Diamond Platnumz akiri imemchukua muda mrefu kumsahau Wema Sepetu
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Nenda hadi dakika ya 18:50 ndipo anaanza kumzungumzia Wema Sepetu. Lakini katika sehemu hii ya kipindi cha Chill na Sky, Diamond anatukumbusha jinsi alivyoteseka kufika hapo alipo. Mwaka 2010, anaelezea mkasa ambao hatokuja kuusahau pindi alipoenda kwa mara ya kwanza kwenye tuzo za MTV MAMA, Lagos Nigeria na kufedheheka vibaya kutokana na unyonge aliokuwa nao ikiwa pamoja na kutokujua Kiingereza. Anasimulia pia mkasa wa kuachwa na mpenzi wake Sara ambaye alimfanya aandikie wimbo Kamwambie.
wema na mond oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wema is a new hamida😂 anyone 2020
Honestly i enjoyed this interview...Diamond was so open..Nice one
Nimeipenda
Hahahaha eti ameenda bila confident hata moja 😂😂😂😂jamani mbavu sina kweli yaani nime enjoy kweli 😂😂😂😂👌👌👌🏃♀️🏃♀️
Njoo on 2020-2021 ndo utaamin DREAM CAME TRUE
lakin yupo sahihi they shared alot ni kweli kabisa
Lengo lakuletwa duniani ni kuja kumuabudu mwenyezi mungu...tusijisahau
Ukwel
KBSAAAAAAAAA 💯%🤝
Duh all the best WCB platinum your good kiongozi
Pole snaah mond ila hongera sanaah wema 😎
Daaah nimecheka sana!
Diamond aise kula bata tu wakuacheeee kabisa yani hahaaaaa!
Hii ni 2020 ila bado jengo hatujaliona, i hope mmalize tulione!
Kila kitu kinawezakana!
Nimenote hiyo Diamond Platnumz
wema ndiyo chaguo la kweli kwa mond.
Kabisa
Gonga like kama uko unaangalia 2024
Mama tee hongera aisee,,kumtoa wema napo kazi
off all girls naomba diamond uwe unamshukuru sana SARAH kwa kuwa ndiye alikufanya uwe na hasiraaa sanaaaaa na leo umetoboa na sijui yuko wapi? Sara jamani.
Kumsahau sepenga co rahisi Ana mwili wa.mapenzi
namkubali sana diamond
Ahahah u made my day 😂
Kuenjoy Dunian, ila Akhera Kuna acha 2,tumejisahau kusudi LA kuumbwa, jaman jaman
nimeipenda hiyo miwan baba T, naoombaaaa
Hii interview imefanyika January 10 th,2017,sio mwaka huu,check out next one
WcB big up my brothers
bora ulivyosema kutoka kumoyooo. maubunifu n maujuzi ukiyakumbuka yanakukwaza. hta km hakuna jinc kumbukumbu hubakia.
Anyone 2024 after Sarah likes please
yaani he is so fucking proud kuwa na maex wengi
Victoria Patrick u see 😂😂😂😂
didi kiki ahahahahahahahaha
Duuh
UNAKILI NZURI BROO.
I admire you bro sky
Kila kitu kina cku ya kwanza na sasa wanakuheshimu baba LAOooooooo wakizishika hizo interview usijali.
Hahahaha kumbe wema nomaa kabisa ukiingia kutoka shiiiiiiidaaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tausi Ak 😂😂😂
Tausi Ak kweli
Noela Shaona natamani kuwa kama wema Hama kweliii 😂😂😂😂😂
Salma Cozorlover
Kweli kabisaa😂😂
Umetisha
bado hujamsahau maana kila unapoa oongea wema
Safi sana simba
Noma sana mzee baba simba bendera
Mondy kasema kisha msahau Wema nyie mnalazimisha bado sasa kt yenu na Mondy nani mkweli? acha ibaki story
Ukiskiliza interview ya Diamond lazma utamalza una furaha, thanks God kutupea huyu mtu
Nice video
Lions from Tz
gud
Mmmmmm kumbe mdada nimkunwaaa Salalaaaa ongeraaa wemaaaaaaa
Wema tupe siri mamy
mtoto hazaliwi akanza kutembea mwanzo hukaa akatambaa ndipo akasimama
Uwe unaweka part 1,2,3, na kuendelea unapokuwa na kipindi kirefu ili tunaofatilia tujue tunaanza na ipi.
