RECAP: UCHAMBUZI SHOW YA ALIKIBA CANADA, UONGOZI UNAMUANGUSHA, RAYAVANNY WAANDAAJI WANAMUANGUSHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

КОМЕНТАРІ • 63

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 місяці тому +7

    King kiba King 👑 ❤❤❤

  • @SalumSaid-l1o
    @SalumSaid-l1o 2 місяці тому +4

    Tmkiba oye yaaa❤❤❤❤❤

  • @donbrighter
    @donbrighter 2 місяці тому +7

    So why would Alikiba afanye show yabure kama haowatu. Kwani ashakuomba hela yakula bro

  • @PhilimoniLangeni
    @PhilimoniLangeni 2 місяці тому +5

    Wewe mutohe alikiba huko unasikia wewe uyo ndo msani namba Moja Tanzania hiiii umeona show hiyo mzee kaonesha ukumwa Sanaa alikiba wangekua wengine apo tungeongea mengine

  • @IbrahimAliy-t3l
    @IbrahimAliy-t3l 2 місяці тому +8

    Kiba ni fundi kitambo Sana aongeze bidii kweny kupush mbele mziki wake kimataifa

    • @blackchinaworldwide8292
      @blackchinaworldwide8292 2 місяці тому +1

      Sasa nawewe music wake umefika wapi 😂😂😂😂 ile tamasha ujue

    • @HakizimanaFiston
      @HakizimanaFiston 2 місяці тому

      Alikiba nini sasa Alikiba hapo walikuja kamakumuona R Kelly ao Nelly ivo

    • @WendoJuma
      @WendoJuma 2 місяці тому +2

      Show za kiba nizakibabe...sio upige pige vishow mchwara..afadhali akae miaka minne lakini akitangaza Show.. inakua kubwa

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr 2 місяці тому +5

    Ww tok lin rayvanny akaw International artist

    • @Nickmj-s7e
      @Nickmj-s7e 2 місяці тому

      Ko unataka kusema 😢

  • @Mbaley
    @Mbaley 2 місяці тому +3

    Guy unaupenda mziki wa bongofleva elmando

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 2 місяці тому +3

    Bro KingKiba ana heshima yake sema n msanii asieh na makuzi imagine alikiba na yeye angekuwa na mbwembwe kama hao wanaojikuta wakubwa 😂 ingekuwa ni balaaa

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 2 місяці тому +2

    Kiba unyama sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abcdefghijklmno59466
    @abcdefghijklmno59466 2 місяці тому +5

    Wewe ndie mtangazaji TZ, wengine wote wapambe.

  • @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
    @NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 2 місяці тому +2

    Kweli broo ,Kwa Rivanny inatia huzuni kuona show haikufanyika

  • @MirajiSuleiman-c7u
    @MirajiSuleiman-c7u 2 місяці тому +3

    ❤❤

  • @KipampeMedia
    @KipampeMedia 2 місяці тому +4

    😂😂😂 apo kwenye kupafom bure ndio kasheshe

    • @RahelYohana-xw5ve
      @RahelYohana-xw5ve 2 місяці тому +1

      Chizi huyu show bure yeye angeweza hajui kuwa hiyo ni kaz

  • @james-lx6rf
    @james-lx6rf 2 місяці тому +1

    umeongea kweli kuhusu alikiba anatuangusha saaaana sana sana anafanya vitu kwa kujiskia

  • @chodohbbway2843
    @chodohbbway2843 2 місяці тому

    sanaaaa manejment zinaua wasanii

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 2 місяці тому +3

    Ndo shids za media za Tanzania kukandia Wasanii wengine ili wengine wakue juu miaka yote

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx 2 місяці тому +1

    Mbona haja post huwo ubishi ili tukaona na tukaamini kama ni kweli muongo muongo muongo show yake asinge pata watu mbwa huyu sehem alie kuwepo king hao wasenge wote hawawezi kutamba

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- 2 місяці тому

    Sema huyu jamaa anatafuta kiki t 😂😂ila ache maneno yasiokuwa na ushahid ajitahid huenda kuitwa pale next level

  • @natureboy972
    @natureboy972 2 місяці тому +3

    Uyujama anakwama wapi ivi unadhani kiba anaweza kupiga show yabule ? Acha upumbavu kijana kwani wew hutaki kua mutangazaji mukubwa mbona huendi inje

    • @rutimarlon
      @rutimarlon 2 місяці тому

      Ni kweli ilikuwa bure ndo tuliingia

    • @DismasGeraldi-i2s
      @DismasGeraldi-i2s 2 місяці тому

      Uyu kiaz kweli eti afanye kazi bule 😂

  • @malishjimmy9529
    @malishjimmy9529 2 місяці тому

    Hey Bomgo5,
    Afrofest is a free Afro-Canadian music event promoting African musical culture. Maybe Alikiba just came for the event to promote his fan base. There has been no gate collection at the event always. Lots of Bongo Flava artist are gonna lose their saving if they tyrina fake shows to match up Simba.

