Daa mchango wake mzuri tutaukosa sana bungeni,lakini mungu yupo huenda huko kwenye ubalozi akatusaidia vizuri zaidi na kupata uzoefu,ili hapo baadaye atusaidie kwa wadhifa mkubwa zaidi hapo baadaye,nafasi ipo bado yuko kijana.
Ndio atulie, akubali kujifunza. Mf Ni kweli miradi mikubwa ya Ujenzi Ni kiashiria Cha kukua kwa uchumi lkn Ni uchumi upi? Macro - sio Micro. Micro economic Ni ile inayogusa watu wa kawaida.. kuanzia upangaji, utekelezaji+matokeo ya muda wote mfupi,Kati na muda mrefu. Macro inapangwa paap, watekelezaji Ni Kampuni ya Uturuki/China.. consultant Dubai, Hakuna matokeo ya muda mfupi... Ni muda wa Kati na Mrefu. Tutaumizana
Edward makonge wameshamfunga mdomo kwa kumpa ubalozi wa mchongo wa nchi mbovu ili mradi asiseme seme lakini hakuna jambo lisilo na mwisho mama anapelekeshwa kiroho mbaya na awamu ya nne kuachia watu wakombe hela mama kila siku anaupiga mwingi huku wenzie wanahomola
Sasa tumebaki na mabubu bungeni. Wote wenye uchungu wa nchi yetu wameondolewa. Unawezaje kumpeleka mbunge kama PolePole na kuwacha wapiga makofi bungeni? Samia anawakosea sana Watanzania kuwaondowa Magufuli team waliyofanya kazi vizuri na kutuwekea wezi kila kona. Watanzania wameonja uongozi bora anafanya zambi kubwa kuturudisha nyuma kwa mafisadi wasio juwa chochote zaidi ya kuiba
Grace grace waliobaki ni wapiga makofi tu wanachojali ni kuupiga mwingi na kula urefu wa kamba yake sasa mama kayarudisha majizi watafanya nini hao wabunge ukisema sana unapigwa kibuti unaona heri uwe mbunge ndiyo ikifikia miaka yako 5 unapanbana urudi au usirudi
@@margarethpolepole7438 inashangaza sana. Bunge gani halihoji. Rais anazunguka na kikapu kuomba vijisenti wakati mabilioni yanaibiwa! Rais akirudi na visenti wanashangilia, wakati fedha za umma zinaibiwa Kwa mabilioni. Mungu alitunyang’anya Rais mapema sana. Kwa sasa maji hakuna, watu wanasumbuka huku tunaambiwa mabilioni yametolewa tupate maji. Wabunge kimya ni makofi tu. Tunarudi kule kule Kwa mateso. Hatuna altenative. Upinzani ndiyo balaa hata wameshindwa kujenga makao makuu ya chama chawo, kijumba kama jiko la mukaa. Wanajiita wasomi, fedha zote za chama zichotwa na viongozi. Eh Mungu tusaidie sisi wanyonge wako.
Mmefanya kosa kubwa sana kumuondoa Mh. HUMPHREY POLEPOLE Bungeni, Kosa kubwa sana, yaani ni maamuz mabovu mnoo. Kichwa kama hichi mnakipeleka Ubalozin Kweli !! Haya bhana.
Bwawa lenyewe huenda linaota nyasi na huku vyakula vimepanda bei kawabeba wafanyabiashara na anasafiri nao tele kwa gharama za kodi za wananchi ccm kazi inaendelea mama anaupiga mwingi hataki kutuma wasaidizi wake
NAPE Alikuwa na kidomo wakati wa Magu halafu wakamuweka wapi yaani wakati ule ilikuwa sawa Rais kuweka watu wake lkn sasa hivi inakuwa chuki inatakiwa muelewe kila kiaogozi ana mipango yake wacha aweke watu wake kama hamuridhiki hiyo itakuwa matatizo yenu
Daa mchango wake mzuri tutaukosa sana bungeni,lakini mungu yupo huenda huko kwenye ubalozi akatusaidia vizuri zaidi na kupata uzoefu,ili hapo baadaye atusaidie kwa wadhifa mkubwa zaidi hapo baadaye,nafasi ipo bado yuko kijana.
Ndio atulie, akubali kujifunza. Mf Ni kweli miradi mikubwa ya Ujenzi Ni kiashiria Cha kukua kwa uchumi lkn Ni uchumi upi? Macro - sio Micro.
Micro economic Ni ile inayogusa watu wa kawaida.. kuanzia upangaji, utekelezaji+matokeo ya muda wote mfupi,Kati na muda mrefu.
Macro inapangwa paap, watekelezaji Ni Kampuni ya Uturuki/China.. consultant Dubai, Hakuna matokeo ya muda mfupi... Ni muda wa Kati na Mrefu. Tutaumizana
Edward makonge wameshamfunga mdomo kwa kumpa ubalozi wa mchongo wa nchi mbovu ili mradi asiseme seme lakini hakuna jambo lisilo na mwisho mama anapelekeshwa kiroho mbaya na awamu ya nne kuachia watu wakombe hela mama kila siku anaupiga mwingi huku wenzie wanahomola
Halooo ya ccm kazi inaendelea mijizi imejazwa wanaokula urefu wa kamba yake
Any ways !
