RECAP: UCHAMBUZI SHOW YA ALIKIBA CANADA, UONGOZI UNAMUANGUSHA, RAYAVANNY WAANDAAJI WANAMUANGUSHA
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny
King kiba King 👑 ❤❤❤
Tmkiba oye yaaa❤❤❤❤❤
So why would Alikiba afanye show yabure kama haowatu. Kwani ashakuomba hela yakula bro
Wewe mutohe alikiba huko unasikia wewe uyo ndo msani namba Moja Tanzania hiiii umeona show hiyo mzee kaonesha ukumwa Sanaa alikiba wangekua wengine apo tungeongea mengine
Kiba ni fundi kitambo Sana aongeze bidii kweny kupush mbele mziki wake kimataifa
Sasa nawewe music wake umefika wapi 😂😂😂😂 ile tamasha ujue
Alikiba nini sasa Alikiba hapo walikuja kamakumuona R Kelly ao Nelly ivo
Show za kiba nizakibabe...sio upige pige vishow mchwara..afadhali akae miaka minne lakini akitangaza Show.. inakua kubwa
Ww tok lin rayvanny akaw International artist
Ko unataka kusema 😢
Guy unaupenda mziki wa bongofleva elmando
Bro KingKiba ana heshima yake sema n msanii asieh na makuzi imagine alikiba na yeye angekuwa na mbwembwe kama hao wanaojikuta wakubwa 😂 ingekuwa ni balaaa
Kiba unyama sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Wewe ndie mtangazaji TZ, wengine wote wapambe.
Kweli broo ,Kwa Rivanny inatia huzuni kuona show haikufanyika
❤❤
😂😂😂 apo kwenye kupafom bure ndio kasheshe
Chizi huyu show bure yeye angeweza hajui kuwa hiyo ni kaz
umeongea kweli kuhusu alikiba anatuangusha saaaana sana sana anafanya vitu kwa kujiskia
sanaaaa manejment zinaua wasanii
Ndo shids za media za Tanzania kukandia Wasanii wengine ili wengine wakue juu miaka yote
Mbona haja post huwo ubishi ili tukaona na tukaamini kama ni kweli muongo muongo muongo show yake asinge pata watu mbwa huyu sehem alie kuwepo king hao wasenge wote hawawezi kutamba
Sema huyu jamaa anatafuta kiki t 😂😂ila ache maneno yasiokuwa na ushahid ajitahid huenda kuitwa pale next level
Uyujama anakwama wapi ivi unadhani kiba anaweza kupiga show yabule ? Acha upumbavu kijana kwani wew hutaki kua mutangazaji mukubwa mbona huendi inje
Ni kweli ilikuwa bure ndo tuliingia
Uyu kiaz kweli eti afanye kazi bule 😂
Hey Bomgo5,
Afrofest is a free Afro-Canadian music event promoting African musical culture. Maybe Alikiba just came for the event to promote his fan base. There has been no gate collection at the event always. Lots of Bongo Flava artist are gonna lose their saving if they tyrina fake shows to match up Simba.
Alikiba hajui mziki wa kisasa bado yupo na nyimbo za akina seya
Na anakubalika kuliko kina dadamond
Hao wakina Ali, Rayvany, wakina Mario, konde hawanaga Ménagement ni washikaji zao wabeba begi na camera tu 🤣🤣
Are you serious ?
@@Mbaley 100%
@@kitunganolwebo7570acha uongo
Alikiba kiboko
Hizo mambo intkw kufnywa na msanii undr ground na co lv aliyonayo kibao au mond
tatizo lenu ni kumpa rayvanny ukubwa asionao..show zote za international kadandia,,,show ya mtv ilikua ya maluma ,show zote mbili za albania kadandia dakika tatu na anatolewa,india kaenda harusini,dubai show ilikua ya norah fateh..sikumbuki show ya rayvanny yeyote yake mwenyewe aliyofanya maana hata london juzi aliitwa tu kama opening act...alafu huku mnamuita international
Mando please naomba unijbu je Africa hiii ni msanii gani levo ya alikiba ambae bado ananguvu kama alikiba pia usisahau alikiba nimiongoni yawasanii waliofanya show nyingi nje zaidi kwahiyo pialazima kiwango kishuke
Mziki wa kiba hauwezi kuingia afronation
Huyu jamaa hajijui hajitambui anabadilika kama kinyonga
Vany boy tatizo watu wanamsimamia ni wandugu zake njo shida hana chakuwafanya
Wewe upo tayr kufnya kazi bila kulipwa?
Sasa si awafukuze hilo ndio tatizo la kubebana
Leo umeongey ukweli
Broo ndio ujue huo ni uongo hapana ukwel yaan mtu mpk afike kwenye show alaf ndio pana ugomvi
Kila kitu kingekuwa simple kama kuchukua camera na microphone then life was going to be easy😂😂😂
Inaonyesha apo rayvann ndo Kila kitu ray yeye ndo management ndokila kitu ..iyo manegment sio professional haawapo kikaz
Teem kiba sema yebaba
Jamaa anaongea ukweli wasanii wavivu kwenda kimataifa wanangojea watu wawafuate
Apana uyo ni Big brand anafanya biashara bro. Hawezi kwenda for free. Kunawa wasaani wangapi hawaendi huku bro Yani ni wasaani wadogo?
Management tupo ila Rayvanny alikataa kutupatia simu yake ili tuandikie mashabiki msamaha.....ikabidi yeye mwenyewe aandike
Kiba afanyi show za bure bro hayo mambo ya wale wasafi ya kufanya bure
Yani msanii atengeneze brand yake na mziki wake kwa gharama kubwa alafu apige show Bure. Ebu na wewe nenda MTV Ukatangaze ....Kaa ukijua alikiba sio msanii wa kupiga show Bure brother msanii hawezi kula followers ..
King kiba uko kasha yokakufany show za bure we kuweza wenziy wana ingiza pesa we upig show bule kisa uwonekan ume piga show nchi za nnje apo nime kupinga king hana shobo izo kk
Show ya bure ao tunaitji pesa
Jamaa ni mkweli na Hana cha utimu anaongea ukwel ..ingependeza wasanii wa eleke kimataifa zaidii ..management wengine sio wa kimataifa ndipo wanakwama bingo pekee
So Kwa alikiba kufany show bite sas
Km
Hakuna ya KAZI ya bure
Ww uko fala acha utangazi br hujuw
Tz tukobado
Ivi wewe unaelewa nini kuhuss mziki na show
wewe nimpumbavu