Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mashaallah mashaallah mungu ampe dalaja la juu uko alipo Mashaallah ❤
ALLAH amrehemu nasi Mungu atujaaliye mwisho mwema 🤲🤲🤲
Aamin!
Amina yarabi🤲🏼
😭😭😭😭😭mwenye mungu muweke katika pepo ya haliyajuu kabisaa ya jannat firdaus.yarabby
SubhanallAh munafiq wacha kumchezea mtume mushirk mkubwa moto wakusubiri kumsingizia urongo rasulullAh 😭😭😭😭😭
wewe mjinga unasema? au huo weupe wako huo hata kwenye kisigino upo unamkashifu shekhe wewe inakuhusu nn?
Allah amraham sheikh wetu Nas sote twamuomba Allah atujaalie mwisho mwema Aamiin
Allah amrehem shekhe wetu huko aliko 😢🤲🤲🙏
Allah amrehemu sheikh wetu
Allah amsamehe makosa na ampe pepo ya daraja yajuu hayat ramadhan sungu
Allah ajalie nuru kaburi lake
hiii ni shirkii kubwaa
Mimi sielewi shiriki ni ipi
hiii ni katika shiriki kubwa allah atuepusha na hili waislam wezangu.si katika wema
Andaa kipindi utufafanulie
Amour upo sawa
haifai hata kuliinua kaburi ivii
Jazakallah hailla jamiya. Allah amsamee mallham Ramazan ajaalie pepo lnshallah
Kama kwko haifai acha mungu akahukum siku hiyo sio ww uwambie eti mshikrik mwslm hatakiwi kuhuku jmb
Inaalilla wainnailla rajiuun YARABBY TUJALIE MWISHO MWEMA
Allah amjaaliye jannaty frdaus iwe ndo makaz yake yy nawaumin wakiislam wote walofka mbele ya hak nss Allah atupe husnlhatimaa Amina
Hapo hakuna kusengenya wala nn kila mtu ananyeyekea ss ww unaye sema shiriki hy km ww ni mungu tutakutana siku ya hesabu kila moja akipoke alicho kichuma duniani
Allah ajaalie nuru kabur la shekh wetu ramadhan sungu 😭😭
Mm nauliza ilo kaburi ndilo lilojengewa hivyo je Mtume wetu alituambia nn kuhusu jambo hilo naomba jibu kwawale wenye kujua kwa kitabu na sunna
Masufi sasa mumefika kubaya mcheni allaa jamaa
Pumbavu yakp
"KUZURU" ndio nini? Sija elewa jamani
Kuzuru maanayake ni kutembelea
(Kuzuru) inamaanisha kutembeleya
@@bintisomo4789 ahsante
Soma hadithi ilosema kuntum nahaitukum an ziyaarati lqubuuri falianna fazuuruha
Mashaallah mashaallah mungu ampe dalaja la juu uko alipo Mashaallah ❤
ALLAH amrehemu nasi Mungu atujaaliye mwisho mwema 🤲🤲🤲
Aamin!
Amina yarabi🤲🏼
😭😭😭😭😭mwenye mungu muweke katika pepo ya haliyajuu kabisaa ya jannat firdaus.yarabby
SubhanallAh munafiq wacha kumchezea mtume mushirk mkubwa moto wakusubiri kumsingizia urongo rasulullAh 😭😭😭😭😭
wewe mjinga unasema? au huo weupe wako huo hata kwenye kisigino upo unamkashifu shekhe wewe inakuhusu nn?
Allah amraham sheikh wetu Nas sote twamuomba Allah atujaalie mwisho mwema Aamiin
Allah amrehem shekhe wetu huko aliko 😢🤲🤲🙏
Allah amrehemu sheikh wetu
Allah amsamehe makosa na ampe pepo ya daraja yajuu hayat ramadhan sungu
Allah ajalie nuru kaburi lake
hiii ni shirkii kubwaa
Mimi sielewi shiriki ni ipi
hiii ni katika shiriki kubwa allah atuepusha na hili waislam wezangu.
si katika wema
Andaa kipindi utufafanulie
Amour upo sawa
haifai hata kuliinua kaburi ivii
Jazakallah hailla jamiya. Allah amsamee mallham Ramazan ajaalie pepo lnshallah
Kama kwko haifai acha mungu akahukum siku hiyo sio ww uwambie eti mshikrik mwslm hatakiwi kuhuku jmb
Inaalilla wainnailla rajiuun YARABBY TUJALIE MWISHO MWEMA
Allah amjaaliye jannaty frdaus iwe ndo makaz yake yy nawaumin wakiislam wote walofka mbele ya hak nss Allah atupe husnlhatimaa Amina
Hapo hakuna kusengenya wala nn kila mtu ananyeyekea ss ww unaye sema shiriki hy km ww ni mungu tutakutana siku ya hesabu kila moja akipoke alicho kichuma duniani
Allah ajaalie nuru kabur la shekh wetu ramadhan sungu 😭😭
Mm nauliza ilo kaburi ndilo lilojengewa hivyo je Mtume wetu alituambia nn kuhusu jambo hilo naomba jibu kwawale wenye kujua kwa kitabu na sunna
Masufi sasa mumefika kubaya mcheni allaa jamaa
Pumbavu yakp
"KUZURU" ndio nini? Sija elewa jamani
Kuzuru maanayake ni kutembelea
(Kuzuru) inamaanisha kutembeleya
@@bintisomo4789 ahsante
Soma hadithi ilosema kuntum nahaitukum an ziyaarati lqubuuri falianna fazuuruha