Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Mpira wa bongo umejaa unafki na umbea alikuwa mzee xaxa hivi karud kijana yanga wanafki xana ndio mana soka letu haliki mbali majungu mengi unafki mtupu
Vaa jezi za yanga chama usione aibu sisi simba tushakuacha kwa amn msaliti
Nasikia kila ck usiku viongozi wa simba walikuwa wanamtuma shemalone akampige chama alafu wallikuwa wanampa chama chumvi na ugali😢
Mchezaji bingwa anacheza na timu bingwa
Kazi ni Kaz Kaz njema uendako ukafanye vizuri
Chama matamaa kawa mswahili huyo rushwa kweke kawaida sana kikubwa hela aende kwanza umri umeenda sana kama Saido
Ata gemu yakwanza Simba inafungwa5 manual .inonga chama walikua maduka.
Msariti ana kificho mwacheni aende2
Nenda chama ulikuwa msaliti
Poleni wananzengo wa Ukoloni
CHAMA WEWE NI MSALITI SANA KUMBUKA ULIKOTOKA WALIKUAAMBIA WEWE NI MZEE SASA HUKO UNAENDA KUFANYA NN?
😂😂😂 ugaliiiiiii sukari
acha makasiliko.. kaz yakee n mpiraa huyo,, mzgoo ukiwa mwngn lzm akubar tu, km manara kaenda yanga yeye nan ss... maishaa ndo yalivyoo
Pole asee
Acha ujinga ww hiyo ni kazi yake uyo, kwan kazaliwa simba?
Mpira wa bongo umejaa unafki na umbea alikuwa mzee xaxa hivi karud kijana yanga wanafki xana ndio mana soka letu haliki mbali majungu mengi unafki mtupu
Mbona apo bado ujasema