Bingwa wa Dhikri Akinguruma Ndani ya Tumbatu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • Hesmin TV 0719907770
    Best of Live Streaming in Zanzibar
    #qassida
    #best
    #africa
    #qur
    #mawaidha
    #happy #film #livestream #live #qur-an

КОМЕНТАРІ • 126

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 19 годин тому +2

    SubhanaAllah SubhanaAllah acheni kupotosha watu hapo hakuna hata moja katika dini ya kiislam ilifundisha hayo wanayofanya hapo

  • @SalumMzee-cw8do
    @SalumMzee-cw8do 16 годин тому +1

    Mambo mema matamu na yapenda haya moyon mwangu,,marhaba Sheikh sauti yk ina tuingia Imani nyoni mwetu

  • @alibakarali
    @alibakarali 47 хвилин тому

    Maoni yangu dhikri mbona mnacheza Kama ngoma,mtoa mashairi mashallah.

  • @SuleimanPandu-z1u
    @SuleimanPandu-z1u 4 години тому

    Mashaaalllah yupo vizur mungu amzidishie

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 2 дні тому +3

    MashaAllah mashairi mazuri...Allah akupe umri kwa kudhikirisha

  • @AmirliAmirli-p1z
    @AmirliAmirli-p1z 2 дні тому +5

    Wallah uislam rahaaa mashallah

  • @AbdulMutta
    @AbdulMutta 21 годину тому +2

    Mungu atawalaani san wallah wanaopinga haya

    • @abdul-qadirkhamis2518
      @abdul-qadirkhamis2518 16 годин тому

      Sio kweli,nakuhusia kama ninavyiloihusia nafai yangu...ikhtilafu Mungu kaziumba, hata uumbaji wake Mungu Basi kaweka katikka mfumo wa ikhtilafu ili tuweze kutafakari,,,angalia jua na mwezi,,, kulia kushoto, mke mume,ardhi mbingu,afya maradhi,mweupe mweusi,nzito nyepesi,usiku mchana,.,sunni,qadiria,Sufi,salafi,ibadhi.....hakuna anaejipa asilimia mia kwamba yupo perfect ...Mungu atakwenda kutulipa Kila jambo kutokana na hoja....anaeswali ataulizwa ulikua ukiswali kwa lengo gani,anaefunga,zaka,hijja kadhaalika....kwaio Mungu atakwenda kuwaalipa thawabu watu kwa hoja na atakwenda kuwaadhibu kwa hoja....acha kauli hio ni mbay mno na ukosefu wa elimu.

  • @MohdMtende
    @MohdMtende 3 дні тому +4

    Haya mashairi yanimaliza kweli mashallah jamaa yupo vzr

    • @mrsabdul-mz8hh
      @mrsabdul-mz8hh 2 дні тому +2

      Nakumbuka Nyumbani
      Kila ikifka mfunguo 6 mwez 25 yaaaaniiii ilikua naona Raha mpaka basi
      Mashallah 🥰 nawackiliza nikiwa Oman ❤

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 2 дні тому +1

      Mwaka wa 1980 1981 na kuendelea ilikuwa mwezi wa ramadhani siku kumi na Tano na kuendelea tukiwa Kenya mjii wa Mombasa tukimaliza swalah ya taraweeh wakati huo redio Zanzibar inashika Kenya ilikuwa tukiburudika usiku wa ramadhani....

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 2 дні тому +1

      Miaka yenye neema ilikuwa tukiwasikiliza sanaa watumbatu kwa dhikri zao....Machozi inanitoka kwa rahaa zilizopita

    • @mngwalimngwali669
      @mngwalimngwali669 2 дні тому +2

      Hapa tumbatu jongowe zawiyani makao makuu ya dhikri

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 13 годин тому

      Nasikiza nikiwa dubai​@@mrsabdul-mz8hh

  • @OmarIbrahim-c9i
    @OmarIbrahim-c9i 9 годин тому

    Ni vibaya kumtukana mwislamu mwenzako nduguyo kwa imani

    • @swabrinaali5047
      @swabrinaali5047 2 години тому

      Utapata huyo alomuita mwezake hivo hata madrasa hakwenda

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 2 дні тому +1

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

  • @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
    @MOHAMEDMBAROUK-tc4ch 2 дні тому +1

