WAREMBO WANNE WAMUWASHIA TAA MR RIGHT | AFANYA MAAMUZI MAGUMU | SUZI BALE AMPA ONYO MR RIGHT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 тра 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 106

  • @MaxwellLegnardoElias
    @MaxwellLegnardoElias 2 місяці тому +2

    Janet i know you from dodom city,hanet village god bless you

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 2 місяці тому +4

    Hahahahahhahahahahahahahaaaaaaa nimecheka sanaa NAMPENDA SUZY BALE

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 2 місяці тому +5

    Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂

  • @LidiaElias-k6b
    @LidiaElias-k6b 25 днів тому

    Jaman

  • @iddydanna6641
    @iddydanna6641 2 місяці тому +1

    Big yash😂

  • @user-db9tu5lv4z
    @user-db9tu5lv4z 2 місяці тому +1

    😢huyu mdada 🙌💔si anaenda kwa lennie beauty Store au sio yy

  • @SelemanMilumba
    @SelemanMilumba 2 місяці тому

    Nampenda sana suzi sitamani aondoke

  • @asmoretune
    @asmoretune 2 місяці тому +3

    sifuatiliii tena huu ujinga yaan huyu bro alishatokaga nademu wake apo ety kaja na mnamruhusu kuchagua tena kwaio mnatufundisha nn apo ni mahali pakuchukua wanawake kwa muda sindyo😭 idont expect that

  • @KigorofaniKigorofani
    @KigorofaniKigorofani 2 місяці тому +1

    Janeth❤

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i 2 місяці тому +4

    Huyo naumbile lake alivyo mnene kigauni kifupi

  • @soniamarther5937
    @soniamarther5937 2 місяці тому

    Mkuwe mna tuwa full video please

  • @pamelafelix6361
    @pamelafelix6361 2 місяці тому +20

    Ila uyu kaka si alishawahi kuja apa na aliondoka na yule dada mwenye dred kichwani😢😢😢😢😢😢😢😢😢nimelia sana

    • @user-ju3nm8oc1c
      @user-ju3nm8oc1c 2 місяці тому +1

      Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.

    • @user-ju3nm8oc1c
      @user-ju3nm8oc1c 2 місяці тому +1

      Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.

    • @bhokesaid3264
      @bhokesaid3264 2 місяці тому +1

      Wanaigiza hao hakuna hata1 aliyeserious wote ukiwaona huku siku kadhaa utawaona kwenye comedy,music,tangazo na chochote so not serious

    • @Official83640
      @Official83640 2 місяці тому +1

      Kwani inakuwaga kweli na maigizo tu hayo ht Mwijaku aliwahi kusema unaowaona hapo wote km wanalipwa tu kuendesha kipindi lkn hamna ukweli wowote

    • @AbdulDc-oc7ps
      @AbdulDc-oc7ps 2 місяці тому

      Ndio yy

  • @reginamtitu5592
    @reginamtitu5592 2 місяці тому +2

    Aenderee Suzi kuwepo kwenye jukwaa

  • @FatumaNurdin-ob7br
    @FatumaNurdin-ob7br 2 місяці тому +1

    Uyu dad s alkua kwenye kipnd cha mr uk na uyo bwan wamejfanny wameachan kumbe waongo shenzeiiii

  • @Sara-iz2nr
    @Sara-iz2nr 2 місяці тому +2

    Suzi namupenda ❤❤❤

  • @N254NK
    @N254NK 2 місяці тому

    Yani no one has chosen that chic in green

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 2 місяці тому +1

    Msenge tu huyu jamaa nimejua kipind cha ovyo kabisa kama ushakuj na kuchukua dem inakuaje urud tena kwanza ni kipind cha kujitangaz maan madem wengi waliopita nawaoan wanaigiza igiza vichekesho wengine wapo na akina ndaro wengine jua kali wengine sijui vikatuni mpka hapo nikajua kwamba hawa wapo kujitangaz wapate fursa za usanii usanii maigizo ya tamthilia soon mtamuona eliz nae anaigiz subilini

