Yohana 8:12 [12]Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima. Yohana 11:25-26 [25]Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; [26]naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo? Yohana 14:6 [6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Mungu ata mlipa kheri
Kidume ktk ubora wake,Allah akujalie pepo ya firdaus.
Yohana 8:12
[12]Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.
Yohana 11:25-26
[25]Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi;
[26]naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
Yohana 14:6
[6]Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Nae kaua kikatili angalia maneno yenu
Yahya al-sinwar 🙌
Wanao chomesha ni waarabu wenzao ni washirika wa marekani.saudia
Ama kweli akuanzae mmalize
Aliua 1,200 kasababisha Israel iue 40,000
Japo una mawozo ya kikafir wenda mmoja wao.sinwar ameenda kula supu na mtoto wa mariamu aduwi wao ni 1 myaudi.
Sasa ameuwawaje mbona hatuoni
Ipo siku mtakuja kuuona uhalisia wa muisrael na mmarekani endeleeni kuwashabikia
Acha afe tu nayey kauwa sana kwa kuamini dini zao za visasi hovyo sanaa
Mwaka mzima sasa mnapigana na watu wenye silaha hafifu.
Acha wapewe dozing hapo wanapigwa waarabu wote na ugaidi wao.......
Hapo ni nchi zaidi ya 10 zinapigwa
Kumbe lilikuwa GAIDI LILILOSHINDIKANA wacha apumzike, kaua wengi saaana
Majina ya wapenda haki wakitetea aridhi yao
Lakini hamshindi Nyetayau huyo ndo gaidi ameua wengi zaaidi ya yahya mungu ampumzishe mahali pazuri amani
@@halimamasai2234 ye anaua baada ya kuchokozwa,
Wakristo na wuyahudi hawawezi kuwa karibu na waislamu QURAN ishasema kwahiyo sio ajabu na hasa hawa Wakristo wa kiafrica watumwa
@@binseif2216 💪💪💪💪💪❤️❤️❤️❤️❤️