    Wallahi kila mtu na Fanni yke

  • @mohdhassansaleh1322
    @mohdhassansaleh1322 День тому

    Waislam tusomeni Ili tuweje gharam na Hali ila kwa hpa muridi wote Maua yenu hyo like it as muridi

  • @OmarIbrahim-c9i
    @OmarIbrahim-c9i 9 годин тому

    Huyu sheikh mwachenie amsifu Muhammad kadri anavyo weza,

  • @MwanaidBakar-g7f
    @MwanaidBakar-g7f День тому +1

    Hao wanao tukana maulid kwanza wawafate wanaojuwa wafahamishwe elimu inanjia ndefu ndipo kila mtu anafata njia yake anayoona inafaa achen kutukan mahalifa

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l День тому

      @@MwanaidBakar-g7f halifa yupi kaleta maulidi?hakuna elimu ya maulidi

  • @saidhaji1858
    @saidhaji1858 День тому

    Hii ni ibada gani wanyofanya hawa!! Ibada ambayo hakuijua mtume, maswahaba wala matabiina na wala hawaijua Aimatulhudaa..
    Huu unaonesha kma ni uzushi ktk dini yetu. Allah Atuongoze cc na wao..

    • @latif15
      @latif15 День тому

      @@saidhaji1858 kutembea kwa hatua nzuri ni ibada na kuzungumza kwa sauti nzuri ni ibada sasa nadhani ukitaka kujua ibada kuwa mja mwema ni ibada sasa tafuta ujue nini ni ibada.

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb День тому

      Kwahiyo dhikir mtume na maswahaba hawakuijua kama hawa kuijua wala tusinge fanya hiv acha ushia rejea vuzur din wijue

    • @latif15
      @latif15 День тому

      @@HassanHossein-jz3mb أَلا بِذِكْرِ اللَّهِ تَطْمَئِنُّ الْقُلُوبُ

  • @khamissaid5525
    @khamissaid5525 2 дні тому +1

    Mashallahhhh

  • @alimau7939
    @alimau7939 17 годин тому +1

    Wengi wao hapo ni wanga(wachawi)

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 8 годин тому

      Ulishawashuhudia au wadhania to 😢😢😢

    • @alimau7939
      @alimau7939 6 годин тому

      @@saidmwakulika706 ata na ww huenda ni miongoni mwao

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary 17 годин тому

    Hiyo ni Sunnah Mtume S. A. W. Kafanya watu wasifiche haki kwa matanio yao. Asiyejua aulize. Asiyepata mwalimu asafiri kumtafuta. Hata katika miji ya mbali. Asije akawacha haki kwa ujinga.

  • @saidahamid1178
    @saidahamid1178 2 дні тому +1

    Mashallah ❤

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 2 дні тому +2

    Mpaka cheee Asubuhi...dhikri rahaaa

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 День тому

    ALLAAAAAAAAH

  • @sadrupandu5948
    @sadrupandu5948 День тому

    Tatizo lenu mawahabi hamtakikusoma nando maana mnazipinga ibada kama hizi

  • @Rukaka_jr
    @Rukaka_jr День тому +1

    Hakuna dhikir ya hivi kwenye dini, adhkari zinajulikana

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r День тому

      Sunna zipo nyingi chagua ambayo kwako nyepesi fanya

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb День тому

      Una maan gani kwamba hamna dhikir ya hiv

    • @JumbiSecondary
      @JumbiSecondary 18 годин тому

      MashaLLLAH hizi ni Sunnah ambazo zimebakia kwetu? Wengi zimewashinda.