Upelekwe Malawi
Au Somalia
Bado tuko pale pale
2025 hatumtakiiiii !
Hatumtaki wewe na nani
Alilolipanga Mungu hakuna wakulizuia,chukua jembe ukalime tuu
@@froma3732 ATI BWANA!!!
kama ccm wamechoka kuongoza nchi basi 2025 wamuweke samia awe mgombea.
Polepole kichwa angalia alivyo tulia bungeni kama msomi astailivyo ndivyo ilivyo.vema sanaaaaaa
Sasa tumebaki na mabubu bungeni. Wote wenye uchungu wa nchi yetu wameondolewa. Unawezaje kumpeleka mbunge kama PolePole na kuwacha wapiga makofi bungeni? Samia anawakosea sana Watanzania kuwaondowa Magufuli team waliyofanya kazi vizuri na kutuwekea wezi kila kona. Watanzania wameonja uongozi bora anafanya zambi kubwa kuturudisha nyuma kwa mafisadi wasio juwa chochote zaidi ya kuiba
Grace grace waliobaki ni wapiga makofi tu wanachojali ni kuupiga mwingi na kula urefu wa kamba yake sasa mama kayarudisha majizi watafanya nini hao wabunge ukisema sana unapigwa kibuti unaona heri uwe mbunge ndiyo ikifikia miaka yako 5 unapanbana urudi au usirudi
@@margarethpolepole7438 inashangaza sana. Bunge gani halihoji. Rais anazunguka na kikapu kuomba vijisenti wakati mabilioni yanaibiwa! Rais akirudi na visenti wanashangilia, wakati fedha za umma zinaibiwa Kwa mabilioni. Mungu alitunyang’anya Rais mapema sana. Kwa sasa maji hakuna, watu wanasumbuka huku tunaambiwa mabilioni yametolewa tupate maji. Wabunge kimya ni makofi tu. Tunarudi kule kule Kwa mateso. Hatuna altenative. Upinzani ndiyo balaa hata wameshindwa kujenga makao makuu ya chama chawo, kijumba kama jiko la mukaa. Wanajiita wasomi, fedha zote za chama zichotwa na viongozi. Eh Mungu tusaidie sisi wanyonge wako.
Nakukubali Mh Balozi PolePole
Mmefanya kosa kubwa sana kumuondoa Mh. HUMPHREY POLEPOLE Bungeni, Kosa kubwa sana, yaani ni maamuz mabovu mnoo. Kichwa kama hichi mnakipeleka Ubalozin Kweli !! Haya bhana.
Tutakukumbuka sana mzalendo Polepole, vibaraka wa mabebelu wamekuondoa bungeni.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Sasa tumebaki na mambumbu bungeni,Humphrey Polepole tutaimiss upeo na akili yako ya ajabu hopefully utarudi tena bungeni kama Waziri👍👌🙏🙏
Wivu ni hatari kuliko vita ya wasio jua tumpongeze yupo vema.
Uendako usichoke tenda jema Mungu atukuzwe milele.
Salum michael msemaji ukweli kama huyo hapendwi huyo anapendwa sanaaaa ndiyo maana wakamtoa mbio kumpeleka nchi isiyo kuwa na kichwa wala miguu
Bwawa lenyewe huenda linaota nyasi na huku vyakula vimepanda bei kawabeba wafanyabiashara na anasafiri nao tele kwa gharama za kodi za wananchi ccm kazi inaendelea mama anaupiga mwingi hataki kutuma wasaidizi wake
Huyu na gwajima ni fire
Kweli 💯 #kataawahuni
naona kukomoana sasa daaa
Genius
Wapigaji wamesharudishwa na mama hii ni awamu ya nne imerudi upya
Unasema ukweli mheshimiwa Sasa wanakupeleka ubalozi nani atatusemea ukweli bungeni?
Hivi mbunge wa kuteuliwa anaweza kuenguliwa kabla ya muda kuisha 5yrs??!!
Katafutiwa sehemu pakutuliza kidomo
Kidomo au mdomo
Kwanini ukisema ukweli unanyamazishwa ????????????????
Atar sana
Kwasababu unakera watu.
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA*#*#
m.ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html
KUNA NINI KIBAYA AMEONGEA MPAKA ANYAMAZISHWE? NAPE MBONA ALIKUWA NA MDOMO BUNGENI KIPINDI CHA JPM??
Umeonaeeee
NAPE Alikuwa na kidomo wakati wa Magu halafu wakamuweka wapi yaani wakati ule ilikuwa sawa Rais kuweka watu wake lkn sasa hivi inakuwa chuki inatakiwa muelewe kila kiaogozi ana mipango yake wacha aweke watu wake kama hamuridhiki hiyo itakuwa matatizo yenu
@@froma3732 fyuuuuiu
Afu nasubscribe kwa atakaye SUBSCRIBE kwangu
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA*#*#
m.ua-cam.com/video/ZgfBwGAJlrQ/v-deo.html