#live

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 66

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Місяць тому +5

    Vyema kabisa hongera Sana kwa uchambuzi bora kila la kheri kazi njema barikiwa Sana shalom

  • @ismailhamis2331
    @ismailhamis2331 Місяць тому +9

    Kaongea points zote.. kudos ticha Zuberi

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v Місяць тому +7

    Uko vzr,wajifunze kwa Nzize wa Yanga kuna mahali tulikuwa tunategemea goli anakosa lile ni suala la umri mature utamuona mwaka huu kisha zoea

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 Місяць тому +5

    Uko guuuud sana bwana Zubeir...😊😊😊😊

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 Місяць тому

    Big up Zuberi wewe ni mchambuzi na nusu. Uko very objective haupelekwi na hisia

  • @omarMchoya
    @omarMchoya Місяць тому +2

    Huyo jmaa yupo very Very point san

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela Місяць тому +2

    Mwl zuber big up sana

  • @Rarmba
    @Rarmba Місяць тому +1

    Best mchambuzi ever,huna mbwembwe unongea fact bro,wala hauna upande,nakufuatilia sana uchambuzi wako,uchambuzi wako ni waki football zaidi hauna siasa kabisaa.congrats

  • @EmmanuelBukindu
    @EmmanuelBukindu Місяць тому +3

    Jamaa Yuko vzr

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Місяць тому +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢

  • @mohamedikassimu7016
    @mohamedikassimu7016 Місяць тому

    Fact broo umenena

  • @JassonKagaruki
    @JassonKagaruki Місяць тому +5

    Huyu jamaa apewe ulinzi makolo wakiiona hii tumeisha

  • @RichardAmos-eo9dh
    @RichardAmos-eo9dh Місяць тому +3

    Big up zuberi chambuzi la taifa kupitia hii exclusive nimepata madini ya kutosha na baadhi ya facts za kimpira ambazo nilikuwa napata ukakasi kuzielezea.

  • @NTUSOTV-xx8qe
    @NTUSOTV-xx8qe Місяць тому +3

    Uko sahihi mkuu,,, simba nguvu mbili✊✊

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini Місяць тому +3

    Madin mwanzo mwisho🎉🎉🎉

  • @anafiselemani3957
    @anafiselemani3957 Місяць тому +1

    Big up sana bro zuberi

  • @kayagahamisi572
    @kayagahamisi572 Місяць тому +5

    Huyu ndo mchambuzi sio chambuzi halafu shabiki wa timu fulani

  • @mikidadijumanne7441
    @mikidadijumanne7441 Місяць тому +3

    Uko sahihi

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 Місяць тому +2

    Uyu jamaa Yuko vzr sana

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 Місяць тому

    Big upp umeongea kisoccer zaidi

  • @ezramichael7038
    @ezramichael7038 Місяць тому +1

    Mpira anaujua vizuri

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Місяць тому

    Uchambuzi mzuri

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Місяць тому +3

    Jamaa ni mchambuzi kweli na anajua mpira

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 Місяць тому +3

    Mchambuzi wape hao mambumbu kicheko baada e kilio😅😅😅

  • @user-em2sd9tm1n
    @user-em2sd9tm1n Місяць тому +2

    Kaka shikamoo

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 Місяць тому

    Huyu jamaa nimemkubali sanaaa...
    Yani anaongea points za Maana Sana na sio ushabiki.....

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn Місяць тому

    sio morata tu hata pale barca kuna kiungo anaitwa thiago alcantara alicheza barca kipindi barca ina viungo wakina inniesta,xavi na busket na hawa wote walikuwa na umri mkubwa lkn barca hawakuwauza mapema hawa wazee ili wamuache thiago ,,mwishowe thiago anaondoka na kwenda timu zingine mpaka jana kastafu

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 Місяць тому +1

    Hii kichwa imetulia si mchezo jamaa ni mtaatam anajua kuchambua ball. Tunataka wachambuzi kama si kama kina jemdar,oruma,salehe,na wengine km hao

  • @salumallymngumba
    @salumallymngumba Місяць тому +2

    Umeongea point tupu.

