhusia kama ninavyiloihusia nafai yangu...ikhtilafu Mungu kaziumba, hata uumbaji wake Mungu Basi kaweka katikka mfumo wa ikhtilafu ili tuweze kutafakari,,,angalia jua na mwezi,,, kulia kushoto, mke mume,ardhi mbingu,afya maradhi,mweupe mweusi,nzito nyepesi,usiku mchana,.,sunni,qadiria,Sufi,salafi,ibadhi.....hakuna anaejipa asilimia mia kwamba yupo perfect ...Mungu atakwenda kutulipa Kila jambo kutokana na hoja....anaeswali ataulizwa ulikua ukiswali kwa lengo gani,anaefunga,zaka,hijja kadhaalika....kwaio Mungu atakwenda kuwaalipa thawabu watu kwa hoja na atakwenda kuwaadhibu kwa hoja....acha kauli hio ni mbay mno na ukosefu wa elimu.
Mwaka wa 1980 1981 na kuendelea ilikuwa mwezi wa ramadhani siku kumi na Tano na kuendelea tukiwa Kenya mjii wa Mombasa tukimaliza swalah ya taraweeh wakati huo redio Zanzibar inashika Kenya ilikuwa tukiburudika usiku wa ramadhani....
Hao wanao tukana maulid kwanza wawafate wanaojuwa wafahamishwe elimu inanjia ndefu ndipo kila mtu anafata njia yake anayoona inafaa achen kutukan mahalifa
Hii ni ibada gani wanyofanya hawa!! Ibada ambayo hakuijua mtume, maswahaba wala matabiina na wala hawaijua Aimatulhudaa.. Huu unaonesha kma ni uzushi ktk dini yetu. Allah Atuongoze cc na wao..
@@saidhaji1858 kutembea kwa hatua nzuri ni ibada na kuzungumza kwa sauti nzuri ni ibada sasa nadhani ukitaka kujua ibada kuwa mja mwema ni ibada sasa tafuta ujue nini ni ibada.
Hiyo ni Sunnah Mtume S. A. W. Kafanya watu wasifiche haki kwa matanio yao. Asiyejua aulize. Asiyepata mwalimu asafiri kumtafuta. Hata katika miji ya mbali. Asije akawacha haki kwa ujinga.
MANENO KAYATOA KWA KITABU CHA BARZANJI KINA UPUZI MWINGI SANA NDANI YAKE NDIO WAJINGA KAMA WANA KITUMIA, ALLAH AWAONGOZE KATIKA UISLAMU ULIO ACHWA MTUME S.A.W
@@hamisimkulu6571usimtusi mamake. Wazee wote waliyakubali pengine kasoma haya. No huyo shetwani na mashetwani wenzake wanaotia watu motoni na kuwaita makafiri wameanza Zama hizi. 😂😂😂
Utofaut upo mkubwa sana ukitaka kujua hayo soma brother 🙏 halafu utajua au kama huwez kusoma ulizia kwa watu wanao Juan wakuelezee ndipo utajua utofaut uliopo apo katika dhikri na kanisani 😂😂😂
Upotevu gani hembu nenda ukasome dini vizur maan hapo hujui hata kinacho kusudiwa waislam tusomeni tujue dini ninini sio tuna kurupuka tu kuongea tu hiv kam niupotevu hata hiy dini isinge tufikisha hapa
Wapingao hawana elimu ni wajinga tu, Hawa mawahabi, mwajua huu mswahafu ni bidaa au hamjui? Maana mtume (saw) hakupewa mswahafu ,pili, irabu zile fataha kasri dhuma sakna zote ni bidaa!! Mwajua Hilo??? Someni acheni chuki za kipumbavu !!! Madebe matupu nyie!!!
Hatujafundishwa hivyo; kuwaita makafiri walotamka kalimatut tawhiid. Tuwaite tu kwa majina mengine, kama wazushi, wanaokhalifu sunna, wakosaji ktk dini na mengineyo.
SubhanaAllah SubhanaAllah acheni kupotosha watu hapo hakuna hata moja katika dini ya kiislam ilifundisha hayo wanayofanya hapo
Mambo mema matamu na yapenda haya moyon mwangu,,marhaba Sheikh sauti yk ina tuingia Imani nyoni mwetu
Maoni yangu dhikri mbona mnacheza Kama ngoma,mtoa mashairi mashallah.