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 2 місяці тому

    Alikiba hajui mziki wa kisasa bado yupo na nyimbo za akina seya

    • @bizmaterial
      @bizmaterial 2 місяці тому

      Na anakubalika kuliko kina dadamond

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo7570 2 місяці тому +1

    Hao wakina Ali, Rayvany, wakina Mario, konde hawanaga Ménagement ni washikaji zao wabeba begi na camera tu 🤣🤣

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim6482 2 місяці тому

    Alikiba kiboko

  • @OswardMhagama
    @OswardMhagama 2 місяці тому

    Hizo mambo intkw kufnywa na msanii undr ground na co lv aliyonayo kibao au mond

  • @vanjay8685
    @vanjay8685 2 місяці тому

    tatizo lenu ni kumpa rayvanny ukubwa asionao..show zote za international kadandia,,,show ya mtv ilikua ya maluma ,show zote mbili za albania kadandia dakika tatu na anatolewa,india kaenda harusini,dubai show ilikua ya norah fateh..sikumbuki show ya rayvanny yeyote yake mwenyewe aliyofanya maana hata london juzi aliitwa tu kama opening act...alafu huku mnamuita international

  • @iddysonyo1356
    @iddysonyo1356 2 місяці тому

    Mando please naomba unijbu je Africa hiii ni msanii gani levo ya alikiba ambae bado ananguvu kama alikiba pia usisahau alikiba nimiongoni yawasanii waliofanya show nyingi nje zaidi kwahiyo pialazima kiwango kishuke

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 2 місяці тому

    Mziki wa kiba hauwezi kuingia afronation

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 2 місяці тому

    Huyu jamaa hajijui hajitambui anabadilika kama kinyonga

  • @barekebavugemasudi3436
    @barekebavugemasudi3436 2 місяці тому

    Vany boy tatizo watu wanamsimamia ni wandugu zake njo shida hana chakuwafanya

  • @OswardMhagama
    @OswardMhagama 2 місяці тому

    Wewe upo tayr kufnya kazi bila kulipwa?

  • @yfhff5268
    @yfhff5268 2 місяці тому

    Sasa si awafukuze hilo ndio tatizo la kubebana

  • @Hassanmoreno07
    @Hassanmoreno07 2 місяці тому

    Leo umeongey ukweli

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- 2 місяці тому

    Broo ndio ujue huo ni uongo hapana ukwel yaan mtu mpk afike kwenye show alaf ndio pana ugomvi

  • @mahmoudmihanjamu669
    @mahmoudmihanjamu669 2 місяці тому

    Kila kitu kingekuwa simple kama kuchukua camera na microphone then life was going to be easy😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому

    Inaonyesha apo rayvann ndo Kila kitu ray yeye ndo management ndokila kitu ..iyo manegment sio professional haawapo kikaz

  • @SokoroboyNdend-iv1js
    @SokoroboyNdend-iv1js 2 місяці тому

    Teem kiba sema yebaba

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 місяці тому

    Jamaa anaongea ukweli wasanii wavivu kwenda kimataifa wanangojea watu wawafuate

  • @opsbunhalisi
    @opsbunhalisi 2 місяці тому

    Apana uyo ni Big brand anafanya biashara bro. Hawezi kwenda for free. Kunawa wasaani wangapi hawaendi huku bro Yani ni wasaani wadogo?

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 2 місяці тому

    Management tupo ila Rayvanny alikataa kutupatia simu yake ili tuandikie mashabiki msamaha.....ikabidi yeye mwenyewe aandike

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato 2 місяці тому

    Kiba afanyi show za bure bro hayo mambo ya wale wasafi ya kufanya bure

  • @juliuskafula-ee3yb
    @juliuskafula-ee3yb 2 місяці тому

    Yani msanii atengeneze brand yake na mziki wake kwa gharama kubwa alafu apige show Bure. Ebu na wewe nenda MTV Ukatangaze ....Kaa ukijua alikiba sio msanii wa kupiga show Bure brother msanii hawezi kula followers ..

  • @ShabaniMussa-o4e
    @ShabaniMussa-o4e 2 місяці тому

    King kiba uko kasha yokakufany show za bure we kuweza wenziy wana ingiza pesa we upig show bule kisa uwonekan ume piga show nchi za nnje apo nime kupinga king hana shobo izo kk

  • @alexshabani2012
    @alexshabani2012 2 місяці тому

    Show ya bure ao tunaitji pesa

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 2 місяці тому

    Jamaa ni mkweli na Hana cha utimu anaongea ukwel ..ingependeza wasanii wa eleke kimataifa zaidii ..management wengine sio wa kimataifa ndipo wanakwama bingo pekee

  • @LameckSaidy
    @LameckSaidy 2 місяці тому

    Km

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim6482 2 місяці тому

    Hakuna ya KAZI ya bure

  • @HamisiMwazikeni
    @HamisiMwazikeni 2 місяці тому

    Ww uko fala acha utangazi br hujuw

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj 2 місяці тому

    Tz tukobado

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 2 місяці тому

    Ivi wewe unaelewa nini kuhuss mziki na show

  • @AyubuMwaikela
    @AyubuMwaikela 2 місяці тому +1

    wewe nimpumbavu