Watu wanaigiza wasanii kina diamond na harmonise MashaAllah mungu atubainishia sheikh kishki daawah unafanya kwa dhati imeleta matunda na mifano kwa watoto hali ungalipo hai hujakufa tumeshuhudia NASISI nimashahidi kwa hilo HONGERA ALLAHU BAREEK
Wazazi tuwapeleke watoto madrasa ili wapate kumjua ' Allah' na kushiba maneno ya 'Allah' sheikh kishki no 2 ana skills ya ajabu Hongera anajua sana 'Allah 'ampe umli mlefu apate kuitetea dini ya 'Allah' insha Allah
Ma sha Allah. Shukran kwa kutujulisha kuhusu kijana huyu mwema. Allah amjaalie kila la kheri Duniani na Akhera. Na amjaalie awe kijana wa kuigwa na vijana wakubwa na wadogo na wote wale wanaopenda upokezi wa ujumbe wa Allah aliotutumia kupitia kwa Mtume wake Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam. Ila hapo aliposema, Wallahi mjumbe wa Allah angezimia kwa kulia nadhani ni mtoto ameongea anavyodhani. Au mwasemaje viongozi wetu?
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!!! Tabarakallah!!!! Yasssallaaam. Itakuaje Sheikh kishk akose kumpenda kijana huyu ambapo mimi mwenyewe ni mempenda. I love you so much!! Kishki junior love you so much 💕😘. Allahu Akbar. Subhannallah!!!!❤❤❤❤❤❤
Yesu ni mshindi wa ulimwengu penda usipende ndiye nabii pekee aliye fufua njoo kwa yesu kila pepo linakimbia mungu hana lugha wa dini matendo ndiyo yatakayokufikisha mbinguni
Hvi we unaelewa unachokizungumza we unamatendo gani ya kuingia peponi haliyakuwa unaingia kufany ibada na viatu unalal bila dua unakula bila dua unaoga bila dua unamatendo gani ya kukupeleka mbinguni
Ya rabb mjaalie kijana huyu afya na amani na umuongoze katika njia iliyo nyooka pamoja na wazazi wake inshaallah.
Mash allah tabarak rahman....ALLAH amuhifadhi huyo mtoto na kila shari na kila hasad balaa atukuzie atuhifadhie yarab... allahuma amin....
Mash Allah Allah akujaalie kila la kheri ahera na dunia inapendeza sana
MashaaAllah Tabaraka Rrahman 🙏🙏🙏🙏🙏🙏Allah awatuzidishie Hawa watoto elimu Na kheri Na barka télé izi ni Zawadi kutoka kwa Allah
Allah amjaalie kila lenye heri na yeye sheh huyu na awajaalie na wenetu na sisi wafuate nyayo za mtoto huyu Amiyn
Kizaz chema Allah akupe mwanga ktk safari YAKO ya maisha mwangu
Allah (SWT) akuangazie nur siku zote, akuepushe na hasaa na akupe umri mrefu uiangazie Quran tukufu na sifa zake❤
Mashallah
Watu wanaigiza wasanii kina diamond na harmonise MashaAllah mungu atubainishia sheikh kishki daawah unafanya kwa dhati imeleta matunda na mifano kwa watoto hali ungalipo hai hujakufa tumeshuhudia NASISI nimashahidi kwa hilo
HONGERA ALLAHU BAREEK
Mashallah,vipaji vya watoto vinaonekana kwtu bongo,Allah akbar
Masha Allah. Niyakitambo lkn
Mashaa Allah,TZ tunao mashekh chipkizi wengi,mashekh washikeni mikono hawa watoto,hii ni neema kubwa sana
Mashallah allah akuzidishie kipaj zaid amin
Mashaallah. Huyu mtoto kipaji maalumu, Allah amnusuru na macho ya watu wabaya na amuondoshee nuhsi
AMIIN
Amiin Yaraby
Amiin
Amiin
Mung azdi kukuimanisha amni
Wazazi tuwapeleke watoto madrasa ili wapate kumjua ' Allah' na kushiba maneno ya 'Allah' sheikh kishki no 2 ana skills ya ajabu Hongera anajua sana 'Allah 'ampe umli mlefu apate kuitetea dini ya 'Allah' insha Allah
Nimejifunza jambo kubwa saaana kupitia mtoto huyu 😭Allah amuhifadhi na watu madwalim...( Aliejaaliwa ni yule anaetuii Allah...
Maa shaa Allah Maa shaa Allah Maa shaa Allah.Allahu Aqbar
Masha Allah mwakan na yy ashindane katika mashindano ya kusoma Qur'an
Ishallah mungu amzishe kumpa kipaji na hamuifadhi katika daraja la waladi katika daraja la firdaus
Huu ndio mfano mwema wa kuwiga swiratul mustaqeema. Sio bongo music.