  • @himidomy4077
    @himidomy4077 День тому +1

    Nyie mnaokoment ujinga mungu atawapa Lana kubwa cc tup twamsifu mtume wetu nyinyi mnasem ujinga dah😢

  • @HalimaOmari-mb5bi
    @HalimaOmari-mb5bi День тому +1

    Kwashwida

  • @YahayaIdarusi-tf8dy
    @YahayaIdarusi-tf8dy 2 дні тому

    Maashaallah

  • @MahamuduBoi
    @MahamuduBoi 20 годин тому

    Mtume yu nyoyoni mwetu daima

  • @OmarIbrahim-c9i
    @OmarIbrahim-c9i 9 годин тому

    Hivi mnapo towa maneno mabaya kwa ndugu zenu waislamu,madhehebu mengine watawaelewaje?si mnadhalilisha dino!!!!

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd День тому

    Swahaba wangefanya haya hii dini isingetufikia

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r День тому

      Mawazo fekiiiii hahahahaha

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l День тому

      @@rajabumsuya-hg8jd kweli maana huu ni mchezo km wakata viuno,mauzinde

  • @ChaumaraAli-z5i
    @ChaumaraAli-z5i День тому

    Jamani uzushi sio ushu mambo ya kidini

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 17 годин тому

    Kumbe haya ndio maulid!mm nilikuwa sijuwi mwenzenu!kama ndio yalivyo basi hayana tofauti na kindumbaki!

  • @Abutwaibah001
    @Abutwaibah001 2 дні тому

    MANENO KAYATOA KWA KITABU CHA BARZANJI KINA UPUZI MWINGI SANA NDANI YAKE NDIO WAJINGA KAMA WANA KITUMIA, ALLAH AWAONGOZE KATIKA UISLAMU ULIO ACHWA MTUME S.A.W

    • @YahayaIdarusi-tf8dy
      @YahayaIdarusi-tf8dy 2 дні тому

      Ushadanganywa zako huko ebu lete upuuzi mmoja wapo

    • @hamisimkulu6571
      @hamisimkulu6571 День тому

      Mpuuzi nimamaako

    • @latif15
      @latif15 День тому

      Hilo ni tusi litasimama mbele yako kama kweli muislamu Allah atakusameh ​@@hamisimkulu6571

    • @kheiramour2973
      @kheiramour2973 День тому

      Iyo elimu aliyokuwa nayo barzanji ww huipat mpk kufa ndugu pole

    • @haithamdahillard8746
      @haithamdahillard8746 День тому

      ​@@hamisimkulu6571usimtusi mamake. Wazee wote waliyakubali pengine kasoma haya. No huyo shetwani na mashetwani wenzake wanaotia watu motoni na kuwaita makafiri wameanza Zama hizi. 😂😂😂

  • @alimau7939
    @alimau7939 17 годин тому

    Kama hiyo ndio dini watu wote wangeenda peponi

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni 2 дні тому +1

    Masha Allah

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan День тому

    Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raaajiuuuun!!

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 2 дні тому

    Bakathir huyo

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 21 годину тому

    Hawa machizi Nini?😮😮😮 Duuuuh

  • @AMUUNEWVISSION
    @AMUUNEWVISSION День тому

    Kuna tofauti gani na kanisani apa

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r День тому

      Kanisani huchanganyika wake nawaume navinanda huwemo napia hawavai mavazi yaheshima

    • @FatahSaleh6268
      @FatahSaleh6268 День тому

      Utofaut upo mkubwa sana ukitaka kujua hayo soma brother 🙏 halafu utajua au kama huwez kusoma ulizia kwa watu wanao Juan wakuelezee ndipo utajua utofaut uliopo apo katika dhikri na kanisani 😂😂😂

