Somo nzuri mbarikiwa nyote mulio wezesha channel hii isikikeke ulimwengu muzima nawapongeza nyote munao fatilia mwaalimu daniel mwankemwa hutoa elimu nzuri nime furahiswa wawili hawa kuja pamoja mbarikiwe nyote
Ili uoe wazazi wa mke au walezi budi waridhie, nimesikia ktk harusi ya Hadija alimlewesha pombe baba yake na kumvalisha nguo ambazo ilikuwa ni rasmi kupokelea mahali hata nae alishangaa kujikuta amezivaa baada ya pombe kumtoka na hta kumhoji Hadija"unaolewa na huyu yatima?" Ukweli ni upi ktk hili.
Kuongezea hapo watumishi kuhusu Muhammad, Khadija alikua ni dini ya Nasara ( a christian cult), na Muhammad alikua anajidai Nasara akiwa chini ya mafundisho ya mjomba wa khadija Yan Waraqa bin Naufal na ndio maana hakuweza kuthubutu kuongeza mke, wala kujua wasiokua waislamu kama isemavyo Quran 9:5 na 9:29 hakumiliki sexy slave girls wala kuwachukia wayahudi na kuwatesa, punde tuu mkewe alipokufa na waraqa pia ndo Shetani wake akamdhihirisha mchana kweupe !. Pili kama ulivyisema Khadija ndio aliyemuoa Muhammad, na hata ndoa Yao ilikua ya kisanii maana Khadija alitumia ujanja kimlewesha babaake mzazi na kumvika vazi zuri na kumualika katika ndoa na baadae babaake alipopata fahamu akajuta kua hawezi kumpa muhammad binti yake ilihali tayari ameshawaozeaha ! Halafu huyo ndo mtume wa waislamu wanayemuamini !
Mungu akubariki mtumishi
Somo nzuri mbarikiwa nyote mulio wezesha channel hii isikikeke ulimwengu muzima nawapongeza nyote munao fatilia mwaalimu daniel mwankemwa hutoa elimu nzuri nime furahiswa wawili hawa kuja pamoja mbarikiwe nyote
Mwankemwa ni mwalimu kweli
Nafurahi sana kuwaona Ombi pia oneni mafundisho na mijadara kupitia(kwa kuandika CHRISTIAN PRINCE DEBATES) Bwana Yesu awabariki sana.
Ahsante. Tutaifuatulia
Naomba mtihani ya form four
Ili uoe wazazi wa mke au walezi budi waridhie, nimesikia ktk harusi ya Hadija alimlewesha pombe baba yake na kumvalisha nguo ambazo ilikuwa ni rasmi kupokelea mahali hata nae alishangaa kujikuta amezivaa baada ya pombe kumtoka na hta kumhoji Hadija"unaolewa na huyu yatima?" Ukweli ni upi ktk hili.
Mwalim Daniel.yohana16.13_14.yesu hapo ametoa utabiri wa roho wa kweli.naomba useme ukweli utumishi Daniel
Bausi ninaomba unitumie namba yako ili leo nikutumie link ya somo linalohisiana na hoja yako hii. Tafadhali.
Mwl hivi pamoja na wake wengi aliokuwa nao Muhammad je hakuwa na watoto?
Alikuwa nao lakini wlalokufa na akabali mmoja tu Fatuma
Kuongezea hapo watumishi kuhusu Muhammad, Khadija alikua ni dini ya Nasara ( a christian cult), na Muhammad alikua anajidai Nasara akiwa chini ya mafundisho ya mjomba wa khadija Yan Waraqa bin Naufal na ndio maana hakuweza kuthubutu kuongeza mke, wala kujua wasiokua waislamu kama isemavyo Quran 9:5 na 9:29 hakumiliki sexy slave girls wala kuwachukia wayahudi na kuwatesa, punde tuu mkewe alipokufa na waraqa pia ndo Shetani wake akamdhihirisha mchana kweupe !. Pili kama ulivyisema Khadija ndio aliyemuoa Muhammad, na hata ndoa Yao ilikua ya kisanii maana Khadija alitumia ujanja kimlewesha babaake mzazi na kumvika vazi zuri na kumualika katika ndoa na baadae babaake alipopata fahamu akajuta kua hawezi kumpa muhammad binti yake ilihali tayari ameshawaozeaha ! Halafu huyo ndo mtume wa waislamu wanayemuamini !
Nabii wa uongo wa bar yesu ndie alietajwa katika biblia matendo 13:6
Muhammad hakutajwa katika biblia wala Quran kuwa ni nabii wa uongo
Jua neno nabii nasi Muhammad tu ila hata ww unaweza kuwa nabii wa uongo
@@wasaficlassicshoes manabii wa uongo hutokea kwenu nyinyi huko, hakuna muislamu aliejitokeza akasema yy ni nabii
Muhammad ndiyo nabii wenu@@SalmaAbdul-zz7dy
Muhammad hakuwa nabii?@@SalmaAbdul-zz7dy
Alirogwa muhamad
danile ww ni kafiri tu.hata hio bibilia huna andiko sahihi ilipewa nani