Masha Allah
Subhana Allah
Allah amuhifadhi mtoto huyu🤲🏻💚
Ameen
Allah amtie nguvu kijana mzuri katka dini yetu tukufu. Aamiyn
Mashaallah mashaallah Allah akuongoze mtoto mwema,Akukinge na kila shari
From oman mascat nawapata vizuri shekh kishiki na pacha wako masha Allah
Maashaallah
🤝🤝🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Mashaallah Allah ampe umr mrefu na mwisho mwema na sisi pia mtoto huyu nimempenda San mungu amuongeze amzidishie elimu yake
Mashaallah Allah mkinge na shari mahasidi
Allah atujaalie na sisi tupate vizazi vyema Inshaallah
Mashallah
Atami nime furahi alhamdulillah alhamdulillah ninemaa
MashaAllah Allah amjalie mwisho mwema! Huyu kijana pamoja masheikh wote kwa uwezo wa Allah! Allah tu ndiye mwenye uwezo
Ma sha Allah. Shukran kwa kutujulisha kuhusu kijana huyu mwema. Allah amjaalie kila la kheri Duniani na Akhera. Na amjaalie awe kijana wa kuigwa na vijana wakubwa na wadogo na wote wale wanaopenda upokezi wa ujumbe wa Allah aliotutumia kupitia kwa Mtume wake Muhammad, Swalla Allahu alayhi wa sallam. Ila hapo aliposema, Wallahi mjumbe wa Allah angezimia kwa kulia nadhani ni mtoto ameongea anavyodhani. Au mwasemaje viongozi wetu?
Aaamyn yaa rabbal aalamyn
Mashallah allah swt amu ongoze kishki wa kama chumu..na nimefurahi sana jinsi alivo soma
Mashaalla mtoto mzuri m.mungu akuzidishie ufahamu zaid
Walah shekhe kishki umeanza kutengeneza kizazi cha kumjua mungu kwa kukufuta wewe jambo zuri munyeezi mungu akujaalie khery ili wawe wengi
Mashaa Allah Sheikh kishk mwenyezimugu awalinde niko nsumbiji sijui kiswahil vizuru
Maashallah Allah amzidishie elmu lnshallah
Allahu akbar, , Allah awahifadh watoto wote wenye kuwapenda mashekhe na uislamu
Mashaa allah sheh Kishk for that surprise. We've anjoid a lot.
Mashaalah barakallah Allah awaongoze watoto wetu inshallah
sheikh kishik tunakupenda lillah
Mashaallah mashaallah mashaallah..mungu azidi kukuongoza mtoto mzuri ❤
Wallah nimelia kwa furaha.allah akubariki mwanangu daaaah
SubhanaAllah...Allahu akbar...mashAllah tabarakaAllah......may Allah guide him on the straight path until his old age ameeen.
MaashaAllah Kishk mdogo Allah akubari na akuongoze💖❤
Mashaallah Allah amhifadhi Kishki Junior wetu,Amiin yaa Allah
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher
Subhaana llah Ametakasika Mola wangu,neema iliyoje ukiwa mfano mwemaa sheikh wangu Alhamdulillah Rabbil'Alaamina kijana yupo vizuri amepita mlemle maishaallah
MashaAllah wallah nimefurh kijana anaigiza kila neno la sheikh.. Na hivi ndivyo tunavyoomba sote vijana tuige mifano kama hii
Mashaallaha
@@user-xc2sn1sj5v
Maa Shaa Allah!
Allah Subhannahu Wata'ala ambariik na Kumhifadhi, Aamiin.
Mr nice anasemaje
Dudu zuri anasemaje
Adija nyusi anasemaje......Allah tupe watoto wema kama huyu kiumbe in Shah Allah 🤲
Mashaallah.alla atuwekee tabiitabiina watabiina wakizaz chamtume Muhammad s,a,w
Maishallah allah ampe mwisho mwema inshallah
Maa shaa Allah mpk machozi yamenitoka, Allah akuhifadhi kijana
Allaahu Akbar. Mwenyezi Mungu ampe nguvu ya kuitetea dini ya kiislam hadi kufa kwake. Aamin
Mtoto ukovizuli m/mungu akuongezee erim na mwisho wako uwemwema
Mashallah Allah awajaze neema tele walimu wetu na walezi wetu aaaamin🤲
Maaxhaallah allah atupe kizaz kilichokuw bor na si bor tu kizaz
Masha allah mwenyez mungu amjaalie ujuzi zaid
MashaAllah MashaAllah M/Mungu afikishembali zaid Amiin ya Rabbi Allahmin ya Rabbi 🤲🏿🤲🏿🤲🏿
Masha Allah Allah azidi kumuongoza katika njia ya kumpendeza Allah
Hakika mungu ni mkubwa na katika hii dunia hakuna asie na akili maarifa2 ndyo wngne hawana takbirrr
Shukran Kishk wa kamachumu., Allah akujaze kheri
Mashallah mjomba hodar mana anakipaji cha kusomesha mungu mlinde maalim wetu .