Mashaaalllah yupo vizur mungu amzidishie
MashaAllah mashairi mazuri...Allah akupe umri kwa kudhikirisha
Wallah uislam rahaaa mashallah
Mungu atawalaani san wallah wanaopinga haya
Sio kweli,nakuhusia kama ninavyiloihusia nafai yangu...ikhtilafu Mungu kaziumba, hata uumbaji wake Mungu Basi kaweka katikka mfumo wa ikhtilafu ili tuweze kutafakari,,,angalia jua na mwezi,,, kulia kushoto, mke mume,ardhi mbingu,afya maradhi,mweupe mweusi,nzito nyepesi,usiku mchana,.,sunni,qadiria,Sufi,salafi,ibadhi.....hakuna anaejipa asilimia mia kwamba yupo perfect ...Mungu atakwenda kutulipa Kila jambo kutokana na hoja....anaeswali ataulizwa ulikua ukiswali kwa lengo gani,anaefunga,zaka,hijja kadhaalika....kwaio Mungu atakwenda kuwaalipa thawabu watu kwa hoja na atakwenda kuwaadhibu kwa hoja....acha kauli hio ni mbay mno na ukosefu wa elimu.
Haya mashairi yanimaliza kweli mashallah jamaa yupo vzr
Nakumbuka Nyumbani
Kila ikifka mfunguo 6 mwez 25 yaaaaniiii ilikua naona Raha mpaka basi
Mashallah 🥰 nawackiliza nikiwa Oman ❤
Mwaka wa 1980 1981 na kuendelea ilikuwa mwezi wa ramadhani siku kumi na Tano na kuendelea tukiwa Kenya mjii wa Mombasa tukimaliza swalah ya taraweeh wakati huo redio Zanzibar inashika Kenya ilikuwa tukiburudika usiku wa ramadhani....
Miaka yenye neema ilikuwa tukiwasikiliza sanaa watumbatu kwa dhikri zao....Machozi inanitoka kwa rahaa zilizopita
Hapa tumbatu jongowe zawiyani makao makuu ya dhikri
Nasikiza nikiwa dubai@@mrsabdul-mz8hh
Ni vibaya kumtukana mwislamu mwenzako nduguyo kwa imani
Utapata huyo alomuita mwezake hivo hata madrasa hakwenda
Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo
Wallahi kila mtu na Fanni yke
Waislam tusomeni Ili tuweje gharam na Hali ila kwa hpa muridi wote Maua yenu hyo like it as muridi
Huyu sheikh mwachenie amsifu Muhammad kadri anavyo weza,
Hao wanao tukana maulid kwanza wawafate wanaojuwa wafahamishwe elimu inanjia ndefu ndipo kila mtu anafata njia yake anayoona inafaa achen kutukan mahalifa
@@MwanaidBakar-g7f halifa yupi kaleta maulidi?hakuna elimu ya maulidi
Hii ni ibada gani wanyofanya hawa!! Ibada ambayo hakuijua mtume, maswahaba wala matabiina na wala hawaijua Aimatulhudaa..
Huu unaonesha kma ni uzushi ktk dini yetu. Allah Atuongoze cc na wao..
@@saidhaji1858 kutembea kwa hatua nzuri ni ibada na kuzungumza kwa sauti nzuri ni ibada sasa nadhani ukitaka kujua ibada kuwa mja mwema ni ibada sasa tafuta ujue nini ni ibada.
Kwahiyo dhikir mtume na maswahaba hawakuijua kama hawa kuijua wala tusinge fanya hiv acha ushia rejea vuzur din wijue
@@HassanHossein-jz3mb أَلا بِذِكْرِ اللَّهِ تَطْمَئِنُّ الْقُلُوبُ
Mashallahhhh
Wengi wao hapo ni wanga(wachawi)
Ulishawashuhudia au wadhania to 😢😢😢
@@saidmwakulika706 ata na ww huenda ni miongoni mwao
Hiyo ni Sunnah Mtume S. A. W. Kafanya watu wasifiche haki kwa matanio yao. Asiyejua aulize. Asiyepata mwalimu asafiri kumtafuta. Hata katika miji ya mbali. Asije akawacha haki kwa ujinga.
Mashallah ❤
Mpaka cheee Asubuhi...dhikri rahaaa
Kuswali hamna apo
Huswal weye
@@kheiramour2973 kwani umeelewa vipi wewe
ALLAAAAAAAAH
Tatizo lenu mawahabi hamtakikusoma nando maana mnazipinga ibada kama hizi
Hakuna dhikir ya hivi kwenye dini, adhkari zinajulikana
Sunna zipo nyingi chagua ambayo kwako nyepesi fanya
Una maan gani kwamba hamna dhikir ya hiv
MashaLLLAH hizi ni Sunnah ambazo zimebakia kwetu? Wengi zimewashinda.
Nyie mnaokoment ujinga mungu atawapa Lana kubwa cc tup twamsifu mtume wetu nyinyi mnasem ujinga dah😢
Achana nao
Una ushahidi wowote kwamba tumeamrishwa tumsifu mtume swallallahu alaihi wasallamu tena katika maneno ya uwongo
Polesana
Mtume hasifiwi hivi
Anasifiwaje?