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 Місяць тому

    Kocha wenyewe hawajiamini si mtoke nje mkaonyeshe maajabu

  • @EnockKombolela
    @EnockKombolela Місяць тому +1

    Wewe ndio chura nini ulicho kuelewa ktk ichi anacho kiongea

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 Місяць тому

    Kocha awe na uwezo na uzoefu ns sio uwezo

  • @user-lo9pb1po8l
    @user-lo9pb1po8l Місяць тому

    Serikali mpeni ulinzi huyu jamaa ni tunu ya taifa😂

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Місяць тому

    Huyu jamaa anajua sana

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Місяць тому

    Ukopoa bro

  • @salagolusangija8727
    @salagolusangija8727 Місяць тому +1

    Bonge la mchanbuzi

  • @saidmwinyi4437
    @saidmwinyi4437 Місяць тому

    Eeeh mkaraboko umeuwa

  • @user-yu1zo9pf4o
    @user-yu1zo9pf4o Місяць тому

    Huyu km kaka wa "K" mziwanda

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Місяць тому

    Hupepes macho

  • @franccoz94
    @franccoz94 Місяць тому +3

    Wachezaji wengi wa yanga wanamsimu mmoja tuu wa kucheza baada ya hapoo n angukoo

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s Місяць тому +1

      Eng. Hersi sio mangungu. Yanga kila mwaka wanabalance timu kwa kuacha wachezaji wanaotegemewa kushuka kiwango na sio kusubiri hadi washuke kiwango. Watafute kina Djuma, Saidoo, Moloko, Lomalisa, Shaibu, Bangala orodha ni ndefu. Yanga ni timu kubwa inasajiri kwa mahitaji na performance.

    • @Evance-op4jw
      @Evance-op4jw Місяць тому +1

      nani kakwambia wewe? hawa ni wachezaji wenye uwezo unaoweza kudumu miaka mingi hadi wanakuwa na umri mkubwa zaidi bora wanaume bora kuliko wavulana wasio na uwezo

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 Місяць тому

      Pole sana. Inaonekana hufwatilii usajili.yanga imeongeza mikataba wachezaji wake wengi muhimu.

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Місяць тому +2

    Kweli

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 Місяць тому

    Unajua kaka

  • @anicethy6978
    @anicethy6978 Місяць тому +2

    Mpira wa miguu unachezwa na wavulana ukishakuwa mwanaume,"jua la jioni"huwezi tena,nimemtizama,Modrich, Pepe na CR7 wamejitahidi sana kwenye Euro lakini unaona tu anhaaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Місяць тому

      Unaongea nini wewe ,hao aliowataja umeona viwango vyao as individuals!! Umemuona pepe jinsi experience yake vijana walikua hawapiti?? Kuna wachezaji of higher level hawawafikii viwango! Timu lazima iwe mchanganyiko wa vijana na wenye experience! Unajua wenye experience kama CHAMA wanaleta nini dressing room!? Ushauri, uzoefu wa mechi kubwa, confidence,nk kwa vijana bongo shida ni kutojua mpira,as a game! Kuna kitu kinaitwa SENIOR PRAYERS Kwenye timu,unajua maana yake!? Senior players wanakua na umri mkubwa ,wana uzoefu,wamekaa mda mrefu kikosini,! Hao husaidia vijana kukua! Simba hao watoto watajifunza kwa nani!? That means watachukua mda mrefu to catchup ,to gel,to learn,and to GAIN experience! Utaona Yanga wakikutana na hao watoto! Kijana mwenye umri mdogo kumkaba mtu kama pacome, Aziz nk ni shida! Akimwangalia Aziz anataka amsalimie🤣🤣🤣Thats how football WORKS!

  • @andrydengaah7389
    @andrydengaah7389 Місяць тому +2

    😅😅😅

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw Місяць тому +1

    umasema ukweli mtupu ingawa itawauma baaddhi humu

    • @AyubuIssa-np3vc
      @AyubuIssa-np3vc Місяць тому

      Aowachezaji wa simba wanamuonekano gani

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      ​@@AyubuIssa-np3vc😂😂😂 tulia kk

  • @salummbuleti6047
    @salummbuleti6047 Місяць тому +1

    Huyo mchambuzi wako ni chizi

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc Місяць тому

    Uyo nichura kama chula wengine

  • @suleymanyasinmkufu1570
    @suleymanyasinmkufu1570 Місяць тому

    Amejaa wivu ,uto.

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc Місяць тому

    Uyo nimweu tu mpira sio umri .simba wakisajili wakubwa unasema wazee

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +2

      😂😂😂 mmeleta wachezaji kwaajili ya tamasha la saba Saba

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 Місяць тому +2

    Mchambuzi wa mchongo wewe, umetumwa na vyura kwendaaaa hukoooo

    • @erasmuskwayu5643
      @erasmuskwayu5643 Місяць тому +1

      Sawa tutaonana kwenye Ligi na Shirikisho Afrika tutajua huyu anajua au hajui

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u Місяць тому

    Utopolo huyo hakuna Anachoongea hapo maneno meengi lengo Lake limeeleweka

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +3

      😂😂😂😂 Nenda kasikilize mapambio kwa akina jemedariiii, oruma na Jeff

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Місяць тому

    Huna jipya wewe ebu tupishe

  • @user-rp8ke2nb5i
    @user-rp8ke2nb5i Місяць тому

    Bonge nysnya wachambuzi wa tz vinyonga

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i Місяць тому

    Kuma ya mama zenu

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Місяць тому +2

    Ukweli huu naufananisha na UKWELI wa Mchome msimu ulopita.... Watu walimpinga saana hati timu ikaangukia pua....😢