    • @saidmwakulika706
      @saidmwakulika706 8 годин тому

      Kanisani wanataja mtume pia pengine ushawai kuwasikia

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan День тому

    HII NI IBAADA! AU UJINGA TU

  • @ChaumaraAli-z5i
    @ChaumaraAli-z5i День тому

    Hawa jamaa wazush mno maulid ni ni uzushi

  • @SaidOthman-n5l
    @SaidOthman-n5l 2 дні тому

    Mseje mkatokwa na mashuzi tu hapo

  • @SaidOthman-n5l
    @SaidOthman-n5l 2 дні тому

    Wakata viuno naona

  • @ChaumaraAli-z5i
    @ChaumaraAli-z5i День тому

    ndege ngamia na wanyama wabaria hummh uongo mtupu upotevu

    • @AliNgurudu-i4r
      @AliNgurudu-i4r День тому

      Mtume sisawa nawewe

    • @HassanHossein-jz3mb
      @HassanHossein-jz3mb День тому

      Upotevu gani hembu nenda ukasome dini vizur maan hapo hujui hata kinacho kusudiwa waislam tusomeni tujue dini ninini sio tuna kurupuka tu kuongea tu hiv kam niupotevu hata hiy dini isinge tufikisha hapa

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l День тому

      @@HassanHossein-jz3mb nani alokwambia kuimba ndo kusoma dini?dini gn imefundisha kucheza singeli

  • @SheillaKhamis
    @SheillaKhamis Годину тому

    Povu la wahabi sasa

  • @BaaOmar-j4h
    @BaaOmar-j4h 15 годин тому

    Wapingao hawana elimu ni wajinga tu, Hawa mawahabi, mwajua huu mswahafu ni bidaa au hamjui? Maana mtume (saw) hakupewa mswahafu ,pili, irabu zile fataha kasri dhuma sakna zote ni bidaa!! Mwajua Hilo??? Someni acheni chuki za kipumbavu !!! Madebe matupu nyie!!!

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 2 дні тому +5

    Bingwa gani huyu kafiri mzushu bidaa tu

    • @DohaQatar-w4t
      @DohaQatar-w4t 2 дні тому

      Xio kafir ila uislam hamna Ayo mambo y skri z hivi maana anatamkaa laailaha ila Allah

    • @alijabu6226
      @alijabu6226 2 дні тому

      Usimwite kafir ni makosa ucfate jazaba za nafc yako kuchukia ki2 mpka ukamyoa mwenzio katika dini ndugu

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 2 дні тому +1

      Hatujafundishwa hivyo; kuwaita makafiri walotamka kalimatut tawhiid. Tuwaite tu kwa majina mengine, kama wazushi, wanaokhalifu sunna, wakosaji ktk dini na mengineyo.

    • @RamadhanAlly-y5s
      @RamadhanAlly-y5s День тому

      Umjuwa kafiri ww unajuwa bidahaa ww

    • @RamadhanAlly-y5s
      @RamadhanAlly-y5s День тому

      ​@@DohaQatar-w4tnani amesema akae acha mtajo wake atakuwa ndani yadhiki nenda surati twahaa kasome

  • @MagariUsed
    @MagariUsed 2 дні тому

    Hahahaha eti bingwa wa dhikr!!!!!! Unajua dhikr ni kitu gani wewe?

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 2 дні тому

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 2 дні тому

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

  • @KhamisJuma-mu4rm
    @KhamisJuma-mu4rm 2 дні тому

    Ilijambo kama sikunasibishwa na ibada basi ungaliku ni mchezo mzuri sana ila wamenasibisha na ibada ndipo walipo utia dosari uu mchezo

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 День тому

      Wapi uliposikia hayounayosema

    • @SaidOthman-n5l
      @SaidOthman-n5l День тому

      @@KhamisJuma-mu4rm hakuna ibada hapo wanajivurahisha2 na michezo yao km ulivyo mchezo wa ng'ombe tuu au chandimu, kiufupi mazoezi2

    • @sadrupandu5948
      @sadrupandu5948 День тому

      Ivi wewe hamisi juma unajua allah alisema nini kitu ukiwa hukijui

    • @sadrupandu5948
      @sadrupandu5948 День тому

      ​@@SaidOthman-n5l wewe kasome kwanza ndipo ibada uzifananishe na michezo yenu ya kishetani