Allah bariq mashaallah watabaraqallah
Aslm alkm ww.... Masha Allah!!!! Tabarakallah!!!! Yasssallaaam. Itakuaje Sheikh kishk akose kumpenda kijana huyu ambapo mimi mwenyewe ni mempenda. I love you so much!! Kishki junior love you so much 💕😘. Allahu Akbar. Subhannallah!!!!❤❤❤❤❤❤
Mashallah mashallah muzazi kazi nzuri
Mashaallah allah akuhifadhi na macho ya watu wabaya
ALLAH AKBAR: MASHA ALLAH TUNAONA WATOTO WENGI CHIPUKIZI, WENYE VIPAJI KATIKA KUTOA DA'AWA,: ALLAH AWALINDE.
Mashaallah Allah amjaalie yaliyo mema na elim ya juu juu yadini
Tunakupenda Sana sheikh kishik hongera sana Allah akuhifadhi uzidi kutuelimisha
Jazakallahu lkheir yaa waladu swaaliha ❤
Mashaaallah ALLAH amwongezee
Yesu ni mshindi wa ulimwengu penda usipende ndiye nabii pekee aliye fufua njoo kwa yesu kila pepo linakimbia mungu hana lugha wa dini matendo ndiyo yatakayokufikisha mbinguni
Hvi we unaelewa unachokizungumza we unamatendo gani ya kuingia peponi haliyakuwa unaingia kufany ibada na viatu unalal bila dua unakula bila dua unaoga bila dua unamatendo gani ya kukupeleka mbinguni
Adi raha jamani kishik mutot👌😘😘
Maa shaa Allah, tabarka Allah
Masha Allah Allah amuongoze kwa kipaji chaki juu ye ndio mpatiaji in shaa Allah
Mashaallah
Allah amujlie kijna hyu kila lakher n awasamehe wazizi wke n awafnye wakuwe n wtu w peponi
Allah akujaliye mtoto akuepushe na shetwani akujalieye kuitangaza uwislam ndiyo dini ya haki inshallah Allah atakulipa
Masha Allah mwenyezimungu amuepushe nahasadmtthuyo
Allah amtangulie mtoto huyu na amuongoze na njia ilionyooka njia ya kher
Allah Akuhifadh Mashallah barakafiyhum
MashaALLAH huyu kijana atakuwa kiongozi wa kesho IN SHA ALLAH
Mashaallah, allah akupe heri nyingi wewe na wazazi wako ameen.
MaanshaAlĺah,Allah Awke Kira Khair.
Mashallah Allah atujalie vizaz vyema
MASHAAAالله MASHAA االه MASHAA الله TABAAARAKA لله.😢😢😢😢😢
Mashaallah mwenyezmung akupe umr mrefu
MashaAllah baraka Allah fiq
Shekhe nurdin kishki allah akujalie afya njema na barraka uzidi kutangaza qur an tukufu na sunna za mtume muhammad s.a. w
Masha Allah,,baarakallahu fiikum
Maashallah Maashallah Allah ampe nguvu na afya
ماشاءالله.
Keep going young star,u will be amoung the leaders of tomorrow inshallah
Maashallah Maashallah Maashallah Maashallah allah amuhifadhi kijana hyo amiin ya rabbi
HONGERA HONGERA HONGERA SHEIKH KISHKY ALLAH AKUJAZE KATIKA MIZANI YAKO MEMA
mm nimkrsto lakin naipenda sana dni y kiislamu....
Allah, Akuingoze yaa Ndugu yetu
Maa sha Allah wallah raha sana Allah atupe vizazi vyenye kumcha Allah na kuwapendwa na kuwaiga masheikhe wetu kwa mema
Mashaallah tabarraka Rahman Allah amuhifadhi
Subhana llah alhamdullillah mashallah 🥰🥰
MaashaAllah maashaAllah❤❤❤❤❤❤
Mashallah mtoto uko vizuri mnooooo
Allah ambaarik hmm ♥️♥️♥️♥️
MASHALLAH ALLAH AKUFANYIE WEPES INSHALLAH
SUBHANALLAH vipaji vipo Kwakweli.
ALLAH tujaaliye wana Wema
Mashallah, Alla amlinde mwanetu awe kiboko cha ulimwengu
.ماشاء لله تبارك الرحمن يا ولد الله يجزيك الخير ويحفظك
Maa shaa Allah tabaalakAllah Kishk wa Bukoba
Maa Shaa Allah!! Allahu baarik Allah akuzidishie Elimu mwanangu,mdogo wangu Shekh kishk Allah akuhifadhi Sana
Mashaallah ustadh wetu mungu akubariki kwa dunya na akhira
Mashaaa الله Mashaaa الله Mashaa الله.