  • @innocentkanyata9923
    @innocentkanyata9923 2 місяці тому +1

    Sasa ya nini kumkasilikia mtu? Huyo Bibi mtoen hapo

  • @LovelyCoastline-il1lr
    @LovelyCoastline-il1lr 2 місяці тому +2

    Suzi unaongea mpaka unakera sasa unakuwa kama gigy money

  • @sammyzumesh8162
    @sammyzumesh8162 2 місяці тому +8

    Na mkuwe na mbwembwe ka Mr right ya Kenya😂😂😂😂

    • @habi78121
      @habi78121 2 місяці тому

      show za kistarabu so km kwenu kenya fujo tu mwanzo mwisho😂😂😂😂

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 2 місяці тому

      Kwenu wamechanganyikiwa yani wanawake wenu jeuri😂😂😂

    • @user-xr6xk9lb5c
      @user-xr6xk9lb5c 2 місяці тому

      Watu wanajiheshimu tu. Bwebwe za nini?

    • @bintsaid7696
      @bintsaid7696 2 місяці тому

      ​@@habi78121😂😂😂ila watu wangu WA +254 Wana npunga banaa Ile ya ma ex walipo kutana😂😂😂😂😂

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 2 місяці тому

    Inaonekana urefu ni deal, mimi na ufupi wangu huu nahangaika wee kupata mwanamke wa kuoa sipat lakin mwamba wanawake wote wanne wanamtaka😮😅🙌

  • @Officialrockzompa
    @Officialrockzompa 2 місяці тому

    Suzy baleee😂

  • @farajangwema4663
    @farajangwema4663 2 місяці тому

    Jamani huo ni uchumba sio ndoa so wakimech tabia wanaendelea wasipo mech wanaachana akimpata wanaemechi wanafunga ndoa

  • @user-sn4fu7hd6u
    @user-sn4fu7hd6u 2 місяці тому

    😂😂😂suz jaman punguz kuongea bas

  • @NsiaNdanshau
    @NsiaNdanshau 2 місяці тому +1

    Jane njo najambo naww sio kwa uzuri wako embu njoo

  • @YazrinKajia-rk8fc
    @YazrinKajia-rk8fc 2 місяці тому

    Jamani huyo Suzy anaboa mtoeni kwenye kipind, mdhalilishaji bwana hachagui maneno yakuongea watu watajiskia vibaya isee

  • @deecokujory
    @deecokujory Місяць тому

    Et sahv wameachana duh mapensi konyoooo

  • @FadhiliMbise-jo3vr
    @FadhiliMbise-jo3vr 2 місяці тому

    Mama agness kasha aribu nyota ya mwanae

  • @FATUMACHIPYANGU
    @FATUMACHIPYANGU 2 місяці тому +1

    Uyo mkaka alishawahi kuja apo mbona😮

  • @MchelliLaizer
    @MchelliLaizer 2 місяці тому +1

    Alafu uyu si alibadisha jina akaijiita fey momo huku anaitwa jina lingine uyu dada mcharuko

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 2 місяці тому

    ❤❤

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h 2 місяці тому +1

    SUSY HAFAI ANAONGEA SANAAA😮

  • @RehemaMwampashi
    @RehemaMwampashi 2 місяці тому +1

    Kamchukua na kamuach

  • @Patrisha600
    @Patrisha600 2 місяці тому

    Wameachan kidaa bidad anachat na ex wang inakeraa kwa kwel. Boraa angeondok na sindelelaa ndoa ingekuwepoo😄😄

  • @rachelpatrick3749
    @rachelpatrick3749 Місяць тому

    Mtoenii Suzy bale anaongea sanaaa

  • @AbdulDc-oc7ps
    @AbdulDc-oc7ps 2 місяці тому

    Kama awana watu wapya si waseme mpaka arudie mwamba uyo

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 2 місяці тому

    Huyo mwanamama apunguze maneno inaboa kipindi

  • @user-jx8et3mk1p
    @user-jx8et3mk1p 2 місяці тому

    Suzi anaongea haid kunachangamka 😅

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 2 місяці тому

    Mi tu hiyo brauzi ya haria uwiii hadi aibu

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh 2 місяці тому +1

    Huyo dada aliechaguliwa nimemuona kwenye interview na Mr uky tena alisema ameachwa na bwana bila kujua na walikutana hapo Mr right walidumu km miezi mitatu 😂😂😂 kwaiyo atakua kurudi tena hapo