Kwashwida
Maashaallah
Mtume yu nyoyoni mwetu daima
Hivi mnapo towa maneno mabaya kwa ndugu zenu waislamu,madhehebu mengine watawaelewaje?si mnadhalilisha dino!!!!
Swahaba wangefanya haya hii dini isingetufikia
Mawazo fekiiiii hahahahaha
@@rajabumsuya-hg8jd kweli maana huu ni mchezo km wakata viuno,mauzinde
Jamani uzushi sio ushu mambo ya kidini
Kumbe haya ndio maulid!mm nilikuwa sijuwi mwenzenu!kama ndio yalivyo basi hayana tofauti na kindumbaki!
MANENO KAYATOA KWA KITABU CHA BARZANJI KINA UPUZI MWINGI SANA NDANI YAKE NDIO WAJINGA KAMA WANA KITUMIA, ALLAH AWAONGOZE KATIKA UISLAMU ULIO ACHWA MTUME S.A.W
Ushadanganywa zako huko ebu lete upuuzi mmoja wapo
Mpuuzi nimamaako
Hilo ni tusi litasimama mbele yako kama kweli muislamu Allah atakusameh @@hamisimkulu6571
Iyo elimu aliyokuwa nayo barzanji ww huipat mpk kufa ndugu pole
@@hamisimkulu6571usimtusi mamake. Wazee wote waliyakubali pengine kasoma haya. No huyo shetwani na mashetwani wenzake wanaotia watu motoni na kuwaita makafiri wameanza Zama hizi. 😂😂😂
Kama hiyo ndio dini watu wote wangeenda peponi
Masha Allah
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raaajiuuuun!!
Bakathir huyo
Hawa machizi Nini?😮😮😮 Duuuuh
Kuna tofauti gani na kanisani apa
Kanisani huchanganyika wake nawaume navinanda huwemo napia hawavai mavazi yaheshima
Utofaut upo mkubwa sana ukitaka kujua hayo soma brother 🙏 halafu utajua au kama huwez kusoma ulizia kwa watu wanao Juan wakuelezee ndipo utajua utofaut uliopo apo katika dhikri na kanisani 😂😂😂
Kanisani wanataja mtume pia pengine ushawai kuwasikia
HII NI IBAADA! AU UJINGA TU
Hawa jamaa wazush mno maulid ni ni uzushi
Mseje mkatokwa na mashuzi tu hapo
Mungu akuongoze usiendelee kutukan
@@HassanHossein-jz3mb hakuna tusi hapo
Hiyo ni singeli2 naona
Wakata viuno naona
Mungu akuhifadh na maneno yako
ndege ngamia na wanyama wabaria hummh uongo mtupu upotevu
Mtume sisawa nawewe
Upotevu gani hembu nenda ukasome dini vizur maan hapo hujui hata kinacho kusudiwa waislam tusomeni tujue dini ninini sio tuna kurupuka tu kuongea tu hiv kam niupotevu hata hiy dini isinge tufikisha hapa
@@HassanHossein-jz3mb nani alokwambia kuimba ndo kusoma dini?dini gn imefundisha kucheza singeli
Povu la wahabi sasa
Wapingao hawana elimu ni wajinga tu, Hawa mawahabi, mwajua huu mswahafu ni bidaa au hamjui? Maana mtume (saw) hakupewa mswahafu ,pili, irabu zile fataha kasri dhuma sakna zote ni bidaa!! Mwajua Hilo??? Someni acheni chuki za kipumbavu !!! Madebe matupu nyie!!!
Bingwa gani huyu kafiri mzushu bidaa tu
Xio kafir ila uislam hamna Ayo mambo y skri z hivi maana anatamkaa laailaha ila Allah
Usimwite kafir ni makosa ucfate jazaba za nafc yako kuchukia ki2 mpka ukamyoa mwenzio katika dini ndugu
Hatujafundishwa hivyo; kuwaita makafiri walotamka kalimatut tawhiid. Tuwaite tu kwa majina mengine, kama wazushi, wanaokhalifu sunna, wakosaji ktk dini na mengineyo.
Umjuwa kafiri ww unajuwa bidahaa ww
@@DohaQatar-w4tnani amesema akae acha mtajo wake atakuwa ndani yadhiki nenda surati twahaa kasome
Hahahaha eti bingwa wa dhikr!!!!!! Unajua dhikr ni kitu gani wewe?
Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo
Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo
Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo
Wapi uliposikia hayounayosema
@@KhamisJuma-mu4rm hakuna ibada hapo wanajivurahisha2 na michezo yao km ulivyo mchezo wa ng'ombe tuu au chandimu, kiufupi mazoezi2
Ivi wewe hamisi juma unajua allah alisema nini kitu ukiwa hukijui
@@SaidOthman-n5l wewe kasome kwanza ndipo ibada uzifananishe na michezo yenu ya kishetani