KUMEKUCHA :MH MOHD MTAMBWE AMTIBUA WAZIRI AMFOKEA KWA HASIRA HILI NI BARAZA TUKUFU USIZUNGUMZE VITU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 чер 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

КОМЕНТАРІ • 22

  • @zahiribrahim8319
    @zahiribrahim8319 9 днів тому

    Kweli hili baraza la wawakilishi ni sehemu nzuri dunia nzima hakuna kama utafuatilia vizuri kwa makini! 😮 lazima utachanganikiwa tu hahaha 😂 na njaa utatuliaaa ! Na utatafuta bakuli la urojo na juisi ya mua! 🎉 Zanzibar, Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v 7 днів тому

    Nzuri

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 9 днів тому +2

    Miaka 60 bado inchi inajengwa tu hata mupewe miaka 10000 hamna kitu jazeni matumbo musubiri presha mufe

  • @alimau7939
    @alimau7939 9 днів тому +1

    Hayo ni maendeleo au ni huduma za jamii

  • @abdallaali8173
    @abdallaali8173 8 днів тому

    Kumbuka tu mheshimiwa kuwa kuna sehemu hawajawahi kuona lami kwny barabara zao kwa muda usiopungua miaka hamsini ikiwemo Msuka na Makangale . Na umeme haujawahi kaa siku tatu bila kukatika mara 10 au zaidi,peleleza utaona.

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 9 днів тому

    pole sana

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 9 днів тому

    Baraza limekua sehem ya kampeni, jibuni hoja mnazoletewa acheni kupiga kampeni na na kutoka mapovu, Uchawa hautotufikisha mbali

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 8 днів тому

    Huyu. Wazir. Au. Wazera. Walewaimbaji

  • @AnnoyedChickens-eg5pb
    @AnnoyedChickens-eg5pb 9 днів тому

    Jamaa yangu hujatembea nn maendeleo yapi tembea wacha kujificha donge ukija mjini unaona umefika

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 8 днів тому

    Tupikie nini gesi njaa kali

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 9 днів тому

    Kumbeunajitetea kwakua nimkabiziwa

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 9 днів тому

    Huyu kweli anatoka Donge!Karne hii unazungumzia maendeleo ya umeme na Maji?😂😂😂

  • @attaysaid2224
    @attaysaid2224 8 днів тому

    Acheni ujinga c nguvu ya mtu Bali ni nguvu ya wananchi

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 8 днів тому

    Miaka 60 bado barabara tu

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 9 днів тому

    Jamaa mbona kipovu kinakutoka, nenda kasikilize bajet ya Singapore hautasikia jina la Rais ww unajipendekeza utaondoka huna msaada wowote ni mzigo tu. Yote unayosema ni huduma muhimu zinatakiwa ziwepo kwa kila eneo.

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 9 днів тому

    Wasenge . Wakumbavu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 9 днів тому

    Al jununu fununu!Kwa Hali hii tutafika kweli?

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 9 днів тому

    Hawa Mawaziti wote wa Unguja wakijibu madusli ya Wawakilishi wa Pemba lazima waingize chuki sijuwi kwanini?yasni ni ubaguzi juu ya ubaguzi!wanakwepa hoja na badsla yake wanaleta porojo!

  • @AnnoyedChickens-eg5pb
    @AnnoyedChickens-eg5pb 9 днів тому

    Ww CCM tafuta pombe unywe baba Yako alikuwepo wapi

  • @salimalrumhy7575
    @salimalrumhy7575 9 днів тому

    Kila Waziri akisimama na kumtomtaja rais atleast mara 5 kwa hesabu, Basi anaulizwa vp wewe kulikoni😂

  • @Pemba680
    @Pemba680 7 днів тому

    Mjinga sana uyu jamaa
    Anavyoongea tu unapata picha safi kbsa kuthibitisha kuwa ni mjinga

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 7 днів тому

    Mjinga mkubw ww