    • @salmakasim8390
      @salmakasim8390 2 місяці тому

      Sindio na me nashangaa nimemuona pia anajiita fay momo

    • @user-rk7iw5mw8z
      @user-rk7iw5mw8z 2 місяці тому +1

      C ndio apo kwa Mr right anajiita Lisa kwa Mr uky anajiita faymomo duh dunia Ina watu wa ajab kbx

    • @MchelliLaizer
      @MchelliLaizer 2 місяці тому

      Me mwenyewe nashangaaa

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 2 місяці тому +3

    Suzi arudi mtaani tu

  • @lyidiajuakaly3335
    @lyidiajuakaly3335 2 місяці тому

    Wameshaachana tayari hawa🤣🤣🤣🤣 nyie

  • @user-kp8bp3em7v
    @user-kp8bp3em7v 2 місяці тому

    NAONA KAMA MOVE TU KILA MARA NAONA WAKINDOKA NA KURUDI SASA SHIDA INAKUA NI NINI?
    WALIOOLEWA TOKA KWENYE JUKWAA LA MR RIGT MTUPE NA TAARIFA ZAO NA WATOTO JAMEN

  • @JeremiaNanyaro
    @JeremiaNanyaro 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢

  • @paschalmichael9744
    @paschalmichael9744 2 місяці тому

    Lucy

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 2 місяці тому +1

    😂😂😂 hii nayo n aina ya umalaya wa kidigital yn wa kixomi 😂 mnajiuza kisasa dah

  • @pilselman2955
    @pilselman2955 2 місяці тому

    Kwan Eliza na na zalisha wako wp jaman maan mie sijanglia sikunying

    • @MariyaChaki
      @MariyaChaki 2 місяці тому

      Hhhh ata mmi nimejiuliza wapi wapi au wamejiondokea soko gumu

    • @MariyaChaki
      @MariyaChaki 2 місяці тому

      Hh mienyewe najiuliza

  • @maryamedi9141
    @maryamedi9141 2 місяці тому +2

    Hyu kaka alikujanga akapata na mchumba mbon tena karudi

    • @user-hp6pq9fb2l
      @user-hp6pq9fb2l 2 місяці тому

      Ni kumega na kuacha hiyo

    • @pamelafelix6361
      @pamelafelix6361 2 місяці тому

      Si ndo nashangaa jaman....watu mna kumbukumbu aisee😂😂😂

    • @maryamedi9141
      @maryamedi9141 2 місяці тому

      @@user-hp6pq9fb2l 🤣🤣🤣

    • @maryamedi9141
      @maryamedi9141 2 місяці тому

      @@user-hp6pq9fb2l duuh hatri

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 2 місяці тому

      na huyu ameshamuacha eti kamwambia ana safiri mawasiliano hamna nimetoka kuangalia mahijiano kwa yule mwenzake na kiredio huyu dada anaajita sijui nan momo

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t 2 місяці тому

    Icho kipindi wanatafuta tu ustar hamna lolote

  • @Salimuyusufu
    @Salimuyusufu 2 місяці тому +1

    mbona kama huyu jamaa amerudi mara ya pili

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 місяці тому +1

      😂kumbe nawewe umeona eee,yan nikajiuliza mbona kama nimewahi kumuona humu

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 2 місяці тому

      Mi mwenyewe nimeshangaa

    • @joyce55727
      @joyce55727 2 місяці тому

      Ndio yeye kalud

    • @pamelafelix6361
      @pamelafelix6361 2 місяці тому

      Nimeshangaa Sana....alaf na izo bigG zake anatafunaga kama ng'ombe aliyecheua😤😤😤

    • @mercychepteekilovethismovi912
      @mercychepteekilovethismovi912 2 місяці тому

      Hata mi naona hivo

  • @celinamputacelinamputa3577
    @celinamputacelinamputa3577 2 місяці тому

    Saivi washa achana

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 2 місяці тому +2

    Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x 2 місяці тому

      😂😂😂 Gara B hatak kabisa kuambiwa ivo😂😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 2 місяці тому

      @@user-vz4xv7lg3x 😂😂😂

    • @restypeter1141
      @restypeter1141 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂 Yani macho yamtok​@@user-vz4xv7lg3x