WAREMBO WANNE WAMUWASHIA TAA MR RIGHT | AFANYA MAAMUZI MAGUMU | SUZI BALE AMPA ONYO MR RIGHT
Вставка
- Опубліковано 12 тра 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Розваги
Janet i know you from dodom city,hanet village god bless you
Hahahahahhahahahahahahahaaaaaaa nimecheka sanaa NAMPENDA SUZY BALE
Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂
Jaman
Big yash😂
😢huyu mdada 🙌💔si anaenda kwa lennie beauty Store au sio yy
Nampenda sana suzi sitamani aondoke
sifuatiliii tena huu ujinga yaan huyu bro alishatokaga nademu wake apo ety kaja na mnamruhusu kuchagua tena kwaio mnatufundisha nn apo ni mahali pakuchukua wanawake kwa muda sindyo😭 idont expect that
Janeth❤
Huyo naumbile lake alivyo mnene kigauni kifupi
Mkuwe mna tuwa full video please
Ila uyu kaka si alishawahi kuja apa na aliondoka na yule dada mwenye dred kichwani😢😢😢😢😢😢😢😢😢nimelia sana
Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.
Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.
Wanaigiza hao hakuna hata1 aliyeserious wote ukiwaona huku siku kadhaa utawaona kwenye comedy,music,tangazo na chochote so not serious
Kwani inakuwaga kweli na maigizo tu hayo ht Mwijaku aliwahi kusema unaowaona hapo wote km wanalipwa tu kuendesha kipindi lkn hamna ukweli wowote
Ndio yy
Aenderee Suzi kuwepo kwenye jukwaa
Uyu dad s alkua kwenye kipnd cha mr uk na uyo bwan wamejfanny wameachan kumbe waongo shenzeiiii
Suzi namupenda ❤❤❤
Yani no one has chosen that chic in green
Msenge tu huyu jamaa nimejua kipind cha ovyo kabisa kama ushakuj na kuchukua dem inakuaje urud tena kwanza ni kipind cha kujitangaz maan madem wengi waliopita nawaoan wanaigiza igiza vichekesho wengine wapo na akina ndaro wengine jua kali wengine sijui vikatuni mpka hapo nikajua kwamba hawa wapo kujitangaz wapate fursa za usanii usanii maigizo ya tamthilia soon mtamuona eliz nae anaigiz subilini
Sasa ya nini kumkasilikia mtu? Huyo Bibi mtoen hapo
Suzi unaongea mpaka unakera sasa unakuwa kama gigy money
Na mkuwe na mbwembwe ka Mr right ya Kenya😂😂😂😂
show za kistarabu so km kwenu kenya fujo tu mwanzo mwisho😂😂😂😂
Kwenu wamechanganyikiwa yani wanawake wenu jeuri😂😂😂
Watu wanajiheshimu tu. Bwebwe za nini?
@@habi78121😂😂😂ila watu wangu WA +254 Wana npunga banaa Ile ya ma ex walipo kutana😂😂😂😂😂
Inaonekana urefu ni deal, mimi na ufupi wangu huu nahangaika wee kupata mwanamke wa kuoa sipat lakin mwamba wanawake wote wanne wanamtaka😮😅🙌
Suzy baleee😂
Jamani huo ni uchumba sio ndoa so wakimech tabia wanaendelea wasipo mech wanaachana akimpata wanaemechi wanafunga ndoa
😂😂😂suz jaman punguz kuongea bas
Jane njo najambo naww sio kwa uzuri wako embu njoo
Jamani huyo Suzy anaboa mtoeni kwenye kipind, mdhalilishaji bwana hachagui maneno yakuongea watu watajiskia vibaya isee
Et sahv wameachana duh mapensi konyoooo
Mama agness kasha aribu nyota ya mwanae
Uyo mkaka alishawahi kuja apo mbona😮
😅
Alafu uyu si alibadisha jina akaijiita fey momo huku anaitwa jina lingine uyu dada mcharuko
Kabisa n huyo😅kumbe umeona kama mm
❤❤
SUSY HAFAI ANAONGEA SANAAA😮
Kamchukua na kamuach
Wameachan kidaa bidad anachat na ex wang inakeraa kwa kwel. Boraa angeondok na sindelelaa ndoa ingekuwepoo😄😄
Mtoenii Suzy bale anaongea sanaaa
Kama awana watu wapya si waseme mpaka arudie mwamba uyo
Huyo mwanamama apunguze maneno inaboa kipindi
Suzi anaongea haid kunachangamka 😅
Mi tu hiyo brauzi ya haria uwiii hadi aibu
Huyo dada aliechaguliwa nimemuona kwenye interview na Mr uky tena alisema ameachwa na bwana bila kujua na walikutana hapo Mr right walidumu km miezi mitatu 😂😂😂 kwaiyo atakua kurudi tena hapo
Sindio na me nashangaa nimemuona pia anajiita fay momo
C ndio apo kwa Mr right anajiita Lisa kwa Mr uky anajiita faymomo duh dunia Ina watu wa ajab kbx
Me mwenyewe nashangaaa
Suzi arudi mtaani tu
Yaani anachamba km ugomvi!!!😮
Wameshaachana tayari hawa🤣🤣🤣🤣 nyie
NAONA KAMA MOVE TU KILA MARA NAONA WAKINDOKA NA KURUDI SASA SHIDA INAKUA NI NINI?
WALIOOLEWA TOKA KWENYE JUKWAA LA MR RIGT MTUPE NA TAARIFA ZAO NA WATOTO JAMEN
😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢
Lucy
😂😂😂 hii nayo n aina ya umalaya wa kidigital yn wa kixomi 😂 mnajiuza kisasa dah
Ukweli usemwe tu
Hahaha et ukwl usemwe
Kwan Eliza na na zalisha wako wp jaman maan mie sijanglia sikunying
Hhhh ata mmi nimejiuliza wapi wapi au wamejiondokea soko gumu
Hh mienyewe najiuliza
Hyu kaka alikujanga akapata na mchumba mbon tena karudi
Ni kumega na kuacha hiyo
Si ndo nashangaa jaman....watu mna kumbukumbu aisee😂😂😂
@@user-hp6pq9fb2l 🤣🤣🤣
@@user-hp6pq9fb2l duuh hatri
na huyu ameshamuacha eti kamwambia ana safiri mawasiliano hamna nimetoka kuangalia mahijiano kwa yule mwenzake na kiredio huyu dada anaajita sijui nan momo
Icho kipindi wanatafuta tu ustar hamna lolote
mbona kama huyu jamaa amerudi mara ya pili
😂kumbe nawewe umeona eee,yan nikajiuliza mbona kama nimewahi kumuona humu
Mi mwenyewe nimeshangaa
Ndio yeye kalud
Nimeshangaa Sana....alaf na izo bigG zake anatafunaga kama ng'ombe aliyecheua😤😤😤
Hata mi naona hivo
Saivi washa achana
Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂
😂😂😂 Gara B hatak kabisa kuambiwa ivo😂😂
@@user-vz4xv7lg3x 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Yani macho yamtok@@user-vz4xv7lg3x