wema kah
According to this interview,nmeproove wema ndo alimpenda Sana diamond kuliko diamond alivompenda wema
Kamsahau wapi😂😂😂
Kweli maisha yanaanza mbali,,,,,,
SIMBA is numba 1th from Afica simbaaaaaaaaaaaaaa
hiyo "numba" umeandika na kiswazungu hahaha
KWAIYO WEWE NI UMEJIKUBALISHA KUWA WEWE STEMPU YA USANII YA FREE MASON ALLAH SUBHANAWATAA ALLAH AKUTIE MOTONI NA RAFIKIYAKO FREE MASON NDIO YUO WORLD OF DEVIL FOR FREE MASON PALYING WITH YOU SO WHEN YOU DAED YOU THIKN YOU GOIN TO BE IN SAFE PLACE INAMAANA HUJUI NINI MANA YA MZIKI KAPEWA NANI NA MWENYEZIMUNGU MOTO UNAUJUA QURANI UMEUELEZEA UKOJE UKALI WAKE NA NGUVUZAKE USHAURIWANGU WACHA MZIKI REJEA KWA ALLAH KUMUABUDU IN SHAA ALLAH KABLA HUJAZIKWA CHINI HUKO UNAPAKANYAGA PANA RAHAZEKE NA UCHUNGUWAKD APO 👹👹👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺👺👺💒💒💒💒💒💒💒🐖🐖🐖🐖🐖🐖🔥🔥🔥🔥🔥🔥 WACHA HAYA IN SHAA ALLAH CHAKULA CHA SHETANI FREE MASON
Nina ndugu yangu no upcoming artist can u help her
maisha safari ndefu sana
Kweli kabisa unachoongea
Gus intaviuw
Kwel umetoka mbali mond
duuu😂😂😁😁😁
Kweli ww ni sukari ya warembo
we mondi hujamsahau wema kwani akikupa show huwezi kupiga?
Jenifar Mwanitega 😂
hahahahahahaha huwez msahau
Hawezi kumsahau wema ile sukari
Bora mond ulivyojisemea ukweli kwa ugumu wa kung'atuka kwa wema... Naona naye aliligundua hilo kama hakuna wa kumpindua Tz ila hakujua kama utafanya maamuzi popote pale na utapata wa kuziba pengo Lake ila yote kwa yote mungu ndiye muweza wa kila jambo
hahaaaaa duuh
ukweli ni kwamba mtu akiwa na bifu na mond nilazima wasanii Wa wcb wakaembali mfano rayvann alivoshidwa kuielezea seduce me ya ali kibali
Kweli zari anapendwa
Wema number one
oky
simbaa wa tandale
WALA SIO SIFA NAFSIYAKO TU UNAIENDEKEZA KUMPA SHETANI WA FREE MASON 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺👺👺👺👺👺👺👺👺💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒💒🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖 MUISLAMU WEYE ALMASI
duuuu hahaha
bado hawujamusahawu
pro fesaj
was
watu hawaongelei kaz mapenz tu
😂😂😂😂😂
anaanza kuelezea xhda zakee
Mhmmm
*ARTKINGDOM RECORDS*
~ Tumetoa punguzo la bei kwa wasanii wenye vipaji kurekodi kwa *99,000/- tu*. Pia watapata interview katika *artkingdom show* inayoruka *clouds Tv* kila alhamisi na jumapili saa mbili kamili usiku. The Best kabisa katika hao watakaorekodi atapata *Full Management contract*.
*Offer ni ya siku 30 tu; Sambaza kwa msanii mkali unayemjua*
📞call: 0713674655
Haaahaaaa
Hivi diamond alisha pima ukimwi??? haha
duuuu hahaha